Wasomi Wakumbushwa😃
Wasomi Wakumbushwa😆
Siku YA Wananchi
Siku YA Wananchi
Hali ilivyo hivi Sasa huko CCM kirumba 😁 Nani anakufa YANGA Au SIMBA.
Hali ilivyo hivi Sasa huko CCM kirumba, mvua inaendelea kunyesha. 😁 Nani anakufa YANGA Au SIMBA.
Wanaume Weusi Tukutane Tuna Kikao Cha Dharula🤣
Wanaume Weusi Tukutane Tuna Kikao Cha Dharula🤣
Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Dkt.Abubakar Zubeir bin Ally ametangaza rasmi kuwa mwezi haujaonekana ambapo amebainisha kuwa wamepata taarifa za kutoonekana kwa mwezi kutoka sehemu mbalimbali hivyo Sikukuu ya Eid itakuwa jumanne ya tarehe 3/05/2022.
Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Dkt.Abubakar Zubeir bin Ally ametangaza rasmi kuwa mwezi haujaonekana ambapo amebainisha kuwa wamepata taarifa za kutoonekana kwa mwezi kutoka sehemu mbalimbali hivyo Sikukuu ya Eid itakuwa jumanne ya tarehe 3/05/2022.
#Magugetv
Kutoka Kuchoma Tofali Na Kuwa Producer Mkubwa Kanda Ya Ziwa.👇 https://youtu.be/A0e5AA-gE3w
Kutoka Kuchoma Tofali Na Kuwa Producer MKUBWA Kanda Ya Ziwa.👇
https://youtu.be/A0e5AA-gE3w
“Kazi yote imefanywa kwa michango ya Watanzania, hatukutumia fedha za Serikali, pesa yote mpaka tumekwenda Marekani na kurudi ni pesa iliyochangwa na Watazania” Rais Samia Suluhu Hassan katika uzinduzi wa Royal tour Arusha #Magugetv
“Kazi yote imefanywa kwa michango ya Watanzania, hatukutumia fedha za Serikali, pesa yote mpaka tumekwenda Marekani na kurudi ni pesa iliyochangwa na Watazania” Rais Samia Suluhu Hassan katika uzinduzi wa Royal tour Arusha
#Magugetv
Mwagilia Moyo😃
Mwagilia Moyo Babuu'😃
Rais wa Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Fedha Duniani (IMF), Kristalina Georgieva alipowasili makao makuu ya Shirika hilo Washington DC nchini Marekani.
Rais wa Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Fedha Duniani (IMF), Kristalina Georgieva alipowasili makao makuu ya Shirika hilo Washington DC nchini Marekani.
#Magugetv
. “Hii Nchi imeharibiwa sana sana, imeharibiwa na vikao, Nchi imeharibiwa na mchakato, tutaifanyia kazi, nchi imeharibiwa tupeni muda, tunataka vitendo” — amesema Kinana. #Magugetv
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Abdulrahman Kinana amesema Nchi ya Tanzania imeharibiwa hivyo wapewe muda ili kuweka vitu katika njia inayotakiwa.
Kinana ametoa maagizo hayo baada ya Wafanyabiashara kuiomba Serikali kuwatekelezea sehemu ya mambo ambayo yamekuwa kikwazo kwenye biashara.
“Hii Nchi imeharibiwa sana sana, imeharibiwa na vikao, Nchi imeharibiwa na mchakato, tutaifanyia kazi, nchi imeharibiwa tupeni muda, tunataka vitendo” — amesema Kinana.
#Magugetv
JULIO AMVULIA KOFIA MAYELE.
JULIO AMVULIA KOFIA MAYELE.