Rais wa Marekani Baada ya Kuapishwa jioni ya Leo amesema Katika Sheria anazoenda kuanza Nazo ni pamoja na Kufuta utambuzi wa jinsia tofauti na Mwanaume na Mwanamke Nchini humo
“Nasaini leo rasmi kuwa Marekani inatambua jinsia mbili pekee ambazo ni Mwanaume na Mwanamke, tutaongozwa na miongozo yote ila kubwa zaidi hatutamsahau Mungu wetu”- Donal Trump, Rais wa Marekani wakati anaapishwa leo hii.
Wengi wa watu wazima Nchini marelani (97.3%) wanajitambulisha kama cisgender humu Asilimia nyingine 1.52 hawatambui kuwa ni wanaume, wanawake, au waliobadili jinsia -
#dreamsupdates #dreamstz #trump
Ila wahindi wanamambo ya ajabu sana
#dreamsupdates #dreamstz
Huyu hapa Winga mpya Jonathan Ikangalombo Mchezaji mpya wa Yanga sc
#dreamsupdates #dreamstz #yanga
Israel Hamas ceasefire agreement
#dreamsupdates #dreamstz #israel #hamas #ceasefirenow🇵🇸
Joe BIDEN asked if he or Trump should take credit for Gaza ceasefire
#dreamstz #dreamsupdates #yourglobaltrustedsource
#breakingnews Israel - hamas wafikia makubaliano kusitisha mapigano
Hamas na Israel zimefikia makubaliano ya kusitisha mapigano siku ya Jumatano, Januari 15, miezi kumi na tano baada ya shambulio la Oktoba 7, 2023. Makubaliano haya yametangazwa na vyanzo vilivyo karibu na majadiliano kwa shirika la habari la AFP. Hii ni mara ya pili kufikiwa makubaliano - ambayo muda wake bado haujajulikana - kutangazwa katika vita hivi vya vibaya, baada ya vita vya kwanza vilivyodumu kwa wiki moja mnamo Novemba 2023.
Vinicious Junior🤔🤔
#dreamsupdates #dreamstz
Help identify this
Is this real video or AI?
Hello bike lovers #dreamsupdates #dreamstz #bike
Captain Dickson Job akielezea mchezo wa Al hilal v Yanga baada ya Ushindi wa goli moja kwa bila likifungwa na kiungo mshambuliaji Stephen Aziz Ki
#dreamstz #dreamsupdates #daimambelenyumamwiko #caf
This fan's atmosphere is of another level 🔥🔥
#dreamstz #dreamsupdates