Jembefmtz

Jembefmtz Jembe FM was created with one goal in mind: to bring the world’s most popular music and creative

BREAKING- Timu ya Dodoma Jiji FC imepata ajali ya Gari asubuhi hii maeneo ya Nangurukuru kuelekea Somanga mkoani Lindi i...
10/02/2025

BREAKING- Timu ya Dodoma Jiji FC imepata ajali ya Gari asubuhi hii maeneo ya Nangurukuru kuelekea Somanga mkoani Lindi ikitokea mjini Ruangwa ambako jana ilicheza mechi ya ya ligi kuu NBC dhidi ya Namungo FC.Taarifa za awali kutoka kwa mashuhuda wa ajali
Hakuna Madhara Makubwa licha ya Majeraha madogo madogo

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko amemshuku...
08/02/2025

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa nia, dhamira na Upendo wake kwa wakazi wa Bukombe kwa namna ambavyo amekuwa chachu ya maendeleo jimboni humo.

“Nimshukuru sana Mhe. Rais kwa mapenzi makubwa na kwa maendeleo makubwa tuliyoyapata, Ninyi ni mashahidi kwa kazi kubwa nitakazozieleza hazitokani na jambo lolote isipokuwa yeye mwenyewe ambaye amekuwa akiweka msisitizo kwenye kazi hizi na ndio maana Mkutano Mkutano Mkuu Maalum wa Chama uliamua kwa kauli moja kumteua kuwa Mgombea wa Urais katika uchaguzi ujao.” Amesema Dkt. Biteko.

Dkt. Biteko akiwasilisha ripoti ya utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi ya 2020-2025 kwenye Jimbo la Bukombe Mkoani Geita, leo Februari 08, 2024 mbele ya Mgeni rasmi, Rais mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.

Tukutane Jumapili hii  kwenye
08/02/2025

Tukutane Jumapili hii kwenye

  SIMU KWA MAMA
08/02/2025

SIMU KWA MAMA

Mkutano wa Dharura wa Pamoja wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo K...
08/02/2025

Mkutano wa Dharura wa Pamoja wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) unaofanyika Ikulu ya Dar es Salaam.

Jumuiya zote mbili zimekutana kujadili kwa lengo la kupata ufumbuzi juu ya hali ya ulinzi na usalama katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).

Rais wa Marekani Donald Trump ametia saini amri ya kufungia msaada wa kifedha kwa Afrika Kusini, baada ya kutishia kufan...
08/02/2025

Rais wa Marekani Donald Trump ametia saini amri ya kufungia msaada wa kifedha kwa Afrika Kusini, baada ya kutishia kufanya hivyo mapema wiki hii.

Trump amefanya uamuzi huo kutokana na sheria mpya ya ardhi ya Afrika Kusini ambayo amedai inakiuka haki za watu, na kesi ya mauaji ya halaiki iliyofunguliwa katika mahakama ya kimataifa dhidi Israel.

Hallow Mama Hallow 📞 Mama  💛💚
08/02/2025

Hallow Mama Hallow 📞 Mama 💛💚

SATURDAY ON KIKWETULeo tunapiga story na mkali wa muziki kutoka Tanzania   Tufahamu mastory kuhusu  wimbo wake mpya na s...
08/02/2025

SATURDAY ON KIKWETU

Leo tunapiga story na mkali wa muziki kutoka Tanzania Tufahamu mastory kuhusu wimbo wake mpya na story zote ndani ya Stay tuned
——————————————————————————
Host:


TANZANIA, GLOBAL FUND KUIMARISHA USHIRIKIANO SEKTA YA AFYA Naibu Katibu Mkuu Bw. Ismail Rumatila na Mganga Mkuu wa Serik...
07/02/2025

TANZANIA, GLOBAL FUND KUIMARISHA USHIRIKIANO SEKTA YA AFYA

Naibu Katibu Mkuu Bw. Ismail Rumatila na Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe Februari 6, 2025, wamekutana na Dkt. Linden Morrison wa Mfuko wa Dunia (Global Fund) jijini Geneva, Uswisi, kujadili mikakati ya kuboresha huduma za afya nchini.

Katika mazungumzo hayo, Tanzania imeeleza hatua inazoendelea kuchukua ili kuimarisha upatikanaji wa huduma za Kifua Kikuu, UKIMWI na Malaria ikiwa ni pamoja na kuhakikisha upatikanaji wa dawa na bidhaa muhimu za kutibu magonjwa hayo.

Kwa upande wao Global Fund imeeleza kuwa uhusiano wake na Tanzania umekuwa wa muda mrefu na umechangia kuboresha mifumo ya utoaji wa huduma za afya nchini.

Aidha, Global Fund imeahidi kuendelea kushirikiana na Tanzania ili kuimarisha zaidi sekta ya Afya.

Mahakama ya Kijeshi nchini DRC imetoa hati ya kukamatwa kwa Corneille Nangaa ambaye ni kiongozi wa umoja wa makundi ya w...
07/02/2025

Mahakama ya Kijeshi nchini DRC imetoa hati ya kukamatwa kwa Corneille Nangaa ambaye ni kiongozi wa umoja wa makundi ya waasi nchini humo ya Alliance Fleuve Congo (AFC/M23), kwa tuhuma za uhalifu na uasi nchini humo.

Mahakama imeamuru Nangaa akamatwe na kufikishwa katika mahakama ya kijeshi nchini DRC Congo baada ya kuhusika katika mauaji ya maelfu ya raia.

RASMI Klabu ya Wydad Casablanca imemtambulisha nyota wa kitanzania kutoka Singida Black Stars Selemani Mwalimu kwenye ku...
06/02/2025

RASMI

Klabu ya Wydad Casablanca imemtambulisha nyota wa kitanzania kutoka Singida Black Stars Selemani Mwalimu kwenye kurasa zao za mitandao ya kijamii.

Ateba anawatanguliza Simba SC kwa goli la kwanza.*58’ Fountain Gate 0-1 Simba SC
06/02/2025

Ateba anawatanguliza Simba SC kwa goli la kwanza.

*58’ Fountain Gate 0-1 Simba SC

The best crew in Rocky City Via Hot Stage🔥⛽ ya  📻Cc;      Host 🎙️Music 🎶Dj Sub ZeroTune : 93.7Mhz 📻Online via : www.jemb...
05/02/2025

The best crew in Rocky City
Via Hot Stage🔥⛽ ya 📻

Cc;


Host 🎙️


Music 🎶
Dj Sub Zero

Tune : 93.7Mhz 📻
Online via : www.jembenijembe.com

Anaandika  HAPO VIPI!!!?In Memory of my Best Friend,The Late Dr.Emmanual Ferdnand Chacha.(RIP😢)Practiice makes it Perfec...
05/02/2025

Anaandika
HAPO VIPI!!!?

In Memory of my Best Friend,The Late Dr.Emmanual Ferdnand Chacha.(RIP😢)

Practiice makes it Perfect🩺💊🔭
Its been a Minuted Aiseeeeh!😄
Maana hapa imebidi nifanyiwe Orientation na kijana wangu !
Kuchungulia Slides Uone na kuhesabu Malaria Parasites na WBC kwenye one field requires high level of presicion🎯






Mama N’tilie kwenye Maadhimisho ya Miaka 48 ya chama cha Mapinduzi   Jamuhuri Dodoma.
05/02/2025

Mama N’tilie kwenye Maadhimisho ya Miaka 48 ya chama cha Mapinduzi Jamuhuri Dodoma.

Wanachama wa CCM kutoka maeneo mbalimbali nchini walipofanya maandamano wakati wanaingia katika Uwanja wa Jamhuri Jijjni...
05/02/2025

Wanachama wa CCM kutoka maeneo mbalimbali nchini walipofanya maandamano wakati wanaingia katika Uwanja wa Jamhuri Jijjni Dodoma katika sherehe za maadhimisho ya miaka 48 ya

📸 On Frame 🖼️ ni baadhi ya washiriki wa
04/02/2025

📸 On Frame 🖼️ ni baadhi ya washiriki wa

Address

Jembe FM/Makongoro Road/Makongoro Street
Mwanza
255

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jembefmtz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Jembefmtz:

Videos

Share

Category