Aliyekuwa mgombea wa kanda ya Nyasa ya Chadema, Mchungaji Peter Msigwa amekata rufaa katika chama hicho, akidai ushindi alioupata Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ haukuwa halali na kulikuwa na mbinu chafu dhidi yake.
Washindi wa Mtoko wa Kibingwa season 7 tayari wameanza kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Nyerere International airport.
Kulianza Bata la Mtoko wa Kibingwa @betika.co.tz
Itasimakia kilakitu kuanzia Hotel yenye hadhi ya Nyota Tano,Burudani za wasaniii wa Bongo freva na Singeli pale Mbagala Zakhem,
BETIKA hawaishi Hapo washindi wa Mtoko wa Kibingwa watapelekwa Uwanjani Kwa escort ya police, Ticket ya Vipi Uwanjani.
@betika.co.tz
@_rugambwa @nelsonm___
Msisimuko wa https://bit.ly/USHINDIMNONO unaanzia TANZANIA kuelekea kila kona ya DUNIA.🔥
🇹🇿: Yanga 🆚 Simba
🇪🇸: Real Madrid 🆚 Barcelona
🇽🇪: Arsenal 🆚 Chelsea
🇽🇪: Everton 🆚 Liverpool
📊Ni vita ya WATANI WA JADI, El CLASSICO ya kibabe huku MAJOGOO na WASHIKA MITUTU ya London wakimkimbiza City kimya kimya.🔥
sijui itakuwaje lakini @_rugambwa @baraka_mpenja watakuwepo i promise you https://bit.ly/USHINDIMNONO
Jumapili hii kwenye kipindi cha INJILI MOTO tulitembelewa na Kwaya ya Mtakatifu Karolilwanga Parokia ya Mwanjelwa
Na hivi ndivyo walilitangaza Neno la Mungu Kwa njia ya Uimbaji
az
TBL YAPANDA MICHE 400 YA MITI KWENYE VYANZO VYA MAJI JIJINI MBEYA
Katika kuadhimisha siku ya Maji Duniani Kampuni ya Bia ya TBL imepanda Miti katika vyanzo vya Maji Jijini Mbeya ili kukabiliana na Mabadiriko ya tabianchi
Akizungumza baada ya kukamilika Kwa zoezi Hilo Menejar wa TBL Mkoa wa Mbeya EMANUEL SAWE Amesema wanatambua mchango Mkubwa wa Serikali katika kutunza mazingira na ndio maana wameamua kuunga mkono Kwa kuhakikisha kila mwaka wanapanda Miti Pamoja na kuifuatilia...
Aidha ameongeza katika zoezi Hilo la upandaji Miti wanashirikiana na Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira ili kuhakikisha elimu inatolewa ya utunzaji wa vyanzo vya Maji Kwa Wananchi.
Zoezi Hilo la upandaji Miti limefanyika katika Chanzo Cha Maji Chanzo cha maji mwatezi-Uyole na kwenye mabwawa ya Maji taka - Kalobe Jiji la Mbeya.
.
.
.
.
.
@bombafmmbeya #ishikatikaubora
Mlumbi @henelikowamalo akizungumza wakati wa Kongamano la Nne la Idhaa za Kiswahili Duniani
Kongamano linalofanyika mkoani Mbeya lenye kauli Mbiu "TASNIA YA HABARI NA FURSA ZA UBIDHAISHAJI KISWAHILI DUNIANI"
#ishikatikaubora
@bakita_tz @bakizaznz
Huyu hapa Mkali @balone_dope (NGETA KANUNU) Akipiga Story na @geto_shoo Baada ya Kutoka kwenye MIZUKA YA BURUDANI hapa 104.1
@furahayamtaa @rozeepatrick na @djking_66_ @geto_shoo
#ishikatikaubora
Anaitwa @balone_dope kijana ambae anachana kinyakyusa na Amekuwa maarufu Kupitia Mtando wa TikTok
Yuko hapa kwenye MIZUKA YA BURUDANI sikiliza 104.1 @furahayamtaa @djking_66_
#ishikatikaubora
🙌Tumemdondosha kwenye 1, 2 Sauti ya RADI⛈️, Mwamba wa UMALILA, fahari ya ITETE🔥
🥳Alizaliwa kwa ajili ya SIMBA na YANGA, amekuja kuuwasha MOTO kwenye MTOKO WA KIBINGWA SEASON 7💪
BARAKA MPENJA amemwaga wino rasmi ✍️ na tutakukutanisha nae LIVE kwenye DERBY ya Kariakoo cha kufanya👇
Zama - www.betika.co.tz suka KEKA lenye Game 3 kwa buku 2 au zaidi uibuke MSHINDI kuwacheki YANGA 🆚 SIMBA KI-VIP!
#MtokoWaKibingwaS7
#KaaKwaKutulia
#Simba
#Yanga
Oyaaaa weeee #KaaKwaKutulia Sisi ndio CHAGUO LA MABINGWA
Kaa karibu na page zetu
Instagram @betika.co.tz
Facebook @BetikaTz
Follow account za Betika na tuambie unadhani kunani kutoka kampuni namba Moja ya Michezo ya kubashiri hapa nchini @betika.co.tz
#KaaKwaKutulia
Hii hapa Kauli Mbiu Kuelekea Siku ya Mwanamke Duniani huyu hapa Mkaguzi wa Police Mbeya -Frida Tadey
#ishikatikaubora
WANANDOA MUWE NA VIFUA
Ni SGT Melania Kifaru kutoka Jeahi la Police hapa anaeleza Jinsi Ugomvi kwenye Gazi ya Familia Unavyoatjiri Malezi na Makuzi.
Endelea KUTUSIKILIZA
@mckamendu @mapundacatherin
@jeshi_la_polisi_tanzania
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ATANGAZA SIKU SABA ZA MAOMBOLEZO NA BENDERA YA TAIFA KUPEPEA NUSU MLINGOTI.
Studio ya kwanza kutembelewa na Manager Mpya wa Mamlaka ya Mwasiliano Tanzania Kanda ya kusini TCRA BONIFACE SHOO ni BOMBA FM
@tcra_tanzania
#ishikatikaubora
#KaaKwaKutulia nikupe mchongo wa kukwea PIPA✈️ na kuwacheki YANGA 🆚 SIMBA KI-VIP!🔥
🔥Mchongo haushii hapo😋 tunasimamia SHOW nzima ya wewe kufikia HOTEL yenye hadhi ya nyota✊ na bata la KI-VIP🥳
Kushinda ni rahisi mnoo👇
✅Cheza mara nyingi kwa BUKU 2 au zaidi
✅Tupia Game 3 na kuendelea uibuke MSHINDI hata keka LISIPOTIKI🥳
Timba - www.betika.co.tz
cc.
@betika.co.tz @_rugambwa @frank_ruga
🤔Picha linaanza tu vitu VINONO viko mbele yako 🍗🔥 mpaka useme DAH! kweli I MADE IT🙌
🪑Yaani ile umekaa KIMAPOZI kwa KUTULIA unajipigia tu.😋
Ewaa 😃🤗nisimalize uhondo #KaaKwaKutulia siku ya J'TATU mishale ya ⏱️SAA 4 kamili tutakinukisha kinoma noma.🔥
#BetikaTz
#TwendeKibingwa
Tumeaka naa unyama kabisa wa mrembo @messa_melodie performance ya MAHABA SAWA SAWA ulie alikwa Vip uli Enjoy
#mahabasawasawa2024😍❤️😘🎯🥰
#valentinebomba💕💕
Shangwe la TUTATOBOA ya @dnassehtz Kwa Wadau wa Bomba FM
#mahabasawasawa2024😍❤️😘🎯🥰
#valentineBomba💕💕