Sekta ya Utalii tupo tayari na tumenogesha jiji la Dar es Salaam kuelekea Mkutano wa Nishati Afrika 2025. Ukikutana na hawa jamaa wa porini usiogope wako powa na hawatakupopoa, we piga picha na sambaza🙏🏽🙏🏽🇹🇿🇹🇿
Tumejidhatiti kukuhudumia masaa 24, siku saba za wiki👌. #nirahisisana kuwasiliana na dawati la huduma kwa wateja la TCRA; piga simu bila malipo kupitia namba 0800008272, au tuma baruapepe kwenda [email protected].
📌Karibu Tukuhudumie📌
#tcratz #elimukwaumma #dawatilahudumakwawateja #mtandaonifursabakisalama #nirahisisanakuwasalamamtandaoni
Fahamu faida za kushiriki kwenye Tuzo za kimataifa za WSIS 2025. Kutazama kipindi kamili, tafadhali bofya link https://bit.ly/3Cm04Gy
#tcratz #wsisprizes #wsisprizes2025 #taarifakwaumma #elimukwaumma #innovations #startups #nirahisisana #itu
Makumbusho ya Mawasiliano ni Hazina ya historia, elimu na burudani. Karibu utembelee makumbusho hii iliyopo katika ofisi za TCRA jijini Dar es Salaam.
📌HAKUNA KIINGILIO.
📞0800008272 kwa taarifa zaidi.
#tcratz #elimukwaumma #makumbushoyamawasiliano #communicationmuseum
#NiRahisiSana kuwa salama mtandaoni.
📌Ewe Mzazi/Mlezi, usalama wa mtoto wako mtandaoni unaanza nyumbani kwako. Tuwajenge katika misingi ya matumizi sahihi na salama ya Teknolojia, ili wawe sehemu ya ujenzi wa uchumi wa kidijiti unaoendeshwa na TEHAMA.
#nirahisisanakuwasalamamtandaoni #nirahisisana #elimukwaumm #mtandaonifursabakisalama #digitalclubs #klabuzakidijiti#usalamamtandaonikwawatoto #onlinechildprotection
#NiRahisiSana kumtambua tapeli. Kama sio namba mia moja (100) potezea
#tcratz #elimukwaumma #nirahisisana
Goodluck Gozbert muimbaji maarufu wa nyimbo za Injili amesema Nabii alimpa zawadi ya Gari aina ya Benz mwaka 2021. Sasa ameonesha video ya kuchoma moto gari hilo na kusema kwamba Chakula alichokula na ibada aliyoshiriki siku hiyo alipokabidhiwa gari hilo havikumpendeza MUNGU.
Nini maoni yako
🚨Usikose Kutufuatilia: MATANGAZO MUBASHARA🔥
MADA: Tuzo za Kimataifa za WSIS2025
🗓️: 24 Januari, 2025
🕕: Saa 12 Jioni
📺: YouTube @tcra_tanzania
#tcratz #STEM #AI #elimukwaumma #nirahisisana #kikoa #tanzania #wsis2025 #wsis #itu160 #itu
📌Yafahamu majukumu ya Ofisi ya TCRA Zanzibar, kupitia kipindi cha MAWASILIANO NI FURSA🔥
📺 TBC 1
🕘 3:00 Usiku
🗓️Ijumaa 24 Januari, 2025
#tcratz #lesenikidijitali #elimukwaumma #hapohapoulipo #mawasilianonifursa #tanzania #ijuetcra #tcrazanzibar
*WASIRA: WALIOPORA ARDHI ZA VIJIJI WARUDISHE KWA WANANCHI.*
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Chama Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wassira, ameiagiza Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, kuhakikisha ardhi ya vijiji iliyoporwa kinyume cha sheria, inarudishwa kwa wananchi.
Wasira alitoa maagizo hayo leo jijini Dodoma, wakati akizungumza na viongozi pamoja na wanaCCM waliojitokeza kumpokea katika Ofisi za Makao Makuu ya CCM.
Alisema kuna watu wamejimilikisha ardhi kwa kutoa rushwa jambo ambalo CCM inaakataa kwa nguvu zake zote.
“Haki ya Watanzania kumiliki ardhi ni sera ya msingi kwa CCM. kuna watu wanajimilikisha maeneo makubwa na hawayaendelezi kwa kutoa rushwa. Tunaomba maeneo yote ambayo yanamilikiwa kinyume cha sheria yarudishwe kwa wananchi,” alisisitiza.
“Tunataka kuona watu wakipata matatizo sehemu yao sahihi ambayo wanaweza kupata ufumbuzi iwe CCM. Hivyo tunaendelea kuhamasisha kuwa kitu kimoja. Hii ni muhimu hasa kipindi hiki tunapoelekea katika uchaguzi mkuu, lazima tuungane ili tushinde kwa kishindo.
*WASIRA: WALIOPORA ARDHI ZA VIJIJI WARUDISHE KWA WANANCHI.*
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Chama Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wassira, ameiagiza Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, kuhakikisha ardhi ya vijiji iliyoporwa kinyume cha sheria, inarudishwa kwa wananchi.
Wasira alitoa maagizo hayo leo jijini Dodoma, wakati akizungumza na viongozi pamoja na wanaCCM waliojitokeza kumpokea katika Ofisi za Makao Makuu ya CCM.
Alisema kuna watu wamejimilikisha ardhi kwa kutoa rushwa jambo ambalo CCM inaakataa kwa nguvu zake zote.
“Haki ya Watanzania kumiliki ardhi ni sera ya msingi kwa CCM. kuna watu wanajimilikisha maeneo makubwa na hawayaendelezi kwa kutoa rushwa. Tunaomba maeneo yote ambayo yanamilikiwa kinyume cha sheria yarudishwe kwa wananchi,” alisisitiza.
“Tunataka kuona watu wakipata matatizo sehemu yao sahihi ambayo wanaweza kupata ufumbuzi iwe CCM. Hivyo tunaendelea kuhamasisha kuwa kitu kimoja. Hii ni muhimu hasa kipindi hiki tunapoelekea katika uchaguzi mkuu, lazima tuungane ili tushinde kwa kishindo.