04/09/2024
Inaaminika kuwa kwa mara ya kwanza katika hali ya mapigano, Urusi ilitumia "Dagger" mnamo mwezi Machi 2022.
https://bbc.in/4ebp7ti
Hii ni Idhaa yako na mtandao wako. Usisite kutoa maoni yako. website: www.bbcswahili.com
(4376)
Inaaminika kuwa kwa mara ya kwanza katika hali ya mapigano, Urusi ilitumia "Dagger" mnamo mwezi Machi 2022.
https://bbc.in/4ebp7ti
Miongo miwili iliyopita, aliwaambia Warusi, kuwa amepigana na kushinda vita dhidi ya ugaidi. Na sasa anawaambia kuwa anapigana na "Wanazi mamboleo" na “maadui Magharibi” huko Ukraine
https://bbc.in/3XtCRdh
Hakuna uhusiano kati ya matumizi ya simu na saratani ya ubongo - WHO
https://bbc.in/4g9RQQV
India inamlaumu Azhar, ambaye alianzisha kundi la Jaish-e-Mohammad baada ya kuachiliwa kwake, kwa mashambulizi kadhaa nchini humo. Pia anatajwa na Umoja wa Mataifa kuwa ni gaidi.
https://bbc.in/4gfr7CH
Maduro atangaza kuwa Krismasi itaanza mapema huku mzozo wa kisiasa ukiwa bado unafukuta
https://bbc.in/3XyiMS7
Matangazo ya Dira ya Dunia
Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo inatarajia dozi zake za kwanza za chanjo ya mpox Septemba 5
https://bbc.in/4dNzcfX
Ilikuwa karibu nusu karne baadaye, mnamo Agosti, wakati mpelelezi wa polisi wa Pennsylvania alipofuatilia alama za vidole za Grubb
https://bbc.in/4cQohB1
Urusi yaishambulia Ukraine kwa ndege zisizo na rubani na makombora ya hypersonic
https://bbc.in/47gi8Nd
Inaaminika kuwa kwa mara ya kwanza katika hali ya mapigano, Urusi ilitumia "Dagger" mnamo mwezi Machi 2022.
https://bbc.in/3XkhmKS
Vijana wamekuwa wakiendeleza "maudhui" ya ngono kwa kutumia picha zilizobadilishwa za wanawake vijana kwenye Telegram
https://bbc.in/3TfCDEc
Ilichukua miaka 20 kwa Putin kutembelea magofu ya School No. 1. Hata hivyo, hakujiunga na hafla za ukumbusho na familia
https://bbc.in/4gd4u1r
Uganda: Bobi Wine alijeruhiwa na bomu la kutoa machozi
https://bbc.in/3TgctAZ
Ni vyakula gani vinapochanganywa hugeuka kuwa sumu?
Kila binadamu ana kile alichojaliwa na Mungu. Siku zote anachoamua mmoja kula huenda kikawa sumu kwa mwingine.
Nilishauriwa ‘kuzaa’ mapema ili kupona ugonjwa wa Endometriosis
Familia ya mfanyakazi wa aliyeuawa na shambulizi la Israel huko Gaza yataka uchunguzi uhuru ufanyike
https://bbc.in/3Tf89SI
India inamlaumu Azhar, ambaye alianzisha kundi la Jaish-e-Mohammad baada ya kuachiliwa kwake, kwa mashambulizi kadhaa nchini humo. Pia anatajwa na Umoja wa Mataifa kuwa ni gaidi.
https://bbc.in/3Tfj4Mj
“Nimekuwa katika jamii ambayo unaambiwa ni kawaida mwanamke kupata maumivu anapokuwa katika hedhi’’
-
Ritha Mwambene, Mtanzania ambaye akiwa na umri wa miaka 18 alianza kupata dalili za maumivu yasiyo ya kawaida kila alipoingia katika hedhi.
Je ugonjwa huu uliathiri vipi maisha yake? je alitambua vipi kuwa ana tatizo la Endometriosis? na alikuwa anakabiliana vipi na maumivu?
-
Ritha Mwambene, ataelezea kwa kina katika Waridi wa BBC leo kuanzia majira ya saa nane mchna kupitia ukurasa wa Facebook na Youtube wa BBCSwahili
-
-
-
Mwanasayansi wa Kirusi wa teknolojia ya hypersonic afungwa kwa uhaini
https://bbc.in/3AZ9J4G
Watu saba wafariki Ukraine kufuatia mashambulizi mapya yaliotekelezwa na Urusi
https://bbc.in/3TegTZj
Tume ya Haki za Binadamu Uganda yataka kuachiliwa kwa wanawake walioandamana wakiwa utupu
https://bbc.in/3XbvllR
'Tunahitaji silaha za masafa marefu "kujibu ugaidi kwa haki" - Zelensky
https://bbc.in/4gmXAHg
"Nilitamani kurukja juu na chini na kulia na kupiga kelele" - Alisema Jodie Grinham ambaye ni mjamzito wa miezi saba
"Lakini kwa kuwa ni mjamzito, jambo bora la kufanya lilikuwa ni kukaa chini na kutulia kwa sekunde moja, kisha kuanza kupongezana na mambo mengine."
-
Umasoni: Sherehe za siri na itikadi za wanawake wa Freemason
https://bbc.in/4cPqLQ5
Wimbi jipya la mashambulizi ya Urusi laikumba Ukraine baada ya shambulio la Poltava
https://bbc.in/3MvGitG
Je, ungependa kumiliki silaha nchini Kenya? ni rahisi, fuata masharti haya
https://bbc.in/47f56Qn
Fumbo la kiroho kuhusu hali unayopitia ukikaribia kufa
https://bbc.in/4dUeUSb
12 wafa baada ya boti ya wahamiaji kuzama pwani ya Ufaransa
https://bbc.in/3MuiAho
WARIDI WA BBC: Nilishauriwa ‘kuzaa’ mapema ili kupona ugonjwa wa Endometriosis
https://bbc.in/3XfniEy
BBC
London
W1A1AA
Be the first to know and let us send you an email when BBC Swahili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.
Zakia Khudadadi ameweka historia katika Michezo ya Olimpiki ya Walemavu kwa kushinda shaba katika mchezo wa taekwondo - Nakuwa mshiriki wa kwanza kabisa kutoka Timu ya Wakimbizi kushinda medali. - Mwanariadha huyo, ambaye asili yake ni Afghanistan, anaeleza maana ya ushindi wake. - - - #bbcswahili #paralimpiki2024 #paris #olimpiki #walemavu #mivhezo
Kundi la wanafunzi wa shule ya sekondari katika Kisiwa cha Jeju, kisiwa maarufu nchini Korea Kusini, wamefanya ufukwe kuwa sehemu rahisi kufikika kwa watu wenye ulemavu. - Wameweka viti vya magurudumu vinavyoelea na mikeka isiyo ingiza maji ufukweni. - Mpango huo umetimia baada ya kupata ufadhili kutoka kwa shirika moja. - - - #bbcswahili #koreakusini #walemavu
Takriban 14% ya wanaume wote wa Israeli waliouawa katika shambulio la Hamas la Oktoba 7 na vita dhidi ya Gaza vilivyofuata walikuwa wametolewa mbegu za kiume kwenye miili yao na kuhifadhiwa. Hii ni takribani mara 15 zaidi ikilinganishwa na kipindi kama hicho katika miaka iliyopita. Idadi hii inayoongezeka ya wazazi wa Israeli wanaotaka kuhifadhi mbegu za kiume za watoto wao, inaibua masuala magumu ya kisheria na maadili. #bbcswahili #israel #benkiyambeguzakiume #uzazi
'Shangazi yangu aliniambia nije kufanya kazi, lakini sikumkukuta kituoni' - Kila siku watu watatu hadi watano hutelekezwa kwenye kituo kikuu cha mabasi cha magufuli kilichopo jijini Dar es saalam huku wengi wao wakiwa ni watoto yaani watu wenye umri chini ya miaka 18. - Ofisi ya ustawi wa jamii kituoni hapo inasema wengi huja wakiamini Dar es salaam kuna maisha mazuri au kwa kufuata ahadi za kazi. - Si raia wa Tanzania pekee wanatelekezwa kituoni hapo bali hata raia kutoka mataifa jirani. - - - #bbcswahili #tanzania #stendmaghufuli #watoto
Uchambuzi wa Man United dhidi ya Liverpool. Tutumie ujumbe wako hapa au katika ukarasa wa instagram na YouTube wa BBC Swahili pia unaweza kutuma ujumbe wako mfupi kupita ukurasa wa Instagram wa loko_omi
Kwa nini vijana wa Korea wanaishi katika nyumba zilizojaa takataka - Nchini Korea Kusini, makampuni ya usafi yanapata biashara zaidi kutoka kwa vijana wa Korea Kusini wanaoishi katika nyumba zilizojaa taka katika miaka ya hivi karibuni. - Wengi wao ni watu wenye umri wa miaka kati ya 20 na 30, na hali yao ya afya ya akili inamaanisha kuwa wamepoteza uwezo wa kufanya kazi za kawaida kama kusafisha. - - - #bbcswahili #koreakusini #afyayaakili #afya #vijana
Uchambuzi wa mchezo wa West Ham dhidi ya Man City. Tuma ujumbe wako hapa au katika ukurasa wa instagram ya loko_omi
Je, umewahi kujisikia vinaya kisa umekosea kitu? - Wote tunafanya makosa, hakuna anayejua kila kitu. Lakini kuna njia ya kufanya ili ujisikie vizuri. - - - #bbcswahili #sayansi #elimu
Bingwa wa Dunia na Olimpiki ya Walemavu Folashade Oluwafemiayo anashiriki Michezo yake ya tatu ya Olimpiki ya Walemavu mjini Paris. - Mnageria huyu anasema mume wake amekuwa akimpa moyo wa kutokana na kumuunga mkono katika mashindano mbalimbali ya kimataifa aliyoshiriki na kushinda. - - - #bbcswahili #olimpiki #paralimpiki #ulemavu #paris2024