Wanawake wameamua kufanya kazi ya ufundi nyumba kujipatia kipato
#trending #baesamedia #reels #viral #morogoro
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji amesema kuwa Wafugaji na Wakulima wanategemeana hivyo hakuna haja ya kugombana wao kwa wao na badala yake washirikiane katika kuhakikisha wanakuza sekta hizo za Uzalishaji nchini..
Mhe. Dkt. Kijaji amesema hayo Januari 3, 2025 wakati wa Ziara yake ya kikazi Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro.
Matumizi ya mifumo ya kidigitali suruhisho la bei ya mazao kwa wakulima hapa nchini
"USHIRIKA NI NJIA ZA UTATUZI WA MASOKO KWA WAKULIMA" - MHE. SILINDE
"SAMIA KILIMO BIASHARA EXPO 2024" KULETA MAGEUZI YA KILIMO, UFUGAJI MOROGORO
Michezo ya Majeshi Tanzania kufanyika Morogoro
.
.
.
.
.
.
.
.
#baesamedia #michezo #morogoro #viral #feed #reels #bammata #jeshi
Goli la pili ‘Free-Kick’ kutoka kwa Edwin Balua.
Matokeo
Simba 2-0 APR (Mavambo 47’, Balua 66’).
#SimbaDay2024 #SimbaDay #UbayaUbwela #MechiYaKirafiki #FriendlyMatch #SimbaSC #APRFC #SimbaAPR
Mbabe wa kufumania nyavu - Baleke
Semaji Ahmed Ally atangaza rasmi tarehe ya Simba day
.
.
.
.
.
.
#simba #nguvumoja #baesamedia
SEKTA YA AFYA YAPUNGUZA VIFO MKOANI MOROGORO
Sekta ya Afya Mkoani Morogoro imeweka mikakati ya kuwawezesha Wauguzi kutafuta mbinu za kupunguza vifo vya Mama na Mtoto vinavyotokana na uzazi kwa kufuata kanuni na taratibu za kuwahudumia wananchi.
Hayo yamebainishwa Mei 24, 2024 na Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Mussa Ali Mussa katika maadhimisho ya siku ya wauguzi Duniani ambayo kimkoa yamefanyika katika Kituo cha Afya cha Sabasaba kilichopo Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro Mkoani humo.
Dkt. Mussa amesema vifo vya Mama na Mtoto vimepungua kutoka 115 hadi 85 kwa mwaka 2022/2023 kwa kila watu laki moja na kuwataka wauguzi kuendelea na jitihada hizo za kupunguza na ikiwezekana kukomesha kabisa vifo vinavyotokana na uzazi.
"...hadi sasa takwimu zinaonesha mmefanikiwa kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi kutoka 115 hadi 85 kwa kila watu laki moja kwa mwaka 2022 hadi 2023..." amesema Dkt. Mussa.
Aidha, Dkt. Mussa amewataka wauguzi kujiendeleza kielimu kwa kutumia elimu za kimtandao (Online Education) ili kuwa na wakati mzuri wa kuendelea na kazi sambamba Mkoa kutokuwa na uhaba wa wafanyakazi katika vituo vya afya.
Katika hatua nyingine, Katibu Tawala huyo ameishauri sekta ya Afya Mkoani humo kuanzisha miradi mbalimbali ikiwemo mashamba ya miti ya kudumu likiwemo zao la Karafuu na Kokoa na kuahidi kutoa bure eneo kwa ajili ya uwekezaji huo.
Kwa upande wake, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Kusirye Ukio amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imetenga Tsh. Bil. 30 ndani ya Miaka mitatu kwa ajili miundombinu ya sekta ya Afya.
Ameongeza kuwa pia Serikali imetenga Tsh Bil.10 kwa ajili ya kununua madawa kwa kipindi cha miaka miwili huku akisisitiza watendaji wa Sekta ya Afya wa Hospitali na Vituo vya afya kusimamia vyema utoaji wa huduma kwa wateja (Customer care) kwa kutumia lugha yenye matumaini.
Nae, Katibu wa Chama cha Wauguzi Mkoa wa Morogoro Dkt. Awadhi Juma Utime amesema Mkoa wa Morogoro una jumla ya wauguzi