Bongo Source

Bongo Source PATA HABARI ZETU KUPITIA YOUTUBE YA BONGO SOURCE

KWA HABARI NA MATUKIO TUTAFUTE-: +255747692064

πŸ”΄  : WACHEZAJI 14 WAONDOLEWE KIKOSINI, FADLU ATOBOA SIRI NZITO MSIMBAZI Tazama hapa πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
16/01/2025

πŸ”΄ : WACHEZAJI 14 WAONDOLEWE KIKOSINI, FADLU ATOBOA SIRI NZITO MSIMBAZI

Tazama hapa
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

πŸ”΄ : WACHEZAJI 14 WAONDOLEWE KIKOSINI, FADLU ATOBOA SIRI NZITO

Hivi ndivyo kikosi cha MC ALGERS πŸ‡©πŸ‡Ώ kilivyo wasili nchini TANZANIA πŸ‡ΉπŸ‡Ώ kuelekea mchezo wao wa klabu bingwa barani Afrika ...
16/01/2025

Hivi ndivyo kikosi cha MC ALGERS πŸ‡©πŸ‡Ώ kilivyo wasili nchini TANZANIA πŸ‡ΉπŸ‡Ώ kuelekea mchezo wao wa klabu bingwa barani Afrika dhidi ya YANGA SC jumamosi hii.
_______________________________________________
Full Story Fuatilia kupitia YouTube ya BONGO SOURCE Muda huu

Tufollow now




________________________________










Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofan...
16/01/2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino, Mkoani Dodoma leo tarehe 16 Januari, 2025.

πŸ”΄ : | UCHAGUZI MKUU BAVICHA MWENYEKITI KUPATIKANA LEO, LISSU na MBOWE WANAZUNGUMZA HAPA...Tazama hapa πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
16/01/2025

πŸ”΄ : | UCHAGUZI MKUU BAVICHA MWENYEKITI KUPATIKANA LEO, LISSU na MBOWE WANAZUNGUMZA HAPA...

Tazama hapa
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

πŸ”΄ : | UCHAGUZI MKUU BAVICHA MWENYEKITI KUPATIKANA LEO, LISSU na MBOWE WANAZUNGUMZA HAPA...KARIBU UTANGAZE nasi KUPITIA KIPINDI CHETU KWA BEI RAHISI...!!...

Mwamuzi kutoka nchini πŸ‡²πŸ‡·Mauritania Patrice Milazar ndiye amepewa jukumu la kuiamua mechi ya mwisho ya hatua ya makundi k...
16/01/2025

Mwamuzi kutoka nchini πŸ‡²πŸ‡·Mauritania Patrice Milazar ndiye amepewa jukumu la kuiamua mechi ya mwisho ya hatua ya makundi kati ya πŸ‡ΉπŸ‡ΏYanga dhidi ya πŸ‡©πŸ‡ΏMC Algers.

Mchezo huo utapigwa Jumamosi hii na ni muhimu kwa timu zote mbili kwani Yanga itakuwa ikihitaji ushindi ili ifuzu hatua ya robo fainali huku MC Algers ikihitaji sare pekee.

Mwandishi ✍️:

"Biden: Marekani Inaangukia Mikononi mwa Matajiri Wachache"Rais wa Marekani, Joe Biden, anayetarajia kukabidhi madaraka ...
16/01/2025

"Biden: Marekani Inaangukia Mikononi mwa Matajiri Wachache"

Rais wa Marekani, Joe Biden, anayetarajia kukabidhi madaraka kwa Rais mteule Donald Trump Januari 20, alitoa hotuba ya kuaga Jumatano jioni na kuelezea wasiwasi wake kuhusu hatma ya taifa chini ya utawala mpya. Biden alionya kuhusu athari za Marekani kuangukia mikononi mwa matajiri wachache, akisema hali hiyo ni hatari ikiwa haitadhibitiwa.

Ingawa hakuwataja moja kwa moja, Biden alikusudia mabilionea wanaomuunga mkono Trump k**a Elon Musk (mmiliki wa Tesla), Jeff Bezos (Amazon), na Mark Zuckerberg (Meta). Alisisitiza kuwa ushawishi wa matajiri hao unatishia demokrasia, haki za msingi, na uhuru wa wananchi.

Aidha, Rais huyo wa 46 wa Marekani alionyesha masikitiko kuhusu kusambaa kwa taarifa potofu mitandaoni, akitaka sheria kali kudhibiti matumizi ya akili mnemba (AI) na uwajibikaji wa mitandao ya kijamii. Biden alisema kuwa hatua hizi ni muhimu katika kulinda maslahi ya raia wa kawaida na kudumisha uwiano wa kijamii.

YANGA SC WAMEPIGWA TENA KWENYE USAJILI...!!!Mdau: 'Yanga SC wamepigwa tena kwenye usajili wasajili mchezaji hanabata gol...
16/01/2025

YANGA SC WAMEPIGWA TENA KWENYE USAJILI...!!!
Mdau: 'Yanga SC wamepigwa tena kwenye usajili wasajili mchezaji hanabata goli wala hajachezi mechi nyingi' Mdau DM
_______________________________________________
Full Story Fuatilia kupitia YouTube ya BONGO SOURCE Muda huu

Tufollow now





________________________________










LEO  JANUARI 16 TUNAYAKUMBUKA MAISHA YA WATAKATIFU BERNARD, ODO, PETRO, AKURSIO NA AYUTO, WAFIADINI  (1220)Mwaka 1219, M...
16/01/2025

LEO JANUARI 16 TUNAYAKUMBUKA MAISHA YA WATAKATIFU BERNARD, ODO, PETRO, AKURSIO NA AYUTO, WAFIADINI (1220)

Mwaka 1219, Mtakatifu Fransisko wa Asizi (tarehe 4 Oktoba Alituma Watawa wa tano ili wakahubili Injili kwa Waislamu waliokuwa Hispania, Walianza mahubiri hayo kwa Waislamu mjini Sevilia.

Mara baada ya kufika huko walik**atwa na kuwekwa ndani ya Gereza baadae walifukuzwa, Waliondoka na kuelekea mjini Marrakesh katika nchi ya Morocco.

Walianza kuhubiri mitaani, Ijapo kuwa Bernard peke yake ndiye alie jua kiarabu kidogo tu, Mwanzoni waarabu waliwavumilia, maana walidhani wahubiri hawa ni wenda wazimu na wakawatendea k**a wehu.

Watawa hawa walio kataa kuondoka na walipo endelea kupinga mafundisho ya Waislamu, walipigwa vibaya mwishowe wakauawa.

Inasemekana kuwa Sultan aliwakata Vichwa yeye mwenyewe tarehe 16, Januari 1220 na walitangazwa Watakatifu mwaka 1481.

Watawa hawa watano walikuwa ndio wafiadini wa kwanza wa Shirika la Wafransisko, Miaka Saba baadaye mwaka 1227 Watawa wengine Saba waitaliano waliuawa Morocco baada ya kukataa kuingia Uislamu.

Majina yao ni Watakatifu Danieli Samuel, Anjero, Leo, Domino, Nikola na Hugolino. Sikukuuu yao inaadhimishwa tarehe 10 Oktoba.

WATAKATIFU BERNARD, ODO, PETRO, AKURSIO NA AYUTO WAFIADINIl MTUOMBEE.

πŸ”΄  : MRITHI WA KINANA KWISHA HABARI, SIMBA WACHANGISHANA KULIPA DENI LAO KWA NGUVUTazama hapa πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
16/01/2025

πŸ”΄ : MRITHI WA KINANA KWISHA HABARI, SIMBA WACHANGISHANA KULIPA DENI LAO KWA NGUVU

Tazama hapa
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

πŸ”΄ : MRITHI WA KINANA KWISHA HABARI, SIMBA WACHANGISHANA KULIPA DENI

Klabu ya Tabora Utd  imefikia makubaliano na Golikipa wa timu ya Taifa ya Gabon πŸ‡¬πŸ‡¦ Jean NoΓ«l Amonome akitokea Arta Solar...
15/01/2025

Klabu ya Tabora Utd imefikia makubaliano na Golikipa wa timu ya Taifa ya Gabon πŸ‡¬πŸ‡¦ Jean NoΓ«l Amonome akitokea Arta Solar ya Djibouti πŸ‡©πŸ‡―

Amonome tayari ametua Tanzania na yupo kwenye taratibu za kukamilisha usajili huo.

_______________________________________________
Full Story Fuatilia kupitia YouTube ya BONGO SOURCE Muda huu

Tufollow now





________________________________










SEMAJI CAF WANASIMBA ONDOENI WASI WASI Habari za Asubuhi wana SimbaπŸ‘‰Baada ya jana kupokea hukumu ya CAF kuhusu kufungiwa...
15/01/2025

SEMAJI CAF WANASIMBA ONDOENI WASI WASI

Habari za Asubuhi wana Simba
πŸ‘‰
Baada ya jana kupokea hukumu ya CAF kuhusu kufungiwa Mashabiki katika mchezo wetu dhidi Costantine kumekua na mawazo na maoni mengi.

Wapo wanaosema tiketi ziendelee kuuzwa ili Wana Simba tuchangie faini iliyotozwa klabu yetu

Wapo wanaosema klabu iandae utaratibu maalumu watu wachangie kuipunguzia klabu mzigo wa adhabu ya faini hiyo

Na wengi wamesisitiza iandaliwe sehemu maalumu Wana Simba tukutane tuangalie kwa pamoja mechi

Kwanza niseme nimefurahishwa na fikra za Wana Simba kulichukua hili kuwa tatizo letu sote na tuko tayari kulitatua kwa pamoja

Pili niwaombe Wana Simba tutulie wakati huu ambao Viongozi wetu wakiangalia namna sahihi ya kuliendea jambo hili

Tatu niwatoe hofu Wana Simba kuwa adhabu yetu inahusu mechi moja tuu ya Jumapili, Robo Fainali tutaendelea na utaratibu wetu k**a kawaida wa kwenda Uwanjani

Nichukue nafasi hii kuwapa pole Wana Simba wote ambao tumeumizwa na kadhia hii iliyotokea kwa mara ya kwanza katika maisha yetu

Mwisho kabisa ili kuepuka kupata maumivu k**a haya ya kukosa kuiona Live timu yetu ikicheza mchezo muhimu k**a huu hatuna budi sisi Mashabiki kujifunza kupitia sakata ili lisijirudie tena

Nguvu Moja - Ubaya Ubwela

Ahmed Ally
Afisa Habari

BBongo Source

15/01/2025

Wekeza na Hatifungani ya Miundombinu ya barabara za wilaya (Samia Infrastructure Bond) upate gawio mara 4 kwa mwaka.

Hatifungani hii itaenda kuondoa changamoto ya ucheleweshaji wa malipo kwa Wakandarasi na kuchochea ukamilishaji wa miradi ya ujenzi na ukarabati wa barabara za wilaya kwa wakati

Bora kwa Maendeleo Endelevu

15/01/2025

Kibao β€˜Tunatamba Nae’ cha

Sikiliza zawadi hii kwa Watanzania wote, wanachama, wapenzi na wakereketwa wa CCM kupitia BIO ya King kuelekea Mkutano Mkuu Maalum wa CCM, huku tukiendelea kuunga mkono juhudi za Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
katika kuwaongoza Watanzania kwenye njia sahihi ya maendeleo.
Bongo Source


β€œDirisha la usajili linafungwa leo, wanayanga leo tegemeeni habari nzuri, leo kuna raha kwa wananchi, leo tunafunga siku...
15/01/2025

β€œDirisha la usajili linafungwa leo, wanayanga leo tegemeeni habari nzuri, leo kuna raha kwa wananchi, leo tunafunga siku ya usajili kwa kishindo. Tunashusha vyuma Leo” Ally Kamwe
Bongo Source


β€œTumekuja na kampeni maalumu ambayo hii imeombwa na amshabiki wenyewe wakitaka kuwajibika baada ya kufanya makosa yale. ...
15/01/2025

β€œTumekuja na kampeni maalumu ambayo hii imeombwa na amshabiki wenyewe wakitaka kuwajibika baada ya kufanya makosa yale. Tumewaletea mfumo wa kuchangia ili kitakachopatikana twende tukalipe faini na Simba Sports Club ibaki salama. Kampeni hiyo tumeipa jina la TUNAWAJIBIKA PAMOJA.”

β€œNatoa rai kwa Wanasimba, asijekutokea Mwanasimba wa kuchangisha kwamba kikifika kiasi fulani tutapeleka ofisini. Kila Mwanasimba atume fedha yake moja kwa moja kwenye namba ya ofisi ambayo imetolewa.”

β€œZoezi letu tumeliweka kwa muda sio kwa kiwango kwahiyo k**a ikifika milioni 100 na muda bado tutawaachia. Wanasimba wanapaswa kuonyesha nguvu yao, wanapaswa kusimama na timu yao.”- Ahmed Ally.

Bongo Source

Address

Dodoma

Telephone

+255747692064

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bongo Source posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Bongo Source:

Videos

Share