Jembefmtz

Jembefmtz Jembe FM was created with one goal in mind: to bring the world’s most popular music and creative

09/01/2026

TZS Milioni 20 inaweza kuwa yako LEO!
Cheza TAIRI MTONYO kuanzia TZS 500 kwa Wakala, kwa kupiga *149*88 # au tembelea http://bit.ly/nationallotterytz.
Wafatilie ili kujua zaidi.

18+. Cheza Kistaarabu. ITHUBA ni mwendeshaji rasmi wa Bahati Nasibu ya Taifa.

NMB MAPINDUZI CUP 2026➡️ Mchezo Umemalizika 🍦1⃣🦁0⃣⚽ Lawi Azam FC wanaenda FAINALI na wanamsubiria mshindi wa mchezo kati...
08/01/2026

NMB MAPINDUZI CUP 2026

➡️ Mchezo Umemalizika

🍦1⃣
🦁0⃣

⚽ Lawi

Azam FC wanaenda FAINALI na wanamsubiria mshindi wa mchezo kati ya Yanga SC dhidi ya Singida Black Stars.

Mhe. Patrobas Paschal Katambi (Mb.) ameteuliwa kuwa Waziri waMambo ya Ndani ya Nchi. Kabla ya uteuzi huu, Mhe. Katambi a...
08/01/2026

Mhe. Patrobas Paschal Katambi (Mb.) ameteuliwa kuwa Waziri wa
Mambo ya Ndani ya Nchi. Kabla ya uteuzi huu, Mhe. Katambi alikuwa Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, anachukua nafasi ya Mhe.
Boniface George Simbachawene (Mb.) ambaye uteuzi wake umetenguliwa;

08/01/2026
08/01/2026

Wewe ulimuelewa vipi binamu hapa
“tafuta pesa za kutosha ila usipige nazo picha”
Haya ni Maoni ya Wana Kitaani wewe una Maoni gani?😊

Powered by

🎉 *Hongera kwa mshindi wetu kwa kuondoka na ushindi mnono wa Tsh Milioni 5 kwenye mchezo wa 40 Burning Hot!* 🔥💸  Bangbet...
08/01/2026

🎉 *Hongera kwa mshindi wetu kwa kuondoka na ushindi mnono wa Tsh Milioni 5 kwenye mchezo wa 40 Burning Hot!* 🔥💸
Bangbet Casino inaendelea kutoa washindi kila dakika ⏰, huku kukiwa na jackpot kubwa za kila siku! 🎰💥
Endelea kufurahia burudani bila kikomo 🎉 na ushindi usio na mipaka 💰 —
anza mwaka wako kwa kishindo na Bangbet! 🚀💫

Jiunge sasa: www.bangbet.com > promo code weka 1111

BANGBET - More Than Win 🏆

  Mchungaji James Irungu kutoka Murang’a nchini Kenya amekimbizwa hospitali baada ya kuishiwa nguvu na kuanguka wakati a...
08/01/2026

Mchungaji James Irungu kutoka Murang’a nchini Kenya amekimbizwa hospitali baada ya kuishiwa nguvu na kuanguka wakati akijaribu kuweka rekodi mpya ya dunia ya kukumbatia mti kwa muda mrefu zaidi.

Irungu alianguka baada ya kushindwa kuvumilia uchovu saa moja tu kabla ya kukamilisha lengo lake la kukumbatia mti kwa saa 80.

Cheza SPIN4CASH kuanzia TZS 1000 tu na ushinde hadi TZS MILIONI 4 cha kwa haraka!Daka Tiketi kwa kupiga *149*88 #, kwa W...
08/01/2026

Cheza SPIN4CASH kuanzia TZS 1000 tu na ushinde hadi TZS MILIONI 4 cha kwa haraka!
Daka Tiketi kwa kupiga *149*88 #, kwa Wakala au tembelea https://bit.ly/nationallotterytz.
Wafatilie ili kujua zaidi.

18+. Cheza Kistaarabu. ITHUBA ni mwendeshaji rasmi wa Bahati Nasibu ya Taifa.

Anaandika Dkt, Sebastian Ndege  “Kila ninaporudi katika Hospitali ya Kumbukumbu ya Dkt, Chacha  (CF), hukumbushwa kwa ni...
07/01/2026

Anaandika Dkt, Sebastian Ndege

“Kila ninaporudi katika Hospitali ya Kumbukumbu ya Dkt, Chacha (CF), hukumbushwa kwa nini tiba siyo tu taaluma, bali ni wito wa maisha. Kuwepo hapa kunanirudisha kwenye kumbukumbu za thamani za rafiki yangu wa karibu na mlezi wangu, marehemu Dkt. Emmanuel Chacha (RIP).

Alikuwa akinisisitizia mara kwa mara umuhimu wa kujiendeleza kielimu, kuwa na nidhamu, na kubaki mwaminifu kwa maadili ya taaluma ya tiba.

Leo, naenzi urithi wake kwa kuendelea kujifunza, kuboresha ujuzi wangu, huku nikiendelea na majukumu yangu mengine mbalimbali, na kutoa huduma kwa ubora wa hali ya juu.

Natoa shukrani zangu za dhati kwa Dkt. Frank kwa kunipa fursa ya kurejea na kuimarisha zaidi utendaji wangu wa kitabibu.

Mwenye shukrani Daima. Nimejitoa Daima. 🩺🙏chacha.memorial.hospital_

Steven Mukwala 🇺🇬 amerejea kwenye kikosi cha Simba Sc 🇹🇿 baada ya kumaliza mapumziko yake.✅ Mukwala ameungana na kikosi ...
07/01/2026

Steven Mukwala 🇺🇬 amerejea kwenye kikosi cha Simba Sc 🇹🇿 baada ya kumaliza mapumziko yake.

✅ Mukwala ameungana na kikosi kilichopo Zanzibar kwaajili ya Mapinduzi Cup.

Address

Jembe FM/Makongoro Road/Makongoro Street
Mwanza
255

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jembefmtz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Jembefmtz:

Share

Category