10/01/2024
FT: Singida 1-1 Simba (penalty 2-3)
Simba anatinga fainal baada ya kushusha kipigo kizito kwa Singida
UNAITAZAMAJE FAINAL ????
Official Page of wiseTV_Tanzania deal with reaching the information for the people
FT: Singida 1-1 Simba (penalty 2-3)
Simba anatinga fainal baada ya kushusha kipigo kizito kwa Singida
UNAITAZAMAJE FAINAL ????
Kikosi Cha Simba Vs Singida
UNAZIONA GOLI NGAPI KWA SIMBA????
DKT MPANGO NA MKEWE WASHIRIKI IBADA YA X-MAS DODOMA
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango na Mkewe Mama
Mbonimpaye Mpango wakishiriki lbada ya Sikukuu ya Krismasi katika Kanisa
Katoliki Parokia ya Mwenyeheri Maria Theresa Ledochowska Kiwanja cha Ndege Dodoma tarehe 25 Desemba 2023.
NENO MOJA KWA Mhe. MPANGO
Mhak**a ya Llanelli iliyopo Wales imeamuru mbwa aina ya XL Bully kuuawa baada kumshambulia mmiliki wake
alipokuwa akifanya mapenzi.
(Source )
"Tunatafuta mshambuliaji lakini kwenye dirisha dogo ni ngumu kupata mchezaji kwa sababu wachezaji wengi wazuri wapo kwenye mikataba na timu zao na klabu hawawezi kuwaachia kirahisi wachezaji wao lakini watu wanapaswa kujua kumpata mshambuliaji kuna vitu viwili"
"Mosi ni kujua mchezaji gani anapaswa kusajiliwa lakini pili ni kiwango gani cha fedha tunacho kwa ajili ya kupata mchezaji husika" - Miguel Gamondi, Kocha wa Yanga .
NIKWELI YANGA KUNAUHITAJI WA MSHAMBULIAJI?????? (tuambie kwenye comment)
KAULI YA AHMED ALLY BAADA YA MCHEZO WA JANA Vs KMC
Simba kaufunga mwaka 2023 kwa sare ya 2-2 kwenye mechi zake za NBC Premier League ilipocheza dhidi ya KMC jana katika dimba la Azam Complex, Chamazi.
Matokeo hayo yamemuibua Meneja wa Habari na Mawasiliano wa timu hiyo Ahmed Ally na kutuma ujumbe kwa mashabiki wao na timu kwa ujumla akiwasihi kutokata tamaa.
"Tutarejea tukiwa imara zaidi.
Hatupaswi kukata tamaa nafasi ya kufanya vizuri bado tunayo hatujafika hata nusu ya msimu" ameandika Ahmed Ally kwenye ukurasa wake wa Instagram.
Mbali na nasaha hizo, Ahmed pia ametaka kuendelea kupewa muda Kocha Abdelhak Benchikha na wasaidizi wake ili waweze kurejesha makali yaliyozoeleka ya timu hiyo.
FOLLOW
FB👉
IG👉
FT: Tabora UTD 0-1 Yanga
Yanga kuchukua alama zote 3 mbele ya Tabora United kwa ushindi mwembamba wa bao moja
ULITEGEMEA USHINDI WA MABAO MANGAPI????
FB👉
IG👉
KIKOSI CHA YANGA Vs TABORA UNITED
unautazamaje mchezo huu kwa yanga???
FT: KMC 2-2 Simba
Simaba anapoteza alama mbili na kuondoka na alama moja
UNAHISI KILICHOINYIMA ALAMA 3 SIMBA NI NINI???
KIKOSI CHA SIMBA Vs KMC
mchezo ni saa10 jioni azam complex
Klabu ya soka ya Kagera
Sugar, leo imetangaza kuachana na aliyekuwa kocha wake Meck Maxime baada ya kufikia makubalaiano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba.
Mbali na Kocha Maxime, Kagera pia imetangaza kusitisha mkataba na aliyekuwa kocha wa viungo, Francis Mkanula.
Kwa mujibu wa taarifa ya klabu hiyo, kikosi hicho kitakuwa chini ya Kocha Marwa Chambari katika kipindi hiki cha mpito.
SIMBA KUCHEZA AZAM COMPLEX
Kesho kwenye NBC Premier League KMC FC watashuka
katika Dimba la Azam Complex kumenyana na Simba SC.
Mechi hii imehamishiwa katika uwanja huo baada ya Dimba la Uhuru kufungiwa.
Mbungi itachezwa saa 10:00 jioni
(Imeandikwa na )
FT: Simba 1-5 Yanga
Simba kadondosha alama 3 nyumbani na kufanya katika msimamo wa ligi Simba na yanga kupoteza mchezo mojammoja
SHIDA NINI KWA SIMBA HII LEO??????
FT: ahly 1-1 Simba
Simba anatupwa nje ya mashindano ya AFL kwa kuruhusu mabao mengi nyumbani
FT: yanga 3-2 azamfc
Azizi ki anafikisha mabao sita msimu huu kwenye ligi ya NBC
Kikosi Cha Simba kwenye AFL
HATTRICK ya Kwanza ligi kuu msimhuu kutoka kwa feitoto
Leo Saa7:00pm kwenye Simba App
Rasmi kibegi kimefunguliwa
Unatathmini gani Juu ya u*i huu????
OFFICIAL: Klabu ya Yanga imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo Zouzoua Pacome (26) raia wa Ivory Coast kutoka Asec Mimosas kwa Mkataba wa miaka miwili.
Pacome ambaye anamudu kucheza nafasi ya namba 8 na 10 alikuwa mchezaji bora wa msimu wa Ligi Kuu Ivory Coast (MVP) aliwashinda Aubin Kramo wa Simba na Mohamed
Zoungrana aliye ukingoni kujiunga na klabu ya MC Alger ya Algeria.
Kwamujibu wa mchambu*i wa soka
AzamTV wamemaliza ubishi wa mfungaji Bora.
UMEELEWA NINI KWENYE HORODHA HIYO??????
Michezo yote imemalizika na kuibuka wababe wawili kwenye UFUNGAJI
Saido (simbasc) goli 17
Mayele (yangasc) goli 17
Photo (credit )
FEISAL APEWA JEZI NAMBA 6 AZAMFC
: Wakati Club ya
Yanga SC ikitangaza kupokea ofa ya Azam FC na kuthibitisha kumuuza Mchezaji huyo baada ya makubaliano ya pande zote mbili, Feisal tayari amesaini mkataba na Azam FC.
Feisal ameonekana akisaini mkataba wake mpya mbele ya Viongozi wa Club hiyo katika tukio ambalo limerushwa
LIVE kupitia AzamTV.
MAONI YAKO JUU YA USAJILI HUU NIYAPI????
fungua comment 👇
FT: Simba 6-1 Police tz
Magoli matano yamefungwa na saido na kufikisha magoli 15 akiwa nyuma ya kinara wa mabao mayele wa yanga akiwa na mabao 16
TUAMBIE ATACHUKUA NANI KIATU CHA UFUNGAJI
fungua comment 👇
PIGO KUBWA KWA YANGA
"Rivers United imemchukua Kocha wa zamani wa timu
ya Taifa ya Tanzania Emanuel Amunike, yupo k**a tactical consultant
akiwashauri namna ya kuifunga timu ya Tanzania."
"Amunike anajua saikolojia ya wachezaji wa Tanzania, presha ikoje kwa sababu ameshaishi na wachezaji wa Tanzania."
"Baada ya kutazama mazigira yote hayo nimegundua tunaenda kucheza mechi ya kiume, mechi k**a hizo ndio Yanga huwa tunazihitaji."
Ali Kamwe [], Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Yanga.
KALI ZA LEO KWENYE NBC
Big Match, Saa 12:15 Jioni, Yanga SC kumenyana na Geita Gold katika uwanja wa Azam Complex Chamazi.
Ila Saa 10:00 Jioni, Coastal Union watakuwa nyumbani Mkwakwani wakicheza na Singida Big Stars.
Saa 2:30 Usiku Dodoma Jiji wakiwa nafasi mbili kutoka mkiani kuwakaribisha Polisi Tanzania wanaoburUza mkia kwenye msimamo wa ligi.
UNASUBIRI MATCH GANI LEO????
SIMBA vs AL-HILAL
Leo saa10 jioni Simba anacheza mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya Al-hilal ya sudan
Credit
Full time
KIKOSI CHA SIMBA ADHARANI
Simba vs singidabs
saa1 jion
@wisetv 255
Dar Es Salaam
44995533
Be the first to know and let us send you an email when Wisetv_Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.
Agape Television Network ( ATN )
Mbezi Beach Jogoo