MAONESHO YA NANE NANE 2024 NI TOFAUTI NA NANE NANE ZILIZOTANGULIA
Wananchi mbalimbali waliohudhuria Maonesho ya Nane Nane 2024 katika Viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma wamepongeza maandalizi mazuri ya Maonesho hayo ya Kimataifa ya Kilimo, Uvuvi na Ufugaji yaliyofunguliwa na Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa jana Agosti 01, 2024 huku yakitarajiwa kufungwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Agosti 08, 2024 (88)
"Nimefika hapa kwenye maonesho ya Nane Nane 2024, nimekuta mabadiliko makubwa sana, tuna kila sababu ya kumpongeza Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Kilimo kwa jitihada zao katika kuwezesha maonesho ya Nane Nane 2024 kuwa hivi, kumejengwa tofauti sana" - Alisema Merkiori Tesha, baada ya kutembeela mabanda mbalimbali viwanja vya 88 Nzuguni Dodoma.
Kwa upande wake, Zaina Mwakijazi, Mkazi wa Makulu Dodoma, yeye amesema Nane Nane ya Mwaka huu imekuwa na maandalizi makubwa zaidi tofauti na miaka iliyopita kwanzia kwenye mazingira lakini pia wafanyabiashara wamejitokeza kwa wingi sana na kuna vitu vingi vizuri.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Mohamed Mchengerwa kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu ndogo Zanzibar, leo tarehe 01 Septemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Innocent Lugha Bashungwa kuwa Waziri wa Ujenzi katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu ndogo Zanzibar, leo tarehe 01 Septemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Innocent Lugha Bashungwa kuwa Waziri wa Ujenzi katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu ndogo Zanzibar, leo tarehe 01 Septemba, 2023.
Salamu za Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa kwanza wa Mawaziri wa Baraza la Michezo la Umoja wa Afrika, kanda ya IV unaofanyika Jijini Arusha.
Mbunge wa Jimbo la Ushetu Emanuel Cherehani ameiomba serikali kununua magari ya Ofisi ya Uhamiaji Kahama.
USHAURI WA SHIGONGO KWA WALIOFELI MITIHANI SHULENI
Video: TBC
Ulipofikia Ujenzi wa Mradi wa SGR, Treni Kuanza Majaribio Karibuni
Pablo Franco Kashatua Bongo
Pablo Franco Kashatua Bongo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
Serikali Itaendeshwa kwa Matendo Makali Siyo Maneno Makali, Kufoka Siyo Heshima
Serikali Itaendeshwa kwa Matendo Makali Siyo Maneno Makali, Kufoka Siyo Heshima