
01/07/2025
Je unafahamu alichozungumza Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Andrew Lentz alipotembelea mkoa wa Mtwara?
USAID Tanzania
United Nations Department of Economic and Social Affairs (DESA)
U.S. Embassy Tanzania
Hii ni ziara ya kaimu balozi wa Marekani nchini Tanzania katika mkoa wa Mtwara ambapo alifanya mazungumzo na mkuu wa mkoa na kutembelea Bandari ya Mtwara na kujionea inavyofanya kazi Na Musa Mtepa Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Andrew…