26/10/2023
๐ณ๐ด๐ค Erling Haaland katika mashindano ya Champions League:
๐๏ธ Michezo: 33
โฝ Magoli: 37
๐ Kombe : 1
Sports news
๐ณ๐ด๐ค Erling Haaland katika mashindano ya Champions League:
๐๏ธ Michezo: 33
โฝ Magoli: 37
๐ Kombe : 1
๐
๐ฅ๐ฅKylian Mbappe amefikisha goli 42 katika mashindano ya Champions League akiwa bado hajafikisha miaka 25.
โฆ๏ธLionel Messi pekee ndio ana magoli mengi kumzidi Mbape akiwa na magoli (51) ๐คฏ
๐จ Aston Villa FC ipo mstari wa mbele katika mbio za kutaka Saini ya beki wa kulia wa Atletico Madrid, Nahuel Molina ambaye aliisaidia Argentina kushinda kombe la dunia mwaka uliopita .
(Source: Fichajes)
DEAL DONE โ
Simba sc imekamilisha usajili wa winga kutoka klabu ya ASEC Mimosas ๐จ๐ฎ, Aubin Kramo
Msimu Uliopita katika mashindano ya CAF-CC Aubin Kramo alifanikiwa kufunga mabao (4) katika mechi (10) alizocheza akiisaidia ASEC Mimosas kufika Nusu Fainali.
( Simba sc)
๐พ๐ฅ๐ฅ๐ฅcomeback ya kibabe kutoka kwa Mikael Ymer baada ya kupoteza seti mbili za mwanzo dhidi ya Taylor Fritz!, Amefanikiwa kushinda kwa seti tatu kwa mbili na kumtoa Fritz katika mashindano ya Us open .
๐ ๐๐๐๐ ๐๐ข๐ก๐: Bayer Leverkusen imekamilisha usajili wa Granit Xhaka kutoka Arsenal kwa dau la ยฃ25m, Xhaka amesaini mkataba wa miaka mitano wa kuitumikia Bayer Leverkusen.
(Chanzo: Bayer 04 Leverkusen)
DEAL DONE โ Simba SC imemtambulisha Mikael Igendia k**a Meneja mpya wa klabu hiyo, pia atahudumu katika nafasi ya Mkuu wa Sayansi ya Michezo katika klabu ya Simba .
๐จ wachezaji wa Chelsea wanaoachwa na ambayo tayari wameachwa katika dirisha kubwa la usajili msimu huu:
1๏ธโฃ๐ฉ๐ช Havertz: ยฃ65M
2๏ธโฃ๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Mount: ยฃ60M
3๏ธโฃ๐ญ๐ท Kovaฤiฤ: ยฃ25M
4๏ธโฃ๐ธ๐ณ Koulibaly: ยฃ18M
5๏ธโฃ๐ธ๐ณ Mendy: ยฃ16M
6๏ธโฃ๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Loftus-Cheek: ยฃ15M
7๏ธโฃ๐ซ๐ท Kantรฉ: ยฃ0M
8๏ธโฃ๐ซ๐ท Bakayoko: ยฃ0M
9๏ธโฃ๐ต๐น Joรขo Felix: Loan ๐
๐๐จ๐ญ Zakaria: Loan ๐
๐พ๐พ๐ฅ๐ฅNi wachezaji watatu pekee waliofanikiwa kushinda mechi 350+ za gland slam.
๐
Roger Federer 369
๐
Serena Williams 367
๐
Novak Djokovic 350
DEAL DONE โ
Simba SC imemtangaza Corneille Hategekimana k**a Kocha mpya wa viungo akitokea AS Kigali ya Rwanda, Hategekimana amesaini mkataba wa miaka miwili na Simba SC
(Simba sc)
DEAL DONE โ
Simba SC imemtangaza Mhispania, Daniel Cadena kuwa kocha wao wa makipa akipewa mkataba wa miaka miwili.
Kabla ya kutua mitaa hiyo ya Msimbazi, Cadena alikuwa Azam FC msimu wa 2022/23.
DEAL DONE โ Azam Fc imefikia makubaliano ya miaka mitatu na Jean-Laurent Geronimi Raia wa Ufaransa ๐ซ๐ท, k**a Kocha wa viungo kuanzia msimu wa 2023/24.
DEAL DONE โ
. Paris Saint-Germain imekamilisha usajili wa ล kriniar k**a mchezaji huru akitokea Inter Milan, kwa makubaliano ambayo yalifanyika tangu mwezi wa kwanza.
ล kriniar amejiunga na Paris saint Germain kwa mkataba wa miaka 4 .๐ด๐ต
๐จ Sajili kumi za Manchester united zilizotumia gharama kubwa zaidi katika historia ya Manchester United:
1๏ธโฃ๐ซ๐ท Pogba: โฌ105M
2๏ธโฃ๐ง๐ท Antony: โฌ95M
3๏ธโฃ๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Maguire: โฌ87M
4๏ธโฃ๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Sancho: โฌ85M
5๏ธโฃ๐ง๐ช Lukaku: โฌ84.7M
6๏ธโฃ๐ฆ๐ท Di Marรญa: โฌ75M
7๏ธโฃ๐ง๐ท Casemiro: โฌ70.7M
8๏ธโฃ๐ต๐น Fernandes: โฌ65M
9๏ธโฃ๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Mount: โฌ64M ๐
๐๐ซ๐ท Martial: โฌ60M
๐จ DEAL DONE โ Klabu ya Azam Fc imeingia mkataba wa miaka mitatu na Bruno Ferry, ambaye atakua Kocha Msaidizi wa klabu hiyo akimsaidia youssouph dabo kocha mkuu wa klabu hiyo.
๐ DEAL DONE: Robbie Keane ameteuliwa kua k**a kocha mkuu wa Maccabi Tel Aviv inayoshiriki ligi kuu ya Israeli . ๐ฎ๐ฑ
(Source: Maccabi Tel Aviv)
๐จ Manchester United imefanya mazungumzo na wawakilishi wa Moises Caicedo ili kukamilisha dili la Caicedo kujiunga na United kwa msimu ujao. ๐ช๐จ
(Source: The Athletic FC)
DEAL DONE โ
Ilkay Gรผndogan amejiunga na Barcelona akitokea Manchester City,
Gundogan amesaini mkataba wa miaka 2 utakaoisha mnamo June 2025, huku mkataba huo ukiwa hauna kipengele Cha kuongeza msimu mwingine pale utakapoisha. ๐จ๐ต๐ด
โช๏ธ๐ดKai Havertz amemaliza sehemu ya kwanza ya vipimo vya afya ili kujiunga na klabu ya Arsenal . Kinachosubiriwa ni utiaji saini baina ya vilabu vyote viwili Chelsea na Arsenal.
DEAL DONE โ
Kiungo wa klabu ya Azam Fc Akaminko11, ameongeza mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kusalia ndani ya klabu ya Azam Fc
Hivyo, ataendelea kusalia klabuni hapo mbaka mwaka 2026.
DEAL DONE โ : Edin Dzeko amejiunga na Fenerbahรงe k**a mchezaji huru akitokea Inter Milan. ๐ก๐ต๐น๐ท
DEAL DONE โ
. Chris Smalling ameongeza mkataba wa miaka 2 na Ac Roma hivyo ataendelea kusalia klabuni hapo mbaka June 2025. ๐ก๐ด
Makubaliano haya yalifikiwa tangu mwezi uliopita.
DEAL DONEโ l, Enzo Maresca amesaini mkataba wa miaka 3 na Leicester city k**a kocha mkuu wa klabu hiyo, mkataba utakaoisha mnamo 2026. ๐ต๐ฆ
โฆ๏ธโฆ๏ธAliyekua mmiliki wa AC Milan, Silvio Berlusconi amefariki dunia akiwa na umri wa miaka has passed 86.
Klabu ya AC Milan ilifanikiwa kubeba makombe 29 katika kipindi cha miaka 31 chini ya uongozi wa Berlusconi akiwa k**a raisi na mmiliki wa Ac Milan.
RIP ๐๏ธ
๐๏ธ๐๏ธ๐๐Siku k**a ya Leo klabu ya Man City ilimsaini mnamo mwaka [2022] kutoka Borussia Dotmond.
๐ต 53 Apps
โฝ๏ธ 52 Goals
๐
ฐ๏ธ 9 Assists
๐ Premier League
๐ FA Cup
๐ Champions League
๐
FWA Footballer of the Year
๐
PL Golden Boot
๐
PL Player of the Season
๐
PL Young Player of the Season
๐จ๐จ DEAL DONE: Aston Villa imekubali kumsajili kiungo wa zamani wa Lestercity Youri Tielemans k**a mchezaji huru . ๐ง๐ช
Youri Tielemans anatarajia kufanyiwa vipimo vya afya na kusaini mkataba na klabu yake mpya. โ
(Source: )
๐จ Galatasaray Ina mpango wa kumsajili Nuno Tavares kutoka Arsena kwa mkopo, k**a Arsenal watakataa kumuuza nyota huyo katika dirisha kubwa la usajili msimu huu.
Mabingwa hao wa Uturuki Galatasaray wamezungukza na wakala wa Tavares ili kufanikisha Dili hili.
(Turkish source[Takvim])
Arsenal๐ด
๐จ๐จ BREAKING: klabu ya Arsenal imefikia makubaliano na William Saliba kuhusu kuongeza mkataba mpya wa miaka 4.
๐ค๐ซ๐ท
(Source: David Ornstein)
DEAL DONEโ
Lionel Messi amejiunga na Inter Miami ya nchini Marekani kwa mkataba wa mikaka amesaini 2 .
Barcelona hawakutoa mkataba wowote kwa nyota huyo wa Argentina pia alikataa dau la โฌ1B kwa misimu miwili kutoka katika ligi ya saudi.๐บ๐ธ๐ฆ๐ท๐ฅ
๐๐๐๐
Baada ya klabu ya Fc Sevilla kutwaa ubingwa katika fainali ya Europa League dhidi ya Roma kwa mikwaju ya penati baada ya mchezo huo kuisha kwa sare ya kugungana goli moja kwa moja.
๐
Klabu hiyo imefanikiwa kubeba ubingwa katika fainali zote Saba walizocheza katika mashindano ya Europa league, ambazo walicheza na..
๐ 2006 vs. Middlesbrough
๐ 2007 vs. Espanyol
๐ 2014 vs. Benfica
๐ 2015 vs. Dnipro
๐ 2016 vs. Liverpool
๐ 2020 vs. Inter
๐ 2023 vs. Roma
๐
Hata Josรฉ Mourinho ameshindwa kuvunja ufalme huu wa Sevilla katika fainali za Europa league .
๐ง๐ท Klabu ya Liverpool na Barcelona wameanza mazungumzo ya kuitaji saini ya kiungo fundi Mbraziri anayekipiga katika klabu ya Newcastle united Bruno Guimaraes,
(Chanzo: GOAL)
๐ฅ๐ฏ๐ฏKevin De Bruyne ndio mchezaji wa kwanza katika historia ya Premier League kuongoza kwa pasi za magoli katika misimu minne tofauti.
โ 2016-17 (18)
โ 2017-18 (16)
โ 2019-20 (20)
โ 2022-23 (16)
๐
๐
๐
๐
๐๏ธ๐
๐ERLING HAALAND ameshinda tuzo ya mfungaji bora wa premier league akibeba kiatu Cha dhahabu kwa kufunga goli 36 na huku akitoa pasi za magoli 8 ๐
Ukiwa ni msimu wake wa kwanza katika Premier league akisajiliwa na Manchester city kutoka Borussia Dotmond ๐
๐ดโจMarcus Rashford amefikisha goli 30 msimu huu akiwa na Manchester United.
Amekua na msimu bora Sanaa, akifanya kazi bora Sanaa akiwa na Erik ten Hag ambaye alimuamini tangu siku ya kwanza.
๐ DEAL DONE: Timu ya taifa ya Uruguay imemteua Marcelo Bielsa K**a kocha mkuu wa taifa hilo. ๐บ๐พ
๐ ๐๐๐๐ ๐๐ข๐ก๐: Evan Ferguson amesaini mkataba mpya katika klabu yake ya Brighton utakaomalizika mnamo June 2028. ๐ฎ๐ช๐ค
(Source: Brighton & Hove Albion FC)
๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐: Julian Brandt amesaini mkataba mpya na Borussia Dortmund utakaoisha mnamo June 2026.
(Source: Borussia Dortmund)
๐จ๐จ๐ต๐ตKlabu ya Leicester City imemtambulisha Dean Smith k**a kocha mkuu wa klabu hiyo akichukua nafasi ya Brendan Rogers, Smith anaenda kufanya kazi na John Terry pamoja na Craig Shakespeare K**a wasaidizi wake akiwa Leicester City.
Kabla ya kujiunga na Leicester City Dean Smith alipita katika timu kadhaa ikiwemo Norwich city, Brentford na msimu uliopita alikua Aston Vila
โฆ๏ธโฆ๏ธ๐๏ธKarim Benzema ni mchezaji wa kwanza katika kikosi cha Real Madrid kufunga hat-trick katika uwanja wa Camp Nou tangu afanye hivyo Ferenc Puskรกs mnamo mwaka 1963. โญ๏ธ
โฆ๏ธโฆ๏ธโฆ๏ธ๐๏ธCristiano Ronaldo: amefikisha magoli 10 katika ligi ya Saudi Arabia akiwa na Al Nassr, Pia amefikisha magoli 833 katika historia yake ya mpira wa miguu katika michezo rasmi.๐
Rekodi hiyo imeshindwa kufikiwa na wachezaji nguli wa zamani, Ronaldo Nazario na Thierry Henry ambao ukijumlisha magoli waliyofunga katika maisha yao ya mpira wa miguu yanafika magoli 832.
Mbeya
Be the first to know and let us send you an email when Nicodem Ambokile posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.