Dh4y tv

Dh4y tv Pata habari mchanganyiko kila wakati na za uhakika Like Page yetu na Share zaidi page hii. Pia Tunap all news and updates we will bring to you immediate
(1)

19/01/2024

Hello guys mwaka huu tunakuja kivingine kabisa ushauri wako kwetu ni muhimu sana dondosha komenti yako hapo

08/07/2022

_____________________________________________
1.*UNAUELEWA KIASI GANI KUHUSU DAYCARE/ECD...?*
_____________________________________________
Na,Mwl.Isack(DAYCARE CONSULTANCY 0756 980 915).....Fuatilia hadi mwisho,utanufaika..!

鉁达笍Hata k**a Hujasomea Masuala ya watoto unaweza kuwa na daycare馃挭(kuna uwekezaji na kuanzisha kwa Hobby/Fani/Taaluma/uzoefu..etc),

鉁达笍Daycare sio lazima iwe mjini tu,na ukifeli kuchagua eneo zuri tegemea hasara na kupoteza hata ulichowekeza,na Sisi wataalam wa daycare consultant tunaamini katika mafanikio makubwa sana endapo utaanzisha daycare ukiwa na uelewa juu ya hilo,k**a huna njoo tukujengee uwezo kwani tumehudumia shule zaidi ya 78+ na walimu/walezi/wamiliki zaidi ya 324+ Tanzania nzima na nchi jirani.

鉁达笍iko hivi,72% ya vijiji vingi havina daycare lakini ni rahisi kuanzisha kuliko mjini ambapo inahitaji mtaji mkubwa na ushindani mkubwa licha ya kuwa na watoto wengi.

鉁达笍Yeyote anayeanzisha daycare anaongozwa na sheria ya mtoto No. 21 ya mwaka 2009 sehemu ya IX(147 Hadi 151). Ukipata ushauri kwetu utaelekezwa yote hayo na zaidi kisha kupewa nakala mhimu baada ya mafunzo ya muda mfupi tu.

鉁达笍licha ya kuwa na daycare nyingi lakini wizara inatambua uwepo wa vituo vingi visivyotanbulika kutokana na sababu ambazo niliwahi kupost kwenye page yetu ya instagram inayoitwa 1daycaretz. kwa mujibu wa Takwimu ya mwezi wa 09/2020 Tanzania nzima kulikuwa na vituo vya daycare 1,695 vilivyosajiliwa na kutambuliwa kwa mfumo rasmi.

鉁达笍Licha usajili huo kuna shuda kubwa za watu wengi kutokuelewa vema kuhusu aina ya daycare anayotaka kuanzisha na Elimu ya awali, kwa takwimu zaidi mapak 2022 kulikuwa na vyuo 23 vya binafsi na chuo kimoja(1)cha serikali vinavyotambuliwa na serikali pekee kwa ajili ya Kutoa walezi wenye sifa zinazotakiwa ili kihudumia watoto wa daycare na sio cheti cha ECD japo ndani yake kuna masomo kwa uchache sana.

鉁达笍kozi ya ECD yaani kufundisha Elimu ya awali na sio kulea watoto wadogo wa daycare unaweza kusoma hata miezi 3,au 6 kutokana na aina ya vyuo lakini vyuo vya malezi 24 hutoa kozi za muda mrefu sana ili kumfahamu mtoto.

鉁达笍kwa takwimu hii bado wizara iliwatambua walezi 7,979 wa ECD waliokuwa wanalea watoto wadogo(daycare),Usajili wake hutumii vyeti vya ECD ndio maana Mtu anahangaika miaka 3 au 5 bila usajili kutokana na makosa k**a hayo鈥硷笍,Njoo uonane na wataala wa DAYCARE CONSULTANCY ufundishwe kwa vitendo zaidi kisha kipewa nakala mhimu........ ufafanuzi utaendelea, Njoo darasani kujifunza zaidi.

鉁达笍HUDUMA ZETU.
鉃★笍ushauri wa daycare na ECD
鉃★笍Kuanzisha daycare na kupata eneo sahihi.
鉃★笍Mwongozo wa usajili wa daycare.
鉃★笍Mafunzo kwa walimu/walezi hata k**a hujasomea utajengewa uwezo.
鉃★笍 Malezi(mentorship& Coaching) ni special program hii.
鉃★笍Akiba, mapato na uwekezaji wa kupanua daycare au kujenga hadi primary.
鉃★笍Vifaa vya kujifunzia na kufundishia.Njoo na bajeti yako tukupe vifaa bora kwa gharama nafuu sana.

馃OFISI ZETU ZIPO DAR ES SALAAM,PWANU NA SONGWW(Vwawa).
Appointment/Booking ya Huduma zetu,
馃敇0756-980-915.
馃敇E: [email protected]
馃敇 INSTAGRAM: 1daycaretz.

Imeandaliwa na Mwl.Isack(DAYCARE MASTER TANZANIA).
鉁嶏笍Ahsante.

--------_------------_-_-----------------_--------+--
Tunakaribisha matangazo wasiliana na dh4y Tv kwa namba +255762608032

Twambie pia unapenda kivaa ya Bei gani na rangi gani
05/07/2022

Twambie pia unapenda kivaa ya Bei gani na rangi gani

Sekretarieti ya TFF imefungua shauri mbele ya K**ati ya Maadili dhidi ya ofisa wa Yanga SC, Haji Manara kutokana vitendo...
03/07/2022

Sekretarieti ya TFF imefungua shauri mbele ya K**ati ya Maadili dhidi ya ofisa wa Yanga SC, Haji Manara kutokana vitendo vya ukiukwaji wa maadili.

Mitandaoni imesambaa video ikimuonesha Manara akizozana na Rais wa TFF, Wallace Karia wakati wa fainali ya Kombe la Shirikisho.

Anastahili adhabu gani K**a wewe ungepewa rungu la kumuadhibu

give us your product and see what happen to your growth
04/03/2022

give us your product and see what happen to your growth

Hofu ya ujasusi yazua hamu ya teknolojia salama zaidi"Watu wanaonekana hawaelewi kwamba usalama na simu za mkononi k**a ...
24/09/2021

Hofu ya ujasusi yazua hamu ya teknolojia salama zaidi

"Watu wanaonekana hawaelewi kwamba usalama na simu za mkononi k**a kitu kimoja ni jambo ambalo halipo," anasema Pim Donkers.
Bwana Donkers ni mwanzilishi mwenza na mtendaji mkuu wa kampuni ya teknolojia ya Vifaa vya ARMA Uswisi, ambayo inatengeneza vifaa salama vya mawasiliano.
Kwa hiyo, zaidi, ana nia ya kuonya watu juu ya uwezekano wa udhaifu uliopo katika suala la usalama na simu za smartphone.

Analinganisha simu za mkononi na mzinga wa nyuki ambapo "watu wengine ndio huingia na kutoka ndani ya mfumo, kufanya biashara na kutumia data yako vibaya iliyokusanywa kupitia ving'amuzi vyote."
"Smartphone k**a kianzio katika suala la mawasiliano salama bila shaka yoyote ni jambo ambalo halipo tena. Haitatokea kamwe," anaonya.
Wasiwasi wake mkubwa juu ya mapungufu ya faragha ya simu za mkononi kumeungwa mkono na simulizi nyingi tu za hivi karibuni, haswa kuhusu kubainika kwa programu ya kijasusi inayojulikana k**a Pegasus, ambayo chanzo chake ni kampuni ya NSO Group ya Israeli.

Mnamo mwezi Julai, iligundulika kuwa programu ya Pegasus inaweza kukuwekwa kwenye simu za iPhones na Android, na kuruhusu waendeshaji kutoa ujumbe, picha na barua pepe, kurekodi simu na hata kuamsha kipaza sauti au maikrofoni na kamera kuanza kufanya kazi yake kwa siri.
Uwezo wa kufikia simu ya mtu na kufanya unachotaka licha ya kwamba yenye iko mbali na mtumiaji halali kuna wakati ilizingatiwa k**a nchi chache tu ndio zenye uwezo wa kufanya hivyo.
Lakini teknolojia imeendelea haraka sana na nguvu za upelelezi na uchunguzi sasa hivi ziko mikononi mwa nchi nyingi na hata watu binafsi na makundi madogo madogo.
Kuwa na wasiwasi k**a huo akilini, mahitaji ya watumiaji yameongezeka katika hulo huku usalama ikiwa k**a sehemu yao kuu ya wakati wanauza bidhaa yao - kuanzia simu za kisasa zenye namba za siri yaani zilizofichwa kimaksudi k**a njia mbadala ya kupata faragha kwakatika injini za utafutaji habari na ramani.
Takwimu zingine zinaonyesha kuwa vifaa vya simu ya mkononi husumbua watu wengi.
Uchunguzi wa Kituo cha Utafiti cha Pew unaonyesha kuwa Wamarekani 72% waliripoti kuhisi kuwa wanachofanya katika simu zao kinafuatiliwa na watangazaji wa matangazo ya biashara, kampuni za teknolojia au kampuni zingine.
Karibu nusu ya watu walioulizwa na kituo cha Pew walisema waliamini kuwa shughuli zao nyingi mtandaoni zinafuatiliwa na serikali.
"Tumezungukwa na vichwa vya habari vinavyozungumzia ukiukwaji wa data, uvamizi na uingiliaji wa aina nyingine," anasema Larry Pang, mkuu wa maendeleo ya biashara katika kampuni ya IoTex ambayo hutengeneza kamera za usalama zilizoundwa kutunza data ya kibinafsi.
"Kila wakati tunasoma kwamba mashirika na serikali ambayo yameahidi kutulinda, ukweli ni kwamba, hufanya mambo nyuma ya migongo yetu kwa faida yao," anasema.

Bidhaa zingine kwenye soko la faragha sio zinazoweza kushikika.
Programu ya Xayn, kwa mfano, ni bidhaa iliyoelezwa k**a "inayolinda faragha ya mtu" anapokuwa mtandaoni.
Kampuni hiyo inasema Xayn inaruhusu watumiaji kutumia kifaa cha utaftaji cha Google bila kutambuliwa na mtu mwingine au kuweza kuhifadhiwa data zao.
Hadi sasa, imepakuliwa na watumiaji takriban 215,000, na wengi wao wanatoka Marekani, ikifuatiwa na Uingereza, Ujerumani, Uholanzi na Urusi.
"Njia zilizopo kimsingi hufuatilia kila kitu ambacho mtumiaji hufanya anapotafuta kitu mtandaoni," anaelezea Dk Michael Huth, mkuu wa idara ya kompyuta katika Chuo cha Imperial London na mwanzilishi mwenza wa na afisa mkuu wa utafiti wa kampuni ya Xayn.
"Hii ni dhahiri haswa na bidhaa k**a vile TikTok, ambapo kuzungumza mara moja au mbili tu kunatosha kumjua mtumiaji vizuri na kuanza kumpendekezea video wanazopenda," Dk Huth anaongeza.
"Kiwango hiki cha ufuatiliaji, uchambuzi wa utabiri na kufuatilia mwenendo wa mtu sio tu ni changamoto kwa udhibiti wa hisia zetu na uhuru, bali hata uhuru wetu halisi pia."

Mwanzilishi mwenza na mtendaji mkuu wa kampuni ya Xayn, Leif-Nissen Lundb忙k anasema kwamba mahitaji ya faragha yanageuka kwa haraka sana kuwa "harakati za ulimweng
"Majadiliano juu ya faragha katika digitali mara nyingi hulenga kile kisichowezekana na wakati mwingine huwa na bahati mbaya," anasema.
"Sasa hivi kinachojitokeza ni faragha na teknolojia k**a maadui - lakini sio lazima iwe hivi. Teknolojia ya hali ya juu inaweza kulinda faragha yetu katika njia za kidijitali na kuturejeshea uhuru wetu."

Address

Buza
Dar Es Salaam
TEMEKE

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dh4y tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Dh4y tv:

Share


Other News & Media Websites in Dar es Salaam

Show All

You may also like