Bongo Source

Bongo Source PATA HABARI ZETU KUPITIA YOUTUBE YA BONGO SOURCE

KWA HABARI NA MATUKIO TUTAFUTE-: +255747692064

NA JUU YA MWAMBA WA MOROCCO 😃 NITAIJENGA SENEGAL 🇸🇳 🤣Leo unaitakia ushindi Senegal ukiwa wapi???________________________...
18/01/2026

NA JUU YA MWAMBA WA MOROCCO 😃 NITAIJENGA SENEGAL 🇸🇳 🤣
Leo unaitakia ushindi Senegal ukiwa wapi???

_______________________________________
WATU WENGI INBOX YANGU WAMESHAURI NIFUNGUE CONFESSION - AYA HII HAPA K**A UNA MKASA AU STORI MWAGIKA HAPA
👇👇👇
https://confess.ngl.link/bongosource

Kaka Milton hii ni kweli kabisa mimi mhanga wa hili kuna shonga mmoja aninitumia picha amejibinua kavaa mpaka cheni kuno...
17/01/2026

Kaka Milton hii ni kweli kabisa mimi mhanga wa hili kuna shonga mmoja aninitumia picha amejibinua kavaa mpaka cheni kunoni😭 ananiambia anataka kubwa...akasema kwa muonekano wako huo najua unayo kubwa. Akasema nakupa bure wewe kwasababu ni HB nikampiga block. Kuna siku tena nipo nakula chakula sehemu fulani Sinza akaja kukaa mwanaume fulani pale mezani alikuwa amevaa vibkta vifupi sana halafu jamaa kajazia kifua ila sauti yake laini sana baadaye akaniomba nikamuuliza ya nini? Akasema natamani tuwe marafiki tu nikasema tutakuna siku nyingine hapahapa. Akanikata jicho la k**e nikajua hapa hamna mwanaume hapa hizi ni nyama za gym ila papai. Kuna mapapai mengi yana vifua vya kiume kumbe zero. Hasa mitaa ya Sinza huku

Ameandika Milton

aya nimerudi salama Bongo namshukuru sana MUNGU… Madaktari bingwa wote watatu walionitibu (wakiwemo Wayahudi wawili) wam...
17/01/2026

aya nimerudi salama Bongo namshukuru sana MUNGU… Madaktari bingwa wote watatu walionitibu (wakiwemo Wayahudi wawili) wamesema sasa niko FIT kuendelea na mishe zangu…

NB: Asanteni sana kwa maombi na ‘mitusi’ yenu pia…Cha msingi SIJAFA bado Matako yenu😎

Ameandika JONGWE MBILINYI...

HISTORIA ya KWA - MPALANGE NI BALAA ni MATAKONI MWA DSM - STORI NZIMA HII HAPAtazama hapa👇👇👇
17/01/2026

HISTORIA ya KWA - MPALANGE NI BALAA ni MATAKONI MWA DSM - STORI NZIMA HII HAPA

tazama hapa
👇👇👇

HISTORIA ya KWA - MPALANGE NI BALAA ni MATAKONI MWA DSM - STORI NZIMA HII HAPA

Habari Bongo Source,Kwa majina ninaitwa Siraji Nuru Athuman, natokea Mkoa wa Kagera. Kwa sasa ninasoma katika Chuo cha M...
17/01/2026

Habari Bongo Source,
Kwa majina ninaitwa Siraji Nuru Athuman, natokea Mkoa wa Kagera. Kwa sasa ninasoma katika Chuo cha Mahadi Omaan kilichopo Mkoa wa Tabora.

Naomba unisamehe kwa kukusumbua kupitia ujumbe huu. Nimeandika kwa unyenyekevu nikiomba msaada wako wa shilingi elfu thelathini na tano (35,000) kwa ajili ya nauli ya kurejea chuoni.

Wenzangu tayari wameshaondoka kuelekea chuoni, ila mimi bado nipo kutokana na kukosa nauli. Kwa sasa hali yangu ni ngumu sana, sina msaada wa karibu kwani mimi ni mtoto yatima, sina baba wala mama.

Naomba msaada wako kwa moyo wa huruma, endapo itakuwa ndani ya uwezo wako. Mungu akubariki sana kwa kunisikiliza na kunisaidia.

Wako mnyenyekevu,
Mawasiliano yake ya kumchangia jina liatoka -: Siraji Athuman namba yake ni 📞 0681 739 980

Rasmi Singida wamemtoa Kibabage,kwenda Simba bila malipo✅_______________________________________WATU WENGI INBOX YANGU W...
17/01/2026

Rasmi Singida wamemtoa Kibabage,kwenda Simba bila malipo✅
_______________________________________
WATU WENGI INBOX YANGU WAMESHAURI NIFUNGUE CONFESSION - AYA HII HAPA K**A UNA MKASA AU STORI MWAGIKA HAPA
👇👇👇
https://confess.ngl.link/bongosource

_______________________________________WATU WENGI INBOX YANGU WAMESHAURI NIFUNGUE CONFESSION - AYA HII HAPA K**A UNA MKA...
17/01/2026

_______________________________________
WATU WENGI INBOX YANGU WAMESHAURI NIFUNGUE CONFESSION - AYA HII HAPA K**A UNA MKASA AU STORI MWAGIKA HAPA
👇👇👇
https://confess.ngl.link/bongosource

Baadhi ya Vyombo vya Habari vya Kimataifa ikiwemo REUTERS vinaripoti kuwa ndani ya masaa 24 yajayo huenda Marekani ikate...
14/01/2026

Baadhi ya Vyombo vya Habari vya Kimataifa ikiwemo REUTERS vinaripoti kuwa ndani ya masaa 24 yajayo huenda Marekani ikatekeleza Oparesheni ya Kijeshi ndani ya nchi ya Iran 🇮🇷 ambapo nchi kadhaa zilipewa taarifa waruhusu Raia wao kuondoka nchini Iran kupitia Armenia ama Uturuki huku pia kumekuwa na taarifa kuwa Special Forces ya Marekani imeshajiandaa wanasubiri ruhsa ya Rais Trump.

Sababu nyingine kuwa muda wowote Mashariki ya Kati panachafuka ni kuwa Ndege ya Waziri Mkuu wa Israel 🇮🇱 Benjamin Netanyau imewasili nchini Ugiriki jioni ya leo, huku script ikiwa ile ile k**a Iran ilivyoshambuliwa kwa mara ya kwanza (12 days War) ukiona Sion Wing imepaa ujue mambo yameiva tayari.

Masaa 24 magumu yanakuja.

Ameandika JR FARHAN KIHAMWE

Powered by

Follow us-:

________________________________________________________
Karibu utangaze nasi sasa Biashara yako Kwa bei rahisi kabisa 🔥🫰

"Watoto wa mjini wamepigwa dole la Kati na nimenusa washamba sana" Kaandika Chief GodLovePowered by  Follow us-:   _____...
14/01/2026

"Watoto wa mjini wamepigwa dole la Kati na nimenusa washamba sana" Kaandika Chief GodLove

Powered by

Follow us-:

________________________________________________________
Karibu utangaze nasi sasa Biashara yako Kwa bei rahisi kabisa 🔥🫰

Masharti aliyo pewa tajiri na mizimu ni kuto tembea na wanawake mpaka baada ya miaka Fulani, Sasa yeye kashindwa kuvumil...
14/01/2026

Masharti aliyo pewa tajiri na mizimu ni kuto tembea na wanawake mpaka baada ya miaka Fulani, Sasa yeye kashindwa kuvumilia Kwa Msanii wake pipijojoh mpaka kampa ujauzito.

Hicho ndo chanzo Cha yeye kufirisika ghafla na kakimbilia nchini Kenya kuficha aibu.

🗣️ Mwijaku

Credit Picha na Wadada na Story

Powered by

Follow us-:

________________________________________________________
Karibu utangaze nasi sasa Biashara yako Kwa bei rahisi kabisa 🔥🫰

TAYARI MW3NZETU KAPIGWA KWENYR UBAVU
10/01/2026

TAYARI MW3NZETU KAPIGWA KWENYR UBAVU

🚨 Kwa mujibu wa Ripota  ni kuwa Simba imekamilisha Uhamisho wa Mshambuliaji Baraka Mwangosi kutoka Mbeya City ambaye ali...
10/01/2026

🚨 Kwa mujibu wa Ripota ni kuwa Simba imekamilisha Uhamisho wa Mshambuliaji Baraka Mwangosi kutoka Mbeya City ambaye alikuwa katika majaribio kwenye michuano ya Mapinduzi hivyo baada ya ‘kuuwasha’ Klabu imempa mkataba kusalia Msimbazi kuelekea mbio za Ubingwa na Kimataifa.

Mnasemaje Wanangu😊

Anaandka Farahan M Kihamu

Address

Dodoma

Telephone

+255747692064

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bongo Source posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Bongo Source:

Share