01/09/2024
https://youtu.be/tQqI46XryS8?si=k6JmUbkLfEoeUtTT
Habari za kutwa wapenzi watazamaji wetu popote pale mnapotufatilia na ifuatayo ni Taarifa ya Habari ya wiki nzima kutoka Swahili Voice hapa London na kwanza ...
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from NYOTA MEDIA, Media/News Company, Mombasa.
https://youtu.be/tQqI46XryS8?si=k6JmUbkLfEoeUtTT
Habari za kutwa wapenzi watazamaji wetu popote pale mnapotufatilia na ifuatayo ni Taarifa ya Habari ya wiki nzima kutoka Swahili Voice hapa London na kwanza ...
https://youtu.be/eyXRGyMU38M?si=5DE4UY-wYu4sLG4L
- Maandalizi ya resi za boti ya yanayoshirikisha timu ya Jumuiya ya East African Educational Foundation yapamba moto. Dr Zahran atoa neno!- Maandamano ya ki...
KINDLY VIEW, LIKE SHARE AND COMMENT HABARI HIZI NA WENGINE ILI WAHABARIKE
za wiki kutoka Swahili Voice : Imam mkuu wa Masjid Alnoor, Sheikh Munir Nassor wiki hii alipata fursa ya kuongoza ibada kubwa ya sala iliofanyi...
Mahojiano Maalum na Ahmed Omar, aliyekuwa Katibu wa aliyekuwa mwanasiasa maarufu Zanzibar, marehemu Maalim Seif Sharif Hamad, akichukua maswali muhimu manne ...
https://youtu.be/PtTkYI5oh74?si=llKoQxx5icfVw9Zl
Kindly view, subscribe and comment
**ashariki London Wataalamu wa mambo ya Uchumi, biashara na usafirishaji waishio Uingereza w...
Kindly view.
https://nyotasuleiman.blogspot.com/2022/03/serikali-kuimarisha-usalama-baharini.html
Serikali ya kitaifa imejikita katika kuunda mkakati wa kitaifa wa usalama wa baharini unaonuia kukabiliana na changamoto za kiusalama zina...
https://nyotasuleiman.blogspot.com/2022/03/jinsi-vita-nchini-ukraine-vilivyoathiri.html
Mzozo unaoendelea hivi sasa baina ya Mataifa ya Ukraine na Urusi bila shaka umesabaisha athari ya Moja kwa moja kwa Kaunti ya Mombasa....
https://nyotasuleiman.blogspot.com/2022/02/umika-juni.html
Click the link guys
NA NYOTA SULEIMAN Halmashauri ya barabara kuu za Kenya KENHA Imesema kuwa daraja la Makupa lilogharimu jumla ya shilingi bilioni 4.5 lina...
Very informative article.view and inbox your Mpesa Number with the screen shot
Reports concerning cases of toxic or unhealthy relationships among Campus students in the Country have been rampant in the current years ....
Kindly click the link and Drop your comments guys
NA NYOTA SULEIMAN MOHAMED Viongozi mbalimbali wamekuwa mstari wa mbele kuwahimiza wananchi kujiandikisha k**a wapiga kura kabla la zoezi k...
Aliyekuwa Mwaniaji wa Kiti cha ugavana kaunti ya Mombasa Suleiman Shahbal amekihama chama cha Jubilee na kuregea katika chama Cha ODM huku u...
Kinara wa Chama cha ODM Raila Odinga, Ameitaka serikali kuweka wazi maswala yaliyopelekea kutoteuliwa majaji Sita kati ya arubaini waliyop...
Waziri wa hazina ya kitaifa Ukur Yatani amebainisha sera saba zilizopewa kipaumbele na serikali kwa ajili ya kufufua uchumi wa nchi kwa kasi...
Click
Wabunge wa bunge la kitaifa wanatishia kulemaza vikao vya bunge siku ya alhamisi wakati wa usomwaji wa bajeti ya kitaifa, kwa k...
Click the link
Viongozi kutoka mrengo unaomuegemea naibu wa rais William Ruto wanamtaka rais Uhuru Kenyatta kuhakikisha miradi yote iliyosimami...
Polisi katika eneo bunge la Kuria Magharibi kaunti ya Migori wanawazuilia watu kumi waliyopatikana wakijivinjari katika klabu ch...
Polisi wamewak**ata washukiwa watatu zaidi wanaohusishwa na sakata ya utoaji kazi ghushi iliyogunduliwa na Makachero wa idara ya DCI wiki m...
Chama cha Mahakimu na majaji nchini (KMJA) na kile cha wanasheria (LSK) Kwa pamoja vimemkosoa rais Uhuru Kenyatta kwa kile wanachodai ni ute...
Maafisa kutoka idara ya upelelezi DCI na wenzao kutoka idara ya polisi kituo cha Cherangani, mnamo usiku wa jumanne walifanikiwa kupata bun...
Serikali imehimizwa kuutafakari upya na kuufufua ujenzi wa bandari ya samaki uliyosimama katika eneo la Shimoni kaunti ya Kwale. Viongozi ...
PICHA ZA KUWASILI RAIS EVARISTE NDAYISHIMIYE WA BURUNDI NCHINI Get link Facebook Twitter Pinterest Email Other Apps May 31, 2021 Get link Facebook Twitter Pinterest Email Other Apps Comments Post a Comment
Marufuku ya kitaifa ya watu kutotoka nje kuanzia saa nne usiku hadi saa kumi alfajiri imeongezwa kwa siku sitini zaidi. Kupitia notisi ya ...
Aliyekuwa mwenyekiti wa tume ya uwiano na utangamano Francis Ole Kaparo amewarai viongozi kutoka jamii za wafugaji kutafuta njia...
Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye anatarajiwa kuwasili humu nchini siku ya jumatatu na anatarajiwa hudhuria sherehe za mwaka huu za Mad...
We are Back.
Makachero kutoka idara ya upelekezi ya DCI siku ya Ijumaa walimk**ata Irene Njoki Irungu kwa madai ya kuwalaghai wateja katika kumbi za star...
Wabunge sasa wanataka mradi wa Kazi mtaani ulioanzishwa na rais Uhuru Kenyatta kwa ajili ya kuwapiga jeki vijana wakati huu mgumu wa janga la Covid_19 usimamishwe kutokana na madai kwamba haukupangiliwa vizuri na hivyo basi umetoa fursa ya kufuja fedha za umma.
Wabunge hao walimweleza waziri wa hazina ya Kitaifa Ukur Yatani kuwa mradi huo hauna manufaa hivyo basi serikali haina budi kuutathmini upya mradi huo na kuupangilia vyema katika njia bora zaidi.
Wakiongea jumatano katika mkutano wa kutathmini uongozi wa bunge ,wabunge hao walilalamika kuwa idadi kubwa ya vijana katika maeneo bunge wamekosa fursa katika mradi huo.
Mbunge wa Limuru Peter Mwathi alisema kuwa mradi huo umesababisha migawanyiko miongoni mwa vijana nchini kutokana na kuachwa nje kwa wengi wao.
Aidha Naibu spika wa bunge la Kitaifa Moses Cheboi alisema kuwa serikali inafaa kuzingatia thamani ya pesa inayolipa vijana katika mradi huo na kazi wanayoifanya.
Hatahivyo waziri Yatani alisisitiza kuwa mradi mradi huo utaendelea hadi mwishoni mwa mwaka huu k**a ulivyopangwa na serikali hapo awali kwa ajili ya kuwasaidia vijana wakati huu mgumu wa janga la Covid 19, ingawa waziri huyo alikiri kuwa katika baadhi ya maeneo mradi huo uliharakishwa bila mpango muafaka,alisema kuwa hatua madhubuti na mipango kabambe imechukuliwa ili kuhakikisha kuwa mradi huo unaendelea vyema katika maeneo hayo.
Aliyekuwa Mbunge wa Likoni na wakati mmoja Meya wa Mombasa Masoud Mwahima Mwalimu ameaga dunia.
Marehemu Mwahima atakumbukwa kwa kuleta Maendeleo eneo bunge la Likoni na Mchango wake katika Jiji la Mombasa k**a Meya kipindi cha nyuma.
Mombasa
Be the first to know and let us send you an email when NYOTA MEDIA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.
Send a message to NYOTA MEDIA: