Hapa ni katika kijiji cha msomera wialayani Handeni Mkoani,ambapo serikali imepatenga kama makazi ya kudumu kwa wamasai Waishio ndani ya hifadhi ya Ngorongoro. Zoezi hili la uhamisho wa hiari limehusisha vijiji vya Olorieni,Enduren,kakesio,Olbalbal,Misigyo,engaresero,Aleirai,Alaitole,Nainokanoka Pamoja na Ngorongoro wanatarajiwa kuhamia katika Ardhi mpya ya kijiji cha msomera Huko Handeni Tanga.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe alipowasili Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 04 March, 2022.
Ali Kiba Akizungumzia ujio wake Kigoma Mwamintale Marathoni
Tazama full video kwenye YOUTUBE ya #Ngurukatv kwenye link #bio. Tufollow kwenye Twitter na Facebook.
"ATAKAYE INGILIA ATAINGIA KATIKA HISTORIA MBAYA"
Rais wa Urusi 🇷🇺 Vladimir Putin ametangaza kuanza operesheni maalumu ya Kijeshi nchini Ukraine huku akiyaonya mataifa mengine kuacha kuingilia mzozo huo
Putin amesema taifa litakaloingilia litaingia katika historia mbaya
Tayari Polisi Ukraine wamesema watu saba wamefariki katika mashabulizi kutoka Urusi
Wananchi mbalimbali nchini Ukraine wameanza kuikimbia nchi hiyo kuokoa maisha yao
#NgurukatvUpdates
Simba wakiendelea kula Bata huko Uturuki
Kusafiri kesho kuelekea Morocco
Muonekano mpya wa Kiungo wa Klabu ya Simba @bm3gh
@princekatega2 akizungumzia umuhimu wa mwafrika kujitambua na kuachana na mambo yalliiyolitwa na wavamizi (wazungu)
Video nzima ipo kwenye chanel yetu nenda pale youtube kaitazame
Ulishawahi kusikia stori za wali nazi huu sasa ndio wali nazi
Ukisikia kabari mjarabu ndo hii sasa
Chama cha @actwazalendo_official kimemng'oa kigogo wa chama cha Wananchi CUF .
Kigogo huyo alikua ni Mweyekiti wa Vijana Taifa wa CUF pia amewahi kua mbunge wa jimbo la Mchinga Bwana HAMIDU BOBALI
Full video ipo kwenye youtube channel yetu @nguruka_tv nenda ukaangakia kwa habari za ukweli na uhakika
Mama azalishwa watoto nane nakutelekezwa baada ya mumewe kufariki nakurithiwa na shemeji yake
Stori nzima ipo kwenye youtube account yetu @Nguruka tv nenda ukasikilize kisa cha mama huyu kutoka Morogoro wilayani Mvomero
#Ngurukatvupdates
Hii ndo kusema kamseleleko
#Ngurukatvupdates
Baada ya Matokeo huko Bukoba
FT KAGERA 1-SIMBA 0