MWIJAKU APUUZWE MAMA YAKE AZIZ KI YUKO HAI NA NDO HUYU HAPA
Kumbe nikweli wakwe awampendi Hamisa mobeto, Mama mzazi wa Aziz Ki yupo hai Hajafariki kama alivyosema Mwijaku, Rais wa Yanga Hersi athibitisha kuwa huyu ndo mama mzazi wa Aziz Ki.
ALIKIBA AKOSHWA NA UJUMBE WA MAJINI
Msanii wa Bongo fleva Alikiba akoshwa na ujumbe huu wa Sheikh majini🙌
TAZAMA BALAA LA HARMONIZE AKIWA NA MPENZI WAKE ABIGAIL STUDIO
Hili hapa balaa la msanii wa bongo fleva Harmonize akiwa studio na Baby wake Abigail, konde boy anakuambia alirekodi mara moja tu Ngoma yake mpya #FURAHA
HUYU HAPA PACHA WA MARIOO AFUNGUKA MADEMU WANAVYO MSHOBOKEA KISA SURA
Pacha wa Marioo aeleza anavyoendesha maisha yake, afunguka kuhusu anavyosumbuliwa na wanawake, mademu wanataka kila mmoja awe Paula🤣🙌
TAZAMA MWIJAKU ALIVYO VAMIA INTERVIEW YA OMMY DIMPOZ😆
Tazama mwijaku alivyoivamia Interview ya ommy dimpoz nakuanza kumdai maokoto yake Live mbele za waandishi wa Habari🤣🤣🤣🙌
NDOA YA AZIZ KI NA HAMISA AITADUMU KWANZA NDOA YENYEWE WAMEZINGUA
"Ndoa ya Hamisa na Aziz Ki aiwezi kudumu ata iweje labda Aziz Ki ajifunze Kun-Fu la sivyo akuna ndoa itakayo sogea popote, kwanza wamezingua, nguo yangu nisawa na Ng'ombe zao zote" Mama Mawigi😁🙌
VITUKO VYA MWIJAKU, TAZAMA AZIZ KI ALIVYO ONDOKA NA MKEWE HAMISA
Mwijaku anavituko vya ajabu sana yaani aoni hata aibu, Tazama Aziz ki alivyoondoka na kifaa chake baada ya kumaliza Taratibu za ndoa😍🙌
HAMISA MOBETO NA AZIZ KI NI RASMI SASA
Nirasmi sasa Hamisa mobeto na Aziz Ki ni mtu na utamu wake, yaani namaanisha ni mume na mke wake, Tazama video hii ujionee walivyosaini cheti chao cha ndoa ni raha tupu😍😍🙌
NANDY NA ZUCHU WANALAJIFUNZA TOKA KWA HUYU BINTI ABIGAIL CHAMS
Je ukiambiwa Abigail chams nimkali kuwazidi Nandy na Zuchu utakubali, huyu Abigail ni Binti noma sana kwenye muziki yaani anafanya vitu ambavyo ni nadra sana kuvipata kwa wasanii wakike barani afrika, Tazama video hii.
HII HAPA TOFAUTI YA ALIKIBA NA DIAMOND, TUNDA MAN AFUNGUKA
Tunda man ameamua kumwaga ukweli bila uoga, ametoboa siri Alikiba na Diamond wanapozidiana kwenye muziki, vilevile amewataka watu wasimfananishe Alikiba na msanii yeyote wa Kenya.
Kisa mapenzi kupitiliza Diamond platnumz ajiita fala kwa zuchu, amwandikia ujumbe huu wa valentine uliojaa mahaba mazito😍❤
DIAMOND NA MPENZI WAKE ZUCHU WAMTEMBELEA MBOSSO
Msanii wamuziki na CEO wa wasafi records Diamond platnumz akiongozana na mpenzi wake Zuchu wametinga nyumbani kwa Mbosso ili kumpa salamu za pole😍❤🙌