D.MO News

D.MO News Sports news

Simba Sc waanza kula vipolo leo dhidi ya dodoma jiji
04/02/2021

Simba Sc waanza kula vipolo leo dhidi ya dodoma jiji

Azam waichapa KMC mabao 3-1 kwenye  mchenzo wa kirafiki uliyochenzwa leo.
30/01/2021

Azam waichapa KMC mabao 3-1 kwenye mchenzo wa kirafiki uliyochenzwa leo.

Mshambuliaji wa Yanga Fiston Abdul razak amewasili tayar kwa kuyaanza majukumu yake ndani ya Yanga
29/01/2021

Mshambuliaji wa Yanga Fiston Abdul razak amewasili tayar kwa kuyaanza majukumu yake ndani ya Yanga

Yanga sc imemtambulisha rasmi kocha wa viungo Edem mortotsi raia wa Ghana na Sasa Ni mwananchi kamili
27/01/2021

Yanga sc imemtambulisha rasmi kocha wa viungo Edem mortotsi raia wa Ghana na Sasa Ni mwananchi kamili

MATCH DAYSimba super cup,Mkapa stadium
27/01/2021

MATCH DAY
Simba super cup,
Mkapa stadium

Chelsea the blues wame mtambulisha Thomas Tuchel kua boss mpya akiwa na record nzuri akiwa amechenza michenzo 127 na kus...
27/01/2021

Chelsea the blues wame mtambulisha Thomas Tuchel kua boss mpya akiwa na record nzuri akiwa amechenza michenzo 127 na kushinda michenzo-94; na kutoa sale.14 Na kupotenza michenzo..19

Southampton Fc amepokea kichapo kikali Cha 3-1 kutoka kwa arsenal Fc
27/01/2021

Southampton Fc amepokea kichapo kikali
Cha 3-1 kutoka kwa arsenal Fc

Mbwana Alli Samata akinukisha uko uturuki baada ya Jana kufumania nyavu mala moja na kufanya idadi ya magoli 3-0 zidhi y...
27/01/2021

Mbwana Alli Samata akinukisha uko uturuki baada ya Jana kufumania nyavu mala moja na kufanya idadi ya magoli 3-0 zidhi ya kayserspor
Nakufikisha magoli 3 kwenye mechi 4 alizo zichenza!!!

27/01/2021

Morocco na Rwanda wamefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali
Baada ya Morocco kumtoa kimasomaso Uganda wakati Rwanda nae akimtandika kipigo Cha 3-2 Tongo

Timu ya mtibwa sukari ikifanya mazoezi ya kujiweka sawa na kujiandaa kwa mechi za mzunguko wa pili wakiwa na Nia ya kuma...
27/01/2021

Timu ya mtibwa sukari ikifanya mazoezi ya kujiweka sawa na kujiandaa kwa mechi za mzunguko wa pili wakiwa na Nia ya kumaliza ligi wakiwa kwenye nafasi nzuri na kuthibitisha ilo wamemuongeza Kelvin Sabato kwenye nafasi ya ushambuliaji katika dirisha dogo la usajili.

Jose Mourinho leo ametimiza umri wa miaka 58 ambapo alizaliwa mwaka 1963/01/26  birthday to you Jose Mourinho
26/01/2021

Jose Mourinho leo ametimiza umri wa miaka 58 ambapo alizaliwa mwaka 1963/01/26
birthday to you Jose Mourinho

Ingizo jipya la Fenerbehce Fc kutoka Asernal Fc Msut Ozuli kutiwa sahini tarehe 27/01/2021  siku ya jumatano baada ya ku...
26/01/2021

Ingizo jipya la Fenerbehce Fc kutoka Asernal Fc Msut Ozuli kutiwa sahini tarehe 27/01/2021 siku ya jumatano baada ya kumaliza na Arsenal Fc

26/01/2021

C H U K U A H I I

Machester United niclub kubwa inayo ongonza kua na fans wengi kwenye ukurasa wao wa Facebook Dunia Hadi Sasa Wana wafasi million sabini na tatu(73M)
Je kwa hapa Africa hakuna timu yenye wafasi hata Million 10.

Aliyekua kocha wa Chelsea the blues Frank Lapard asema hayo baada ya kufungashiwa vilangoMuhimu anawashukuru,wapenzi wot...
26/01/2021

Aliyekua kocha wa Chelsea the blues Frank Lapard asema hayo baada ya kufungashiwa vilango
Muhimu anawashukuru,wapenzi wote wa Chelsea kwa ushirikiano wote waliyompa kwa miezi 18 aliyoitumikia katika wazifa wa kocha!!!
Good byeeeee Lapard

Rizar khalfan now is green and yellow # Yanga sc wamemteua Rizar Khalfan kua kocha msaidiz baada ya kulizika na wasifu w...
26/01/2021

Rizar khalfan now is green and yellow
# Yanga sc wamemteua Rizar Khalfan kua kocha msaidiz baada ya kulizika na wasifu wake (CV)
Na Sasa Nazir Khalfan Ni njano na kijani

25/01/2021

Tp mazembe kuwasili siku ya jumatano kwa ajili ya kujiandaa na michuano ya Simba intercup itakayo anza tarehe 27/01/2021

Simba sc wamemalizana na mshambuliaji wao mnaigeria Junior Lukosa na Sasa Ni red and white
25/01/2021

Simba sc wamemalizana na mshambuliaji wao mnaigeria Junior Lukosa na Sasa Ni red and white

Liverpool kauwawa ndani ya old Trafford Kauwawa kwa kipigo Cha 3-2 zindi ya machester United
24/01/2021

Liverpool kauwawa ndani ya old Trafford
Kauwawa kwa kipigo Cha
3-2 zindi ya machester United

Juventus wapata point tatu muhimu!!
24/01/2021

Juventus wapata point tatu muhimu!!

Chelsea the blues waimbuka vinara kwenye mchenzo wa leo
24/01/2021

Chelsea the blues waimbuka vinara kwenye mchenzo wa leo

Kocha mkuu wa Simba sports club
24/01/2021

Kocha mkuu wa Simba sports club

They have meet again who to be the winner in round fourMachester United vs LiverpoolEmirates FA CUP  kua mbabe wamekutan...
24/01/2021

They have meet again who to be the winner in round four
Machester United vs Liverpool
Emirates FA CUP
kua mbabe wamekutana Tena kwenye FA CUP
Machester United vs Liverpool

Msimamo wa kundi D Katika mashindano ya CHAN2021
24/01/2021

Msimamo wa kundi D
Katika mashindano ya CHAN2021

Hongera Farid M***a kwa kuimbuka mbabe wa mchenzo hakika ulipambambania nchi ipasavyo hongera Sana  of the matchNamibia ...
24/01/2021

Hongera Farid M***a kwa kuimbuka mbabe wa mchenzo hakika ulipambambania nchi ipasavyo hongera Sana
of the match
Namibia vs Tanzania

Kikosi Cha taifa Stars kinachoanza dhidi ya namimbia Hatua ya makundi!!
23/01/2021

Kikosi Cha taifa Stars kinachoanza dhidi ya namimbia

Hatua ya makundi!!

Simba sc imetanganza kocha wa makipa!!
23/01/2021

Simba sc imetanganza kocha wa makipa!!

Ratiba ya Simba super cup imetoka!!
22/01/2021

Ratiba ya Simba super cup imetoka!!

Simba yaja juu na mashindano ya SIMBA INTER CUP yatakayohusisha timu tatu TP mazembe,Simba sc na Al Hilal ya Sudan yataa...
22/01/2021

Simba yaja juu na mashindano ya SIMBA INTER CUP yatakayohusisha timu tatu
TP mazembe,Simba sc na Al Hilal ya Sudan yataanza tarehe 27/01/2021 Hadi tarehe 31/01/2021

Mshambuliaji mpya wa Yanga aliyesajiliwa hivi karibuni atema cheche juu ya kapuni linalondai  Ni wakala wake Fiston amek...
21/01/2021

Mshambuliaji mpya wa Yanga aliyesajiliwa hivi karibuni atema cheche juu ya kapuni linalondai Ni wakala wake Fiston amekaanusha tarifa hizo na kudai kua wakala wake yupo Nigeria na washamalizana hivyo ilo kampuni no matapeli

Vpl kuanza tarehe 13/02/2021 round ya 19, vipolo kuanza kuchenzwa tarehe 04/02/2021 ratiba kupagiwa
21/01/2021

Vpl kuanza tarehe 13/02/2021 round ya 19, vipolo kuanza kuchenzwa tarehe 04/02/2021 ratiba kupagiwa

Mabingwa watetezi wa Tanzania Simba sc kurudi kambini 25/01/2021 siku ya jumatatu kujiandaa na michuano ya kilabu bingwa...
21/01/2021

Mabingwa watetezi wa Tanzania Simba sc kurudi kambini 25/01/2021 siku ya jumatatu kujiandaa na michuano ya kilabu bingwa,FA pamoja na Vpl

Machester United wapata point tatu muhimu mbele ya Fulham Fc
21/01/2021

Machester United wapata point tatu muhimu mbele ya Fulham Fc

Machester city wamechukua point tatu mbele ya Aston Villa
21/01/2021

Machester city wamechukua point tatu mbele ya Aston Villa

HT.Machester city Vs Aston Villa 0 - 0
20/01/2021

HT.
Machester city Vs Aston Villa
0 - 0

UEFA imetoa kikosi Bora Cha mwaka 2020Messi na Ronald wamo kwenye kikos hicho!!
20/01/2021

UEFA imetoa kikosi Bora Cha mwaka 2020
Messi na Ronald wamo kwenye kikos hicho!!

Captain wa Yanga Lamine Moro ameanza safari yake Leo kurejea Tanzania akitokea Ghana baada ya kumaliza likizo yake!!
20/01/2021

Captain wa Yanga Lamine Moro ameanza safari yake Leo kurejea Tanzania akitokea Ghana baada ya kumaliza likizo yake!!

Rasmi mchenzaji mpya wa Yanga Fiston Abdul Razak kuwasili siku ya ijumaa wiki hii hakitokea kwao Burundi
20/01/2021

Rasmi mchenzaji mpya wa Yanga Fiston Abdul Razak kuwasili siku ya ijumaa wiki hii hakitokea kwao Burundi

Tanzania Stars imeshindwa kuonesha makali yao zidhi ya Zambia na kuambulia kichapo Cha mabao 2 kwa 0
19/01/2021

Tanzania Stars imeshindwa kuonesha makali yao zidhi ya Zambia na kuambulia kichapo Cha mabao 2 kwa 0

19/01/2021

Dk88
Zambia vs Tanzania
2 - 0

19/01/2021

Dk64
Zambia vs Tanzania
1-0

Address

Mwanza

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when D.MO News posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share



You may also like