JAMII FM RADIO

JAMII FM RADIO JAMII FM ni kituo cha redio cha kijamii kilichoanza kutoa huduma mwezi Septemba 2016 kwa lengo la kuwapa jamii jukwaa la kuzungumzia maendeleo yao.

JAMII FM RADIO haitawajibika kwa maoni yatakayotolewa yenye kukiuka sheria za nchi. JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflects community livelihood including people with

special needs. Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production. JAMII FM RADIO gives voice to the voiceless. Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media. Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development. Location
JAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute. Coverage:
JAMII FM RADIO owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique. Programme Schedule
0600 – 1000hrs – Dira ya Asubuhi
1000 – 1300hrs – Kapu la Jamii
1300 – 1600hrs – Mchakamchaka
1600 -- 1610hrs – Habari (News Bulletin)
1610 – 1800hrs – Sauti ya Jamii
1800 – 1900hrs – Radio France International (RFI)
1900 – 1910hrs – Habari (News Bulletin)
1910 – 2000hrs – Dimba la Michezo (Sports)
2000 – 2100hrs – Makala Maalum
2100 – 2200hrs – Usiku Mwema
2200 – 0000hrs – Love Boat
0000 – 0600hrs – Music Mix

Location
https://www.google.co.tz/maps/place/Jamii+Fm+Radio/@-10.3559624,40.1615128,17z/data=!3m1!4b1!4m5!3m4!1s0x188d5a1f07878dd3:0x3a55ced2bafdf73e!8m2!3d-10.3559624!4d40.1637015?hl=en&hl=en

Sikiliza Jamii FM Radio kupitia kiunganishi kilichopo hapo chini
07/01/2026

Sikiliza Jamii FM Radio kupitia kiunganishi kilichopo hapo chini

Redio yangu, Sauti yangu

Unamfahamu masikilizaji bora wa JAMII FM RADIO  kwa mwaka 2025??
07/01/2026

Unamfahamu masikilizaji bora wa JAMII FM RADIO kwa mwaka 2025??

Jamii FM Redio imetangaza wasikilizaji na wachangiaji bora wa vipindi vyake kwa mwaka 2025. Washindi walichaguliwa na wasikilizaji kupitia SMS na kukabidhiwa tuzo katika hafla iliyofanyika katika studio za kituo hicho Na Musa Mtepa Jamii FM Redio imetangaza wasikilizaji na…

KIPAZA 🎤Je! unahisi ni msanii gani amefanya vizuri sana kwa mwaka 2025 hapa nchini Tanzania?Sikiliza Kipindi Cha MchakaM...
06/01/2026

KIPAZA 🎤
Je! unahisi ni msanii gani amefanya vizuri sana kwa mwaka 2025 hapa nchini Tanzania?

Sikiliza Kipindi Cha MchakaMchaka na
📻 👉🏾 BONYEZA radiotadio.co.tz/jamiifm
Tupo live 90.5 MHZ MTWARA 👑

KIPAZALeo kwenye kipindi cha burudani hapa Jamii FM Kwenye KIPAZA tunazungumzia Changamoto za vijana wenye Ulemavu katik...
05/01/2026

KIPAZA
Leo kwenye kipindi cha burudani hapa Jamii FM Kwenye KIPAZA tunazungumzia Changamoto za vijana wenye Ulemavu katika maisha. 📻🎤

MCHAKAMCHAKA SHOW

90.5 MHZ MTWARA
JAMII FM
BONYEZA HAPA KUSIKILIZA

👉🏾 radiotadio.co.tz/jamiifm

Bei ya Korosho umeionaje msimu huu??
04/01/2026

Bei ya Korosho umeionaje msimu huu??

Wakulima wa korosho Nanyamba wamelalamikia tofauti kubwa ya bei ukilinganisha na Tandahimba, hali inayowalazimisha kuhamishia mazao yao Tandahimba Na Musa Mtepa Wakulima  wa zao la korosho katika Halmashauri ya Mji Nanyamba wamehoji tofauti ya bei ya korosho inayojitokeza sokoni kati…

Kivuko kimekuwa msaada sana Kati ya msumbiji na Tanzania
04/01/2026

Kivuko kimekuwa msaada sana Kati ya msumbiji na Tanzania

Wananchi wa Kilambo na maeneo ya mpakani na Msumbiji wanaiomba Serikali kurejesha kivuko cha MV Kilambo kilichosimama kufanya kazi, Serikali imesema matengenezo yanaendelea Na Musa Mtepa Wananchi na watumiaji wa kivuko cha Kilambo kinachounganisha Tanzania na nchi jirani ya Msumbiji…

JAMII FM YATANGAZA WASIKILIZAJI NA WACHANGIAJI BORA WA VIPINDI  WA MWAKA  2025Jamii FM Radio imetangaza msikilizaji na m...
02/01/2026

JAMII FM YATANGAZA WASIKILIZAJI NA WACHANGIAJI BORA WA VIPINDI WA MWAKA 2025

Jamii FM Radio imetangaza msikilizaji na mchangiaji bora wa vipindi vyake kwa mwaka 2025, tukio hilo limefanyika jumatano Disemba 31, 2025 katika kituo cha kurushia matangazo Jamii FM Redio Mtwara.

Mkurugenzi wa Jamii FM Redio Bw. Swallah Said Swallah amemtangaza Ndg. Mambo Katani (mtoto wa Fatu Mohamedi Kumbuko) wa kijiji cha Rondo Ntene Halmashauri ya Mtama mkoani Lindi kuwa msikilizaji na mchangiaji bora wa kiume, wakati Bi. Amina Mkanjima (binti ya Mkanjim, mama wa Yanga, Mama Bakari Kitemwe) kutoka Manispaa ya Mtwara Mikindani kuwa msikilizaji na mchangiaji bora wa k**e.

Mkurugenzi wa Jamii FM, Bw.Swallah, amesema kuwa utaratibu huu ulianza mwaka 2024 na utakuwa endelevu. Kadri miaka inavyoendelea huku kituo kikiwa kinaboresha njia za kupata washindi na zawadi zinazotolewa.

Aidha akitaja mipango ya kituo, Bw Swallah ameeleza kuwa kuanzishwa kwa Jamii FM chini ya MTUKWAO Community Media lengo ni kuibua na kuchakata taarifa za kijamii ambazo mara nyingi huwa hazisikiki.

Uchaguzi huo ulifanywa kwa kushirikisha wa wasikilizaji wenyewe, kupitia ujumbe mfupi wa maandishi (SMS), ambapo walichagua msikilizaji bora wa k**e na wa kiume.

Wakizungumza washiriki wa mshindano hayo baada ya kutangazwa mshindi na kuwapatia zawadi wamesema ushindani huu umechochea ushirikiano kati ya wasikilizaji na kuwafanya wahisi kuwa sehemu ya kituo.

Kwa upande wake mshiriki wa shindano hilo Bi. Esta Jacob wa kijiji cha Mwenge Majengo na Bi. Sofia Mkomi wa Madaba Tandahimba, wamesema kitendo cha Jamii FM ni cha kuigwa na vyombo vingine vya habari, kwani kushirikisha wasikilizaji ni njia bora ya kutoa maoni na kuelewa ni taarifa gani jamii inahitaji na matukio yanayowahusu.

Jumla ya washiriki kumi na tano (15) walichaguliwa na wasikikizaji Kwa awamu ya mwisho ya mashindano huku wawili kati yao wakiibuka na ushindi ambapo washindi wote wamepewa zawadi ya radio (Subwoofer) yenye thamani ya shilingi Laki Moja na elfu hamsini (Tshs 150,000/=).

Naye meneja wa Redio Bw. Amua Rush*ta amewashukuru wasikilizaji wa Jamii FM Redio Mtwara kwa kuisiliza redio kwa mwaka 2025 na kuukaribisha 2026 Kwa kauli mbiu ya Mtaa Kwa Mtaa.

Je, huwa unachukua tahadhari zozote wakati wa kutumia  Gesi nyumbani kwako??
24/12/2025

Je, huwa unachukua tahadhari zozote wakati wa kutumia Gesi nyumbani kwako??

Wananchi wametakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya gesi ya kupikia majumbani ili kuepuka madhara ikiwemo milipuko ya moto Na Musa Mtepa Wananchi wameshauriwa kuzingatia matumizi sahihi ya gesi ya kupikia majumbani ili kuepuka madhara yanayoweza kujitokeza, ikiwemo milipuko ya moto inayosababishwa…

Umetoa zawadi za Krismasi kwa nafasi yako??
21/12/2025

Umetoa zawadi za Krismasi kwa nafasi yako??

Kituo cha Maendeleo ya Mtoto na Kijana FPCT Mtwara kimetoa zawadi za Krismasi kwa watoto wanaosoma kituoni hapo, ikiwa ni kuwapongeza na kumshukuru Mungu Na Musa Mtepa Kituo cha Maendeleo ya Mtoto na Kijana cha FPCT Mtwara kimetoa zawadi za…

Wabanguaji sasa kushikwa mkono na wadau
16/12/2025

Wabanguaji sasa kushikwa mkono na wadau

Ujenzi wa kiwanda cha Tells One General Supply Mahuta wilayani Tandahimba mkoani Mtwara umeleta faraja kwa akina mama na wabanguaji wadogo wa korosho. Kiwanda hicho kimewezesha upatikanaji wa soko, ajira na kuboresha maisha ya wananchi hususan wanawake wa eneo hilo…

Wananchi kuendelea kunufaika na mnyororo wa thamani wa zao la korosho hasa kipindi cha usafirishaji wa mazao
13/12/2025

Wananchi kuendelea kunufaika na mnyororo wa thamani wa zao la korosho hasa kipindi cha usafirishaji wa mazao

Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo, amemuagiza Mkurugenzi wa COPRA kuhakikisha mazao ya Ruvuma, Lindi na Mtwara yapitie Bandari ya Mtwara ili kuongeza tija, kurahisisha upakiaji na kuhakikisha fursa zinabaki kwa wakazi wa mikoa hiyo Na Musa Mtepa Waziri wa kilimo…

Wataalamu wajadili tafiti na changamoto za kilimo msimu wa 2025/2026 ndani ya Mtwara
13/12/2025

Wataalamu wajadili tafiti na changamoto za kilimo msimu wa 2025/2026 ndani ya Mtwara

Taassisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) Naliendele imefanya mkutano wa mwaka na wadau wa kilimo kuwasilisha matokeo ya tafiti na kujadili mikakati ya kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa, huku ikilenga kuongeza uzalishaji wa zao la korosho msimu…

Address

Naliendele, Mtwara/
Mtwara

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when JAMII FM RADIO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to JAMII FM RADIO:

Share

Category