Ihsaan Fm Radio

Ihsaan Fm Radio Ihsaan Fm Radio broadcasting live from Tanga Tanzania

MAHAFALI YA WAHITIMU WA 25 MAHAD IMAM SHAFII TANGA TANZANIA 🇹🇿
10/02/2025

MAHAFALI YA WAHITIMU WA 25 MAHAD IMAM SHAFII TANGA TANZANIA 🇹🇿

KHUTBA YA IJUMAA CHUDA TANGA MJINI.SHEIKH ALLY SHOMARIINSHAALLAH    .1
06/02/2025

KHUTBA YA IJUMAA CHUDA TANGA MJINI.

SHEIKH ALLY SHOMARI

INSHAALLAH



.1

▪️RATIBA || ZIARA YA KIDA'WAH JIMBO LA TANGA MJINI🎙SHEIKH MUHARRAM MWAITA🔹️TAREHE 10/02/2025M  -ya-mawasiliano_markaz_ku...
06/02/2025

▪️RATIBA || ZIARA YA KIDA'WAH JIMBO LA TANGA MJINI
🎙SHEIKH MUHARRAM MWAITA
🔹️TAREHE 10/02/2025M

-ya-mawasiliano_markaz_kuu

.1

▪️RATIBA || ZIARA YA KIDA'WAH JIMBO LA TANGA MJINI🎙SHEIKH IBRAHIM TWAHA🔹️TAREHE 07-10/02/2025M  -ya-mawasiliano_markaz_k...
03/02/2025

▪️RATIBA || ZIARA YA KIDA'WAH JIMBO LA TANGA MJINI
🎙SHEIKH IBRAHIM TWAHA
🔹️TAREHE 07-10/02/2025M

-ya-mawasiliano_markaz_kuu

.1

"Ewe Allah tujalie mwisho mwema "Allahumma amiin 🤲         .1
01/02/2025

"Ewe Allah tujalie mwisho mwema "

Allahumma amiin 🤲



.1

KHUTBA ZA IJUMAA TANGA MJINI.INSHAALLAH    .1
30/01/2025

KHUTBA ZA IJUMAA TANGA MJINI.

INSHAALLAH



.1

Allahumma amiin 🤲         .1
29/01/2025

Allahumma amiin 🤲



.1

▪️RATIBA || ZIARA YA KIDA'WAH JIJINI TANGA🎙SHEIKH MUHAMMAD BACHU🔹️TAREHE 31/01/2025M      .1
28/01/2025

▪️RATIBA || ZIARA YA KIDA'WAH JIJINI TANGA
🎙SHEIKH MUHAMMAD BACHU
🔹️TAREHE 31/01/2025M



.1

"Mola wetu Mlezi, tupe duniani mema, na Akhera mema, na utulinde na adhabu ya Moto!"Allahumma amiin 🤲         .1
28/01/2025

"Mola wetu Mlezi, tupe duniani mema, na Akhera mema, na utulinde na adhabu ya Moto!"

Allahumma amiin 🤲



.1

"Ewe Mola wetu Mlezi! Tunakuomba utusamehe sisi na wazazi wetu, na uwahurumie k**a walivyotulea ototoni"Allahumma amiin ...
27/01/2025

"Ewe Mola wetu Mlezi! Tunakuomba utusamehe sisi na wazazi wetu, na uwahurumie k**a walivyotulea ototoni"

Allahumma amiin 🤲



.1

*ZIARA YA KIDA'WAH**JIMBO LA TANGA MJINI**SHEIKH HASSAN  AHMED*  .1
24/01/2025

*ZIARA YA KIDA'WAH*
*JIMBO LA TANGA MJINI*
*SHEIKH HASSAN AHMED*


.1

Tunatafuta Mwalimu wa Tahfidh Al Qur'an mwenye sifa zilizoainishwa. CHANGAMKIA FURSA
15/01/2025

Tunatafuta Mwalimu wa Tahfidh Al Qur'an mwenye sifa zilizoainishwa.

CHANGAMKIA FURSA

02/01/2025

DAY 3 | MKUTANO MKUU WA 28 WA MWAKA | ANSAAR MUSLIM YOUTH CENTRE - 28TH DEC, 2024

Cc: Tv Imaan Tanzania

01/01/2025

DAY 2 | MKUTANO MKUU WA 28 WA MWAKA | ANSAAR MUSLIM YOUTH CENTRE - 28TH DEC, 2024

Cc: Tv Imaan Tanzania

01/01/2025

DAY 1 | MKUTANO MKUU WA 28 WA MWAKA | ANSAAR MUSLIM YOUTH CENTRE - 27TH DEC, 2024

Cc: Tv Imaan Tanzania

SHEIKH SALIM BARAHIYAN AKALIFISHWA TENA KUONGOZA AMYCTanga, TanzaniaKufuatia Mkutano Mkuu wa 28 wa Mwaka wa Taasisi ya A...
29/12/2024

SHEIKH SALIM BARAHIYAN AKALIFISHWA TENA KUONGOZA AMYC

Tanga, Tanzania
Kufuatia Mkutano Mkuu wa 28 wa Mwaka wa Taasisi ya Ansaar Muslim Youth Centre (AMYC) uliofanyika kwa siku tatu mfululizo kuanzia Desemba 27 hadi 29, 2024, Sheikh Salim Barahiyan amechaguliwa tena kuwa Mudir wa Taasisi hiyo kwa kipindi kingine cha miaka minne.

Katika uchaguzi huo, nafasi mbalimbali za uongozi zilijazwa, ambapo Sheikh Ally Nassor alichaguliwa tena kuwa Naibu Mudir, Al Akh Seif Ally Babu kuwa Mweka Hazina, na Al Akh Fuad Barahiyan alirudi tena kaika nafasi ya Naibu Mweka Hazina.

Pia, wajumbe 10 wa Bodi ya Wadhamini walichaguliwa katika mkutano huo. Wajumbe hao ni Eliamani Mgallah, Badru Issa Badru, Muhammad Bawazir, Fuad Barahiyan, Mbarak Ahmed, Edha Al Obthan, Bakari M. Bakari, Sheikh Salim Barahiyan, Sheikh Salim Bafadhil, na Muhammad Hussein.

Kabla ya zoezi la uchaguzi, ripoti muhimu ziliwasilishwa, ikiwa ni pamoja na Ripoti za Utendaji na Ripoti ya Fedha kutoka kwa Majimbo yote pamoja na Markaz Kuu. Ripoti hizi zilijadiliwa kwa kina, na maoni pamoja na mapendekezo yalitolewa kwa lengo la kuimarisha utendaji wa taasisi.

Aidha, mipango ya kimkakati na kimaendeleo yaliazimiwa, yakitarajiwa kuanza kutekelezwa rasmi kuanzia Januari 2025. Maazimio hayo yanajumuisha juhudi za kuimarisha elimu ya dini, kueneza Da’wah ya Haki, kuendeleza ustawi wa jamii, kujenga uchumi madhubuti, na kukuza matumizi ya teknolojia za kisasa.

Tunamuomba Allah Subhanahu wa Ta’ala aibariki Taasisi ya AMYC, awaongoze viongozi wake wapya, na aisahilishie kufanikisha malengo yake kwa mafanikio na baraka.



🥀 *VIONGOZI 14 WACHAGULIWA KUIONGOZA TAASISI YA ANSAAR MUSLIM YOUTH CENTRE KWA MIAKA MINNE IJAYO* 🥀Jumla ya viongozi 14 ...
29/12/2024

🥀 *VIONGOZI 14 WACHAGULIWA KUIONGOZA TAASISI YA ANSAAR MUSLIM YOUTH CENTRE KWA MIAKA MINNE IJAYO* 🥀

Jumla ya viongozi 14 wamechaguliwa kuingoza Taasisi ya Ansaar Muslim Youth Centre kwa ngazi ya Markaz kuu katika uchaguzi uliofanyika mchana wa leo Jumapili Disemba 29,2024 ndani ya mkutano Mkuu uliofanyika kwa siku tatu katika ukumbi wa chuo cha Ummu Salama jijini Tanga.

Nafasi zilizochaguliwa ni Wadhamini 10, Mudir ,Naibu Mudir ,Mweka Hazina na Naibu Mweka hazina ambapo wajumbe wajumbe wa Mkutano Mkuu wamewachagua viongozi hao watakaohudumu kwa muda wa miaka mine kuanzia mwaka 2025 hadi 2028.

MATOKEO YA UCHAGUZI AMYC 1446H/2024M

01. Eliamini Shaban
Mgallah -
Mdhamini - amepata kura 100 kati ya kura 106

02. Saalim Awadhi
Bafadhili -
Mdhamini -amepata kura 102 kati ya kura 106.

03. Awadhi Muhammd
Bawaazir -
Mdhamini - amepata kura 101 kati ya kura 106.

04. Mubaaraka Ahmed - Mdhamini - amepata kura 102 kati ya kura 106.

05. Muhammad Hussein - Mdhamini - amepata kura 102 kati ya kura 106.

06. Fuad ‘Abdulrahiym
Barahiyaan -
Mdhamini - amepata kura 103 kati ya kura 106.

07. Saalim ‘Abdulrahiym
Barahiyaan -
Mdhamini - amepata kura 103 kati ya kura 106.

08. Edha Saidi
Mubaaraka -
Mdhamini - amepata kura 102 kati ya kura 106.

09. Badru ‘Iysa Badru - Mdhamini - amepata kura 102 kati ya kura 106.

10. Bakari Muhammad
Bakari -
Mdhamini - amepata kura 102 kati ya kura 106

11. Saalim ‘Abdulrahiym
Barahiyaan -
Mudir - amepata kura 104 kati ya kura 106.

12. ‘Ally Naasor ‘Ally - Naibu Mudir - amepata kura - 106 kati ya kura 106.

13. Seif ‘Ally Babu - Mweka Hazina - amepata kura 104 kati ya kura 106.

14. Fuad ‘Abdulrahiym
Barahiyaan -
Naibu Mweka
Hazina - amepata kura
106 kati ya kura 106.

🥀 *IMETOLEWA NA RADIO IHSAAN FM 102.1 TANGA* 🥀

Address

1542
Tanga
21105

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ihsaan Fm Radio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Ihsaan Fm Radio:

Videos

Share