Twaweza Communications

Twaweza Communications We enhance the well-being of citizens through media sensitization programs, training and sharing of experiences and thematic publications.

About Twaweza

Twaweza Communications is an arts, culture and media organization based in Nairobi. Established in 2000, the organization is anchoring itself as a leader in the sector by bringing together academicians and practitioners in knowledge and skills development. We creatively work with the media, institutions of higher learning, community based organizations (CBOs), civil society organizations (CSOs) among other partners to build capacity in a range of areas.

07/08/2024
07/07/2024

Tumefika kilele katika maadhimisho yetu ya Hata hivyo, bado tupo katika safari ya kueneza lugha ya Kiswahili. Safari hii inahitaji tupige jeki na tuendelee kutia bidii pamoja bila kuchoka. Tukumbuke kwamba umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu.

Mazungumzo ya KIswahili- Dkt. Mary Ndung'u.Bi. Mary ni msomi wa Kiswahili kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi ambaye ana uzoef...
07/07/2024

Mazungumzo ya KIswahili- Dkt. Mary Ndung'u.
Bi. Mary ni msomi wa Kiswahili kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi ambaye ana uzoefu mkubwa katika maswala ya Kiswahili. Kupitia utafiti na uchapishaji wa karatasi za kitaaluma ameweza kuieneza lugha ya Kiswahili.

Mazungumzo ya lugha ya Kiswahili- Prof. Kimani Njogu.Prof. Kimani Njogu ni mkereketwa wa Kiswahili ambaye amebobea katik...
07/07/2024

Mazungumzo ya lugha ya Kiswahili- Prof. Kimani Njogu.
Prof. Kimani Njogu ni mkereketwa wa Kiswahili ambaye amebobea katika mandhari ya Kiswahili. Kwa muda mrefu, amekuwa katika mstari wa mbele katika juhudi za kuhakikisha kuwa Kiswahili kimepewa kipaumbele nchini. Kwa mfano, Bwana Njogu ndiye anayeongoza juhudi za kutengenezwa kwa Baraza la Kiswahili nchini kwa kutafsiri muswada wa kisheria ambao sasa upo katika ofisi wa Katibu Mkuu wa Sheria.
https://youtu.be/gS0QtNDq1jU?si=vHTEPVWEQPhYuF7H

07/07/2024

Shabash!! Hatimaye imewadia. Siku iliyo na furaha iloyoje kwa wapenzi wa Kiswahili na kwa ugani, sisi sote. Lengo la leo ni kujadili dhima ya Kiswahili na wingi-lugha katika kujenga na kuendeleza elimu kuhusu amani.

Mazungumzo kuhusu lugha ya Kiswahili- Dkt. Caroline AsiimweDkt. Caroline Asiimwe ni Katibu Mtendaji katika Kamisheni ya ...
06/07/2024

Mazungumzo kuhusu lugha ya Kiswahili- Dkt. Caroline Asiimwe
Dkt. Caroline Asiimwe ni Katibu Mtendaji katika Kamisheni ya Kiswahili Afrika Mashariki (KAKAMA). Katika video hii, Bi. Asiimwe anaangazia shughuli za KAKAMA katika kuendeleza lugha ya Kiswahili mkandani mwa Afrika Mashariki.
https://youtu.be/nDFpKewE-uc?si=nbnaBshoA6wzXKzO

Mazungumzo kuhusu lugha ya Kiswahili - Nuhu BakariNuhu Bakari anatoa maoni yake kuhusu lugha ya Kiswahili yakiwemo histo...
05/07/2024

Mazungumzo kuhusu lugha ya Kiswahili - Nuhu Bakari
Nuhu Bakari anatoa maoni yake kuhusu lugha ya Kiswahili yakiwemo historia, umuhimu wake katika kudumisha amani, kukuza maendeleo na kuhifadhi mila na desturi ya wenye wanaokizungumza. Mbali na hayo, Bwana Bakari anazungumza kuhusu umuhimu ya kuadhimisha Siku ya Kiswahili Duniani.

Bofya kiungo kutazama
https://youtu.be/HvrSt9SQoPk?feature=shared

Mr. Nuhu Bakari is an expert in Kiswahili lexicography and translation with a BA in Kiswahili & Communication and an MA in Translation from the University of...

Ni mipango gani iliyopo ya kukuza Kiswahili miongoni mwa watu wa Afrika Mashariki walioko ughaibuni?Prof. Iribe Mwangi n...
05/07/2024

Ni mipango gani iliyopo ya kukuza Kiswahili miongoni mwa watu wa Afrika Mashariki walioko ughaibuni?
Prof. Iribe Mwangi ni mtaalam na msomi wa Kiswahili kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi. Katika kuadhimisha Siku ya Kiswahili Duniani, Prof. Mwangi anaongelea umuhimu wa kuendeleza Kiswahili barani Afrika na ulayani.
Bofya kiungo kutazama
https://youtu.be/nOwPLry6xBE?feature=shared

Prof. Iribe Mwangi is a specialist in translation, communication and Kiswahili Linguistics based at the University of Nairobi. His publications span the fiel...

05/07/2024

Hayawi hayawi haya!! Siku tuliyokuwa tukingojea kwa hamu na ghamu imewadia. Siku ya Kiswahili duniani!! Nyote mwakaribishwa kuadhimisha siku hii!

03/07/2024
03/07/2024
03/07/2024

0:30 | Kujitambulisha3:23 | Mapingani ya ndani na ya nje4:53 | Mukhtasari wa mtoto anapozaliwa na malezi yake9:02 | Sherehe za wakati wa kutahiri18:22 | ...

01/07/2024
01/07/2024
01/07/2024
01/07/2024
01/07/2024
01/07/2024
28/06/2024

28/06/2024
28/06/2024
28/06/2024

0:00 | Mwanzo/Kujitambulisha1:14 | Historia fupi ya Mji wa Siyu4:20 | Ngome ya Siyu/Siyu Fort6:05 | Mfalme Machaka na Ngome ya Siyu11:05 | Mshairi Kibab...

28/06/2024
28/06/2024

28/06/2024

28/06/2024

0:00 | Mwanzo2:35 | Umuhimu wa Utafiti3:42 | Taratibu Za Mwana akizaliwa6:21 | Nyimbo za sherehe Mwana akizaliwa6:52 | Mtoto Kutahiriwa7:12 | Shendea8:...

24/06/2024
24/06/2024

24/06/2024

Address

P. O. BOX 66872
Nairobi
00800

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Twaweza Communications posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Videos

Share

Category

Nearby media companies