"If real development is to take place, the people have to be involved." Julius Kambarage Nyerere, from his book Uhuru na Maendeleo (Freedom and Development), 1973. Tanzanians have been less involved in the development process. Is it because people didn't question the decisions made by their government? or they didn't know that they had to question the government? or is it due to lack of participat
ion in the decision-making process, or are there some cultural norms that hinder society to reflect some social, political and economical issues? Well, the Tanzanian general election of 2015 revealed that it's time to break the silence and talk about our own development in all levels. A tide of Tanzanian's excitement for CHANGE in 2015 should be maintained to bring about a wave of real positive and sustainable Development for the sake of the whole society. Mwamko wa watanzania 2015 ni mbegu ya mabadiliko inayotakiwa kutunzwa na kulelewa kwa uangalifu ili kukua na kuleta maendeleo kwa watu wote. "Kwa pamoja kama watanzania wazalendo ili kulitimiza lengo la maendeleo kwa vizazi vyote vya Watanzania vilivyopo na vitakavyokuja, lazima tujue kwamba mchakato wa mabadiliko kwa ajili ya maendeleo ya kweli unaanza na sisi." Page hii inawapa watanzania nafasi ya kujiuliza, kutafakari, kujadili, kujifunza na kubadilishana uelewa na ujuzi wetu ili kuleta mendeleo ya kweli. Daffa © Jamii360