Ndio Kuna ubora wa upigaji wa Mipira Kwa Aziz Ki lakini kwenye ubora wake hakuna udhaifu wa magolikeeper?
@katemejr anasema kama kimoja ni Bora basi kingine ni dhaifu hivyo ni udhaifu wa magolikeeper Kuna ukweli!?
Kipi sahihi ni ubora wa Azizi ki au ni udhaifu wa magolikeeper!?
.
.
@officialevodiusoscar @ahmedabdallah05 @alfredy_kavishe @jamestupatupa @officialpriscakishamba @yangasc @zakazakazi
Je ni record kujirudia Simba kummaliza bingwa mtetezi kama ilivyo kuwa 2003....
Lakini pia watu wanaogopa pale Muhammed wa tano, unadhani Robertihno afanye nini (aende na approach Gani!? ) Ili kummaliza mwarabu.....
Kuna haja ya mwalimu kutumia mabeki wengi kwenye mchezo wa marudiano kama alivyo fanya Pablo Franco pale south dhidi ya Orando........
@Nedy_mgogo Via' mlimani radio.
Kuhusu Kibu Denis niliwahi kuzungumza pamoja na mapungufu yake lakini ana ubora wake ambao huenda wachezaji wengine hawana ni vile tu tunakariri nadhani Kwa Sasa naweza kueleweka japo kidogo (Kuna nyakati utahitahitaji energy tu Wala sio utulivu na ufundi) Kwa namna yoyote nitaenda na Kibu Denis mbele ya Sakho!
NB:Tusisahau tuendelee kuheshimu taaluma za watu...
.
Host @majengo.yassin
@ahmedally_ @frankvegullah @alfredy_kavishe @jamestupatupa @officialpriscakishamba @takwimuzamichezo @fadmediatz @georgeambangile @officialevodiusoscar @mlimaniradio106.5fm
Nadhani Sasa naweza malizia zile 30%, nilizokuwa nimebaki nazo.
Pale Congo alichukua kiatu Cha ufungaji Bora mbele ya Mayele, mpaka sasa ndiye mchezaji aliyefunga goli nyingi zaidi Kwa mwaka 2023.
JEAN BALEKE 🔥🔥🔥.
.
@simbasctanzania @takwimuzamichezo @frankvegullah @efrahimmabena @alfredy_kavishe @officialpriscakishamba @mlimaniradio106.5fm
Ni sisi tu tutajiona underdog lakini huwenda hata wao horaya, vipers wanawaza watawezaje kumzuia chama vipi kuhusu sakho na tikitaka zake na vipi watawezaje kupasua Ile ngome ya ulinzi huku Kapombe huku Shabalala katikati Inonga.
Huwenda kule Tunisia Bado wanaangalia marudio ya Yanga vs Club Africain Bado hawapati majibu waanze na nani!?.
All the best team @yangasc @simbasctanzania ⏰
.
.
@alfredy_kavishe @davidkampista @frankvegullah @dominicksalamba @takwimuzamichezo @mandaisports @efrahimmabena