Lokoma Tv
- Home
- Tanzania
- Dar es Salaam
- Lokoma Tv
Broadcasting & media production company
Officials page For Lokoma Tv Channel
20/07/2024
08/07/2024
Msanii wa Bongo movie anayejulikana k**a ametoa ujumbe kupitia ukurasa wake wa instagram huku akiwahasa watu kuamini katika vibe wanalopewa sababu energy ya mtu haiongopi, Bibi Amara amesisitiza kwa kusema kuna muda unakaa tu unatulia machozi yanatoka ukikumbuka mapito.
08/07/2024
K**a inavyojulikana kuwepo kwa kutokuelewana kati ya pamoja na na kupelekea kutokea kwa Dis-track kati yao, Zuchu akiwa club ya Dubai amejirekodi video na kupost katika ukurasa wake wa snapchat akiwa anaimba wimbo wa Kendrik Lamar lakini huku akiwa anasema kwamba yeye ni Team Drake na anampenda Drake ingawa anaimba wimbo huo.
08/07/2024
Msanii wa Bongo fleva ambae ameongozana kwenda nchini Dubai na mchumba wake katika performance yake huko Dubai, Zuchu amepost katika ukurasa wake wa snapchat akiwa ana m-hype au ana mpa mzuka Diamond wakati wa performance yake Dubai.Hii performance ya Diamond unaipa asilimia ngapi pamoja na muitikio wa mashabiki?
08/07/2024
Msanii wa muziki kutoka Kenya ambae pia ni social media influencer anayejulikana k**a ameshare video zake katika ukurasa wake snapchat akiwa anatamba na lips zake za surgery kupona na kuwa na muonekano aliokuwa akiutamani.Je, amepwndeza kwenye lips hizi au ni heri angebaki na lips za mwanzo? Tupe maoni yako hapa chini kwenye comment
04/04/2024
Msanii wa Afrobeat kutoka Nigeria Fireboy DML amefunguka kuhusu ujio wa Album yake ambayo itatoka mwaka huu.
katika mahojianoyake ya hivi karibuni aliyoyafanya na BILLBOARD amefunguka hayo na kusema hataki kuona talanta yake hiyo kubwa kwenye muziki ikipotea.
Fire boy amewasisitiza mashabiki zake kukaa mkao wa kula kwani albamu yake itakuwa ya kitofauti sana kuliko albamu za wasanii wengine.
04/04/2024
Don’t miss Exclusive with on our Youtube channel kuanzia saa saba kamili mchana, Yapo mengi mazito kumuhusu usikose kufwatilia.
Je,Una swali kwake?
03/04/2024
Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) iliyokutana Leo tarehe 03,April, 2023 jijini Dar Es Salaam katika kikao chake maalumu, chini ya Muungano Wa Tanzania, Ndg. Dkt. Samia Suluhu Hassan imemteua kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM,
Jokate anachukua nafasi ya Ndugu Fakii Raphael Lulandala ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro.
03/04/2024
Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) iliyokutana Leo tarehe 03 Aprili, 2023 jijini Dar Es Salaam imemteua Amos Gabriel Makalla kuwa Katibu Wa Halmashauri Kuu Ya CCM Taifa,Itikadi,Uenezi na Mafunzo,akichukua nafasi ya Ndugu Paul Makonda ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha.
03/04/2024
Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) iliyokutana leo tarehe 03 Aprili,2023 jijini Dar Es Salaam imemteua John Mongella Kuwa Naibu katibu Mkuu Wa CCM Bara,akichukua nafasi ya Ndugu Anamringi Macha ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa Shinyanga.
03/04/2024
Moja kati ya Hitsong zinazosumbua hadi muda huu kupitia Digital Platform Nyingi za Muziki hapa nazungumzia Ya Ambayo amamshirikisha Kwa Sasa Ina Viewers Millions 70 YouTube.
Video ya ilitoka Rasmi mwaka 2023 na imetimiza miezi 8 Hadi sasa.
03/04/2024
*Hii hapa Timu ya Wiki ya Ligi ya Mabingwa ya CAF.*
Jonas Mkude (Yanga Sc)
Saido Ntibazonkiza (Simba Sc)
02/04/2024
Klabu ya ihefu fc yabadilishwa jina kwa sasa itakuwa inatabulika k**a sio tena ihefu
Kwa sasa singida black star sasa makazi yake mapya atakuwa singida sio tena mbeya k**a zamani
02/04/2024
Taarifa kutoka vyanzo mbalimbali nchini vimeripoti kuwa kocha wa zamani wa viungo Simba SC Adel Zrane amefariki Dunia leo hii.
Zrane raia wa Tunisia alikuwa kipenzi cha mashabiki wa amekutwa na umauti huo akiwa na timu ya APR ya Rwanda.
Kiungo wa zamani wa Simba SC Mganda ambaye yuko pamoja na kocha huyo ndani ya APR ndiye aliyetoa taarifa za kifo hicho.
31/03/2024
Je nani atafuka hapa,je ni au
Toa maoni yako hapo chini
28/03/2024
Unadhani Kwa Sasa Hii ndio Hali ya Maisha Ya Msanii Au Ni maandalizi ya Kazi Mpya..?
_
_
Yapi Maoni Yako Kwenye Hili ..?
25/03/2024
ameamua kuwauliza mashabiki zake kuhusiana na wimbo wake wa number one uliotoka wiki moja iliyopita ambapo humo ndani amemshilikisha Mbosso
Kupitia ukurasa wa Instagram wa Billnass amewauliza mashabiki zake kuwa nikipi wanahitaji hivi sasa kati ya wimbo mpya au Remix ya number one ambayo inafanya poa hivi sasa ikishika Trending namba 5 huko YouTube
Je unatamani kipi kati ya hivyo alivyo vitaja Nenga??
✍️LKM STAFF
25/03/2024
Msanii wa muziki wa kizazi kipya ameamua kummwagia mkongwe baada ya kukutana nae
Msanij Appy ametimiza moja ya ndoto yake aliyokuwa anaiota kwa kukutana na msanii ambae amekuwa akimfatilia na kumpenda katika tasnia yake ya mziki wa Bongo Fleva
Appy amefunguka kwa kupitia ukurasa wake wa Instagram kwa ku-share picha akiwa na mkongwe huyo akiisindikiza na ujumbe mzito sana
Swipe 《《《
✍️LKM STAFF
25/03/2024
Baada ya kusumbua sana na wimbo wake wa Water ulifanya vizuri ulimwenguni mwanadada kutokea nchini South afrika anaandika historia nyengine katika mtandao wa Spotify
Tyla anaingia kwenye rekodi ya kuwa msanii kwanza wa Afrika kuwa na wasikilizaji wengi kwenye mtandao wa Spotify kwa mwezi
Tyla anampita Rema na kuwa msanii wa Kiafrika mwenye wasikilizaji wengi zaidi kila mwezi kwenye Spotify
Kwa sasa ana wasikilizaji Milioni 30.1 kila mwezi kwenye Spotify
✍️LKM STAFF
25/03/2024
Utaratibu wa Wananchi unaendelea pale ulipoishia baada ya Pacome sasa ni zamu ya
Kuelekea mchezo wao wa hatua ya robo fainali ya klabu bingwa barani Afrika dhidi ya Mamelodi Sundown kutokea nchini South Afrika utakao chezwa siku ya tarehe 30 mwezi huu Wananchi wamemkabidhi kijiti kiuongo wao Mudathir Yahya kuhakikisha anawarudisha Masandawana nchini South Afrika wakiwa vichwa chini
✍️LKM STAFF
25/03/2024
Makundi ya mashindano ya Copa America yametoka rasmi ikiwa jumla ya makundi manne
Mashindano hayo yanayotarijia kuanza mwezi wa Sita mwaka huu ambapo mechi ya kwanza inatarajiwa kuwa siku ya tarehe 20 ambayo Argentina atacheza na Canada
✍️LKM STAFF
25/03/2024
Taarifa umeipata ukiwa wapi??
25/03/2024
Msanii kutokea kwenye lebo ya WCB ameandika historia mpya kupitia wimbo wake wa Sukari uliotoka miaka 3 iliyopita
anaandika historia mpya ya kuwa msanii wa kwanza kutokea Afrika Mashariki kufikisha watazamaji Milioni 100,000,000 kupitia wimbo wake wa sukari uliotoka miaka 3 iliyopita
Wimbo huo ulioandaliwa na Mtayarishaji unaandika historia mpya kwa msanii Zuchu na mziki wa Tanzania kwa sasa pongezi nyingi ziende kwa msanii na Mtayarishaji kwa kufanya jambo kubwa kwenye mziki wetu
✍️LKM STAFF
Address
Empire Lokoma Limited
Dar Es Salaam
Telephone
Website
Alerts
Be the first to know and let us send you an email when Lokoma Tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.
Contact The Business
Send a message to Lokoma Tv:
Videos
Kama inavyojulikana kuwepo kwa kutokuelewana kati ya @drake pamoja na @kendriklamar na kupelekea kutokea kwa Dis-track kati yao, Zuchu @officialzuchu akiwa club ya Dubai amejirekodi video na kupost katika ukurasa wake wa snapchat akiwa anaimba wimbo wa Kendrik Lamar lakini huku akiwa anasema kwamba yeye ni Team Drake na anampenda Drake ingawa anaimba wimbo huo.
Msanii wa Bongo fleva @diamondplatnumz ambae ameongozana kwenda nchini Dubai na mchumba wake @officialzuchu katika performance yake huko Dubai, Zuchu amepost katika ukurasa wake wa snapchat akiwa ana m-hype au ana mpa mzuka Diamond wakati wa performance yake Dubai.Hii performance ya Diamond unaipa asilimia ngapi pamoja na muitikio wa mashabiki?
Msanii wa muziki kutoka Kenya ambae pia ni social media influencer anayejulikana kama @tanashadonna ameshare video zake katika ukurasa wake snapchat akiwa anatamba na lips zake za surgery kupona na kuwa na muonekano aliokuwa akiutamani.Je, amepwndeza kwenye lips hizi au ni heri angebaki na lips za mwanzo? Tupe maoni yako hapa chini kwenye comment
Wasanii wa Bongo movie ambao wapo kwenye ziara maalumu ya kujifunza kuhusiana na movie na Tamthilia nchini Korea wamepata nafasi ya kutembelea jengo la kihistoria Korea kusini ambalo hutumika kufanyia movie mbalimbali mfano movie ya “The Throne”.
Msanii wa Bongo fleva anayejulikana kama @whozu_ amefuta picha zote katika instagram account yake yaani hata dp yake pia ameitoa, ingawa hajatoa sababu yeyote iliyopelekea yeye kufuta picha hizo. Je, unadhani ni nini kimepelekea Whozu kuchukua maamuzi ya kufuta picha katika ukurasa wake wa instagram?
Mkongwe na mkali wa RnB wa muda wote #Rkelly ameamua kumkingia kifua #diddy baada ya kusema kwamba anashanga kuona baadhi ya wasanii kumdidimiza #diddy ,mkalii huyo ameyasema hayo kwenye mahojiano ya njia ya simu na Wacko100 akiwa yupo jela Kama utakuwa unakumbuka#Rkelly nae yupo jela akitumikia kifungo chake cha miaka thelathini jela kwa makosa kama yanayo mkabili #Diddy ya unyanyasaji wa kingono,ila #Diddy ameoneka akila zake bata na watoto wake mapacha bila kujali kinachoendelea kwa sasa kumuhusu yeye
Mwenezi ndani ya @yangasc ametupa majibu juu ya kwanini mshambuliaji Clement Mzize na Kennedy Musonda walishindwa kuuweka mpira wavuni siku wakikipiga na Mamelodi Sundowns! @jimmykindoki anaamini wakati wachezaji wao wanakutana na nafasi za kufunga kichwani walikuwa na presha kubwa kutokana na mechi yenyewe ilivyokua. Mdau una lolote la kusema?
Binafsi nashindwa kumuelewa @mchome_mapovu ni shabiki wa Mnyama ama ni shabiki wa @yangasc anayeigiza kuwa shabiki wa @simbasctanzania Tuachane na hilo, Said Mchome maarufu kwa jina la Mchome Mapovu ameweka wazi sababu ya yeye kushindwa kuja kuangalia mechi kati ya Simba SC wakicheza na Al Ahly na kwake anakiri matokeo alishayategemea kabla hata mechi aijachezwa. Kwake hakuiona timu yake ya Simba SC ikitoboa mbele ya wajukuu wa Farao. Mdau tumwambie Mchome ama tuendelee kukaa kimya?
Sio suala la Peter Shalulile kushindwa kutamba mbele ya beki Bacca na Nondo Mwamnyeto ukweli ni kuwa katika uwanja Benjamin Mkapa sio huyu Shalulile wamekuja washambuliaji hodari na hatari zaidi yake na bado wamechemsha. Na kwake Big anaamini hapa kwa Mkapa hata aje Messi ama Ronaldo bado wkikutana na kina Job na Inonga hawawezi kutamba. Lakini kizaizai ni tukienda kwao ndio tunapigika kama ngoma ya jando kwakuwa kule tunacheza bila vitu vyetu vya bibi na babu! Mdau unasemaje?
@simbasctanzania na @yangasc somo kubwa wanalotakiwa kujifunza kwa ujio wa miamba ya Afrika Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini na Al Ahly ya Misri ni kuhusu 'Uwekezaji' Na sio 'Uwekezaji' kwenye masuala ya 'Hamasa' kama walivyojidhatiti sasa inawabidi waende mbali na wawekeze kwenye mipango endelevu ya timu zao. Mdau unakubaliana na Dkt Mo? Maoni yako ni yapi
Klabu ya team ya kikapu @darcitybasketball ikiwa uwanjani jana kuangalia mechi kati ya @yangasc na @simbasctanzania
Msanii @mpokicomedyofficial akanusha uvumi kwama ana apartment nyingi lakini anasema kwamba yeye kapanga Mimi nimewekeza kwenye kilimo sio kujengq lakini amehaidi atajenga
MWAMBA WA LUSAKA KWENYE MOJA NA MBILI Unaambiwa kwa kiwango cha Mwamba wa Lusaka Wana Simba Wamepata 'kibri' na wanamtaka Mwarabu ata kesho! Huko Chama @realclatouschama akiwa na jezi ya Zambia 'Chipolopolo' anaupiga mwingi mpaka una mwagika anapiga assist mpaka Daka anashangaa. Sasa Ijumaa dhidi ya AL Ahly @alahly Chama anawapigia mipasi kina Pa Omar Jobe @pa_omaryjobe na mwanae Freddy Michael @freddymichael_koublan mpaka washindwe wenyewe
CHAMA AFUNGA GOLI LA KIDEO AKIWA ZAMBIA. Ijumaa Kuu ya tarehe 29 mwezi huu wa toba kwa Waumini wa dini kuu mbili kubwa hapa nawazungumzia Wakristo na Waisilamu ambao kwa pamoja wapo kwenye mfungo, kwa Waikristo wapo kwenye mfungo wa Kwaresima na kwa Waislamu wapo kwenye mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Ila kwa upande wa mashabiki wa Mnyama Simba SC @simbasctanzania wao wapo na kwenye mfungo wa kuikamia AL Ahly @alahly wanaokutana nao siku ya Ijumaa pale Benjamin Mkapa majira ya saa 9:00 usiku. Sasa Fundi wa mali muite Chama @realclatouschama akiwa amevaa using usinga wa timu yake ya Taifa ya Zambia "Chipolopolo" amefanya unyama mwingi amefungq goli la mpira wa adhabu ya kutenga pigo la moja kwa moja lakini akapiga na pasi ya goli kwa Patson Daka akafunga goli la pili. Sasa watu wa Simba SC wanamsubiri kumuona Chama akiwafanyia ukatili huu Waarabu kutoka Misri. Mdau neno lako kwa Chama
Shortcuts
Category
Other Media/News Companies in Dar es Salaam
-
Mwananchi
-
Musoma
-
Wiloles
-
Tabata
-
Temeke
-
Tabata
-
Namanga
-
Gongo la Mboto