MwanaSpoti

MwanaSpoti Gazeti #1 la michezo Tanzania. Web: www.mwanaspoti.co.tz FB: www.facebook.com/MwanaSpoti Twitter: https://twitter.com/MwanaspotiTZ

Nunua nakala yako kila Jumanne na Jumamosi upate habari motomoto kuhusu timu, mchezaji au spoti uipendayo. A Mwananchi Communications Limited Brand.

Serikali kuzibana Simba, Yanga ishu ya viwanja
18/02/2025

Serikali kuzibana Simba, Yanga ishu ya viwanja

Serikali imepanga kutoa maelekezo kwa timu zinazoshiriki Ligi Kuu zikiwemo Simba na Yanga kuwa na viwanja vyao vitakavyotumika kwa mechi za mashindano kwa sababu miundombinu ni uti wa mgongo wa...

JKT Tanzania yapata ushindi, KenGold yatakata
18/02/2025

JKT Tanzania yapata ushindi, KenGold yatakata

Ushindi wa mabao 2-0 ambao wameupata JKT Tanzania, katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC umewafanya Maafande hao kupanda nafasi sita kwenye msimamo wa ligi hiyo, huku KenGold ikiendeleza moto.

Maseke aingia anga za wazee wa kujiweka
18/02/2025

Maseke aingia anga za wazee wa kujiweka

KIPA Wilbol Maseke ameingia katika orodha ya wachezaji waliojifunga Ligi Kuu Bara hadi sasa baada ya jioni ya leo kujikwamisha wavuni wakati akitaka kuokoa mpira wa kichwa uliopigwa na kiungo...

Serikali kuzibana Simba, Yanga ishu ya viwanja
18/02/2025

Serikali kuzibana Simba, Yanga ishu ya viwanja

Serikali imepanga kutoa maelekezo kwa timu zinazoshiriki Ligi Kuu zikiwemo Simba na Yanga kuwa na viwanja vyao vitakavyotumika kwa mechi za mashindano kwa sababu miundombinu ni uti wa mgongo wa...

Janja ya Pamba Jiji iko hapa
18/02/2025

Janja ya Pamba Jiji iko hapa

Momanyi ametokea Shabana FC ya kwao Kenya, huku kwa upande wa Camara akijiunga na kikosi hicho kwa mkopo kutoka Singida Black Stars, alichojiunga nacho Agosti 14, mwaka jana, ila alishindwa...

Kuna nini? Johari, Chuchu Hans washtua
18/02/2025

Kuna nini? Johari, Chuchu Hans washtua

LINAACHA maswali... Ndiyo, ni tukio la wasanii wawili wakali wa Bongo Movie, Johari Chagula na Chuchu Hans lililotokea wiki iliyopita Mikocheni, jijini Dar es Salaam.

Kicheko cha Haaland miaka 87 penzini na Isabel
18/02/2025

Kicheko cha Haaland miaka 87 penzini na Isabel

Akiwa anasherehekea kuwa mfungaji bora wa muda wote wa timu yake ya taifa ya Norway kufuatia ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Slovenia, Erling Haaland, 24, alitumia nafasi hiyo kuitangazia dunia...

MZIKI MNENE: Wamechemsha Ligi Kuu England, wakawa watamu La Liga
18/02/2025

MZIKI MNENE: Wamechemsha Ligi Kuu England, wakawa watamu La Liga

LIGI Kuu England ndiyo inayotazamwa sana na yenye upinzani zaidi ya ligi nyingi duniani, hivyo hata uwe mchezaji uliyejipambanua huko kwingine, mambo yanaweza kuwa magumu unapotua kweye ligi hiyo...

CHILUNDA: Aliyening'oa Simba huyu hapa
18/02/2025

CHILUNDA: Aliyening'oa Simba huyu hapa

SHAABAN Idd Chilunda lilikuwa miongoni mwa majina yaliyoibuka kwenye usajili wa Simba msimu wa 2023 chini ya kocha Roberto Oliveira 'Robertinho', lakini hakuweza kudumu kikosini humo akiishi kwa...

City, Madrid vita kwa Wirtz
18/02/2025

City, Madrid vita kwa Wirtz

MANCHESTER City inajiandaa kuchuana jino kwa jino na Real Madrid kwenye dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi kuwania saini ya kiungo wa Pauni 85 milioni, Florian Wirtz.

Rio Ferdinand kasema... Man United inashuka
18/02/2025

Rio Ferdinand kasema... Man United inashuka

RIO Ferdinand amefichua wasiwasi wake huenda Manchester United isipate ushindi wowote tena kwenye mechi zilizobaki kwenye Ligi Kuu England msimu huu.

Kicheko cha Haaland miaka 87 penzini na Isabel
18/02/2025

Kicheko cha Haaland miaka 87 penzini na Isabel

Akiwa anasherehekea kuwa mfungaji bora wa muda wote wa timu yake ya taifa ya Norway kufuatia ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Slovenia, Erling Haaland, 24, alitumia nafasi hiyo kuitangazia dunia...

Address

Tabata Relini, Along Mandela Road
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MwanaSpoti posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Videos

Share

Our Story

Nunua nakala yako upate habari motomoto kuhusu timu, mchezaji au spoti uipendayo. A Mwananchi Communications Limited Brand.