Jensen Tv

Jensen Tv Entertainment podcast, Interviews, Entertainment Source. For Promotion 0764290055

Simulizi hii imeandikwa na  Na kudhaminiwa na Twende sote. Kaka huenda kweli sisi wanaume tumeumbiwa vitu viwili 1. Mate...
11/07/2024

Simulizi hii imeandikwa na
Na kudhaminiwa na

Twende sote.

Kaka huenda kweli sisi wanaume tumeumbiwa vitu viwili 1. Mateso 2. Kuhangaika, maana nikikumbuka nakosa majibu, Duuh Kaka Pascal sijakuelewa yaani mateso na Kuhangaika una maana gani mbona k**a kitu kimoja tu hapo.

Kiukweli nina kitu nimekaa nacho tangu 2016 hadi Leo naona nikwambie wewe, ni cha kijinga kwa umri ule sikupaswa kabisa kukifanya maana ni ujinga na utoto ila wanawake ni Ng'ombe Kaka, Duuh Ng'ombe tena kivipi.

Haya yakikuwa ni mazungumzo ya marafiki wawili Pascal akiwa na Geshom, ni baada ya kupotezana kitambo sasa wamekutana Mpemba, Momba mkoani Songwe, Pascal anamsimulia sasa...

Pascal: Wakati ule tuko shule hivi unajua miaka yote mi nne nimemaliza bila kufanya mapenzi?

Geshom: Unaanza kamba zako sasa uliwezaje mzee miaka mi 4 sio kitoto kwa umri ule maana damu zilikuwa zinachemka haswa kesi kila siku kwa walimu. Wewe uliwezaje?

Pascal: Sio kuweza kaka wanawake walile dalasa k**a ulivyokuwa unawajua ukiwatongoza wanatangaza ningewezaje, Hayo Mambo aliweza "Silent Killer" pekeyake.

Geshom: Ahahahaha daah kaka hivi jamaa yupo kweli, yule mshikaji sijui alikuwa na dawa maana sio kwa lile balaa yaani wanawake wanajua kabisa wanatoka nae wawili lakini bado hawawezi kumuacha, daaah noma imenikumbusha mbali sana.

Pascal: Sasa kuna siku tulitoka uwanjani nikakutana na yule mpenzi wake na Silent Killer (Jay) yule Phirdauthy si unamkumbuka.

Geshom: Namkumbuka sana naanzaje kumsahau Miss wa Shule πŸ˜ƒ.

Pascal: Sasa nilimsimamishaga nikawa nampa hi πŸ‘‹ nikamwambia "Nakupenda we mdada achana na Jay tubaki wawili tu" unajua alisemaje

Geshom: Ntajuaje kaka mlikuwa wawili tu.

Pascal: akaniuliza unadhani mimi sijui k**a Jay (Silent Killer) ni mhuni ? Najua sana na huwa na mfuma pia najua anatoka na Joyce, na Annah pia najua hata mtaani najua,

Nikamuuliza kwanini usimuache sasa mimi ntakufanya mwenye furaha zaidi. Akasema kweli? Basi nipe sababu ya kwanini napaswa kumwacha nije kwako?

Nikamwambia mimi kwanza sita ku cheat k**a yeye pia mimi sijawahi kabisa kuwa na mahusiano kabla.

Akanijibu kuwa , kwahiyo unataka mimi ndo nikufundishe (nikutoe ujana wako?

  Aliyekuwa mwenyekiti wa  na C.E.O wa   Yusuf Manji amefariki dunia jana June 29, 2024 saa 6 usiku mjini Florida nchini...
30/06/2024


Aliyekuwa mwenyekiti wa na C.E.O wa Yusuf Manji amefariki dunia jana June 29, 2024 saa 6 usiku mjini Florida nchini marekani alikokuwa akipatiwa matibabu .

Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na mtoto wake, Mehhub Manji.

Source :

tunatoa Pole kwa familia ndugu, jamaa na marafiki wote walioguswa na msiba huu.

Bwana alitoa, Bwana ametwaa
Jina lake lihimidiwe, amen πŸ™

Powered by

 Powered by
07/06/2024



Powered by

Mwanasoka maarufu ulimwengu , ameweka record nyingine kubwa katika mtandao wa  ya kuwa mtu pekee aliyepata likes nyingi,...
06/06/2024

Mwanasoka maarufu ulimwengu , ameweka record nyingine kubwa katika mtandao wa ya kuwa mtu pekee aliyepata likes nyingi, kwenye comment.

Siku Tatu zilizo pita mchezaji .mbappe wa Ufaransa ualitangazwa kuwa mchezaji wa team ya , kwahiyo watu wengi wali comment kumtakia mema katika changamoto yake mpya.

Ronaldo ni miongoni mwa maelfu ya watu walio mtakia kheri, comment ya Cristiano nimepata likes Million nne na Laki Nne 4.4M.

Hii ni record kubwa ya Tatu kwa Ronaldo katika mtandao wa

Ya Kwanza, Binadamu pekee mwenye wafuasi wengi katika mtandao huu Akiwa na followers zaidi ya 600M

Ya pili, Binadamu anayelipwa pesa nyingi zaidi kwa matangazo anayo ya fanya katika mtandao huu.

Hakika Record zinamfuata.

Powered by

19/05/2024

Kuna kipindi nimewahi kuelezea juu ya hili kundi la nikasema miongoni mwa siraha zao kubwa ni uwezo wa Kufanya aina zote za muziki, ni hii ni kwasababu wana kiungo mchezeshaji lakini pia flow zao zenye asili ya chuga (nation swag accent)

Sasa nije kwenye wimbo wao mpya wa ni ngoma kali ya Rap kwa sasa hivi, wamesoma upepo kwanza walikuwa kimya mda mrefu Tangu watoe album yao wote waliendelea Kufanya kazi za solo artist kila mtu na kazi zake.

Sasa wakaona warudi na ukiisikiliza kwa umakini amekamia sana na hii ni k**a alitaka kumfunika πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ warawara akasema thubutu wewe na mzee mwenzako si mlikuwa mnaniita Amapiano boy ngoja niwakomeshe. Kilichotokea ni historia.

Kwa sasa hivi makundi mengine yaendelee ku support tu lakini kushindana na hawa jamaa ni kitu hakiwezekani.

Uandishi, flows, visuals ni hatari...

Jimmy TheGreater was here

Follow

SEHEMU YA PILIHuu mwaka umekuwa mwaka bora sana kwenye kiwanda cha burudani game imechangamka sana wanasanii hawa poi ni...
18/05/2024

SEHEMU YA PILI

Huu mwaka umekuwa mwaka bora sana kwenye kiwanda cha burudani game imechangamka sana wanasanii hawa poi ni ngoma juu ya ngoma, kuna Inspirational, swagger, Bangers, love etc

Sasa Jaymoe kwanza Picha linaanza tuanzei kwenye " Way back" Akiwa na Country wizzy, Jaymoe ni k**a alitaka kumuonesha Wizzy kuwa sawa yeye ni msanii mkali lakini yeye ni more than rapper, ame rap kikubwa sana (GOATS) ameonesha Tangu way back anafanya nini kwenye game.

Lakini akaona alipe kwa kumshirikisha country boy kwenye "Moccasin" kilichotokea wote tumeona, yaani kwa haraka tu Jaymoe kuna muda akifanya kazi na country ni k**a Ana muona Albert Mangwair, flows, punch lines, Swaggs, ndio maana Jaymoe Ana rap kwa hasira k**a yuko na Goats wa hii New Era of Trap.

Lakini akaona bado hamjamjua k**a yeye ndio Baba mwenye Nyumba ameachia "BOSSKAZI" kweli kazi ipo na Boss ndio yeye, jamaa ameumiza sana, sijui kwanini wasanii wachaga wana feli wapi?

Huyu mzee Aliumbwa kwa jukumu Moja tu aje aimbe muziki, kwa ulaya huyu ni Lil Wayne au Kendrick Lamar.

Boss Kazi itaishi milele.

Jimmy TheGreater was here
Cc

K**a kuna mtu amewahi kumfuatilia  basi atakubaliana na mimi kuwa huyu ni mkali wa generations zote za Rap hapa chini Ta...
18/05/2024

K**a kuna mtu amewahi kumfuatilia basi atakubaliana na mimi kuwa huyu ni mkali wa generations zote za Rap hapa chini Tangu ameanza Kufanya muziki.

Anauwezo mkubwa sana wa kuangalia game inataka nini,? Wapi kuna gap? Nifanye nini, jaymoe ameanza music Wakati ambao producers wakubwa walikuwa ni P. Funky majani na Master Jay.

Tangu alipofanya vizuri na ngoma k**a Maisha ya Boarding, K**a una taka demu, Bishoo, watu walizidi kumpa sikio zaidi kujua ukubwa alio kuwa nao. Aliwaaminisha watu kwa collaboration song kubwa zinazoishi kila siku k**a "Kimya Kimya" Akiwa na marehemu Mangwair, Mwendo tu Akiwa na Songa

Lakini miongoni mwa Classic songs zake hauwezi kuiacha Jua na Mvua ( Top Top Song).

Kuna vipindi kadhaa amewahi kuwa kimya lakini aliporudi Ali fanya makubwa zaidi, na wengi kuanza kuamini k**a "Kobe akiinama anatunga sheria" pia ukimya sio uoga.

Mwaka 2015, Jaymoe alirudi tena kwenye game Wakati ambao kidizaini mziki wa Trap ulianza kupewa sikio sana, na kulikuwa new era ya producers k**a S2kizzy na Mr. T touch (kwa upande wa Hip hop production) na ni Wakati pia kulikuwa wasanii damu changa walio jipata kwenye game ya Trap wasanii k**a na wakiwa ndio watawala.

Jaymoe aliachia ngoma inaitwa "the general" haikwenda sana lakini 2016, akaachia wimbo unaitwa "PESA ya madafu" πŸ˜‚πŸ’₯πŸ’₯πŸ’₯πŸ’₯ boom watu wa kasema huyu Mchopanga alikuwaga wapi siku zote? Jiji lilisimama Watoto wadogo ( in tids voice) walitafutana na kujichimbia.

Akaona haitoshi 2017, akaachia "Nisaidie kushare" na "Bata" zikakimbiza sana. Kumbuka Wakati huo kuna wasanii wakali kinoma na wanaachia kazi pia wasanii k**a Darassa, Billnass, Mr. Blue, Weusi, nk, wote wanatoa ngoma lakini bado jabari linapasua anga.

Akatulia tena na akaona arudi ku support new generation (freshers) akafanya ngoma na Conboi " I made It" 2021.

Lakini sasa hivi tena amekuja na balaaa.......
Lead to the next post....

Jimmy TheGreater was here

Follow

Tuache uzungu
16/05/2024

Tuache uzungu

Sijajua tume ya Tuzo huwa inaangalia vitu gani au huwa zinauza tuzo, wasanii wana nunua,. Sijajua bado lakini inafikiris...
12/05/2024

Sijajua tume ya Tuzo huwa inaangalia vitu gani au huwa zinauza tuzo, wasanii wana nunua,. Sijajua bado lakini inafikirisha Sana.

Msanii anapewa tuzo bora ya Hip Hop au RnB halafu mwaka mzima anatoa Amapiano, singeli, taarabu, mchiriki etc.

Halafu kuna msanii anaiishi kwenye category yake k**a Rap ni Rap Ali switch amepiga Drill, Mafioso, Trap, Storytelling anaishi humo why asipewe? Au kwakuwa yeye sio wa Kasikazini?

Mamlaka husika wa Tuzo, wajifunze hizi aibu nyingine zina epukika, mpeni mtu haki yake sawa na Kazi yake.

was here

Follow

Ubora wa msanii, haupimwi kwa ubora wa kazi zake, bali hupimwa kwakuwa na mwendelezo mzuri wa kazi zake.Kuna siku mwanam...
12/05/2024

Ubora wa msanii, haupimwi kwa ubora wa kazi zake, bali hupimwa kwakuwa na mwendelezo mzuri wa kazi zake.

Kuna siku mwanamziki aliwahikusema kuwa alianza kuzipambania ndoto zake Tangu mwishoni mwa Mia ya 90's (1999), lakini alikuja kutoboa mwaka 2009 (miaka 10 baadae).

Hiyo pia iko kwa mwanamziki , ambaye yuko kwenye game mwaka wa 10 sasa anazidi kuzipambania ndoto zake kwa ubora ule ule alianza nao, mwaka 2016 aliweza kuachia wimbo wake wa kwanza kwenye tasnia ya burudani uitwao wimbo ambao ni kiri kwamba ni wimbo wangu bora na pendwa kutoka kwa Dnasse.

Wimbo huu ndio watu wengi waliiisikia sauti ya Dnasse D music Tz, wimbo ambao hadi sasa video yake imetazamwa na watu zaidi ya elfu kumi na mbili 12K. Audio kali video kali πŸ’₯πŸ’₯ sijui alipania sana.

Lakini hakuishia hapo akaendelea kukomaa na hatimae mwaka 2022 akaachia wimbo ambao sasa umemuweka hapa alipo Leo, kujulikana na wengi, kupata show nyingi na pesa.
huu ni classic na global song kutoka kwa Dnasse sidhani k**a kuna mpambanaji hajajipost akisikiliza wimbo huu. Iwe reels, tiktok na kila shemu.

Wimbo huu, audio yake YouTube imesikilizwa na watu zaidi ya Elfu 10. Video yake imetazamwa mara elfu Arobaini na Mbili 42K

Lakini Boomplay imesikilizwa na watu Elfu Arobaini na mbili, Mia mbili 42.2K

Huyu kwa sasa ndio msanii pekee anayeiwakilisha Mbeya akitokea mkoani,

Wasanii wasikate Tamaa mapema endelea kukomaa na kutoa kazi nzuri.

Kaisikilize Rangi yakπŸŽ‰πŸŽ―

Follow

Fashion in a vitu vingi sana lakini, MAVAZI ni category namba Moja na ndio kubwa kuliko zote, kila siku kuna ubunifu kub...
10/05/2024

Fashion in a vitu vingi sana lakini, MAVAZI ni category namba Moja na ndio kubwa kuliko zote, kila siku kuna ubunifu kubwa sana unafanyika kwenye MAVAZI ikiwemo Logo na Majina.

Tanzania ni miongoni mwa chi zenye vijana wengi wabunifu ambao wameweka logo na kudesign MAVAZI.

Zifuatazo ni brand kubwa, je ipo IMEUZA ZAIDI?

1. (Mbeya Boy Brand)
2. ( Born to Shine)
3. (African Boy Brand)
4. Tip TOP connection
5.
6. (King of Bachelor)



Follow

Nimekuwa mfuatiliaji wa game ya Bongo fleva kwa zaidi ya miaka 15 sasa nafuatilia kazi za wasanii kuanzia kujitafuta kwa...
04/05/2024

Nimekuwa mfuatiliaji wa game ya Bongo fleva kwa zaidi ya miaka 15 sasa nafuatilia kazi za wasanii kuanzia kujitafuta kwao, kujipata mikoani, kwenda ki taifa na kimataifa pia. Nimeufuatilia mziki wa Nyanda za juu kusini tangu wasanii wana hit kwa majina ya maeneo mfan. TUKUYU ( ) Mbeya ( pia ) hawa waliwahi kutoa ngoma za majina kuhusu mkoa na wakasikika masikioni pa wengi.

Nimekuwa nikiona pia wasanii wanavyo potea haraka na kusahaulika, wasanii wengi Nyanda za juu kusini wakisikika tu Mbeya mjini basi na wakipata show chunya, mbozi na Kyela wanajiona akina Mond wa Mbeya πŸ˜† πŸ˜„ 🀣 πŸ˜‚.

Nimekuwa nikimfuatilia mtu k**a Zax ambaye sikuzote huwa naona ni k**a almasi iliyoshindwa kujitofautisha na mawe nayeye akajikuta anakuwa jiwe, the same to Selementelly, aliwahi kujipata akafanya kazi na , lakini bado waliendelea kukaa mbeya na wakaamini kabisa kuwa wao ni wakubwa wakajazwa upepo na Presenters waka relax now wamepotea, and they can't do anything bigger right now.

Lakini mfano wa kuigwa ni , kuna siku akiwa kwenye interview, alisema wakati anaanza kujitafuta alipotoa ngoma zake aliweka kwenye memory card ( adapter) na kuzi sambaza bure kwa madereva bodaboda, lengo ni kuwafikia watu wengi zaidi.

Kuna msanii leo anakaa sehemu (mtaa) , kuna library 3 hadi 5 lakini hakuna hata library moja inayopiga wimbo wake, wala mtaani kwao hawajui k**a ni msanii, yuko busy ku share link na kuwaomba Djs ambao wanapiga tu radioni ngoma hazifiki club's na maeneo mengine. Msanii Ana meneja wanashindwa kumlipa mtu wa library hata elfu 10 akapiga ngoma asubuhi ,mchana na usiku?

Lazima ukubali gharama ili utengeneze pesa, kuna wasanii wataendelea kuonekana wadogo kwasababu hawako na watu sahihi wa kusimamia.

Follow


Huenda mwanariadha wa mbio ndefu wa nchini Kenya πŸ‡°πŸ‡ͺ,  Eliud Kipchonge, akawa mwanamichezo wa kwanza wa Afrika kujengewa ...
03/05/2024

Huenda mwanariadha wa mbio ndefu wa nchini Kenya πŸ‡°πŸ‡ͺ, Eliud Kipchonge, akawa mwanamichezo wa kwanza wa Afrika kujengewa sanamu Uingereza.

Sanamu la mwanariadha huyo limejengwa katika Mji wa Beaverton, Oregon, Uingereza.

Follow
and
Was here

Shiriki baraka hizi changia kwa kadri ulivyo barikiwa na utavyo guswa.
24/04/2024

Shiriki baraka hizi changia kwa kadri ulivyo barikiwa na utavyo guswa.

πŸ“Ethiopia πŸ‡ͺπŸ‡Ή  ni nchi ya pili kwa idadi kubwa ya watu Africa.Ina jumla ya watu 129,719,719Karibuni Ethiopia πŸ‡ͺπŸ‡Ή
23/04/2024

πŸ“Ethiopia πŸ‡ͺπŸ‡Ή ni nchi ya pili kwa idadi kubwa ya watu Africa.

Ina jumla ya watu
129,719,719

Karibuni Ethiopia πŸ‡ͺπŸ‡Ή

Yamkini unatumia Simu yako ( Smart phone) bila faida yoyote ile , wewe kazi yako ni kununu vifurushi na kikiisha unaweka...
24/03/2024

Yamkini unatumia Simu yako ( Smart phone) bila faida yoyote ile , wewe kazi yako ni kununu vifurushi na kikiisha unaweka tena.

Sasa simu yako ni ofisi nzuri ambayo inaweza kukuingizia fedha na kuwa ajira yako ya kudumu.

K**a unahitaji kufanya Graphics designing kutumia simu yako basi, karibu kwa ada ya Elfu 10 tu nitakufundisha kwa muda wa wiki moja na Wiki moja ya ziada ya vitendo, baada ya hapo utakuwa tayari kupata wateja.

NB: Graphics sio kila Mtu anaweza kufanya, Ila kila Mtu mwenye nia Anaweza kufanya Graphics.

K**a uko tayari ni chek

0715660138

20/03/2024
17/03/2024

Natoa zawadi ya Vocha ya Elfu 2 kwa atakaye nijibu.

"KUNA NINI MWISHO WA KILA KITU?

Maua ya heshima yaende kwa watangazaji na waandishi wote wa habari wanaofurahia kuona umoja wa wasanii.Kipekee nimpongez...
14/03/2024

Maua ya heshima yaende kwa watangazaji na waandishi wote wa habari wanaofurahia kuona umoja wa wasanii.

Kipekee nimpongeze kaka yetu Maulid Baraka Kitenge, kwa kufurahishwa na umoja wa wasanii.
Diamond platnumz nik**a Baba kwa Harmonize, wamepitia mengi pamoja, na wana share mambo mengi sana.

Lakini kuna baadhi ya watu walio vamia fani ya habari k**a akina Juma Lokole furaha yao nikuona Chuki na kutengeneza chuki miongoni mwa wasanii.

Lakini wasanii wetu wanaposhindwa kufika kimataifa tunakuwa Wakwanza kusema, Wasanii wa Nigeria wanatushinda vingi, lakini tunaona Upendo walio nao wasanii wa Nigeria? Vipi support?

Nadhani Harmonize siku zote atabaki msanii mwenye nidhamu na wa kuigwa siku zote, anajua kuwa k**a kufika pale ni daraja basi lazima aliheshimu kwani kuna kurudi tena.

Natamani kuona umoja wao ukiwa kwenye ku support vipaji na biashara k**a kuanzisha kituo kingine cha Radio.

was here.

Wanatabia gani nyingine?
13/03/2024

Wanatabia gani nyingine?

Umeelewa nini ?
12/03/2024

Umeelewa nini ?

Tuna watakia Heri ya Mfungo mwema, Waislamu wote dunia, ambao wanainza Leo safari ya Mfungo.Ukawe mwezi wenye Neema na B...
10/03/2024

Tuna watakia Heri ya Mfungo mwema, Waislamu wote dunia, ambao wanainza Leo safari ya Mfungo.

Ukawe mwezi wenye Neema na Baraka, ukawe mwezi wa toba na kumrudia Allah.

Amin.


Kupitia post yake ya masaa machache kwenye mtandao wake wa kijamii wa Instagram, Muigizaji na mtayarishaji wa Movie  . K...
10/03/2024

Kupitia post yake ya masaa machache kwenye mtandao wake wa kijamii wa Instagram, Muigizaji na mtayarishaji wa Movie . Kumeibua hali ya wengi kudhani kwamba huenda akawa mtangazaji wa kituo cha Radio cha fm kilicho zinduliwa siku ya jana na Msanii .

Kupitia post hiyo Gabo ameandika kuwa..
"Kuwa mwanangu nikutume kwa Mwana Chuma 92.1"

Sasa comment nyingi zika unganisha dot kuwa 92.1 ni mawimbi ya Radio Crown Fm.

Tusubiri tuone k**a itakuwa hivyo, na k**a itakuwa hivyo unadhani Gabo atafanya kipindi gani?

Tu follow




Leo amezaliwa gwiji wa Soka, Mwanasoka wa zamani wa Chole stars na hatimae kuangukia Uchambuzi wa Soka na Utangazaji wa ...
10/03/2024

Leo amezaliwa gwiji wa Soka, Mwanasoka wa zamani wa Chole stars na hatimae kuangukia Uchambuzi wa Soka na Utangazaji wa Kabumbu nchini.

Si mwingine ni , Hongera kwa kuongeza Mwaka.

Mungu azidi kukupa kibali machoni pa watu na uzidi kuyagusa maisha ya wengine.

Wewe kwetu ni Familia.

Address

Ilomba
Mbeya

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jensen Tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Jensen Tv:

Videos

Share

Nearby media companies



You may also like