#kicoramedia
#jitambueweweninyota
#jitambueweweninyota
#kicoramedia
#jitambueweweninyota
#kicoramedia
#jitambueweweninyota
#kicoramedia
#jitambueweweninyota
#kicoramedia
Rais wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Prof.Mohammed Janabi kugombea nafasi ya Mkurugenzi wa shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika katika uchaguzi utakaotangazwa na shirika hilo.
Prof. Janabi ambaye pia ni mshauri wa Rais masuala ya Afya na Tiba na Mkurugenzi mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili atagombea nafasi hiyo kufuatia kifo cha aliyekuwa Mkurugenzi mteule Dkt. Faustine Ndugulile aliyefariki Novemba 27 mwaka huu.
#jitambueweweninyota
#Kicorafmtz
Watunga sheria nchini bolvia kutoka chama tawala cha MAS wwamevamia bunge kumtoa rais mpya Omar Yujra ambaye alikuwa anatarajia kuanza majukumu yake katika ofisi yake
Watu hao ambao wamekuwa wakimmunga mkono rais aliyepita Evo Morales wamevamia bunge huku kukiwa na hali ngumu ya maisha kama kupanda kwa dola na kupanda kwa bei ya bidhaa za kawaida
Borales amezuiliwa na mahakama ya katiba kugombea kwa muhula mwingine hali ambayo imepelekea wafuasi wake kuandamana hata kusababisha vurugu kwenye bunge la congress.
Watunga sheria nchini bolvia kutoka chama tawala cha MAS wwamevamia bunge kumtoa rais mpya Omar Yujra ambaye alikuwa anatarajia kuanza majukumu yake katika ofisi yake
Watu hao ambao wamekuwa wakimmunga mkono rais aliyepita Evo Morales wamevamia bunge huku kukiwa na hali ngumu ya maisha kama kupanda kwa dola na kupanda kwa bei ya bidhaa za kawaida
Borales amezuiliwa na mahakama ya katiba kugombea kwa muhula mwingine hali ambayo imepelekea wafuasi wake kuandamana hata kusababisha vurugu kwenye bunge la congress.
#kicorafmtz #jitambueweweninyota
Usipokee Rushwa kutoka kwa Wagombea kuelekea Uchaguzi wa Serikali za mitaa.
#kataarushwa #shirikiuchaguziwaserikalizamitaa2024 @takukuru.tz
#kicorafmtz #jitambueweweninyota #kigoma #who
Msimamizi wa uchaguzi wa serikali za mitaa wilaya ya kigoma mjini ndugu Kisena Mabuba amesema wamejipanga vyema kuelekea uchaguzi serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27 mwaka huu.
Serikali za mitaa sauti ya wananchi jitokeze kushiriki uchaguzi.
#kicorafmtz
#jitambueweweninyota
#kigomaujiji
Usipokee Rushwa kutoka kwa Wagombea kuelekea Uchaguzi wa Serikali za mitaa.
#kataarushwa #shirikiuchaguziwaserikalizamitaa2024 @takukuru.tz
#jitambueweweninyota
#kicorafmtz