JAMII FM RADIO

JAMII FM RADIO JAMII FM ni kituo cha redio cha kijamii kilichoanza kutoa huduma mwezi Septemba 2016 kwa lengo la kuwapa jamii jukwaa la kuzungumzia maendeleo yao.

JAMII FM RADIO haitawajibika kwa maoni yatakayotolewa yenye kukiuka sheria za nchi. JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflects community livelihood including people with

special needs. Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production. JAMII FM RADIO gives voice to the voiceless. Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media. Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development. Location
JAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute. Coverage:
JAMII FM RADIO owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique. Programme Schedule
0600 – 1000hrs – Dira ya Asubuhi
1000 – 1300hrs – Kapu la Jamii
1300 – 1600hrs – Mchakamchaka
1600 -- 1610hrs – Habari (News Bulletin)
1610 – 1800hrs – Sauti ya Jamii
1800 – 1900hrs – Radio France International (RFI)
1900 – 1910hrs – Habari (News Bulletin)
1910 – 2000hrs – Dimba la Michezo (Sports)
2000 – 2100hrs – Makala Maalum
2100 – 2200hrs – Usiku Mwema
2200 – 0000hrs – Love Boat
0000 – 0600hrs – Music Mix

Location
https://www.google.co.tz/maps/place/Jamii+Fm+Radio/@-10.3559624,40.1615128,17z/data=!3m1!4b1!4m5!3m4!1s0x188d5a1f07878dd3:0x3a55ced2bafdf73e!8m2!3d-10.3559624!4d40.1637015?hl=en&hl=en

Je unafahamu alichozungumza Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Andrew Lentz alipotembelea mkoa wa Mtwara?  USAID ...
01/07/2025

Je unafahamu alichozungumza Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Andrew Lentz alipotembelea mkoa wa Mtwara?


USAID Tanzania
United Nations Department of Economic and Social Affairs (DESA)
U.S. Embassy Tanzania

Hii ni ziara ya kaimu balozi wa Marekani nchini Tanzania katika mkoa wa Mtwara ambapo alifanya mazungumzo na mkuu wa mkoa na kutembelea Bandari ya Mtwara na kujionea inavyofanya kazi Na Musa Mtepa Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Andrew…

Vipi bado kuna matumizi ya mifuko ya plastiki kwenye eneo lako??
01/07/2025

Vipi bado kuna matumizi ya mifuko ya plastiki kwenye eneo lako??

Hii ilikuwa sehemu ya kipindi kilichofanyika redioni kuelekea maadhimisho ya wiki ya Mazingira Duniani ambapo NEMC iliwasihi wananchi kutumia vifungashio vinavyokubalika kisheria ili kulinda mazingira, huku ikiendelea kutoa elimu kuhusu madhara ya mifuko ya plastiki na umuhimu wa utunzaji wa…

Katika familia yenu mnatoa shavu kwa mwanamke kugombea nafasi ya uongozi??
01/07/2025

Katika familia yenu mnatoa shavu kwa mwanamke kugombea nafasi ya uongozi??

“Mabadiliko makubwa yameanza kujitokeza ambapo wanawake wameanza kushika nafasi muhimu za uongozi katika nyanja mbalimbali k**a siasa, uchumi na hata uongozi katika taasisi za dini.” Na Mwanahamisi Chikambu Katika historia ya jamii nyingi duniani, mwanamke ameonekana kuwa nyuma katika masuala…

Wakulima wa ufuta wacharuka
19/06/2025

Wakulima wa ufuta wacharuka

Wakulima wa mazao ya ufuta na korosho wa kijiji cha Imekuwa wamekuwa wakipambana uanzishwaji wa chama cha ushirika tangu mwaka 2023 bila mafanikio kwa kile kinachoelezwa kutokidhi vigezo vya unazishaji wake Na Musa Mtepa Baadhi ya wakulima wa mazao ya…

  🎤Niambie ni nyimbo zipi zinakupa vibe katika sehemu za starehe?Tuandikie comment yako, halafu sisi tutaruka nayo ndani...
03/06/2025

🎤
Niambie ni nyimbo zipi zinakupa vibe katika sehemu za starehe?

Tuandikie comment yako, halafu sisi tutaruka nayo ndani ya SHOW
RADIO 📻 90.5 MHZ MTWARA
radiotadio.co.tz/jamiifm
💪🏾

  🎤kitu gani ambacho watu wengi hawakijui kuhusu Biashara?Tuandikie comment yako, halafu sisi tutaruka nayo ndani ya   S...
02/06/2025

🎤
kitu gani ambacho watu wengi hawakijui kuhusu Biashara?

Tuandikie comment yako, halafu sisi tutaruka nayo ndani ya SHOW
RADIO 📻 90.5 MHZ MTWARA
radiotadio.co.tz/jamiifm

Kipaza🎤Star yupi wa muziki hapa alitikisa dunia na kupendwa zaidi na mashabiki kabla ya kufariki kwao?A. Michael Jackson...
27/05/2025

Kipaza🎤
Star yupi wa muziki hapa alitikisa dunia na kupendwa zaidi na mashabiki kabla ya kufariki kwao?

A. Michael Jackson (August 29, 1958 - June 25, 2009)
B. Bob Marley (Feb 16,1945 - May 11, 1981)
C. Tupac Shakur (June 16,1971 - Sept 13, 1996)
D. Notorious BIG (May 21, 1972 - March.

SHOW
RADIO

ONLINE RADIO 90.5 📻
LINK 👉🏾 radiotadio.co.tz/jamiifm
🎤🎼

Msanii wa muziki wa Hiphop Jemedari wa kusini kutoka Mtwara Tanzania ameamua kuacha kuimba muziki baada ya kuutumikia kw...
27/05/2025

Msanii wa muziki wa Hiphop Jemedari wa kusini kutoka Mtwara Tanzania ameamua kuacha kuimba muziki baada ya kuutumikia kwa muda wa miaka 15.

"Sitoingia tena studio na kuimba nilisema nikifika muda wa miaka fulani nitaacha kuimba ila k**a ushauri na maswala mengine tunaishinayo kwani Hiphop ni zaidi ya maisha" Amesema Jemedari Wa-Kusini.

SHOW
RADIO

ONLINE RADIO 90.5 📻
LINK 👉🏾 radiotadio.co.tz/jamiifm

25/05/2025
KIPAZA 🎤Kumekua na migogoro mbalimbali pindi msanii anapotaka kuondoka katika lebo fulani Unadhani nini tatizo la migogo...
22/05/2025

KIPAZA 🎤
Kumekua na migogoro mbalimbali pindi msanii anapotaka kuondoka katika lebo fulani Unadhani nini tatizo la migogoro hiyo na kitu gani kifanyike ili kuepuka kelele na migongano pindi msanii anapotaka kuondoka katika lebo?

Endelea Kusikiliza kipindi cha burudani hapa 90.5 mhz Mtwara Show Online radio link
👉🏾 radiotadio.co.tz/jamiifm

🎤

Tunaelekea uchaguzi mkuu, je unafahamu nini kuhusu Viti maalum?
21/05/2025

Tunaelekea uchaguzi mkuu, je unafahamu nini kuhusu Viti maalum?

Na Mwanaidi Kopakopa, Mwanahamisi Chikambu Wanawake walioko katika nafasi za uongozi wamesema kuwa nafasi wanazopewa k**a madiwani au wabunge zinawajengea uwezo na kujiamini kugombea nafasi nyingine za juu za uongozi wa kisiasa. Katika makala haya, wanawake hao wameeleza kwa kina…

Kipaza 🎤Ni kweli muziki wa singeli sasa hivi unafanya vizuri kuliko aina nyingine ya muziki?Endelea Kusikiliza kipindi c...
21/05/2025

Kipaza 🎤
Ni kweli muziki wa singeli sasa hivi unafanya vizuri kuliko aina nyingine ya muziki?

Endelea Kusikiliza kipindi cha burudani hapa 90.5 mhz Mtwara Show Online radio link
👉🏾 radiotadio.co.tz/jamiifm

🎤

Address

Naliendele, Mtwara/
Mtwara

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when JAMII FM RADIO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to JAMII FM RADIO:

Share

Category