UONGOZI WA YANGA MNAFANYA HAWA KWA SABABU GANI? MNATAKA NINI KITOKEE?
Bodi ya ligi imetangaza kuhairisha mechi mapema kabisa ila bado Viongozi wa Yanga wanapeleka timu uwanjani, huku wakijua hakuna mechi?
Wanajua hakuna msimamizi yeyote wa mchezo ambaye atakuwepo kikanuni ili angalau wasimamie taratibu za mechi ili wapate alama za mezani?
Najiuliza hawa walioruhusu timu iendee uwanjani wakati wakijua wametaarifiwa na mamlaka ya soka Bodi ya ligi kwamba mechi haipo na uchunguzi unaendelea kubaini wanaohusika na tukio la kuuzia timu ya Simba kufanya mazoezi.
Bodi ya Ligi imetoa maelekezo kwa vilabu vyote viwili kwamba mechi itapangiwa tarehe nyingine. Sasa kupeleka timu leo uwanjani walikuwa wanataka nini kifanyike?
Mbona Uongozi wa Yanga unanipa mashaka sana. Wanafanya hivi wakiwa na malengo gani? Wanataka nini kitokeee au wao wana nguvu kuliko mamlaka ya soka Tanzania?
Au kwa sababu wana nguvu ya kiuchumi wanafanya wanavyotaka! Nani anawapa kiburi cha aina hii! Anyway Mimi naendelea kujiuliza haya yanatokea kwa makusudi yapi?
Kuna kiongozi mmoja wa Yanga anasema atakuwa wa mwisho kuamini kama Yanga itacheza tena mechi ya Derby ya Kariakoo tofauti na ya leo!! Na anaona yuko sahihi kabisa. Ni haki yenu ina nashawishika kusema uongozi wa Yanga na Simba unaharibu na umeharibu ligi ya Tanzania.
This is Too Much
UONGOZI WA YANGA MNAFANYA HAWA KWA SABABU GANI? MNATAKA NINI KITOKEE?
Bodi ya ligi imetangaza kuhairisha mechi mapema kabisa ila bado Viongozi wa Yanga wanapeleka timu uwanjani, huku wakijua hakuna mechi?
Wanajua hakuna msimamizi yeyote wa mchezo ambaye atakuwepo kikanuni ili angalau wasimamie taratibu za mechi ili wapate alama za mezani?
Najiuliza hawa walioruhusu timu iendee uwanjani wakati wakijua wametaarifiwa na mamlaka ya soka Bodi ya ligi kwamba mechi haipo na uchunguzi unaendelea kubaini wanaohusika na tukio la kuuzia timu ya Simba kufanya mazoezi.
Bodi ya Ligi imetoa maelekezo kwa vilabu vyote viwili kwamba mechi itapangiwa tarehe nyingine. Sasa kupeleka timu leo uwanjani walikuwa wanataka nini kifanyike?
Mbona Uongozi wa Yanga unanipa mashaka sana. Wanafanya hivi wakiwa na malengo gani? Wanataka nini kitokeee au wao wana nguvu kuliko mamlaka ya soka Tanzania?
Au kwa sababu wana nguvu ya kiuchumi wanafanya wanavyotaka! Nani anawapa kiburi cha aina hii! Anyway Mimi naendelea kujiuliza haya yanatokea kwa makusudi yapi?
Kuna kiongozi mmoja wa Yanga anasema atakuwa wa mwisho kuamini kama Yanga itacheza tena mechi ya Derby ya Kariakoo tofauti na ya leo!! Na anaona yuko sahihi kabisa. Ni haki yenu ina nashawishika kusema uongozi wa Yanga na Simba unaharibu na umeharibu ligi ya Tanzania.
This is Too Much
Mheshimiwa Waziri wa Maji @jumaa_aweso hapa ulikuwa full charge...Kumbe Chairman wa Vilabu Afrika anapitaga Pangani kutafuta nini kweli!! Ukiwa kiongozi wa hizi timu za Kariakoo hata kama umesoma, Elimu inakuwa haina kitu.
Maneno mazito kutoka kwa Dada wa Taifa @thea_tanzania. Sikiliza mpaka mwisho.
Tanzania ni Nchi ambayo ukipata Stress umetaka wewe na sio vinginevyo!!
Majina mapya
Emmanuel Keyeke 'NTANDU"
Mohamed Cumaro "HANGO"
Josephate BADA "KINGU"
NB..... Hata waitwe kina MAKOYE bado hayavutii😁
FT | Tabora United 0 - 3 Simba SC
Kwa ushindi huu tumpe Simba SC kombe mapema au bado.?
YANGA KILELENI BAADA YA USHINDI WA LEO | NANI WA KUMSHUSHA?
Yanga wamerudi kwa kishindo kwenye ligi kuu baada ya kutupwa nje kwenye michuano ya klabu bingwa barani Afrika.
Yanga chini ya Kocha Mjerumani Sead Ramovic imeingia kwa nguvu sana katika mechi hiyo katika uwanja wa KMC ambao ni uwanja wa nyumbani wa Yanga.
Kagera Sugar wameonekana kukosa utulivu toka mechi inaanza. Wamekuwa na makosa mengi kuanza beki, viungo na washambuliaji.
Kagera Sukari wamekosa utulivu wakiwa na mpira kitendo ambacho kimewapa Yanga uzuri wa kutengeneza nafasi nyingi za kufunga.
Kidogo Yanga wamerudishwa ile kujiamini ingawa Master Azizi Ki yeye bado ana ugomvi na penalty maana leo amepoteza penalti ya pili.
Kwa matokeo ya leo, Yanga anakalia usukani wa ligi kwa kufikisha pointi 42 huku hasimu wake Simba SC wakitarajia kucheza kesho Jumapili uwanja wa Ally Hassan Mwinyi dhidi ya Tabora United.
Nb... Kafungwa Kagera Sugar ila vilio vinasikika msimbazi😁
Huyu ndio @goodluckgozbert mdogo wangu ninayemfahamu....
Mwanamuziki John Lennon aliamua kumuacha mke wake Cynthia na kwenda kuanzisha mahusiano mapya na Yoko Ono ambae ni msanii mkubwa mwenye asili ya Japan mwaka 1966, na kweli mwaka 1969 akamuoa Yoko Ono.
Mke wake Cynthia alibaki na mtoto wao wa kiume mwenye miaka mi 5 tu anaeitwa Julian Lennon (ambae ni mwanamuziki mkubwa kwa sasa na Baba yake baada ya kuuwawa 1980 ilikua hajamuweka Julian kwenye wosia wa urithi, yani hakurithishwa chochote) lakini tuachane na hilo ni stori nyingine.
Basi Cynthia alibaki na mtoto wake Julian na maisha yakawa magumu sana kwa upande wake akafikiria nini afanye? Akaamua aziuze kumbukumbu zake zote za mapenzi ya miaka mingi tangu utoto (teens) na John Lennon ambae alikua ni msanii mkubwa wakati huo, akauza barua zote za mapenzi na michoro waliyokua wanapeana kabla hajaachwa na John Lennon.
Barua zilizokua zimebeba ujumbe wa hisia kama "Nakupenda Cynthia" fikiria ni maumivu kiasi gani Cynthia kubaki na barua zenye kumbukumbu kama hizi, Cynthia alifanikiwa kuziuza kumbukumbu hizo kwa gharama kubwa kwakua Ex-husband wake alikua ni msanii mkubwa.
Lakini baada ya muda Cynthia alishangaa ametumiwa zawadi kupitia mail alipopokea zawadi hizo zilikua zimetoka kwa Paul McCartney ambae ni msanii mkubwa rafiki wa mume wake waliekua wanaimba wote kwenye bendi moja na alipofungua ndani kuangalia zawadi hizo alikuta ni zile barua zake za kumbukumbu alizoziuza na zilikuja na karatasi ya ujumbe kutoka kwa McCartney aliyokua ameandika "Daima usiuze kumbukumbu zako"
Hivyo ndivyo ilivyo Kumbukumbu zote zinafaa kutunzwa kwa matumizi ya baadae iwe mbaya au nzuri, kama ni nzuri zitunze kama kielelezo cha furaha na kama ni mbaya zitunze kama funzo. Hii ni entertainment plus education.
Hawa ndio MTIBWA SUGAR... wanataka kurudi Ligi Kuu NBC. Weka mbali na watoto.
Ahmed Ally @ahmedally_ mbona ulifurahi sana hapa!! Au ndio Ubaya Ubwela.
Mkutano Mkubwa wa Injili Mwanza, CCM Kirumba 24-28 Julai 2024 kuanzia saa 2 asubuhi hadi 11 jioni.
Ni Pasta Ezekiel kutoka Kenya ambaye Bwana anamtumia kwa ishara na miujiza mikubwa atahubiri na kufanya maombi na maombezi kwa wagonjwa na wote wenye shida mbalimbali.
Njoo upokeee muujiza wako kutoka kwa Mungu Mtenda miujiza.
0717583492
0785514127