Mtaani mambo ni live馃槀馃槀馃槀
馃摴:J virtuix entertainment park
Watoto wa elfu mbili mtuache tupumue bana, hii syllabus mnaipeleka mbio sana 馃ぃ馃ぃ馃ぃ mnauliza nini Bradley sasa!!
#funnyreels
#funnreelsvideo
#viralvideochallenge
#viralreelschallenge
#viralreelsfacebook @followers
Mtu anaeza amka hivi siku gani?馃槀馃槀馃槀
Wachuuzi wa kuuza dawa barabarani waonywa dhidi ya kuuza dawa ghushi za wadudu, yeyote ambaye atapatikana atachukuliwa hatua za kisheria.
www.sautiyapwanifm.com
#SautiNews
Hii spoken word unaipa asimilia ngapi?
#SautiVids
Ras @stephenbhingi amesema Shawarma si chakula, halaf kina Fatma bora unashika ile kitu inaitwa...馃槀馃槀
#SikilizaSauti
Masaa ni ya kushtua maadui馃槀馃槀 Unaipa jina gani?
Hairstyle Mpya ya Stevosimple Boy Inspired by @Rick Ross. Sema kitu kwa style hii
#SikilizaSauti
#FreshBarida
Emmy Dee
Producer Emmy Dee Afunguka mazito Chanzo Cha Ugomvi wa SUDI BOY na Prince Adio, "Dogo Richie amenikosea mara nyingi sana (Mtuache tu) Watu wanasema nampendelea" Agoma kuongelea Zikky Mtanah!!
#ChecehZaBurudani
#SikilizaSauti
#KRA
Gavana Abdulswamad Nassir akimjibu Mbunge Jicho Pevu kuwanunulia wanaODM Wheelbarrow kubeba machungwa yote Mombasa.
www.sautiyapwanifm.com
#SautiNews
Ucheze mchezo huu au uende jela kifungo cha maisha馃槀馃槀馃槀
Chagua馃憞馃従
#SikilizaSauti
Maandamano ya wanahabari Pwani.
#SautiNews
Wanahabari wa pwani waungana na wenzao kote nchini kuandamana kutokana na unyanyasaji wa polisi wakiwa kazini
www.sautiyapwanifm.com
#SautiNews
Wimbo wa siku: Volyoom - @namelesskenya
#TBTEdition
Wimbo wa siku: Nayaacha - @fazzyhisiake ft @echo254_
#tuesdaybase
Mwanamziki wa kike kutoka nchini Nigeria Simi awaomba mashabiki wake msamaha baada ya kuingia kwenye swimming pool akiwa amevalia vazi la kuogelea. Hii ni jinsi kuomba msamaha kweli?馃槀馃槀
#ChecheZaBurudani
Nasaha kwa wafanyabiashara kutoka kwa Mr Munir Thabit CEO wa Sauti Ya Pwani FM ndani ya #SautiYaMwanamke
Hali Halisi, katikati mwa mji wa Mombasa, Jumanne ya Maandamano.
#SautiNews