UJUMBE WA GUSA KWA VIONGOZI
Mkuu wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa Kamishna Allan Bukumbi, AmeGUSA kwa Kuahidi Kuwa Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa Litaendelea Kushirikiana na Ebony FM Katika Utekelezaji wa Kampeni ya GUSA 2025 #SisiNiFamilia Inayolenga Kutoa Elimu kwa Wazazi, Walezi na Jamii kwa Ujumla Kuhusu Umuhimu wa Malezi Bora ya Watoto, Haki za Watoto na Athari za Ukatili Dhidi ya Watoto.
Kampeni ya GUSA 2025 #SisiNiFamilia ni Mwendelezo wa Ebony FM Kurudisha kwa Jamii Faida Yake Katika Kipindi cha Mwanzo wa Mwaka na Kutokana na Changamoto ya Malezi Duni na Migogoro ya Kifamilia Vinavyoshuhudia Hivi Sasa Vimeisukuma Ebony FM Kuanzisha Kampeni ya Utoaji wa Elimu ya Malezi Bora Kupitia Vipindi Yetu Bure Kwaajili ya Kuhakikisha Ulinzi na Usalama wa Watoto Ambao ni Taifa la Kesho.
Asante Songwe kwa Kuendelea KuGUSA Jamii.
#Gusa2025
#SisiNiFamilia
TMA YATABIRI MAFURIKO NA MAPOROMOKO MIKOA 14. Taarifa za Magazeti Leo 24 Januari 2025
@jema_house_of_decorations_
#Gusa2025
#SisiNiFamilia
#menyumfwelele
#ebony18menyumfwelele
"Ufaulu kwa sasa ni kitu cha kawaida tofauti na zamani" Yohana Mwambene
#Gusa2025
#SisiNiFamilia
#Menyumfwelele
#Ebony18menyumfwelele
@vincentlaurentjrr Anasema watu wamefananisha T- shirt yake na Zile walizovaa Wagombea wa CHADEMA.
#Gusa2025
#SisiNiFamilia
#menyumfwelele
#ebony18menyumfwelele
"Uchaguzi wa CHADEMA Ulikuwa wa uwazi na demokrasia lakini Kabla Ya Uchaguzi Kuna Watu Walivunjiana Sanaa Heshima" @vian_metal_elegance
Taarifa za Magazeti Leo Januari 23, 2025
#Gusa2025
#SisiNiFamilia
#menyumfwelele
#ebony18menyumfwelele
LISSU AUNGURUMA, AISUKA CHADEMA
Taarifa za Magazeti Leo Januari 23, 2025
#Gusa2025
#SisiNiFamilia
#menyumfwelele
#ebony18menyumfwelele
Katika Magazeti ya Michezo uimeandikwa Yanga Yakiri Uumu Kimataifa. Taarifa za Magazetini Hii Leo Tarehe 22 Januari 2025
@frankvegullah
#gusa2025
#sisinifamilia
#menyumfwelele
#ebony18menyumfwelele
SIMBA YAWAZA UBINGWA WA AFRIKA
Ni Taarifa za Magazetini Hii Leo Tarehe 22 Januari 2025
#gusa2025
#sisinifamilia
#menyumfwelele
#ebony18menyumfwelele
Rais wa Marekani Donald Trump Kuitoa Marekari Kuifadhili WHO Kuna Atari sanaa Kwa Mataifa ya Kiafrika
#Gusa2025
#SisiNiFamilia
#menyumfwelele
#ebony18menyumfwelele
Azuia Mwanae Kuzikwa Ili Apelekwe Kanisani Kufufuliwa
@vincentlaurentjrr
#Gusa2025
#SisiNiFamilia
#menyumfwelele
#ebony18menyumfwelele
Mgombea wa nafasi ya Uenyekiti Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amesema kuwa katika kipindi cha miaka 20 aliyofanya kazi karibu na Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, hawajawahi kuwa na mgogoro wa aina yoyote.
Aidha, Lissu amesisitiza kuwa, bila kujali matokeo ya mchakato wa uchaguzi wa ndani ya chama, ataendelea kushirikiana na Mbowe katika juhudi za kukijenga chama hicho.
#Gusa2025
#SisiNifamilia
#menyumfwelele
#ebony18menyumfwelele
Manny Pacquiao Anasema Aliteseka ili familia yake Ifaidike na Mafanikio Yake.
@balama_junior
#Gusa2025
#SisiNiFamilia
#menyumfwelele
#ebony18menyumfwelele