Ibaada ni muhimu ๐๐คฃ๐
#wamziupdates #greencitytv #HedhiSalama_FurahaYaBinti #tunakua_kidigitali
YOU HEARD...!!!!
Tuambie Msimu Mwingine Wa *Tulia Trust Village* Ndani ya Kata ya Mwasenkwa Jijini Mbeya.
Unatamani Kuona Kitu Gani Kikifanyika Kwenye Kijiji Chenye Asili Yake.
Tumefika Tulia Trust Village Kuona Maendeleo na hivi Karibuni Tunakwenda Kufunga Tulia Trust Village.
#TuliaTrustNaJamii
Dr. Tulia AcksonDr. Tulia Ackson Tulia Ackson
๐๐คฃ
Mchepuko kalipuliwa huku
#HABARI
MA'DJ KUNUFAIKA NA TULIA STREET TALENT MSIMU WA TANO
Taasisi ya Tulia Trust iliyochini ya Dr. Tulia AcksonDr. Tulia Ackson Tulia Ackson Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais Wa IPU na Mbunge wa Jimbo La Mbeya Mjini Dkt; Tulia Ackson imeandaa tukio kubwa la kifursa upande wa sanaa za burudani zinazowalenga vijana wenye vipaji mbalimbali na kutengenezewa fursa kupitia tamasha la Tulia Street Talent Competition 2024.
Akitoa taarifa kwa waandishi wa habari mkoani Mbeya Afisa Habari wa Tulia Trust Joshua Mwakanolo leo Oktoba 10,2024 amesema kuwa Tamasha hili linavipengele vikubwa vitano ambavyo ni Kuimba(Singing), kucheza (Dance), Mitindo(Fashion/Model), kuchekesha (Comedy) na DJ Mixing.
โTamasha hili litafanyika kuanzia Oktoba 25 hadi 27, 2024 kwenye Uwanja wa Chuo cha Uhasibu (TIA) Mbeya mjini, kuanzia muda wa mchana. Msimu huu utakuwa tofauti na misimu mingine kwa kuhusisha wasanii kutoka tanzania nzima, kwa wasanii wanoamini kuwa tamasha hili ni fursa kwao wanakaribishwa kujisajili kikamilifuโ amesema Joshua.
Aidha amesema kuwa zoezi la uchukuaji wa fomu za kushiriki limeanza Leo Oktoba 10 mpaka Oktoba 20 , 2024 katika vituo vifuatavyo
Mbeya mjini katika ofisi za Tulia Trust Uyole,
Rungwe Ofisi za Tulia Trust na
Kyela Ofisi za Tulia Trust
Kwa waliopo katika Mikoa mingine wawasiliane na Taasisi kwa namba 0657389521 na 0769060738.
Tamasha hili la TULIA street talent competition linaandaliwa kwa msimu wa tano tangu kuanza kwake mwaka 2020.
WAAMBIE BADO TUNAKAZI NAO NA HATUJAMALIZANA NAO
#wamzimedia #wamzicosmetics #wamziupdates #greencitytv #KIKUBWA_UZIMA #tunakua_kidigitali #tuliatrust
#tbt 2019 ๐
Mtaje mtu anaekukera sana
Naanza mimi
Tumeachana kwa vurugu, halafu namuona X wangu anatakata. Kama sio kukerana ni nin sasa๐คจ๐คจ๐คจ
KUNA WATU WANAKERA SANA HAPA DUNIANI๐๐๐
#newchallenge #ChallengeAccepted #wamzimedia #wamziupdates #wamzicosmetics #greencitytv #kikubwa_uzima #Youtube #TUNAKUA_KIDIGITALI
NEWS
Ajali imetokea Asubuhi ya Leo Oktoba 7. 2024 eneo la SAE Jijini Mbeya, ikihusisha Mabasi mawili ya abilia yaliyogongana uso kwa uso.
Mabasi hayo ni PRIMIER LINE na KAPRICON, ambapo tunaendelea kufatilia idadi ya majeruhi.
Endelea kutufatilia kwenye mitandao yetu ya kijamii.
#wamziupdates #wamzimedia #greencitytv #kikubwa_uzima #youtubers #tunathamini_vya_kwetu #KIKUBWA_UZIMA #tunakua_kidigitali
TUKUTANE SOKOINE TAR 7 SEPT 2024 KWA TZs 1000 tu. Hii sio ya kuikosa ๐๐๐ค๐ช๐พ
USIKU WA TUZO ZA TULIA TRUST JOURNALISM AWARDS 2024,
Nilipata nafasi ya kuunga mkono kazi nzuri ya TULIA TRUST chini ya Mkurugenzi wao Dkt Tulia Ackson ambaye ni Rais wa IPU, Spika wa BJMT na Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini ya kuwasaidia wahitaji. Kupitia nafasi hiyo mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. J Homera nimewaomba tuendelee kushirikiana nao kwenye Majukumu ya Kijamii ambapo kwetu kama SMAUJATA tutakuwa na wigo mpana wa kutoa Elimu ya Vita dhidi ya Ukatili kwa kuifikia Jamii.
Ukizingatia kwa asilimia kuwa Ukatili huwaikumba zaidi Jamii yenye uchumi wa chini ๐๐พ
HEKIMA NA UMOJA, USHINDI NA USHUJAA SMAUJATA๐น๐ฟ๐ช๐พ
KATAA UKATILI WEWE NI SHUJAA ๐ช๐พ๐น๐ฟ๐ฅ
TULIA TRADITIONAL DANCE FESTIVAL MSIMU WA 8 KWA MWAKA 2024, ZAWADI KUTOLEWA KILA KIKUNDI CHA NGOMA
Gusa Link hiyo๐๐พ๐๐พ๐๐พ
https://youtu.be/VTISir3q1sM
ALLY KAMWE AMJIBU MAGOMA KUHUSU RAIS WA YANGA SC #soccer #michezo #love #daimambelenyumamwiko #wamzimedia #wamziupdates #greencitytv #tunakua_kidigitali
"Tutakutana na Wanahabari kila mwezi kabla ya Ligi kuanza". Ndg Ally Nnunduma C.E.O wa Mbeya City Council FC. #wamzimedia #wamziupdates #love #michezo #soccer #greencitytv #tunakua_kidigitali