29/08/2024
Tuwe na pupa katika
Kuziendea kheri kwa ajili
ya Dunia na Akhera yetu
Ungana nasi kwa mengi zaidi
Page hii inahusu kusambaza Yalio mema na Kukumbushana kwa yanayo tuzunguka katika jamii
Tuwe na pupa katika
Kuziendea kheri kwa ajili
ya Dunia na Akhera yetu
Ungana nasi kwa mengi zaidi
Neno kwa mwalimu
MSHUKURU ALLAH
KWA KILA HALI
NA KWA KILA HATUA
Ungana na page hii kwa
Mengi mema na mazuri
🚨MUHIMU KWA WENYE
AKAUNTI ZA FACEBOOK🚨
KUMEIBUKA MCHEZO WA PICHA CHAFU AU MATANGAZO YA KIBIASHARA KUWEKWA KATIKA ACCOUNT AU PROFILE ZA FACEBOOK BILA RIDHAA YETU YAANI HACKERS.
Kumekuwa na muendelezo wa watu kuwa tagged na video za ngono kwenye mtandao wa Facebook kwa siku za Hivi karibuni.
Jambo hili limezua sintofahamu miongoni mwajamii sababu wanafanya hayo yote bila ridhaa yako. Hivyo basi zingatieni haya yafuatayo ili kuifanya akaunti yako kuwa salama.
Ili kuepuka kuwa tagged kwa video au picha chafu, fanya yafuatayo:
Ingia kwenye *Settings* ya Facebook Account yako kisha nenda *Audience and Visibility* halafu nenda *Profile and Tagging.*
Ukishafika hapo *Profile and Tagging* utakuta kuna machaguo mawili la kwanza linahusu *Viewing and Sharing.*
Kwenye *'Who can post on your profile'* chagua *'Only Me'* vivyo hivyo kwenye *'Who can see what others post on your profile'* chagua *'Only Me.'*
Pia, kwenye Tagging lile chaguo la kwanza lililoandikwa, *'Who can see posts you're tagged in on your profile'* chagua *'Only Me'.*
Aidha, pale kwenye option ya *'When you're tagged in a post, who do you want to add to the audience of the post if they can't already see it'* napo chagua *'Only Me.'*
Hapo utakua umezuia mtu asiweze ku Tagg picha za ovyo au jambo lolote katika akount yako.
Ungana nasi kwa mengi zaidi
fahamu yalio mema
Ahsante. Sharing is caring🤝
Uvumilivu ni ibada ngumu lakini matunda yake ni mazuri sana.
MAA SHAA ALLAH
Dada wa kiislamu SNURA {aliye kuwa msanii wa music Tanzania} akisoma Qur'an baada ya kuachana na music na kumrejea Allah..
Tunamuomba Allah awaongowe pia na wengine wasanii ili waweze kutoka huko katika kumtumikia shetani na warudi kwa mola wao kabla ya umauti wao...
Kwa Habari za uhakika ungana nasi
ili uitengeneze Akhera yako kabla ya kuondoka Duniani.
TUWE NA ASUBUHI NJEMA
TUSIKOSE KUMSHUKURU ALLAH KILA WAKATI BILA KUJALI YALE TUNAYO YAPITIA KATIKA MAISHA
"ALHAMDULILLAH"
Ungana nasi kwa mengi zaidi
KIFO HUJA GHAFLA
INNAA LILLAH WAINNAA
ILAYHI RAAJIUUN
Ni baada tu ya kutokea ajali ya pikipiki na Daladala huko Jijini Tanga Leo tuna mpoteza Sheikh mkubwa pia katika Tanzania na mlezi wa wanafunzi wengi wa Dini napia mlinganiaji maarufu...
Kwa video zaidi tazama ktk comment section.
fahamu yaliyo mema
Usikose kuungana nasi kwa mengi.
MSANII WA MUZIKI (SNURA)
KAAMUA KUMREJEA MOLA WAKE ALHAMDULILLAH
MaaShaAllah.. Mwenyezi Mungu Anasema Habadilishi yaliyo kwenye Nafsi Zenu mpaka mbadilishe Nafsi Zenu wenyewe.
MaaShaAllah Dada Huyu Ameamua Kuibadilisha Nafsi yake kurehea Katika Tawheed na TAQWAH 💪
Wangapi Walianza Vibaya Ila Walimaliza Vizuri!
Wangapi Walianza vizuri wak**aliza Vibaya!
Naam, Mja Akiamua kurudi Kwa Mola wake basi Muombeeni Dua Kwa Allah Ili amuifadhi Zaidi na ampe mwisho mwema
Kwa video zaidi tukutane katika comment section
ALLAH ATUJAALIYE MWISHO MWEMA SOTE KWA PAMOJA
Kwa mengi zaidi ungana nasi katika ukurasa wetu wa
KIFO NI FUMBO
MAISHA NI KUJIANDAA
KWA AJILI YA AKHERA
INNA LILLAH WA INNA ILLAH RAJIUN
Maisha yana Siri Kubwa Sana,
Na: Yahaya Abdully
Mr. Abass katoka America karudi Burundi Nyumbani Kuoa ili arejee U.S.A na Mke wake baada ya ndoa
Kafunga Ndoa Salama Siku ya Ijumaa 19/07/2024 na Jana Ijumamosi wakiwa safarini na Mke wake wakielekea Bujumbura ili Leo Jumapili wafanye Walimah na Reception Party wanapata Ajali mbaya Ya Gari
Bwana harusi anafariki hapohapo na mke yupo Mahututi hospital (tunamuomba Allah ampe shifaa ya haraka na Amsamehe marehemu madhambi yake na Allah awape subra Familia ya marehemu na Waislamu wote)
Kaishi Muda Mrefu Marekani ila kifo chake kiliandikwa Burundi na ndivyo ilivyo tokea Subuhaanallah!!
Chakula alicho kiandaa kwa ajiri ya Harusi Sasa kitatumika Msibani 😭😭
Maisha ni fumbo kubwa Sana Tuishi Duniani k**a wapita njia na tukijiandaa
Angalizo:
Tupate mazingatio kutokana na tukio hili na mengineyo kwa ujumla
Allah amsamehe makosa na mapungufu yake na amuingize katika rehema na pepo yake tukufu aamiyn
إنا لله وإنا إليه راجعون
اللهم اغفر له وارحمه واسكنه فسيح جناتك يارب العالمين
Kwa khabari mbali mbali na matukio tofauti katika jamii zetu na Dunia kwa pamoja basi ungana nasi
Pia Sambaza na kwa wengine
WELCOME /KARIBUNI
You are welcomed my newest followers! Excited to have you here!
Karibuni sana napia ni furaha yetu kuona tuko pamoja katika page hii, hatuwezi kufika popote bila ya nyinyi, kwahio kuweni huru katika kuchangia..
Fadhil Badru Swalehe, Abou Silliah, Hamady Haji, Prince Hussein Hussein, Nassiry Rashid, Soud Hemed, Mwanah Boya, Abubakari Wasia, Said Mpalawa, Hassan Suleiman, Kassim Ngubege, Sele Mwandu, Mwanajuma Mwakuvimani, Tawfiiq Hamisi, Hemedi Mroaki, Hussein Shungu, Mwalimu Abdallah Njama Jr., Yohana Kigocha, Solomon Juh, Mary Khonde Mk, Yusufu Bakary
IJUMAA
IWE YENYE KHERI
KWA WAISLAMU WOTE DUNIANI
'' Tujitahidi kwenda Masjid mapema"
🌴 KHERI JUU YA KHERI 🌴
WIKI YENYE MALIPO
MAKUBWA KWA WENYE
KUPENDA KHERI
Siku ya Ijumaa tatu ni Tarehe 9
(Ni siku kabla ya Aashuuraa)
Siku ya Ijumaa nne ni Tarehe 10
(ni siku ya Aashuraa)
Siku ya Ijumaa tano ni Tarehe 11
(ni siku baada ya Aashuuraa)
(Mwezi wa Muharram 1446 H)
Siku zote hizo ni sunnah kufunga
Itakua Sawa na Tarehe
15 - 16 - 17 July 2024
Siku ya Alkhamis ni Tarehe 12
(Muharram 1446H)
Ni Sawa na Tarehe 18 July 2024
(Pia ni sunnah kufunga)
Siku ya Ijumaa Tarehe 13
Siku ya Ijumaa mosi Tarehe 14
Siku ya Ijumaa pili Tarehe 15
(Muharram 1446 H)
Itakua sawa na
19-20-21 July 20
Ni Sunnah kufunga
Masiku meupe
Ni hizo siku 3 kila mwezi
Kwa kalenda ya kiislamu
Siku ya Ijumaa tatu Tarehe 16
( Muharram 1446H)
Sawa na Tarehe 22 July 2024
(Itakua siku ya kufunga sunnah)
🤲Swaumu na qur'an🤲
Vitawaombea watu
siku ya Qiyama kwahio Jipambe kwa
Kuisoma sana Qur'an pia kufunga, usipoteze neema hii katika kufunga haya masiku matukufu wiki yote hii
in shaa Allah
fahamu yaliyo mema
FUNGA YA AASHUURAA
__________
SWALI:
Mtu amefunga siku ya ´Aashuuraa´ na hakufunga siku moja kabla yake wala baada yake. Ni ipi hukumu?
JIBU:
Kilicho zungumzwa na wanachuoni ni kwamba inachukiza. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema mara ya mwisho:
“Nikiendelea kuishi basi nitafunga pia siku ya tisa.”
Hapo ilikuwa baada ya kukataza kwenda sambamba na watu wa Kitabu. Mwanzoni alikuwa anapenda kuafikiana nao katika yale ambayo hakukatazwa na alikuwa akifunga ´Aashuuraa´ (siku ya kumi) peke yake. Baadaye Allaah akamwamrisha kwenda kinyume na washirikina na kutoafikiana nao. Ndipo akasema:
“Nikiendelea kuishi basi nitafunga pia siku ya tisa.”
Lakini hakuendelea kuishi. Msimulizi wa Hadiythi, Ibn ´Abbaas, amesema:
“Angelifunga tarehe tisa na kumi.”
Ahmad na wengine wamepokea ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Fungeni siku moja kabla yake na siku moja baada yake.”
Imekuja katika tamko jingine:
“Fungeni siku moja kabla yake au siku moja baada yake.”
Lakini kuna unyonge katika mlolongo wake wa wapokezi. Kwa sababu ni katika mapokezi ya Muhammad bin Abiy Laylaa ambaye anapokea Hadiythi dhaifu. Lakini hata hivyo inatiwa nguvu na nyinginezo katika maana.
Sunnah kwa mtazamo wa wanachuoni ni kwamba mtu afunge pia na siku moja kabla yake au siku moja baada yake. Vilevile anaweza kufunga siku moja kabla yake na baada yake na hivyo kwa jumla inakuwa siku tatu. Hii ndiyo Sunnah. Mtu afanye hivyo ili kujitofautisha na watu wa Kitabu.
Mhusika:
Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama:
Firqatunnajia.com
Marejeo:
https://binbaz.org.sa/fatwas/20781/حكم-صيام-عاشوراء-دون-صيام-قبله-او-بعده
fahamu yaliyo mema
Ungana nasi kwa mengi zaidi na yenye faida katika Dini yako na Dunia yako
Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Abuu Najma Yangeyange, Maalim Abu Khadija, Wisdom Peace, Mdoe Somo, Bin Abdi Abdi Kungwi, Haji Hemedi, Mc Selle Rama, Muro Ntumba, Kussi Alliy, Warda Salha Jamal, Adam Rashid, Khamis Ngwele, Duwa Mgozi, Nibakure Ismail, Kenya Jumanne, Ramadhani Mdoe, Kibwana Mohamedi, Ali Shaqiri, Shafii Khalfan Mjaka, John Bahat, Ibrahim Ndumla, Rahimu Gatuso, Muhamedy Ally Mpela, Elias Wesonga
Tunafuraha sana kwa ku follow page hii ili kupata faida zaidi, pia mpo sehemu sahihi kabisa, ahsanteni sana nyote followers wa page hii kwa support yenu...
fahamu yaliyo mema.
MWANAMKE
---------------
Ewe uliye katika ndoa lizingatie hili jambo, Kwani hakika unabahati kubwa na umechaguliwa na Allah kua na mume anaye kujali, kuthamini,na kukuheshimu, kwahio nawewe muoneshe thamani yake kwa kuto muudhi Mara kwa Mara kwasababu akiwa ni mume mwema anaye tekeleza majukumu yake kwako vizuri basi utapo muudhi tu huwa Malaika (Huurul aini) wanasema maneno hayo ktk hii video 👇
fahamu yaliyo mema
Sambaza kwa wengine faida hii
FUNGA YA A'SHUURAA
----_________________---
🌹🌙MWAKA MPYA WAKIISLAM🌙🌹
🎆TAREHE 1 MUHARRAM 1446H.
👍TUJIANDAE KUFUNGA SWAUM YA AASHURAA (Tarehe 16/07/2024) Jumanne, In Shaa Allaah.
🔊ANASEMA MTUME ﷺ : "Funga ya siku ya 'Aashuraa, nataraji kutoka kwa Allah Ayafute madhambi ya mwaka uliopita)) [Muslim📗]
https://youtu.be/pLOnzxbX3PQ?si=Yihvt1xgyNCCwFOX
👆Bonyeza hapo
REKEBISHA MAKOSA YAKO WAKATI WA KUTAWADHA.
fahamu yaliyo mema
Sambaza na kwa wengine
https://youtu.be/pLOnzxbX3PQ?si=Yihvt1xgyNCCwFOX
_*Mafundisho haya ni muhimu sana kwako, Fatilia hadi mwisho ili urekebishe makosa yako katika kutawadha,,, ni mafundisho kwa vitendo*_
https://youtube.com/watch?v=cU0G-a1CVtA&si=k0JOltKPIsR-yvPr
_*Fatilia mwanzo hadi mwisho kwa ukamilifu Khutba ya Eid kutoka kwa Sheikh Salum Bijeje{Sheikh wa mkoa wa Rumonge}*_
_Sambaza na kwa wengine ,pia k**a wewe ni mgeni katika channel hii basi uta subscribe kisha utabonyeza alama ya kengelele kwa video zaidi_.
khutba ya shekh Salum Bijeje imewagusa wengi na kupendwa sana,hakika alizungumza mengi ikiwemo mshik**ano ,kushukuru neema alizo tuneemesha Allah,kupendana n...
https://youtu.be/wV6tBQH84S4?si=fSIMcwhD0iia3AF-
_*Shuhudia mapokezi ya kihistoria kwa Sheikh Salum Bijeje baada ya kuwasili South Africa, na amejibu maswali yote*_.
SIKU YA 'ARAFAH
---------------------
Assalamu alaykum ndugu yangu
Usikose fadhila nyingi katika siku hii tukufu na bora kabisa katika maisha yako, k**a Allah amekuhifadhi ukifika siku hii bora kabisa katika Dunia (siku ya Arafah, Tarehe 9 ya Dhul hijjah ) basi jitahidi kulala mapema kwa ajili ya kuamka usiku kufanya ibada, kuswali au kufanya adhkari, na ikiwezekana kesha usiku mzima au lala kidogo tu ili ufanye ibada kwa wingi katika siku hii, kwa sababu siku ya arafa ni siku ambayo Allah huwasamehe waja wake na huwatoa motoni, na humsamehe mja madhambi ya mwaka ulio tangulia na mwaka ujao, kwahio tumuombe sana Allah nasi tuwe miongoni mwa watakao samehewa nakutolewa motoni,.. Pia tujitahidi Sana kuisoma Qur'an usiku au mchana, tuombe Dua nyingi na kheri za Dunia na Akhera, tutowe Sadaqah, tujisogeze kwa Allah kwa Aina tofauti ya mema, tusipoteze japo dakika moja katika mambo ya sio na kheri kwetu, hakika siku hii ya Arafah ni siku bora sana katika maisha yetu, tuamke kula daku na kufunga pia, napia jitahidi kuswali Sala ya alfajiri katika jama'ah pamoja na imaam pia na swala zingine iwe hivyo, swali sunnah ya kuchomoza kwa jua na Kisha baada ya k**a masaa kadhaa swali sunnah ya dhuhaa kabla ya kuingia wakati wa Adhuhuri, usiku wa kuamkia siku ya Arafah swali japo Rakaa mbili au nne na umuombe Allah utakacho ikiwemo kumuomba akusamehe madhambi yako nk...
Tunamuomba Allah atujaaliye Funga njema katika siku ya Arafah napia aweze kutusamehe madhambi ya myaka miwili k**a alivyo tuahidi, napia Allah atuongoze katika mema siku hii ya Arafah na katika masiku ya Eid pia
TUNAKUTAKIENI FUNGA NJEMA NA EID MUBAARAKA KWA WAISLAMU WOTE DUNIANI...
fahamu yaliyo mema
to others.
https://youtube.com/?si=GUjTcdABDg1BUcSw?sub_confimation=1
Hasanaatu TV ni ya kwetu sote na ipo kwa ajili ya kukuelimisha na kuielimisha jamii kwa pamoja kuhusu Dini yetu na Dunia yetu pia, tuna patikana katika mitandao ya kijamii ikiwemo Facebook na mitandao mingine, napia waweza kuwasiliana nasi kupitia Email yetu ya: [email protected] Pia tuandikie k...
https://youtu.be/5TK_yxCOykU?si=_8ULn3cbl6g2wB2c
_Don't miss this video to the End _Usikose kutazama mpaka mwisho_
Pata faida na kuelimika kwa kufatilia video hio muhimu sana
fahamu yaliyo mema
Katika video hii pame zungumzwa mambo mengi ya kuhusu masiku kumi ya Dhul hijjah, ikiwemo kufanya mema k**a vile kufunga, kutoa Sadaqah, kujiepusha na movi, ...
6 Valk Street
Kinross
2270
Be the first to know and let us send you an email when Hasanaatu TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.
Send a message to Hasanaatu TV:
MAA SHAA ALLAH Dada wa kiislamu SNURA {aliye kuwa msanii wa music Tanzania} akisoma Qur'an baada ya kuachana na music na kumrejea Allah.. Tunamuomba Allah awaongowe pia na wengine wasanii ili waweze kutoka huko katika kumtumikia shetani na warudi kwa mola wao kabla ya umauti wao... Kwa Habari za uhakika ungana nasi #hasanaatutv ili uitengeneze Akhera yako kabla ya kuondoka Duniani.
MWANAMKE --------------- Ewe uliye katika ndoa lizingatie hili jambo, Kwani hakika unabahati kubwa na umechaguliwa na Allah kua na mume anaye kujali, kuthamini,na kukuheshimu, kwahio nawewe muoneshe thamani yake kwa kuto muudhi Mara kwa Mara kwasababu akiwa ni mume mwema anaye tekeleza majukumu yake kwako vizuri basi utapo muudhi tu huwa Malaika (Huurul aini) wanasema maneno hayo ktk hii video 👇 #hasanaatutv fahamu yaliyo mema Sambaza kwa wengine faida hii
https://youtu.be/pLOnzxbX3PQ?si=Yihvt1xgyNCCwFOX 👆Bonyeza hapo REKEBISHA MAKOSA YAKO WAKATI WA KUTAWADHA. #hasanaatutv fahamu yaliyo mema Sambaza na kwa wengine
MUFT YAKS INNAA LILLAH WAINNAA ILAYHI RAAJIUUN إنا لله وإنا إليه راجعون Ni masikitiko makubwa na huzuni katika Taifa la Nigeria na Dunia kwa pamoja kwa kumpoteza kijana mlinganiaji na muhamasishaji katika Dini ya Allah, alikua mmoja ktk walinganiaji wachache sana wenye umri kama wake, alikua akihamasisha Amani na kuwa weka watu pamoja na kuondoa tofauti baina ya watu kupitia da'awah yake iliyojaa nasaha na upole pia. Alipendwa sana na watu kutokana na Tabia yake njema, hekima na busara zake, napia kutokana na kuishi vizuri na jamii iliyo mzunguka, hasa akiwa ni kijana aliye jipamba na sunnah kuanzia tabia mpaka mavazi yake na mwenendo wake pia. Jina lake halisi ni Abdulateef Aliyu Maiyaki ila amekua maarufu kwa Muft Yaks. Miongoni mwa masheikh wakubwa akipenda kuwafatilia zaidi Nakuwapenda pia ni sheikh Muft menk Ambaye pia ni mlinganiaji mkubwa wa kimataifa mzaliwa wa nchini Zimbabwe ila mwenye asili ya nchini Yemen napia anaendesha harakati zake Zaki da'awah nchini South Africa. Muft Yaks alizaliwa mwaka 2004 huko Nigeria na amefariki mapema ya siku ya ijumamosi Tarehe 01/06/2024 katika hospital ya huko Abuja Nigeria. Tunamuomba Allah ampokee salama na amsamehe pale alipo kosea, napia tunawapa pole Familia yake na Waislamu wote Duniani kwa kuguswa na msiba huu mkubwa, napia Tunamuomba Allah nasisi atujaaliye matendo mema na atupe mwisho mwema Aameen. #hasanaatutv fahamu yaliyo mema Ungana nasi kwa taarifa na khabari tofauti bila kusahau ku share ujumbe.
SHEIKH AZUNGUMZIA HATARI YA MANENO ALIYO YAONGEA MSANII KUTOKA TANZANIA RAJAB ABDUL QAHAR (Harmonize) KWA KUHISI KWAMBA MUNGU HUWENDA NI MWANAMKE. Ndugu zangu, Allah hafanani na kitu chochote kwahio usithubutu kumfananisha Allah kwa kiumbe chochote, Bali tumuabudu kwa kutarajia pepo yake na kwa kuhofia moto wake, napia kumfananisha Allah na kiumbe chochote katika viumbe wake na kumfananisha kijinsia na kiumbe yeyote huo ni ukafiri na unaweza kujikuta umetoka katika uislamu, kwahio usifanye mzaha wala utani katika kumzungumzia Allah. Tunamuomba Allah azilinde Imani zetu na aendelee kutuongoza katika yaliyo mema na atuepushe na yaliyo mabaya na atujaaliye mwisho mwema, Aamiin 🤲 #hasanaatutv fahamu yaliyo mema Ungana nasi kupitia mitandao yote ya kijamii , pia waalike na wengine kujiunga.
MaashaAllah watu wa Qur'an hawa Kijana anajibu maswali yote yanayo husu Tajweed ya Qur'an. #hasanaatutv Ungana nasi kwa mengi Wasambazie na wengine
ESAU Mass Communication የብዙሐኑ መገናኛ
Marble Towers 206 Delvers Street, Johannesburg