"Iringa hawataki Maslahi, Wanataka Kuheshimiwa" - Maneno ya Mzee mmoja ambaye ni Mwenyekiti wa Mtaa kutoka Manispaa ya Iringa.
#FocusDigitoTV
#FocusDigitoUpdates
Pa Pa Pa Pa π΅πΆππ
#FocusDigitoTV
#FocusDigitoReels
No Money no Unyumba ππ«΄
#FocusDigitoTV
#FocusDigitoUpdates
Twende Kazi Mdogo Wangu ππ«΄
πΈ: Bongo Star Search
#FocusDigitoTV
#FocusDigitoUpdates
Hali ilivyo Baada ya Moto mkubwa kuteketeza Makazi ya watu katika Maeneo ya Pacific Palisades Los Angeles Marekani Januari 09, 2025.
#FocusDigitoTV
#FocusDigitoReels
#palisade #palisades #pacific
Moto Umefuta Maeneo Muhimu yaliyojengwa Kwa gharama na Kwa Muda Mrefu katika Jimbo la Los Angeles Nchini Marekani.
Tumekuwa tukishuhudia majanga makubwa ya Mafuruko ya Maji, Tetemeko la Ardhi lenye nguvu na Vimbunga vya Upepo Mkali vikileta maafa, lakini Kwa Marekani hasa katika Jiji la Los Angeles mambo ni tofauti kwani Moto mkubwa unaosambaa Kwa Kasi ya ajabu kutokana na Nguvu ya Upepo mkali umeteketeza Kila Kitu kuanzia mali na makazi ya watu zaidi ya Elfu 10 na kuharibu miundombinu hitajika huku vifo vya watu kadhaa vikiripotiwa kuendelea kutokea na idadi kubwa ya watu Kuachwa Bila makazi, Mavazi na Chakula.
#FocusDigitoTV
#FocusDigitoReels
#fire #losangeles #usa
Zima Moto Los Angeles Marekani π₯π (Fire Fighters in Los Angeles - USA
#FocusDigitoTV
#FocusDigitoReels
#losangeles #usa
"Nchi hii ina Wakandarasi wa Majungu na Wakandarasi wa Majengo, Kuna watu ukiwapa nafasi ya kukutengenezea Majungu wanapata mpaka vyeti vya Kimataifa" - DC Kheri James.
#FocusDigitoTV
#FocusDigitoUpdates
"Mmeanza Kulala, mmezoea kazi, mmezoea matatizo, mimi siwezi kukubali hiyo Biashara" π
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Dotto Biteko, ametoa wiki Moja Kwa Uongozi wa Shirika la Umeme Tanzania, (TANESCO) kufumua na kufanya maboresho Mapya ya Kituo Cha Huduma Kwa Wateja cha Shirika hilo na matokeo yake yawe Wazi Kwa Wananchi kufuatia Kituo hicho kushindwa kuwahudumia Kwa viwango vinavyotakiwa Wananchi wanaotumia huduma ya Umeme.
Biteko ametoa agizo Hilo Januari 09, 2025 akiwa jijini Dar es salaam baada ya Kutembelea Kituo hicho kufuatilia Utekelezaji wa maelekezo yake aliyoyatoa Mwezi Aprili, 2024.
#FocusDigitoTV
#FocusDigitoUpdates
#daressalaam
Clement Mzize wa Yanga ni zao la Ngajilo CUP Iringa. β½
#FocusDigitoTV
#FocusDigitoUpdates
#yangasc #yangatv #VunjabeiCup2025
Mwandaaji wa Michuano ya Vunjabei Cup 2025 mkoani Iringa, Fadhili Fabian Ngajilo amesema Michuano hiyo imepata vibali na Baraka zote kutoka kwa Serikali na Chama cha Mapinduzi (CCM).
Mbali na michezo, Fadhili Ngajilo ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa CCM Mkoa wa Iringa na Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Vunjabei.
#FocusDigitoTV
#FocusDigitoUpdates
"Haya Mashindano yana Umri wa miaka 15, ndio maana Mwaka huu ili kumuheshimisha mdhamini wetu tumeamua tuyape jina la mdhamini yaitwe 'VUNJABEI CUP 2025' , huko nyuma yalikuwa yanaitwa NGAJILO CUP toka 2010" - Amesema Fadhili Ngajilo Mwandaaji wa Michuano ya Vunjabei Cup 2025 mkoani Iringa.
Kufahamu mengi zaidi Tembelea YouTube ya Focus Digito TV.
#FocusDigitoTV
#FocusDigitoUpdates