Matukio Halisi

Matukio Halisi Maendeleo ya Moshi

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei ...
05/04/2023

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei na Rais wetu Mpendwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.

"Ujenzi wa Mradi mkubwa wa Maji Marangu Mashariki na Marangu Magharibi wenye thamani ya 1.7 Bilioni, Kazi bado inaendelea ."

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei ...
03/04/2023

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei na Rais wetu Mpendwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.

"Ulazaji wa mabomba ya maji. Mradi upo hatua ya maununuzi".

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei ...
30/03/2023

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei na Rais wetu Mpendwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.

"Usambazaji wa Umeme wa REA III Urenga na Nganjoni."

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei ...
29/03/2023

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei na Rais wetu Mpendwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.

"Ukamilishaji wa ujenzi wa Ghala la Kijiji cha Yamu Makaa."

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei ...
26/03/2023

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei na Rais wetu Mpendwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.

"Ukarabati Shule ya Msingi Kiterini kwa ufadhili wa Shirika la helpapp."

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei ...
26/03/2023

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei na Rais wetu Mpendwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.

"Ukarabati Shule ya Msingi Ashira na Ujenzi wa Choo Shule ya Msingi Samanga kwa ufadhili wa Shirika la helpapp."

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei ...
24/03/2023

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei na Rais wetu Mpendwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.

"Ukamilishaji wa Jengo la Zahanati ya Legho Mullo."

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei ...
23/03/2023

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei na Rais wetu Mpendwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.

"Ujenzi wa Barabara ya Kawawa - Yamu Km 9 kwa kiwango cha Changarawe."

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei ...
23/03/2023

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei na Rais wetu Mpendwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.

"Ujenzi wa Barabara kwa kiwango cha Moramu ya Kochakindo km 6.7 na Chekereni-Kyomu-Kahe."

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei ...
22/03/2023

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei na Rais wetu Mpendwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.

"Ukamilishaji wa Maabara Shule ya Sekondari Mrereni."

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei ...
22/03/2023

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei na Rais wetu Mpendwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.

"Ujenzi wa madarasa mapya Shule ya Sekondari Himo."

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei ...
21/03/2023

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei na Rais wetu Mpendwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.

"Ukamilishaji wa jengo la OPD Zahanati ya Njiapanda."

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei ...
20/03/2023

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei na Rais wetu Mpendwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.

"Ukarabati na ujenzi wa Zahanati ya Matala."

Heko Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan, Heko Mhe. Mbunge Dr. Charles Stephen Kimei. Kazi iendelee.. 🙏
20/03/2023

Heko Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan, Heko Mhe. Mbunge Dr. Charles Stephen Kimei. Kazi iendelee.. 🙏

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei ...
20/03/2023

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei na Rais wetu Mpendwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.

"Usambazaji wa Umeme wa REA III."

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei ...
19/03/2023

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei na Rais wetu Mpendwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.

"Ukamilishaji wa Maabara Shule ya Sekondari Marlex."

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei ...
18/03/2023

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei na Rais wetu Mpendwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.

"Upanuzi Kituo cha Afya Kirua Vunjo Magharibi."

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei ...
17/03/2023

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei na Rais wetu Mpendwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.

"Mradi wa Maji Miwaleni - Njiapanda."

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei ...
17/03/2023

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei na Rais wetu Mpendwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.

"Ujenzi wa Zahanati ya Mabungo."

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei ...
16/03/2023

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei na Rais wetu Mpendwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.

"Ujenzi wa Shule Mpya ya Sekondari Njiapanda."

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei ...
16/03/2023

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei na Rais wetu Mpendwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.

"Ukamilishaji wa Vyumba vitatu vya Madarasa Shule ya Sekondari Darajani."

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei....
16/03/2023

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei. na Rais wetu Mpendwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.

"Utekelezaji wa ujenzi wa madarasa ya awali Shule ya msingi Maendeleo."

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei....
16/03/2023

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei. na Rais wetu Mpendwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.

"Utekelezaji wa miradi ya Maji."

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei....
16/03/2023

Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Vunjo linaloongozwa na Mbunge Mhe. Dr. Charles Stephen Kimei. na Rais wetu Mpendwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.

"Utekelezaji wa mradi wa Kituo cha Afya Marangu HQ."

MHE. DR. KIMEI (MB) ATIMIZA AHADI YA KUSAIDIA KOMPYUTA SHULE ZA SEKONDARI JIMBO LA VUNJO; AWASHUKURU VODACOM KWA KUKUBAL...
23/02/2023

MHE. DR. KIMEI (MB) ATIMIZA AHADI YA KUSAIDIA KOMPYUTA SHULE ZA SEKONDARI JIMBO LA VUNJO; AWASHUKURU VODACOM KWA KUKUBALI OMBI LAKE.

Tarehe 23/02/2023

Mbunge wa Jimbo la Vunjo Mhe. Dr. Charles Kimei ameongoza shughuli ya kukabidhi Kompyuta 10 kwa Shule tano za Sekondari Jimbo la Vunjo, Kompyuta hizo zilipatikana kupitia Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom baada ya maombi ya Mhe. Mbunge kufanyika. Shughuli hiyo imefanyika katika shule ya Sekondari Mrereni iliyopo Kata ya Kilema Kusini.

Mhe. Mbunge amewashukuru Kampuni ya Vodacom kwa kukubali maombi yake ya kusaidia Kompyuta na kuwaomba waendelee na moyo huo wa kusaidia.

Mhe. Mbunge amewataka walimu na wanafunzi kutunza Kompyuta hizo na kuzitumia vizuri ili ziweze kuwasaidia.

Mhe. Mbunge alipokea maombi kutoka shule za Sekondari Jimbo la Vunjo ya kupatiwa Kompyuta. Katika kutekeleza maombi hayo Mhe. Mbunge mwaka 2021/2022 alikabidhi Kompyuta 8 kwa Shule za Sekondari kwa kupitia ufadhili wa Benki ya NMB.

Mhe. Mbunge ameahidi kuendelea kutafuta ufadhili zaidi ili shule za Vunjo ziweze kunufaika na uwezeshwaji huo.

Kwa upande wa Vodacom, wamemshukuru Mhe. Mbunge kwa kazi nzuri anayoifanya katika Jimbo la Vunjo. Wamempongeza kwa kumchango wake kusaidia kuwa sehemu ya kuishauri Serikali katika kupunguza suala la tozo la miamala ya simu ambapo Vodacom imewasaidia sana.

Shughuli hiyo ilihudhuriwa na Afisa tarafa na Mhe. Diwani Kata ya Kilema Kusini pamoja Wakuu wa Shule waliokabidhiwa Kompyuta hizo.
Vodacom

VUNJO CUP 2022/2023:MATOKEO YA FAINALI:TAREHE: 17/02/2023. NJIAPANDA (2) vs MAKUYUNI (2) FT.PENALTY: NJIAPANDA (4) vs MA...
17/02/2023

VUNJO CUP 2022/2023:

MATOKEO YA FAINALI:

TAREHE: 17/02/2023.

NJIAPANDA (2) vs MAKUYUNI (2) FT.

PENALTY:
NJIAPANDA (4) vs MAKUYUNI (1).

NJIAPANDA MABINGWA WAPYA VUNJO CUP 2022/2023. 🥇

Address

Shanty Town
Moshi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Matukio Halisi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Matukio Halisi:

Videos

Share