Wisetv_Tanzania

Wisetv_Tanzania Official Page of wiseTV_Tanzania deal with reaching the information for the people

FT: Singida 1-1 Simba (penalty 2-3)Simba anatinga fainal baada ya kushusha kipigo kizito kwa SingidaUNAITAZAMAJE FAINAL ...
10/01/2024

FT: Singida 1-1 Simba (penalty 2-3)

Simba anatinga fainal baada ya kushusha kipigo kizito kwa Singida

UNAITAZAMAJE FAINAL ????

Kikosi Cha Simba Vs SingidaUNAZIONA GOLI NGAPI KWA SIMBA????
10/01/2024

Kikosi Cha Simba Vs Singida

UNAZIONA GOLI NGAPI KWA SIMBA????

DKT MPANGO NA MKEWE WASHIRIKI IBADA YA X-MAS DODOMAMAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mp...
25/12/2023

DKT MPANGO NA MKEWE WASHIRIKI IBADA YA X-MAS DODOMA

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango na Mkewe Mama
Mbonimpaye Mpango wakishiriki lbada ya Sikukuu ya Krismasi katika Kanisa
Katoliki Parokia ya Mwenyeheri Maria Theresa Ledochowska Kiwanja cha Ndege Dodoma tarehe 25 Desemba 2023.

NENO MOJA KWA Mhe. MPANGO

Mhak**a ya Llanelli iliyopo Wales imeamuru mbwa aina ya XL Bully kuuawa baada kumshambulia mmiliki wakealipokuwa akifany...
25/12/2023

Mhak**a ya Llanelli iliyopo Wales imeamuru mbwa aina ya XL Bully kuuawa baada kumshambulia mmiliki wake
alipokuwa akifanya mapenzi.

(Source )

"Tunatafuta mshambuliaji lakini kwenye dirisha dogo ni ngumu kupata mchezaji kwa sababu wachezaji wengi wazuri wapo kwen...
24/12/2023

"Tunatafuta mshambuliaji lakini kwenye dirisha dogo ni ngumu kupata mchezaji kwa sababu wachezaji wengi wazuri wapo kwenye mikataba na timu zao na klabu hawawezi kuwaachia kirahisi wachezaji wao lakini watu wanapaswa kujua kumpata mshambuliaji kuna vitu viwili"

"Mosi ni kujua mchezaji gani anapaswa kusajiliwa lakini pili ni kiwango gani cha fedha tunacho kwa ajili ya kupata mchezaji husika" - Miguel Gamondi, Kocha wa Yanga .

NIKWELI YANGA KUNAUHITAJI WA MSHAMBULIAJI?????? (tuambie kwenye comment)

KAULI YA AHMED ALLY BAADA YA MCHEZO WA JANA Vs KMCSimba kaufunga mwaka 2023 kwa sare ya 2-2 kwenye mechi zake za NBC Pre...
24/12/2023

KAULI YA AHMED ALLY BAADA YA MCHEZO WA JANA Vs KMC

Simba kaufunga mwaka 2023 kwa sare ya 2-2 kwenye mechi zake za NBC Premier League ilipocheza dhidi ya KMC jana katika dimba la Azam Complex, Chamazi.

Matokeo hayo yamemuibua Meneja wa Habari na Mawasiliano wa timu hiyo Ahmed Ally na kutuma ujumbe kwa mashabiki wao na timu kwa ujumla akiwasihi kutokata tamaa.

"Tutarejea tukiwa imara zaidi.
Hatupaswi kukata tamaa nafasi ya kufanya vizuri bado tunayo hatujafika hata nusu ya msimu" ameandika Ahmed Ally kwenye ukurasa wake wa Instagram.

Mbali na nasaha hizo, Ahmed pia ametaka kuendelea kupewa muda Kocha Abdelhak Benchikha na wasaidizi wake ili waweze kurejesha makali yaliyozoeleka ya timu hiyo.

FOLLOW
FB👉
IG👉

FT: Tabora UTD 0-1 YangaYanga kuchukua alama zote 3  mbele ya Tabora United kwa ushindi mwembamba wa bao mojaULITEGEMEA ...
23/12/2023

FT: Tabora UTD 0-1 Yanga

Yanga kuchukua alama zote 3 mbele ya Tabora United kwa ushindi mwembamba wa bao moja

ULITEGEMEA USHINDI WA MABAO MANGAPI????

FB👉
IG👉

KIKOSI CHA YANGA Vs TABORA UNITEDunautazamaje mchezo huu kwa yanga???
23/12/2023

KIKOSI CHA YANGA Vs TABORA UNITED

unautazamaje mchezo huu kwa yanga???

FT: KMC 2-2 SimbaSimaba anapoteza alama mbili  na kuondoka na alama mojaUNAHISI KILICHOINYIMA ALAMA 3 SIMBA NI NINI???
23/12/2023

FT: KMC 2-2 Simba

Simaba anapoteza alama mbili na kuondoka na alama moja

UNAHISI KILICHOINYIMA ALAMA 3 SIMBA NI NINI???

KIKOSI CHA SIMBA  Vs KMCmchezo ni saa10 jioni azam complex
23/12/2023

KIKOSI CHA SIMBA Vs KMC

mchezo ni saa10 jioni azam complex

Klabu ya soka ya KageraSugar, leo imetangaza kuachana na aliyekuwa kocha wake Meck Maxime baada ya kufikia makubalaiano ...
22/12/2023

Klabu ya soka ya Kagera
Sugar, leo imetangaza kuachana na aliyekuwa kocha wake Meck Maxime baada ya kufikia makubalaiano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba.

Mbali na Kocha Maxime, Kagera pia imetangaza kusitisha mkataba na aliyekuwa kocha wa viungo, Francis Mkanula.

Kwa mujibu wa taarifa ya klabu hiyo, kikosi hicho kitakuwa chini ya Kocha Marwa Chambari katika kipindi hiki cha mpito.

SIMBA KUCHEZA AZAM COMPLEXKesho kwenye NBC Premier League KMC FC watashukakatika Dimba la Azam Complex kumenyana na Simb...
22/12/2023

SIMBA KUCHEZA AZAM COMPLEX

Kesho kwenye NBC Premier League KMC FC watashuka
katika Dimba la Azam Complex kumenyana na Simba SC.

Mechi hii imehamishiwa katika uwanja huo baada ya Dimba la Uhuru kufungiwa.

Mbungi itachezwa saa 10:00 jioni

(Imeandikwa na )

FT: Simba 1-5 YangaSimba kadondosha alama 3 nyumbani na kufanya  katika msimamo wa ligi Simba na yanga kupoteza mchezo m...
05/11/2023

FT: Simba 1-5 Yanga

Simba kadondosha alama 3 nyumbani na kufanya katika msimamo wa ligi Simba na yanga kupoteza mchezo mojammoja

SHIDA NINI KWA SIMBA HII LEO??????

FT: ahly 1-1 SimbaSimba anatupwa nje ya mashindano ya AFL kwa kuruhusu mabao mengi nyumbani
24/10/2023

FT: ahly 1-1 Simba

Simba anatupwa nje ya mashindano ya AFL kwa kuruhusu mabao mengi nyumbani

FT: yanga 3-2 azamfcAzizi ki anafikisha mabao sita msimu huu kwenye ligi ya NBC
23/10/2023

FT: yanga 3-2 azamfc

Azizi ki anafikisha mabao sita msimu huu kwenye ligi ya NBC

Kikosi Cha Simba kwenye AFL
20/10/2023

Kikosi Cha Simba kwenye AFL

HATTRICK ya Kwanza ligi kuu msimhuu kutoka kwa feitoto
16/08/2023

HATTRICK ya Kwanza ligi kuu msimhuu kutoka kwa feitoto

Leo Saa7:00pm  kwenye Simba App
22/07/2023

Leo Saa7:00pm kwenye Simba App

Rasmi kibegi kimefunguliwa Unatathmini gani Juu ya u*i huu????
21/07/2023

Rasmi kibegi kimefunguliwa

Unatathmini gani Juu ya u*i huu????

OFFICIAL: Klabu ya Yanga imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo Zouzoua Pacome (26) raia wa Ivory Coast kutoka Asec...
19/07/2023

OFFICIAL: Klabu ya Yanga imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo Zouzoua Pacome (26) raia wa Ivory Coast kutoka Asec Mimosas kwa Mkataba wa miaka miwili.

Pacome ambaye anamudu kucheza nafasi ya namba 8 na 10 alikuwa mchezaji bora wa msimu wa Ligi Kuu Ivory Coast (MVP) aliwashinda Aubin Kramo wa Simba na Mohamed
Zoungrana aliye ukingoni kujiunga na klabu ya MC Alger ya Algeria.

Kwamujibu wa mchambu*i wa soka
09/06/2023

Kwamujibu wa mchambu*i wa soka

AzamTV wamemaliza ubishi wa mfungaji Bora.UMEELEWA NINI KWENYE HORODHA HIYO??????
09/06/2023

AzamTV wamemaliza ubishi wa mfungaji Bora.

UMEELEWA NINI KWENYE HORODHA HIYO??????

Michezo yote imemalizika na kuibuka wababe wawili kwenye UFUNGAJI Saido (simbasc) goli 17Mayele (yangasc) goli 17Photo (...
09/06/2023

Michezo yote imemalizika na kuibuka wababe wawili kwenye UFUNGAJI

Saido (simbasc) goli 17
Mayele (yangasc) goli 17

Photo (credit )

FEISAL APEWA JEZI NAMBA 6 AZAMFC  : Wakati Club yaYanga SC ikitangaza kupokea ofa ya Azam FC na kuthibitisha kumuuza Mch...
08/06/2023

FEISAL APEWA JEZI NAMBA 6 AZAMFC

: Wakati Club ya
Yanga SC ikitangaza kupokea ofa ya Azam FC na kuthibitisha kumuuza Mchezaji huyo baada ya makubaliano ya pande zote mbili, Feisal tayari amesaini mkataba na Azam FC.

Feisal ameonekana akisaini mkataba wake mpya mbele ya Viongozi wa Club hiyo katika tukio ambalo limerushwa
LIVE kupitia AzamTV.

MAONI YAKO JUU YA USAJILI HUU NIYAPI????

fungua comment 👇

FT: Simba 6-1 Police tzMagoli matano yamefungwa na saido na kufikisha magoli 15 akiwa nyuma ya kinara wa mabao mayele wa...
06/06/2023

FT: Simba 6-1 Police tz

Magoli matano yamefungwa na saido na kufikisha magoli 15 akiwa nyuma ya kinara wa mabao mayele wa yanga akiwa na mabao 16

TUAMBIE ATACHUKUA NANI KIATU CHA UFUNGAJI

fungua comment 👇

PIGO KUBWA KWA YANGA"Rivers United imemchukua Kocha wa zamani wa timuya Taifa ya Tanzania Emanuel Amunike, yupo k**a tac...
23/04/2023

PIGO KUBWA KWA YANGA

"Rivers United imemchukua Kocha wa zamani wa timu
ya Taifa ya Tanzania Emanuel Amunike, yupo k**a tactical consultant
akiwashauri namna ya kuifunga timu ya Tanzania."

"Amunike anajua saikolojia ya wachezaji wa Tanzania, presha ikoje kwa sababu ameshaishi na wachezaji wa Tanzania."

"Baada ya kutazama mazigira yote hayo nimegundua tunaenda kucheza mechi ya kiume, mechi k**a hizo ndio Yanga huwa tunazihitaji."

Ali Kamwe [], Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Yanga.

KALI ZA LEO KWENYE NBCBig Match, Saa 12:15 Jioni, Yanga SC kumenyana na Geita Gold katika uwanja wa Azam Complex Chamazi...
12/03/2023

KALI ZA LEO KWENYE NBC

Big Match, Saa 12:15 Jioni, Yanga SC kumenyana na Geita Gold katika uwanja wa Azam Complex Chamazi.

Ila Saa 10:00 Jioni, Coastal Union watakuwa nyumbani Mkwakwani wakicheza na Singida Big Stars.

Saa 2:30 Usiku Dodoma Jiji wakiwa nafasi mbili kutoka mkiani kuwakaribisha Polisi Tanzania wanaoburUza mkia kwenye msimamo wa ligi.

UNASUBIRI MATCH GANI LEO????

SIMBA vs AL-HILALLeo saa10 jioni Simba anacheza mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya Al-hilal ya sudan  Credit
05/02/2023

SIMBA vs AL-HILAL

Leo saa10 jioni Simba anacheza mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya Al-hilal ya sudan



Credit

Full time
03/02/2023

Full time

KIKOSI CHA SIMBA ADHARANISimba vs singidabs  saa1 jion
03/02/2023

KIKOSI CHA SIMBA ADHARANI

Simba vs singidabs
saa1 jion

Address

@wisetv 255
Dar Es Salaam
44995533

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Wisetv_Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Videos

Share

Category


Other TV Channels in Dar es Salaam

Show All

You may also like