What a goal @peudacruz .
Wabrazil wa @singidabsfc wanazidi kunogesha ligi.
Leo @peudacruz kafunga goli la kideoni
Bravo @peudacruz
#tumerudirasmi #kidosportsupdates #sisinisoka #njookwetu #NBCPL2022_2023
MASAA MA TATU YAMESALIA MNYAMA KUTAMBULISHA JE NI YUPI.
follow Kido Sports
Goli la @ushindichicoofficiel dhidi ya @polisitanzaniafootballclub
Kitaalamu tunaitaje
MPIRA NI MCHEZO WA KIUNGWANA 🙏🏻
Moja ya tukio baya alilofanyiwa fiston mayele na mchezaji wa Coastal Union kwenye mechi ya juzi halikuwa tukio la kiungwana kabisa.
Follow @kidosports_
#tumerudirasmi #kidosportsupdates #KivumbiSokaLaNyumbani @zechicharito1
NTIBAZOKINZA AMEAGA RASMI YANGA SC
AMEANDIKA @ntibazonkizasaidi 🦁10
Haikuwa rahisi kwangu kuwaaga familia yangu kwa kipindi chote tulichokuwa pamoja katika raha na shida ili kuipa team yetu ushindi kwa kweli nitawakumbuka saaaana kwa namna tumeishi vizuri kama ndugu wa damu tukishauriana mambo mbalimbali na heshima mliyonipa kama kaka yenu nawatakia kila la kheri katika mapambano ili kufikia malengo tuliyoaandaa mwanzo wa msimu mpaka tulipo fikia leo hii sina mengi zaidi ya yote nawapenda.
▪️kwa upande wa mashabiki zangu asante kwa upendo mlio uonesha kwangu kwa kipindi chote nikiwa mchezaji wa team yenu pendwa na support mliyonipa nime furahishwa kuwaaga baadhi ya mashabiki walio kuwepo uwanjani leo mazoezini mkiwawakilisha wote hivyo basi muendelee kui support team yenu nawapenda 🙏🏾
ANATOSHA ALLAH WALA HANA MSHIRIKA NA SIFA NJEMA ZOTE NI ZAKWAKE ??🏾
#tumerudirasmi #kidosportsupdates #YangaSC #daimambelenyumamwiko #intumvazamaho
#lifeisgood
#alhamdulillah 🙏🏾
Hii TETEMA ya huyu mzee balaa tupu😂😂
@mayelefiston kamchetua mzee wetu
Habari, tupo kwenye Karne ya Tecknolojia ambayo tukiitumia vizuri tunaweza kujikwamua sana kiuchumi…..Nina project Ambayo nasaidia Vijana na watu Wazima kuwapa Mafunzo ya namna ya kuanza kutengeneza kipato kizur Mara Tatu ya upatacho sasa bila Kuacha shughuli zako.
Call/ Whatsaap +255755146793
Unaweza kutembelea
account yetu
@mwanne _lifestyle_tz
@mwanne_lifestyle _tz
@mwanne_lifestyle _tz
KARIBU UJIFUNZE
Mwanaume Unajiskiaje hupigi show nzur??? kila kukiwa giza unarudi nyumbani hofu zinazid hasa pale unapoangaliana na mkeo giza linazid kusogea mda Wa show unajaribu holla raund ya pili imegoma kabisa...Huwa unajiskiaje????
Epuka hiyo fedheha nipigie au Nichek whatsapp saivi nikupe suluhisho
MATOKEO NI UHAKIKA HAKUNA LONGO LONGO
+255 755146793 au +255785192502
Follow
@mwanneafya
@mwanneafya
@mwanneafya
+255 755146793
+255785192502
KUPUNGUA UZITO/KITAMBI/NYAMA ZEMBE ni Sayansi ambayo yatakiwa uijue kiundani namna ya kubalance Diet na Mazoez lakini cha muhim zaidi ni kuondoa Taka mwili ili upungue vizur na Usirudi tena ulipotoka.
Nipe nafasi nikusimamie katika safari yako ya kupungua uzito kiafya kabisa bila Kutumia dawa NI UHAKIKA HAKUNA LONGO LONGO.
PIGA/WHATSAPP
+255 755146793
FOLLOW
@punguza_uzito_Siku_9
@punguza_uzito_Siku_9
@punguza_Uzito_Siku_9
+255 755146793