BURNA BOY VS VINICIUS JR
Dancing challenge
Jeshi la Kongo, Afrika Kusini na Malawi wanapigana na jeshi la Rwanda kwa ajili ya watu wa Kongo
Inasemekana kuwa Rwanda inajaribu kuchukua ardhi ambayo si yao kwa sababu wanataka kupata madini zaidi, kwa ajili ya sekta ya teknolojia ya kutoka Marekani.
#njarotvupdates
#wakaliwaupdates
RAIS WA MADAGASCAR MHE. ANDRY RAJOELINA ATUA NCHINI TANZANIA KUSHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA KUHUSU NISHATI.
Huyu mwamba Vipi?π²π²π³π³
#NjaroTvUpdates
Huyu ni rafiki Yako yupi unaemfahamu?
ANGALIA MBAKA MWISHO πππ
Huu ubabe Yanga mnautoa wapi?
#NjaroUPDATES
#wakaliwaupdates
Mwigizaji wa Filamu Nchini @ireneuwoya8 kwa Kushirikiana na Wizara ya Kilimo amezindua rasmi kampeni ya "JEMBE NI MAMA " inayolenga kumuinua mwanamke na kuunga mkono Juhudi za Rais Samia katika sekta katika sekta ya kilimo .
Ameyasema hayo baada ya kuelezea mafanikio mazuri aliyoyapata katika kilimo ambapo ameelezea jinsi kilimo kilivyompa mafanikio zaidi tangu mwaka 2018.
Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa Uzinduzi wa kampeni hiyo leo Januar 26, 2025 Uwoya amesema kuwa lengo la kampeni hiyo ni kusaidia Wizara ya Kilimo katika kuhakikisha wanawake wanakuwa na kilimo bora na chenye maslahi kwao.
Amesema mradi huo utaenda kufichua na kumuinua mwanamke anayefanya kilimo duni katika jamii yake na kumpa thamani ya kunufaika na kilimo bila kuharibu misingi ya kifamilia.
#NjaroUPDATES
#wakaliwaupdates
Nabii Geodev alivyoucheza wimbo Wa Harmonize
Club ya Simba kesho inatarajia kucheza mechi dhidi ya Kilimanjaro Wonderes katika uwanja wa KMC.
Mechi hiyo ni ya mtoano ya Kombe la Shirikisho ya CRDB, Kocha msaidizi Seleman Matola amefunguka uzito wa mechi hiyo ambapo amesema wao ni kama Fainali.
#NjaroUPDATES
#wakaliwaupdates
Wasemaji wa hizi Timu ndogondogo mko wapi?