RAMMY MEDIA

RAMMY MEDIA Welcome All in Rammy Tv kuwa wa kwanza kupata New Updates za kutosha anytime Your warmly welcome

⚠️😳 Wolper na Richi Mitindo wapo kwenye ndoa huru ya wazi(open marriage) k**a Will Smith na Jada Pinket vile !Wolper ana...
29/07/2023

⚠️😳 Wolper na Richi Mitindo wapo kwenye ndoa huru ya wazi(open marriage) k**a Will Smith na Jada Pinket vile !

Wolper anasema amemruhusu Richi Mitindo kwa kumwambia chepuka utakavyo lakini usisahau kutumi kinga pia asichepuke na wanawake hohe hahe bali achepuke na wanawake wenye pesa ili awafuse pesa kukuza uchumi wao

Jackline Wolper amesema haposti picha akiwa pamoja na mume wake Rich Mitindo kwasababu mumewe amesafiri yupo China kwa miezi minne sasa na hawajaachana k**a watu wanavyodhani

Wolper alipoulizwa kuhusu tuhuma za mumewe kuwa na mwanamke mwingine huko China ambaye ni ex wake wa zamani, Wolper amejibu kwamba kuchepuka kwa mwanaume ni kawaida, hata yeye amemruhusu mume wake achepuke anavyotaka ila tu akumbuke kutumia kinga na achepuke kwa faida, achepuke na wanawake wenye kujiweza ili awakwangue pesa ziwasaidie kukuza uchumi wao na maendeleo mengine ya kifamilia

Ingawa inadaiwa utiriri wa watu ikiwemo walio kwenye wengi wao wanachepuka japo sio wote lakini Will Smith na Jada Pinket ni miongoni mwa watu maarufu wachache waliokiri hadharani kuwa wapo kwenye open marriage yaani wanaruhusiani kutoka kwenda kuwa na mahusiano na mtu mwingine huku ndoa yao ikiwa palepale

Will Smith alisema tangu mwanzo wanafunga ndoa Jada Pinket hakuwa akiamini katika ndoa zinazoitwa ndio halisi au halali kwa maelezo kwamba alikulia katika mazingira ambayo aliwaona wanafamilia yake wakiwa na huyu na yule katika mahusiano tofauti huku yeye Will Smith mazingira alivyokulia yakiwa tofauti na ya Jada, hivyo ilibidi wakubaliane wawe na ndoa ya namna itakayowafaa wao k**a wao 😳 na kwasasa doa yao ina zaidi ya miaka 25 wapo pamoja

Eti vipi kwa upande wako wenye na mtu wako, mmeruhusiana pia kwenda kupuyanga huku na kule au mmepigana mikwara hakuna kuchepuka?😁

⚠️😳 Aggy Baby anasema anahitaji mwanaume wa kumuweka ndani amfanyie kila kitu ikiwemo kupikiwa na huyo mwanaume na ataml...
29/07/2023

⚠️😳 Aggy Baby anasema anahitaji mwanaume wa kumuweka ndani amfanyie kila kitu ikiwemo kupikiwa na huyo mwanaume na atamlipa pesa

Professor wa Sheria katika Chuo Kikuu cha Nairobi, George Wajackoyah ametangaza nia ya kugombea Urais wa Kenya kwenye Uc...
28/01/2022

Professor wa Sheria katika Chuo Kikuu cha Nairobi, George Wajackoyah ametangaza nia ya kugombea Urais wa Kenya kwenye Uchaguzi ujao wa August 09 mwaka huu huku akisema akichaguliwa atahalalisha matumizi ya bangi Kenya ili kukuza uchumi wa Kenya "Nitakuwa Rais wa kwanza Afrika kuhalalisha bangi sijali wapiga kura wataonaje ila huu ni uamuzi sahihi"

Prof. George amesema ana shamba nchini Marekani kwa sasa na anajiandaa kulima bangi "Tunahitaji kutengeneza fursa za ajira kwa Watu wetu na kulima bangi kutafanikisha hili, shida yetu tuna mawazo hasi ukienda Denmark wanatumia bangi kwa matumizi ya dawa"

"Baadhi ya Viongozi wanapinga bangi wakisema ni mbaya wakati Viongozi haohao wanaiba mali za Umma na kujinufaisha kwa jasho la Watu masikini, wengine wakifanya mabaya unakuwa wa kwanza kuwanyooshea vidole wakati wewe mwenyewe unafanya mabaya tunatakiwa kupiga hatua"

Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya Kenya imeiweka bangi kwenye orodha ya dawa za kulevya na yoyote anayek**atwa akilima, kuuza au kutumia bangi anaweza kufungwa jela kwa miaka isiyopungua 20.

"Samia ni Mtoto wa tatu katika Familia ya Watoto 15  lakini Mama wawili na ni Mtoto aliyetoka kwenye Familia ya Baba Mwa...
27/01/2022

"Samia ni Mtoto wa tatu katika Familia ya Watoto 15 lakini Mama wawili na ni Mtoto aliyetoka kwenye Familia ya Baba Mwalimu na Mama wote wawili ni Wamama wa nyumbani"

"Kuanzia Darasa la Awali mpaka nafika kidato cha nne nimesoma Shule k**a 10 hivi na hiyo ni kwasababu Baba yangu alikuwa Mwalimu Kwahiyo alikuwa anahamishwa vituo vingivingi vya kazi kwahiyo kila anapohamishwa na Mimi niko nyuma"

"Nikiwa na miaka minane tisa hivi niliishi na Dada yangu na yeye alikuwa Muuguzi Mkunga nikaishi nae kwa miaka kadhaa kutoka hapo hadi nimekuwa mkubwa nilikuwa mikononi mwake, nimezunguka sana ukienda Pemba na Unguja nimezunguka sana kwasababu nimefanya kazi visiwa vyote na pia wakati wa Makuzi"

"Niliajiriwa nikiwa mdogo sana mwaka 1977 nikiwa na miaka 17 hivi, nakumbuka siku ya kwanza kwenda kwenye ajira wakasema rudi nyumbani hapa tutakuwa tunafanya Child Labour, nikarudi nyumbani nikaa miezi sita halafu ndio wakaniita tena"——— Rais Samia leo via TBC

  Unaweza kukaa mbali na simu yako kwa muda gani? Ed Sheeran hajatumia simu yake tangu mwaka 2015. Kwenye mahojiano na P...
27/01/2022

Unaweza kukaa mbali na simu yako kwa muda gani? Ed Sheeran hajatumia simu yake tangu mwaka 2015. Kwenye mahojiano na Podcast ya The Collector's Edition, mwimbaji huyo wa Uingereza alisema hana simu kwa sababu ilikuwa ikiharibu afya yake ya akili.
-
“Nilikuwa k**a napata mzigo mzito hivi na huzuni nikiwa na simu. Natumia muda wangu kwa uchache sana. Nilikuwa ni k**a nimekata mahusiano na watu, kwa sasa natumia email pekee na ni kwa siku chache sana nikipata muda nafungua Laptop yangu najibu email 10 kwa muda huo kisha narudi kuishi maisha yangu.” alisema Ed Sheeran..

23/01/2022

The
RAMMY TV

SALLAM SK VS DIAMOND PLATNUMZ 😂😂
27/06/2021

SALLAM SK VS DIAMOND PLATNUMZ 😂😂

TANZANIA YETU🇹🇿
27/05/2021

TANZANIA YETU🇹🇿

 Maelfu ya wakaazi wa Goma, jiji kubwa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wanalala usiku nje kufuatia mlipu...
23/05/2021


Maelfu ya wakaazi wa Goma, jiji kubwa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wanalala usiku nje kufuatia mlipuko wa Mlima Nyamulagira mapema Jumamosi, kulingana na msemaji wa Baraza la Wakimbizi la Norway.

"Hakujakuwa na harakati kubwa ya hofu, lakini watu wana wasiwasi sana," alisema Tom Peyre-Costa, msemaji wa baraza hilo magharibi na kati mwa Afrika.Baada 6a mlipuko wa volcano ulio tokea katika mlima Nyamulagira👉


23/05/2021

The reason why we call him Simba
Kutoka katika ukurasa wa msanii Diamond platnumz ameeleza kwamba👇👇👇
HII NDIYO SABABU YA WAO KUMUITA SIMBA@Diamondplatnumz
by Rammy

Mwarabu fighter amekua bodyguard wa Alikiba?😂
21/05/2021

Mwarabu fighter amekua bodyguard wa Alikiba?😂

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Robert Luhumbi Kuwa Mkuu wa Mkoa Mpya wa MARAPost by Rammy
15/05/2021

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Robert Luhumbi Kuwa Mkuu wa Mkoa Mpya wa MARA

Post by Rammy

“Nataka kuwaambia na kuwapa pole wale wote wasiopenda maendeleo ya watu, mimi na Wema hatujaanza urafiki jana wala leo, ...
15/05/2021

“Nataka kuwaambia na kuwapa pole wale wote wasiopenda maendeleo ya watu, mimi na Wema hatujaanza urafiki jana wala leo, ni muda sasa tupo na urafiki wetu na tutazidi kupendana zaidi ya hapa ili tuzidi kuwaumiza roho zao, k**a wanawaza kwamba tutaachana, watangoja sana sisi miaka inazidi kusonga mbele,” Lulu Diva ameiambia GPL

Baada ya Mond kutoa msaada wa pesa na chakula cha sikukuu
15/05/2021

Baada ya Mond kutoa msaada wa pesa na chakula cha sikukuu

  Mtoto wa Kim Jong-Un, Kim Lau Jong-Un ambae kwa Sasa ana Umri wa Miaka 13 Ndie Luteni wa Jeshi la Nchi ya Korea Kaskaz...
13/05/2021

Mtoto wa Kim Jong-Un, Kim Lau Jong-Un ambae kwa Sasa ana Umri wa Miaka 13 Ndie Luteni wa Jeshi la Nchi ya Korea Kaskazini.

Aliapishwa Kuwa Luteni Mwaka 2017 akiwa na Umri wa Miaka 9,Mtoto huyo anaandaliwa Kuwa Mkuu wa Majeshi na Kiongozi wa Nchi hiyo Siku Baba yake Kim Jong-Un atakapo fariki.

Post by Rammy

 : Mjasiriamali mmoja wa masuala ya teknolojia, Elon Musk wa nchini Marekani anadhani binadamu huwenda wakaepuka kifo na...
13/05/2021

: Mjasiriamali mmoja wa masuala ya teknolojia, Elon Musk wa nchini Marekani anadhani binadamu huwenda wakaepuka kifo na kuweza kuishi milele kutokana na ujio wa teknolojia mbalimbali, na kwa sasa anashughulikia teknolojia ambayo itaunganisha mfumo wa ubongo wa binadamu na kompyuta ambayo itazuia miili ya binadamu kutozeeka na kufungua miingiliano na kidigitali daima.

Post by Rammy

MIMI NDIO MSANII TAJIRI ZAIDI KENYA 'W***Y PAUL'Msanii Mstaafu wa Nyimbo za Kumtukuza Mungu "W***y Paul Msafi" Kupitia U...
13/05/2021

MIMI NDIO MSANII TAJIRI ZAIDI KENYA 'W***Y PAUL'

Msanii Mstaafu wa Nyimbo za Kumtukuza Mungu "W***y Paul Msafi" Kupitia Ukurasa wake wa Facebook amewaambia wadau Kuwa yeye Ndio Msanii Tajiri zaidi Nchini humo

W***y Paul Amefunguka Kuwa kwa Sasa Ana Utajiri wa Dollar Million 6.

Post by Rammy

11/05/2021
MAPOKEZI YA INNOSS'B  DAR_Rayvanny   Kutoka Next Level Music Alivyompokea Msanii Innocent Balume INNOSS'B  ambaye ametua...
11/05/2021

MAPOKEZI YA INNOSS'B DAR
_
Rayvanny Kutoka Next Level Music Alivyompokea Msanii Innocent Balume INNOSS'B ambaye ametua nchini kwaajili ya Kuandaa video ya wimbo wa KELEBE Ambao wameshirikiana na Vanny Boy, Wimbo huo upo Kwenye Orodha ya Nyimbo Zilizopo Kwenye Album ya Sound from Africa.

Post by Rammy

Mwanadada huyo amejitosa mtandaoni kupost picha yake hiyo na kujitapa kuwa hapo yupo na mume wake wa ndoa pamoja na mche...
11/05/2021

Mwanadada huyo amejitosa mtandaoni kupost picha yake hiyo na kujitapa kuwa hapo yupo na mume wake wa ndoa pamoja na mchepuko wake kutoka Ufaransa

FASHION MPYA_Leo Ni Headlines za Model .breaker .breaker Ametambulisha fashion Mpyaa ya kusuka nywele za K**E JE HUU NI ...
27/04/2021

FASHION MPYA
_
Leo Ni Headlines za Model .breaker .breaker Ametambulisha fashion Mpyaa ya kusuka nywele za K**E

JE HUU NI UJANJA AU UTOPOLO?

Mdada huyo wa Nigeria ametajwa kupokea kipigo kutoka kwa mumewe. Sababu hasa imeelezwa ni mdada kuamua kufanya biashara ...
27/04/2021

Mdada huyo wa Nigeria ametajwa kupokea kipigo kutoka kwa mumewe. Sababu hasa imeelezwa ni mdada kuamua kufanya biashara ili wajikwamue na ugumu wa maisha lakini mwanaume hataki mkewe ajishughulishe ingawa mkewe si mtu anayetaka kukaa tu bila kazi

Bidhaa za biashara husika mume alienda kuzifungia chooni. Mke alikimbizwa hospitali na majirani baada ya kipigo cha mume

PICHA LA KUTISHAA_Mbosso Akiwa Na Mtoto mzurii.. Piisii kaliii Diana, Msanii kutoka Uganda... Wawili hawa wamekua na map...
27/04/2021

PICHA LA KUTISHAA
_
Mbosso Akiwa Na Mtoto mzurii.. Piisii kaliii Diana, Msanii kutoka Uganda... Wawili hawa wamekua na mapozi tata Sanaa hali inayosababisha kuhisiwa kuwa wapenzi wa kimya kimya

Mange atia neno kuhusu views wa wimbo mpya wa Harmonize kutajwa kushuka huko YouTube "Hakuna mtu anaweza kushusha views ...
25/04/2021

Mange atia neno kuhusu views wa wimbo mpya wa Harmonize kutajwa kushuka huko YouTube

"Hakuna mtu anaweza kushusha views za mtu YouTube.
Ni hivi views hazijafika tu. Asiekubali kushindwa si mshindani. Hao wasafi washushe views wao ndo wenye YouTube? Ama?

Alafu vitu vingine tusipende kudanganyana. Tatizo tunataka kumshindanisha Harmo na Dai. Hiyo kitu haipo. Harmo tumshindanishe na RayVanny ila Harmo anamshinda RayVanny 😜. Ila kwa Diamond hapo tunakuwa wote wajinga. Diamond hana mpinzani Africa mashariki na kati. Inauma ila ndo ukweli 🤣🤣🤣🤣.

Hiyo nyimbo mpya ni nzuri sana ila haipo consistent. Diamond anachowashinda wanamuziki wetu wengi ni kuwa nyimbo zake zinakuwa nzuri kuanzia mwanzo hadi mwisho. Hiyo new song ya Harmo inasehemu nzuri balaaaaa alafu sehemu zingine zimepoa mnoooo. Wajifunze kuwa na nyimbo inanoga mwanzo mwisho sio tu kisehemu kidogo kizuri.

Kwa kuwaelezea tu, kinachofanywa views kushuka ni kwamba kuna watu wana-cheat yani mtu huyo huyo anaangalia nyimbo sehemu tatu so views zinapanda baadae YouTube wanapitia IP address wanaona waliojaribu kucheat ndo wanawaondoa. Na sometimes mtu anakua ananunua views so baadae YouTube wakipitia wanaondoa zilizonunuliwa."

By Shilole - "Alhamdulillah tumemaliza salamaOfficially Husband and WifeHappily Taken and very much in LoveKwasasa unawe...
22/04/2021

By Shilole - "Alhamdulillah tumemaliza salama

Officially Husband and Wife

Happily Taken and very much in Love

Kwasasa unaweza kuniita Mrs Rajab Issa (Rommy)

Yarabbi Iwe Salama"

Address

Mwanza

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when RAMMY MEDIA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to RAMMY MEDIA:

Videos

Share

Nearby media companies