Sports campaign tz

Sports campaign tz Sports and Entertainment

08/03/2025

UONGOZI WA YANGA MNAFANYA HAWA KWA SABABU GANI? MNATAKA NINI KITOKEE?

Bodi ya ligi imetangaza kuhairisha mechi mapema kabisa ila bado Viongozi wa Yanga wanapeleka timu uwanjani, huku wakijua hakuna mechi?

Wanajua hakuna msimamizi yeyote wa mchezo ambaye atakuwepo kikanuni ili angalau wasimamie taratibu za mechi ili wapate alama za mezani?

Najiuliza hawa walioruhusu timu iendee uwanjani wakati wakijua wametaarifiwa na mamlaka ya soka Bodi ya ligi kwamba mechi haipo na uchunguzi unaendelea kubaini wanaohusika na tukio la kuuzia timu ya Simba kufanya mazoezi.

Bodi ya Ligi imetoa maelekezo kwa vilabu vyote viwili kwamba mechi itapangiwa tarehe nyingine. Sasa kupeleka timu leo uwanjani walikuwa wanataka nini kifanyike?

Mbona Uongozi wa Yanga unanipa mashaka sana. Wanafanya hivi wakiwa na malengo gani? Wanataka nini kitokeee au wao wana nguvu kuliko mamlaka ya soka Tanzania?

Au kwa sababu wana nguvu ya kiuchumi wanafanya wanavyotaka! Nani anawapa kiburi cha aina hii! Anyway Mimi naendelea kujiuliza haya yanatokea kwa makusudi yapi?

Kuna kiongozi mmoja wa Yanga anasema atakuwa wa mwisho kuamini k**a Yanga itacheza tena mechi ya Derby ya Kariakoo tofauti na ya leo!! Na anaona yuko sahihi kabisa. Ni haki yenu ina nashawishika kusema uongozi wa Yanga na Simba unaharibu na umeharibu ligi ya Tanzania.

This is Too Much

In the business!
06/03/2025

In the business!

Kibu Dennis Prosper........ Unapenda kitu gani kutoka mchezaji huyu awapo uwanjani? Pia wachukia nini kutoka kwake Kibud...
06/03/2025

Kibu Dennis Prosper........ Unapenda kitu gani kutoka mchezaji huyu awapo uwanjani? Pia wachukia nini kutoka kwake Kibudenga mnyamwezi awapo kwa majukumu yake uwanjani? Tulonge pamoja hapa...

Stay tuned!! It's gone be fire 🔥🔥
04/03/2025

Stay tuned!! It's gone be fire 🔥🔥

26/02/2025
Viongozi wa Pamba Jiji wanalindaaaaaaa.
26/02/2025

Viongozi wa Pamba Jiji wanalindaaaaaaa.

26/02/2025

Mheshimiwa Waziri wa Maji hapa ulikuwa full charge...Kumbe Chairman wa Vilabu Afrika anapitaga Pangani kutafuta nini kweli!! Ukiwa kiongozi wa hizi timu za Kariakoo hata k**a umesoma, Elimu inakuwa haina kitu.

Mchungaji Mfupi kuliko wote Afrika Leonard Switbert wa kutoka Mbeya ameelezea kisa cha kumpata mchumba wake Elizabeth ka...
14/02/2025

Mchungaji Mfupi kuliko wote Afrika Leonard Switbert wa kutoka Mbeya ameelezea kisa cha kumpata mchumba wake Elizabeth katika siku ya wapendanao via FamaraMedia.

Tufuatilie: YouTube (Famara Media) Instagram (FamaraMedia) Twitter (X) FamaraMedia & Facebook (Famara Media).Mchungaji Leonard mzaliwa wa Mkoani Mbeya ana mc...

07/02/2025

Maneno mazito kutoka kwa Dada wa Taifa . Sikiliza mpaka mwisho.

07/02/2025

Tanzania ni Nchi ambayo ukipata Stress umetaka wewe na sio vinginevyo!!

Majina mapya

Emmanuel Keyeke 'NTANDU"
Mohamed Cumaro "HANGO"
Josephate BADA "KINGU"

NB..... Hata waitwe kina MAKOYE bado hayavutii😁

Elizabeth John Chenge (40) Mido ya  Mechi 3 Goli 1Assist 3Keep on going to the World.....We are proud of you.
05/02/2025

Elizabeth John Chenge (40) Mido ya

Mechi 3
Goli 1
Assist 3

Keep on going to the World.....We are proud of you.

FTArsenal 5 - 1 Manchester City Nb...Mlete mwingine!
02/02/2025

FT

Arsenal 5 - 1 Manchester City

Nb...Mlete mwingine!

02/02/2025

FT | Tabora United 0 - 3 Simba SC

Kwa ushindi huu tumpe Simba SC kombe mapema au bado.?

Address

Nyamagana
Mwanza
994

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sports campaign tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Sports campaign tz:

Videos

Share

Category