20/09/2023
Unahofu kuhusu kiwango cha inonga varane?
Football news This page just opened to support the football lovers
(5)
Unahofu kuhusu kiwango cha inonga varane?
ADMIN ๐SENDING LOVE TO YOU
I gained 936 followers, created 135 posts and received 95,607 reactions from June to September! Thank you all for your continued support. I could not have done it without you. ๐๐ค๐
BOCCO DE CAPTAINO ยฉ
Unaonaje kiwango chake anaupiga?
Kikosi kimewasili dar es salama
War in dar inakujia karibuni
NOVATUS KUANZA NA FC PORTO Kesho UEFA
Nyota wa Kitanzania, Novatus Dismas anatarajiwa kesho, Jumanne kuwa sehemu ya kikosi cha FC Shakhtar Donetsk ambacho kitakuwa nyumbani kwenye uwanja wao wa National Sports Complex kwa ajili ya kutupa karata yao ya kwanza kwenye hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya FC Porto ya Ureno.
Huu utakuwa mchezo wa tano kwa timu hizi mbili kukutana kwenye Ligi ya Mabingwa, huku FC Porto ikionekana kuwa na rekodi nzuri kwani imeshinda na kutoka sare mara mbili hivyo FC Shakhtar Donetsk itakuwa ikisaka ushindi wake wa kwanza.
Shakhtar Donetsk itaingia kwenye mchezo huo ikiwa na rekodi nzuri ya kutopoteza ikiwa nyumbani katika mchezo wa ushindani mwaka huu.NOVATUS KUANZA NA FC PORTO KESHO
Nyota wa Kitanzania, Novatus Dismas anatarajiwa kesho, Jumanne kuwa sehemu ya kikosi cha FC Shakhtar Donetsk ambacho kitakuwa nyumbani kwenye uwanja wao wa National Sports Complex kwa ajili ya kutupa karata yao ya kwanza kwenye hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya FC Porto ya Ureno.
Huu utakuwa mchezo wa tano kwa timu hizi mbili kukutana kwenye Ligi ya Mabingwa, huku FC Porto ikionekana kuwa na rekodi nzuri kwani imeshinda na kutoka sare mara mbili hivyo FC Shakhtar Donetsk itakuwa ikisaka ushindi wake wa kwanza.
Shakhtar Donetsk itaingia kwenye mchezo huo ikiwa na rekodi nzuri ya kutopoteza ikiwa nyumbani katika mchezo wa ushindani mwaka huu.
Mwamba wa lusaka ๐ฆโฝ
MANENO YA BUSARA KUTOKA KWA Kagere Medie TERMINATOR ๐ฆ
Natambua siwezi tena kuja kuwa mchezaji wa SIMBA kutokana na umli wangu maisha ya football yana wakati wake nimefanya mengi nikiwa na timu ya Gor mahia ya Kenya nikaja kujiunga na SIMBA katika nyakati zangu nikiwa SIMBA sikuwai kujuta kuwa SIMBA ndomana mpaka sasa moyo wangu unakuwa na furaha kuona SIMBA inafanya vizuri kimataifa......
SIMBA ni timu ambayo inakaa na wachezaji wake vizuri na kumalizana nao vizuri ndomana mpaka sasa kuna wachezaji zaidi yangu waliopita SIMBA wanaipenda SIMBA kutokana na maisha waliopitia wakiwa hapo.....
Kwangu niwatakie kila la Kheli katika kusaka nafasi ya kuingia makundi natambua mchezo utakuwa mgumu sababu kwa sasa kila timu imejipanga kufanya vizuri mpira unazidi kuwa na ushindani Sana .......
Kuusu yanga siwezi kusema kitu ila kwangu nawakalibisha Rwanda sababu wanakuja wakati ambao nitakuwa mapumziko hivyo nitafika kuangalia mchezo huo niwambie tu yanga kuwa mchezo utakuwa wa ushindani Sana kulingana na timu pinzani kuwa na Record nzuri kimataifa ila sio kigezo chakusema kuwa awawezi kuvuka hapo hapana yanga kwa sasa ni timu nzuri Sana Mimi nawatakia maandalizi mema ....
Record yangu kubwa IPO simba sc
WOSIA KWA WASICHANA WAREMBO๐
๐ ๐๐๐๐ ๐ฌ๐ ๐๐๐ฅ๐๐๐๐๐
Wafungaji wa mechi ya leo dhidi ya Ngome FC
09โโโ Phiri (penalty)
31โโโฝ๏ธ Kapomeb
41โโโฝ๏ธ Kramo
45โโโฝ๏ธ Baleke
66โโโฝ๏ธ Onana
87โโโฝ๏ธ Baleke
89โโโฝ๏ธ Chilunda
Kikosi cha Simba X1:
Lakred, Kapombe, Hussein, Kazi, Che Malone, Ngoma, Kanoute, Miquissone Onana, Phiri.
NB. Simba SC imecheza mchezo wa tatu mfululizo na michezo yote wameshinda, Aubin Kramo amefunga michezo yote, Shabani Chilunda amefunga kwenye michezo miwili.
๐ดโช๏ธ
MEDIE KAGERE AIPONGEZA STARS ๐น๐ฟ "hongera sana stars"
Dhambi zote za Kibu denis apewe mzize ๐Admin SingidafountanegateFc
Mzamiru Yasin kiungo punda unampa asilimia ngapi kiwango chake?
KIB Denis kiwango chake unampa asilimia ngapi?
HONGERA TANZANIA KWA KUFUZU AFCON 2024
OFFICIAL: 18 Countries have qualified for the AFCON 2024.
๐จ๐ฎ Ivory Coast
๐ฒ๐ฆ Morocco
๐ฉ๐ฟ Algeria
๐ฟ๐ฆ South Africa
๐ธ๐ณ Senegal
๐ง๐ซ Burkina Faso
๐น๐ณ Tunisia
๐ช๐ฌ Egypt
๐ฟ๐ฒ Zambia
๐ฌ๐ถ Equatorial Guinea
๐ณ๐ฌ Nigeria
๐ฌ๐ผ Guinea-Bissau
๐ฒ๐ฑ Mali
๐จ๐ป Cape Verde
๐ฌ๐ณ Guinea
๐ฆ๐ด Angola
๐ฌ๐ญ Ghana
๐น๐ฟ Tanzania
MASHUJAA WETU WAPOTAYARI KUTETEA NEMBO YA SIMBA SC ๐ฆ
Maandalizi yamekuwa vita siyo mchezo tena watu wako na sura za kazi
SIMBA SC 5-1 COSMOPOLITAN
Mchezo wa kirafiki leo wafungaji hapa hapa
14โโโฝ๏ธ Phiri (tikitaka)
16โโโฝ๏ธ Baleke
21โโโฝ๏ธ Onana
35โโ๐ฅ Kapombe
36โโโฝ๏ธ Cosmo (pen)
58โโโฝ๏ธ Kramo
85โโโฝ๏ธ Chilunda
Kikosi cha Simba Kilichoanza:
Lakred, Kapombe, Hussein, Kazi, Che Malone, Ngoma, Kanoute, Miquissone Onana, Phiri, Baleke.
Beki wa Klabu ya Simba SC ๐น๐ฟ,Henock Inonga ๐จ๐ฉ ameongezwa kwenye Kikosi cha DR Congo ๐จ๐ฉ kinachojiandaa na Mchezo wa Kufuzu Michuano ya AFCON 2023 baada ya kupona jeraha lake mapema Tofauti na ilivyofikiriwa.
DR Congo ๐จ๐ฉ inatarajia kucheza dhidi ya Sudan ๐ธ๐ฉ Septemba 9 mwaka huu.
Credit Futbal Planet
Huku Aubin Kramo ๐จ๐ฎ kule Che Malone
Unaambiwa walikataa kwenda mapumziko wapo kambini๐ฅ๐ฆ
Mama Che Malone "Malone ameshuka sana natamani arudi japo hata nusu ya kiwango chake katika uchezaji akiwa uwanjani"
MLETE MZUNGU GOLINIโฝ๐๐ฆ
Unaambiwa hapati usingizi kwa majukumu anayopewa.
Yuko tayari kuvaa viatu vikubwa๐โฝ
Final 90'
Loss Angeles 1โฃโ3โฃ Inter Miami
MESS 2 assists
Luis Miquissone
Ewe shabiki wa simba Unashaka na kiwango chake?
Al Ahly ๐ช๐ฌ vs simba๐น๐ฟ
Can't wait to see ๐ฆโฝ
The lions and the eagle
Kings of football ๐
Al Ahly sc vs simba
Na Hii ndo level yetu, na yoyote akatizae mbele yetu mnyama tunaruka nae,,,, ๐ช๐ฆ
SIMBA vs AL AHLY
African Football league
AL AHLY ATAKE ASITAKE ANATAKIWA ATAMBUE PIA KUWA ANAKUJA KUCHEZA NA TIMU KUBWA AFRICA.
Ukipita page ya al Ahly utagundua mashabiki wanatoa lawama kuwa safu Yao ya ushambuliaji ni mbovu hivo kunauwezekano tukawamudu vizuri kabisa pamoja na kwamba wanauzoefu kutuzidi lakini sisi ni timu kubwa pia wa take wasitake wanatakiwa watuheshimu
Onana wa simba day ๐ฅ
ONANA 7
Mazoezi ya kupata pumzi yamepamba moto
AIR MANULA
Air Manula ndani ya Mo Simba Arena kwa mara ya kwanza tangu alipopata majeraha.
Kilimanjaro
Moshi
474
Be the first to know and let us send you an email when Je m'appelle viny posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.
Send a message to Je m'appelle viny:
Bonyeza link tufollow tiktok https://vm.tiktok.com/ZM2vkuQUR/ Happy birthday Admin wa page yetu pendwa
Ukishakuwa kwenye mioyo ya watu ni ngumu kusahaulika. Nenda tufollow tiktok bonyeza link hii https://vm.tiktok.com/ZM2GBNWjF/