Jenerali Sylvain Kyenge: Msemaji wa Gavana wa Jimbo la Kivu ya Kaskazini.
Jeshi la jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo, kupitia tangazo la msemaji wa Gavana wa Jimbo la Kivu ya Kaskazini, limesema kua halitoacha hata sehemu ya ardhi ya Congo kwa yeyote,.
Radio Télé Tanganyika 24
Vikosi vya Jeshi la Kenya vya anza mazoezi ya kivita kwa kukabiliana na makundi ya uasi mashariki mwa jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo.
Hatua hiyo imekuja baada ya raïs Félix Antoine Tshisekedi Tshilombo kutangaza hali ya isio ya kawaïda katika majimbo ya Ituri na Kivu Kaskazini.
Raïa wa mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo, waandamana dhidi ya mauaji na usalama mdogo unaoripotiwa mashariki mwa nchi hii.
Maandamano hayo yameïtishwa na muungano wa mashirika ya Kiraïa. Shirika la Kiraïa la NDSC - CHUMVI YA CONGO.
Tanganyika 24
Jeshi la Tchad la tangaza kifo cha raïs wa nchi hiyo, Maréchal Idris Deby Itno. Kifo kilicho tokea alipokua kua msatari wa mbele akiongoza majeshi wakipambana dhidi ya uasi.
Raïa wa mtaa wa Kasenga Uvira Jimboni Kivu Kusini, ambao wameyapoteza makaazi yao kutona na mafuriko yalio sababishwa na mto Mulongwe kupoteza njia watapatapa kwa kukosa pakuka.
Mvua zinazo endelea kunyesha msimu huu zinaendelea kusababisha hasara kwa wakaaji wa mji wa Uvira kwa kubomoa majumba yao. Mto wa Mulongwe umekua ukijaa hadi kupoteza njia yake. Wahanga wa janga hilo laasili hawajuwi waende wapi. Waiomba serekali kuwatafutiya makaazi mengine ili wasirndelei kuhangaika.
Radio canal Tanganyika Média yatoa mkono Wapole kwa wote!