Bongo Source

Bongo Source PATA HABARI ZETU KUPITIA YOUTUBE YA BONGO SOURCE

KWA HABARI NA MATUKIO TUTAFUTE-: +255747692064

Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Tundu Lissu akisaini kitabu cha maombolezo katika msiba wa mpendwa wetu Derick Magoma Jr....
11/02/2025

Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Tundu Lissu akisaini kitabu cha maombolezo katika msiba wa mpendwa wetu Derick Magoma Jr. Nyumbani kwa familia ya marehemu, kijiji cha Matufa, Magugu, Mkoani Manyara, ambapo mazishi yatafanyika

MOVIE RECAP: WALIOKUWA WANAUZA SAMAKI na MPENZI WAPATA KAZI MJINI, DEMU AMKATAA MWAMBA 😭Tazama hapa muda huuπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
11/02/2025

MOVIE RECAP: WALIOKUWA WANAUZA SAMAKI na MPENZI WAPATA KAZI MJINI, DEMU AMKATAA MWAMBA 😭

Tazama hapa muda huu
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

MOVIE RECAP: WALIOKUWA WANAUZA SAMAKI na MPENZI WAPATA KAZI MJINI, DEMU AMKATAA MWAMBA 😭.🌹 PICHA MBAO, PICHA MBAO, PICHA MBAO 🌹 BOOKING PICHA KWA BEI RAHI...

πŸŽ™οΈ MSIKIE FADLU KUHUSU KIBU D NA CHASAMBIKocha wa Simba, Fadlu Davids alisema kuwa mshambuliaji Kibu Denis bado yupo kwe...
11/02/2025

πŸŽ™οΈ MSIKIE FADLU KUHUSU KIBU D NA CHASAMBI
Kocha wa Simba, Fadlu Davids alisema kuwa mshambuliaji Kibu Denis bado yupo kwenye uangalizi na mazoezi ya jana yalitumika kumuangalia zaidi k**a anaweza kuwepo katika mchezo wa leo dhidi ya Tanzania Prisons.
Fadlu aligusia ishu ya Ladack Chasambi akisema k**a klabu wamechukua jukumu la kumlinda asΓ­toke mchezoni akiamini bado ni kijana mdogo mwenye kipaji kikubwa.
β€œChasambi ana kipaji ni miongoni mwa wachezaji wadogo wanaofanya vizuri, siwezi kumlaumu kwa matokeo yaliyopita. K**a klabu tunasimama naye ili kulinda kipaji chake ambacho si faida kwa Simba pekee, bali Tanzania kwa ujumla,” alisema Fadlu.
Cc
________________________________
Hakikisha unatufollow, pia kariba group letu la WhatsApp
πŸ‘‡πŸ‘‡
https://chat.whatsapp.com/ByXMhbek7M8AZlz9sTpVte
Gusa link hii kujiunga group la mikeka
https://t.me/+JZd9_tKrbOVkMTE0
Subscribe channel yetu ya WhatsApp
πŸ‘‡πŸ‘‡
https://chat.whatsapp.com/ByXMhbek7M8AZlz9sTpVte

πŸ”΄  : BEACH BOY ANYANDUA KWENYE MAJI MAREFU TAZAMA - BEACH TIMETazama hapaπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
11/02/2025

πŸ”΄ : BEACH BOY ANYANDUA KWENYE MAJI MAREFU TAZAMA - BEACH TIME

Tazama hapa
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

πŸ”΄ : BEACH BOY KATIKA UBORA WAKE AMPELEKA MDADA MAJI MAREFU WATOKOMEA HUKO - BEACH TIME

πŸ”΄  : USIMRUHUSU BEBI WAKO KWENDA BEACH, HAYA NDIYO WANAYOYAFANYA HUKO - TAZAMA HAPATazama hapaπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
10/02/2025

πŸ”΄ : USIMRUHUSU BEBI WAKO KWENDA BEACH, HAYA NDIYO WANAYOYAFANYA HUKO - TAZAMA HAPA

Tazama hapa
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

πŸ”΄ : USIMRUHUSU BEBI WAKO KWENDA BEACH, HAYA NDIYO WANAYOYAFANYA HUKO - TAZAMA HAPA

π—¦π—˜π—–π—’π—‘π—— π—›π—”π—Ÿπ—™Jkt TANZANIA 0️⃣  πŸ†š Yanga SC  0οΈβƒ£πŸš¨π—§π—”π—­π—”π— π—” π— π—˜π—–π—›π—œ π—›π—œπ—œ 𝗠𝗨𝗕𝗔𝗦𝗛𝗔π—₯𝗔 π—žπ—¨π—£π—œπ—§π—œπ—” π—Ÿπ—œπ—‘π—ž πŸ”— π—›π—œπ—œπŸ‘‡https://youtu.be/F21fE6y0lYg?...
10/02/2025

π—¦π—˜π—–π—’π—‘π—— π—›π—”π—Ÿπ—™

Jkt TANZANIA 0️⃣ πŸ†š Yanga SC 0️⃣

πŸš¨π—§π—”π—­π—”π— π—” π— π—˜π—–π—›π—œ π—›π—œπ—œ 𝗠𝗨𝗕𝗔𝗦𝗛𝗔π—₯𝗔 π—žπ—¨π—£π—œπ—§π—œπ—” π—Ÿπ—œπ—‘π—ž πŸ”— π—›π—œπ—œπŸ‘‡

https://youtu.be/F21fE6y0lYg?si=HgInsvsrsBZvIS66

Aziz Ki amepanga kulipa Mahari ya kumuoa Mobetto Februari 15, Ndoa yao itafungwa Februari 19.Je Yanga itakuwa salama au ...
10/02/2025

Aziz Ki amepanga kulipa Mahari ya kumuoa Mobetto Februari 15, Ndoa yao itafungwa Februari 19.

Je Yanga itakuwa salama au tuache shobo 😊😊

Mwandishi ✍️:

MOVIE RECAP: WANAUZA SAMAKI na MPENZI WAKE MCHANA, JIONI NI MIZAGAMUANO TU πŸ˜‹Tazama hapa πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
10/02/2025

MOVIE RECAP: WANAUZA SAMAKI na MPENZI WAKE MCHANA, JIONI NI MIZAGAMUANO TU πŸ˜‹

Tazama hapa
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

MOVIE RECAP: WANAUZA SAMAKI na MPENZI WAKE MCHANA, JIONI NI MIZAGAMUANO TU πŸ˜‹

KAREN BUJULU ALISHAHILI NDOA SIO PRICILLA _Duuuuh lazima tujivunie vya kwetu kwetu huyu Karen Bujulu ni mali sana Sema f...
10/02/2025

KAREN BUJULU ALISHAHILI NDOA SIO PRICILLA
_
Duuuuh lazima tujivunie vya kwetu kwetu huyu Karen Bujulu ni mali sana Sema famili ya kaka yetu haikumtaka kabisa (Dini).

Labda kwa wakati huuu mdogo waliokaa na Priscilla ameonekana ni bora kuliko Karen na Vanessa Mdee ndio maana wamekuwa wepesi sana kubless jambo lifanyike haraka sana.

Ila twende mbele turudi nyuma Priscilla hajawazidi kwa muonekano wanawake wote waliowahi kudate na Jux kuanzia Jackline Cliford hadi Karen Bujulu, Lakini hatuwezi kujua mambo ya ndani zaidi.

β€’
β€’
β€’
β€’
β€’
β€’


This page doesn’t support any kind of violence and I mean it since I followed up the community guidelines

πŸ”΄  : MARIA SARUNGI ATHIBITISHA KUTOTOKEA KWA AJALI YA M/KITI LISSUTazama hapaπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
09/02/2025

πŸ”΄ : MARIA SARUNGI ATHIBITISHA KUTOTOKEA KWA AJALI YA M/KITI LISSU

Tazama hapa
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

πŸ”΄ : MARIA SARUNGI ATHIBITISHA KUTOTOKEA KWA AJALI YA MWENYEKITI WA CHADEMA, TUNDU LISSU

09/02/2025

Akizungumza na Vyombo vya Habari jana tarehe 08/02/2025 K**anda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa alisema watotohao wamepatikana wakiwa wamefichwa katika nyumba namba 8 iliyopo katika Mtaa wa Nyagoloboya Kata ya Nyegezi wakiwa pamoja na watekaji.

Amesema Jeshi la Polisi limefanikiwa kuwanusuru Wanafunzi wawili (02) wa Shule ya Blessing Model School waliokuwa wametekwa Februari 05, 2025 wakiwa salama.

Hata hivyo, amesema Askari wa Jeshi la Polisi walilazimika kutumia risasi za moto na kuwajeruhi watekaji baada ya kuonesha nia ya kutaka kuwashambulia maaskari wakiwa na silaha k**a mapanga, rungu na jambia majeraha yaliyosababisha watekaji hao kupoteza maisha.

Wakizungumzia tukio hilo, baadhi ya wananchi wamelipongeza Jeshi la Polisi kwa kufanikiwa kuokoa maisha ya watoto hao walioleta taharuki kubwa katika jamii.

β€œHapa Algeria unacheza na Wapinzani wagumu kila wiki na hichi ndicho nilikuwa nakihitaji k**a Kocha, tofauti na Tanzania...
09/02/2025

β€œHapa Algeria unacheza na Wapinzani wagumu kila wiki na hichi ndicho nilikuwa nakihitaji k**a Kocha, tofauti na Tanzania ambapo kuna timu tatu tu zinazoshindania Ligi ambazo ni Yanga, Simba na Azam”

- Saed Ramovic, Kocha wa CR Belouzdad πŸ‡©πŸ‡Ώ.

KIKOSI CHA π—ͺ𝗬𝗗𝗔𝗗 𝗖𝗒𝗔𝗖𝗛 Rhulani πŸ‡ΏπŸ‡¦πŸ‡ΉπŸ‡Ώ Selemani MwalimuπŸ‡§πŸ‡· PedrinhoπŸ‡§πŸ‡· Arthur πŸ‡ΏπŸ‡¦ Cassius MailulaπŸ‡ΏπŸ‡¦ Thembinkosi Lorch πŸ‡²πŸ‡¦ Hamza...
09/02/2025

KIKOSI CHA π—ͺ𝗬𝗗𝗔𝗗 𝗖𝗒𝗔𝗖𝗛 Rhulani πŸ‡ΏπŸ‡¦

πŸ‡ΉπŸ‡Ώ Selemani Mwalimu
πŸ‡§πŸ‡· Pedrinho
πŸ‡§πŸ‡· Arthur
πŸ‡ΏπŸ‡¦ Cassius Mailula
πŸ‡ΏπŸ‡¦ Thembinkosi Lorch
πŸ‡²πŸ‡¦ Hamza Sakhi
πŸ‡²πŸ‡¦ Mohamed Moufid
πŸ‡²πŸ‡¦ Abdelali Mhamdi
πŸ‡²πŸ‡¦ Mohamed Rayhi
πŸ‡²πŸ‡¦ Nabil Marmouk
πŸ‡²πŸ‡¦ Jawad Khalouk
πŸ‡²πŸ‡¦ Nassim Chadli
πŸ‡²πŸ‡¦ Abdelmounaim Boutouil
πŸ‡²πŸ‡¦ Zakaria Nassik
πŸ‡²πŸ‡¦ Aymen Dairani
πŸ‡²πŸ‡¦ Mehdi El Moubarik
πŸ‡²πŸ‡¦ Fahdi Moufi
πŸ‡²πŸ‡¦ El Mehdi Benabid
πŸ‡ΈπŸ‡³ M'Baye Niang
πŸ‡²πŸ‡Ά Mickael Malsa
πŸ‡¬πŸ‡­ Samuel Obeng

Address

Dodoma

Telephone

+255747692064

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bongo Source posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Bongo Source:

Videos

Share