JAMII FM RADIO

JAMII FM RADIO JAMII FM ni kituo cha redio cha kijamii kilichoanza kutoa huduma mwezi Septemba 2016 kwa lengo la kuwapa jamii jukwaa la kuzungumzia maendeleo yao.

JAMII FM RADIO haitawajibika kwa maoni yatakayotolewa yenye kukiuka sheria za nchi. JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflects community livelihood including people with

special needs. Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production. JAMII FM RADIO gives voice to the voiceless. Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media. Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development. Location
JAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute. Coverage:
JAMII FM RADIO owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique. Programme Schedule
0600 – 1000hrs – Dira ya Asubuhi
1000 – 1300hrs – Kapu la Jamii
1300 – 1600hrs – Mchakamchaka
1600 -- 1610hrs – Habari (News Bulletin)
1610 – 1800hrs – Sauti ya Jamii
1800 – 1900hrs – Radio France International (RFI)
1900 – 1910hrs – Habari (News Bulletin)
1910 – 2000hrs – Dimba la Michezo (Sports)
2000 – 2100hrs – Makala Maalum
2100 – 2200hrs – Usiku Mwema
2200 – 0000hrs – Love Boat
0000 – 0600hrs – Music Mix

Location
https://www.google.co.tz/maps/place/Jamii+Fm+Radio/@-10.3559624,40.1615128,17z/data=!3m1!4b1!4m5!3m4!1s0x188d5a1f07878dd3:0x3a55ced2bafdf73e!8m2!3d-10.3559624!4d40.1637015?hl=en&hl=en

KIPAZA 🎤November 20 kila mwaka ni siku ya watoto Duniani, huadhimishwa na Umoja wa Mataifa lengo ni kuboresha haki za wa...
20/11/2025

KIPAZA 🎤

November 20 kila mwaka ni siku ya watoto Duniani, huadhimishwa na Umoja wa Mataifa lengo ni kuboresha haki za watoto na kuboresha ustawi kwa watoto wote Duniani.

Tuambie wazazi na walezi wana mchango gani katika kupunguza watoto mtaani?

https://radiotadio.co.tz/jamiifm

Sikiliza Jamii FM Radio kupitia kiunganishi kicholichopo hapo juu

Redio yangu, Sauti yangu

Unafikiri upi unuhimu wa Lishe Bora kwa Watoto chini ya umri wa miaka mitano?Kushiriki mjadala huu usikose kusikiliza  9...
19/11/2025

Unafikiri upi unuhimu wa Lishe Bora kwa Watoto chini ya umri wa miaka mitano?

Kushiriki mjadala huu usikose kusikiliza 90.5 jamii fm radio Mtwara na Lindi .

www.radiotadio.co.tz/jamii-fm

Siku ya Ijumaa ya November 21-2025,saa 3 kamili Asubuhi

Piga au tuma sms kupitia

Simu namba 0717 841 929

Au
Comment hapa na ujumbe wako utasomwa Mubashara kwenye kipindi

Hali ya tozo katika biashara kwenye eneo lako likoje??
19/11/2025

Hali ya tozo katika biashara kwenye eneo lako likoje??

Wafanyabiashara wa Mtwara wamelalamikia ongezeko la tozo na ushuru linalodaiwa kupandisha bei za bidhaa, huku wakitaka serikali kupitia upya kanuni hizo. Manispaa imesisitiza kuwa tozo zinatekelezwa kwa mujibu wa sheria na iko tayari kushughulikia malalamiko kupitia majadiliano Na Musa Mtepa…

KIPAZALeo ni siku ya Mwanaume duniani tuambie Mwanaume ana nafasi gani katika kutunza familia?  https://radiotadio.co.tz...
19/11/2025

KIPAZA

Leo ni siku ya Mwanaume duniani tuambie Mwanaume ana nafasi gani katika kutunza familia? https://radiotadio.co.tz/jamiifm/

Sikiliza Jamii FM Radio kupitia kiunganishi kicholichopo hapo juu

Redio yangu, Sauti yangu

KIPAZA  🎤Leo ni siku ya ugonjwa wa kisukari duniani.Unaelewa nini kuhusu kisukari Je! Elimu inatolewa kwa jamii namna ya...
14/11/2025

KIPAZA 🎤

Leo ni siku ya ugonjwa wa kisukari duniani.
Unaelewa nini kuhusu kisukari Je! Elimu inatolewa kwa jamii namna ya kuepukana na kisukari?

MCHAKAMCHAKA SHOW
JAMIIFM 90.5 MHZ MTWARA.

https://radiotadio.co.tz/jamiifm/

Sikiliza Jamii FM Radio kupitia kiunganishi kicholichopo hapo juu

Redio yangu, Sauti yangu

Wakulima wameishukuru serikali na vyama vya ushirika kwa kufanikisha mnada wa Korosho huku wakulima wakitoa wito kwa wan...
11/11/2025

Wakulima wameishukuru serikali na vyama vya ushirika kwa kufanikisha mnada wa Korosho huku wakulima wakitoa wito kwa wanunuzi kuongeza bei ya korosho ili iendane na gharama kubwa za uzalishaji wa zao hilo.

Wakulima wa korosho wilayani Tandahimba wamepokea kwa mitazamo tofauti bei ya zao hilo katika mnada wa kwanza wa msimu 2025/2026, ambapo kilo moja imenunuliwa kwa bei ya juu ya shilingi 3,520 na ya chini shilingi 2,550, huku wakitaka wanunuzi kuongeza…

Usafirishaji wa Korosho sasa ni saa 24
09/11/2025

Usafirishaji wa Korosho sasa ni saa 24

Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) imeruhusu usafirishaji wa korosho saa 24 kwa mikoa ya Ruvuma, Lindi na Mtwara ili kuharakisha uondoaji wa mizigo na kuongeza ufanisi wa Bandari ya Mtwara. Katika mnada wa kwanza, TANECU iliuza tani 26,000 kwa bei…

Kwenye mkoa wako, ni mbinu gani inatumika kuhamasisha watu kwenda kupiga kura??
25/10/2025

Kwenye mkoa wako, ni mbinu gani inatumika kuhamasisha watu kwenda kupiga kura??

Vikundi kumi vya jogging Mtwara Mikindani vimeshiriki mbio fupi kuhamasisha ushiriki wa wananchi katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025, zikiwa na kaulimbiu “Mazoezi kwa Afya, Uchaguzi wa Amani ni Msingi wa Maendeleo.” Na Musa Mtepa MTWARA-Vikundi kumi vya jogging kutoka…

Zikiwa zimesalia siku 6 Kuelekea siku ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 29,2025 Mkoa wa Mtwara upo salama kwa Wananchi kupiga kura...
23/10/2025

Zikiwa zimesalia siku 6 Kuelekea siku ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 29,2025 Mkoa wa Mtwara upo salama kwa Wananchi kupiga kura kwa amani na utulivu.

Akizungumza na Jamii FM Radio Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara Kamishna msaidizi mwandamizi Issa Juma Suleiman amesema Mkoa uko salama kuelekea uchaguzi Mkuu na Baada ya uchaguzi.

Kamanda Suleiman amesema kila mwananchi wa Mtwara anapaswa kufahamu umuhimu wa kumlinda na kuimarisha Amani, utulivu na usalama kwa kipindi cha uchaguzi na baada ya uchaguzi.

Ameongeza kuwa kwasasa Mkoa wa Mtwara hauna kiashiria chochote cha maandamano na amewatoa hofu wananchi kuwa ikifika oktoba 29, 2025 wajitokeze kwa wingi kwenda kupiga kura na kurudi Nyumbani ili kusibiri matokeo.

Kamanda Suleiman amewaasa vijana kuacha mihemko ya uvunjifu wa amani na wala wasiwasikilize watu wasioitakia amani nchi yetu, na atakayekiuka Jeshi la Polisi halitasita kumchukulia hatua za kisheria.


21/10/2025

Dkt Samia: Msiogope hakuna maandamano siku ya uchaguzi

Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amewahakikishia Watanzania kuwa, siku ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, hakutakuwa na maandamano zaidi ya kushuhudiwa wananchi wakienda kupiga kura.

Amelisisitiza hilo, akisema kwa kuwa yeye ndiye Amiri Jeshi Mkuu na ndiye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, siku hiyo hakutashuhudiwa maandamano wala tishio lolote la kiusalama.

Dkt Samia ametoa hakikisho hilo, leo Jumanne Oktoba 21, 2025 alipozungumza katika mkutano wake wa kampeni uliofanyika katika Viwanja vya Leader Club, Kinondoni, jijini Dar es Salaam.

“Ninaye ongeza hapa ndiye Rais wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa nchi hii. Nataka niwaambie maandamano yatakayokuwepo ni watu kwenda vituoni kupiga kura.

“Hakuna maandamano mengine yatakayokuwepo, hakuna tishio la kiusalama litakalokuwepo, anayesema ni Amiri Jeshi Mkuu wa nchi hii, niwaombe ndugu zangu, twendeni mkapige kura,” amesema.

Amesema kila mwananchi anapotoka kwenda kupiga kura anapaswa kuambatana na mwenzake aliyeandikishwa, kisha arudi nyumbani kwa usalama.

Umejiaanda na msimu mpya wa korosho 2025/2026??
20/10/2025

Umejiaanda na msimu mpya wa korosho 2025/2026??

Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) imetangaza kuwa minada ya korosho kwa msimu wa 2025/2026 itaanza Oktoba 31, 2025. Wakulima wametakiwa kuzingatia ubora wa korosho na kuepuka kuuza kwa kangomba, huku minada ikiendeshwa kwa njia ya mtandaoni chini ya usimamizi wa…

Dkt Samia aahidi ujenzi Barabara Kibiti-MtumbaMgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Ha...
20/10/2025

Dkt Samia aahidi ujenzi Barabara Kibiti-Mtumba

Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amesema katika miaka mitano ijayo, Serikali yake itajenga Barabara ya Bungu-Nyamisati, Kibiti-Mtumba na Rufiji-Mbwela.

Dkt Samia ametoa ahadi hiyo leo, Jumatatu Oktoba 20, 2025 alipozungumza na wananchi wa Kibiti mkoani Pwani, katika mkutano wake wa kampeni za urais.

Ameahidi kujenga Barabara ya Bungu-Nyamisati, Kibiti-Mtumba, Rufiji-Mbwela na kuboresha barabara za ndani zikiwemo kilomi 42 za maeneo korofi ili zitumike misimu yote.

Dkt Samia amesema miradi ya maji 23 imekamilishwa wilayani humo na kuongeza upatikanaji wa huduma hiyo kutoka asilimia 47 hadi 74 na kwamba ataendelea kuboresha kuhakikisha wananchi wanapata maji zaidi Kibiti.

Address

Naliendele, Mtwara/
Mtwara

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when JAMII FM RADIO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to JAMII FM RADIO:

Share

Category