AIK physiology

AIK physiology Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AIK physiology, Dar es Salaam.

**SABABU ZA KUWAHI KUMALIZA TENDO LA NDOA KWA MWANAUME **Wanaume wengi sasahivi wanatafuta njia ya kutatua tatizo la kuw...
06/10/2023

**SABABU ZA KUWAHI KUMALIZA TENDO LA NDOA KWA MWANAUME **

Wanaume wengi sasahivi wanatafuta njia ya kutatua tatizo la kuwahi kumaliza lakini wengi hawajalifahamu kwa undani tatizo lenyewe.

Hawajui limesababishwa na nini, na wanapaswa kutibu kitu gani haswa au wafanye nini kuondokana na tatizo hilo.

Wanaume wengi wanapoona tatizo hili wanakimbilia kutumia Booster,

wengine wanatafuta Vi**ra ambavyo watu wengi wanavipatia sifa lakini hata wakitumia bado tatizo lipo pale pale.

Sababu kubwa ni kwamba wengi hawashughuliki kutibu chanzo cha tatizo ila wanatumia dawa ili watibu dalili za tatizo ambazo ni kuwahi kumaliza

Kwa bahati mbaya, Usipojua chanzo cha tatizo lako Huwezi kupona.

Sababu zinazopelekea tatizo hili kwa asilimia 80 ni za kisaikolojia. Na asilimia 20 ni sababu za kimwili.

1. Sababu za kimwili.

Hizi hupelekewa na kushindwa kufahamu maumbile (anatomy) ya mwanaume na mwanamke.

Na elimu namna ya kuyatumia maumbile hayo kumfanya mwanamke awahi kumaliza na mwanaume kuchelewa kumaliza.

Na baadhi ni kwasababu ya maradhi ya miili yao.

Maada zinazofuata utajifunza kufahamu maumbile haya na maradhi.

2. Sababu za kisaikolojia. Hizi huchukua asilimia nyingi zaidi kuliko zile za kimwili.

Sababu za kisaikolojia ni k**a zifuatazo:

✓ Woga:

Unapojiandaa kufanya tendo la ndoa na ubongo wako umejawa na woga,

ni rahisi sana kuwahi kumaliza.

Hii ni kwasababu unapowaza kuwa utashindwa, ubongo wako hutunza zaidi taarifa mbaya ya kushindwa,

na ujasiri wa kuchelewa kumaliza unapoteza ghafla.

Hivyo uume utasimama na mara tu baada ya kuanza kufanya tendo la ndoa utajikuta umeshindwa kujizuaia hadi unamwaga.

✓ Wasiwasi:

Wanaume wengi wakiingia katika hali ya kushindwa kufanya tendo la ndoa kwa muda mrefu kwasababu ya historia walizotunza
..ndani ya ubongo wao zinawapa wasiwasi.

Mara nyingi k**a umejaribu mara mbili, mara tatu kujizuia usiwahi kumaliza, na

ukashindwa kuushinda wasiwasi huo, basi unaingia katika hali ya kushindwa kila siku hadi tatizo linakuwa sugu.

Maswali unayojiuliza wakati wa tendo la ndoa k**a vile,

“je mke wangu anaridhika vizuri?

ananikubali na ujuzi wangu huu wa mapenzi?
......see you ........🔥✅

*Siri Itakayo Kusaidia Kuimarisha Misuli Ya Mashine Yako Iliyoathiriwa Na Punyeto *Mambo vipi Binamu Leo Nataka Nikupe M...
06/10/2023

*Siri Itakayo Kusaidia Kuimarisha Misuli Ya Mashine Yako Iliyoathiriwa Na Punyeto *

Mambo vipi Binamu

Leo Nataka Nikupe Muhimu Wa Madini Ya zinc kwenye Uume Kusinyaa Na Kurundi Ndani.

Madini ya zinc yana faida kadhaa kwa mwanaume. Hapa kuna baadhi ya faida hizo:

1. Kuongeza uzalishaji wa testosterone:

Zinc ina jukumu muhimu katika uzalishaji wa testosterone,

homoni muhimu kwa afya ya kijinsia na uzazi wa mwanaume. Kuwa na viwango vya kutosha vya zinc kunaweza kusaidia

kuongeza uzalishaji wa testosterone na kuimarisha afya ya kijinsia.

2. Kuongeza uzazi:

Zinc ina jukumu muhimu katika uzalishaji wa manii na kuboresha ubora wa manii.

Inaweza kusaidia kuongeza wingi, kasi, na ubora wa manii, na hivyo kuongeza nafasi za kumtungisha mwanamke.

3. Kuimarisha afya ya tezi za ngono:

Zinc ina jukumu muhimu katika kudumisha afya ya tezi za ngono k**a vile tezi za prostate.

Inaweza kusaidia kuzuia matatizo ya kibofu cha mkojo, kuboresha afya ya tezi za ngono,

na kupunguza hatari ya magonjwa ya tezi za ngono.

4. Kuongeza kinga ya mwili:

Zinc ina jukumu muhimu katika kuimarisha mfumo wa kinga ya mwili.

Inasaidia mwili kupigana na maambukizi, kuzuia magonjwa, na kupunguza hatari ya magonjwa ya mfumo wa kinga.
K**a vile kisukari,Pressure,Nk

5. Kuboresha Afya ya mirija ya Damu:

Zinc inaweza kusaidia kuboresha afya ya ngozi kwa kuongeza uponyaji wa jeraha, kupunguza uvimbe,

na kudhibiti uzalishaji wa mafuta kwenye ngozi.

Hii inaweza kusaidia kupunguza matatizo ya Mirija ya Damu kuziba na kusaidia Mzunguko wa Damu kuwa vizuri.

Ni muhimu kuzingatia kuwa kuchukua madini ya zinc kwa kiasi sahihi ni muhimu.

Je Unatamani kujua Madini Ya zinc Yanapatikana kwenye Aina Gani ya Chakula si ndiyo...?

K**a Jibu Lako Ni Ndiyo Basi Niandikie Hapa Chini 👇 neno

"NDIYO"

Kisha Nitakutumia List 10 Ya vyakula vyenye Madini Ya zinc Kwa Wingi.

bora ni kile unachostahili kukipata Kwa wakati huo_

# Kuijua Elimu ya afya ni bora pia kuliko mambo mengine yote unayo yafanya Kwa wakati hou _

# _Watu wengi hawana Elimu kuhusu afya nakwamba utoaji wa sumu mwilini jambo la heri kabisa ILi Kuishi miaka mingi zaidi na yenye afya wakati wote_
PODCAST

*⬇️Jinsi ya kupona sababu 8 ambazo ni chagizo la Miguu kuwaka moto na Ganzi*Miguu kuwaka moto ni tatizo ambalo linaweza ...
26/09/2023

*⬇️Jinsi ya kupona sababu 8 ambazo ni chagizo la Miguu kuwaka moto na Ganzi*
Miguu kuwaka moto ni tatizo ambalo linaweza kusababishwa na sababu kadhaa.

👉Sababu hizo ni pamoja na kisukari, matumizi ya pombe, upungufu wa lishe, tatizo kwenye tezi ya shingo, na sumu mwilini .

👉Kwa mfano, kisukari kinapokusumbua kwa muda mrefu kinapelekea mishipa midogo ya fahamu kuathirika. Mishipa inapoathirika inakwamisha pia usafirishaji wa taarifa ndani ya mwili.

👉Taarifa zisiposafirishwa vyema inapelekea changamoto kwenye kuhisi matukio ya ndani na nje ya mwili. Pia kisukari kinaharibu mishipa ya damu ambayo inabeba hewa safi ya oksijeni ndani ya mwili. Mishipa ya fahamu inaweza kuathiriwa maeneo mbalimbali ya mwili .

👉Matumizi ya pombe yanaweza kuathiri mishipa ya fahamu na kusababisha ganzi na maumivu kwenye unyayo na miguu kukosa nguvu .

👉Upungufu wa Vitamin B kwenye lishe yako kunaweza kupelekea upate tatizo la miguu kuwaka moto.

👉 Kupungukiwa damu pia inatokana na upungufu wa vitamin B . Kuna changamoto mbili za tezi ya shingoni.

👉 Ni aidha tezi inafanya kazi chini ya kiwango- hypothyrpoidsm au inafanya kazi kupita kiasi-hypethyrodism.

👉Tezi inapofanya kazi chini ya kiwango, yaweza kupelekea mishipa ya fahamu kuathirika na hivi kukufanya miguu yako iwake moto .

👉 Sumu zinapojikusanya zaweza kupelekea ganzi na miguu kuwaka moto. Karibu asilimia kumi ya watu wenye magonjwa ya figo wanapata hili tatizo la kuvimba miguu kunakoambatana na kuwaka moto .

USHAURI.
Ni muhimu sana kutembelea daktari ili kupata tiba sahihi endapo una dalili za ganzi la miguu .

TIBA .
Usafishaji wa damu na kuondoa kolestrol
,Uric asidi / takamwili za sumu mwilini
Kuimarisha seli zinazo unda moyo na mzunguko wake wa damu ili kuruhusu
kusambaa Kwa hewa ya oksijeni mwilini
, vitamin mbalimbali na madini zinazo
fyonzwa na seli kwenye mmeng'enyo
wa chakula .

===============
Kai-Afyapodcast
TEL:0752758078

⬇️ Jinsi ya kupona sababu 8 ambazo ni chagizo la Miguu kuwaka moto na Ganzi ____________________________________________...
26/09/2023

⬇️ Jinsi ya kupona sababu 8 ambazo ni chagizo la Miguu kuwaka moto na Ganzi
_____________________________________________
Miguu kuwaka moto ni tatizo ambalo linaweza kusababishwa na sababu kadhaa.

👉Sababu hizo ni pamoja na kisukari, matumizi ya pombe, upungufu wa lishe, tatizo kwenye tezi ya shingo, na sumu mwilini .

👉Kwa mfano, kisukari kinapokusumbua kwa muda mrefu kinapelekea mishipa midogo ya fahamu kuathirika. Mishipa inapoathirika inakwamisha pia usafirishaji wa taarifa ndani ya mwili.

👉Taarifa zisiposafirishwa vyema inapelekea changamoto kwenye kuhisi matukio ya ndani na nje ya mwili. Pia kisukari kinaharibu mishipa ya damu ambayo inabeba hewa safi ya oksijeni ndani ya mwili. Mishipa ya fahamu inaweza kuathiriwa maeneo mbalimbali ya mwili .

👉Matumizi ya pombe yanaweza kuathiri mishipa ya fahamu na kusababisha ganzi na maumivu kwenye unyayo na miguu kukosa nguvu .

👉Upungufu wa Vitamin B kwenye lishe yako kunaweza kupelekea upate tatizo la miguu kuwaka moto.

👉 Kupungukiwa damu pia inatokana na upungufu wa vitamin B . Kuna changamoto mbili za tezi ya shingoni.

👉 Ni aidha tezi inafanya kazi chini ya kiwango- hypothyrpoidsm au inafanya kazi kupita kiasi-hypethyrodism.

👉Tezi inapofanya kazi chini ya kiwango, yaweza kupelekea mishipa ya fahamu kuathirika na hivi kukufanya miguu yako iwake moto .

👉 Sumu zinapojikusanya zaweza kupelekea ganzi na miguu kuwaka moto. Karibu asilimia kumi ya watu wenye magonjwa ya figo wanapata hili tatizo la kuvimba miguu kunakoambatana na kuwaka moto .

USHAURI.
Ni muhimu sana kutembelea daktari ili kupata tiba sahihi endapo una dalili za ganzi la miguu .

TIBA .
Usafishaji wa damu na kuondoa kolestrol
,Uric asidi / takamwili za sumu mwilini
Kuimarisha seli zinazo unda moyo na mzunguko wake wa damu ili kuruhusu
kusambaa Kwa hewa ya oksijeni mwilini
, vitamin mbalimbali na madini zinazo
fyonzwa na seli kwenye mmeng'enyo
wa chakula .

===============
Kai-Afyapodcast
TEL:0752758078

*Jinsi ya kupona sababu 8 ambazo ni chagizo la Miguu kuwaka moto na Ganzi*Miguu kuwaka moto ni tatizo ambalo linaweza ku...
26/09/2023

*Jinsi ya kupona sababu 8 ambazo ni chagizo la Miguu kuwaka moto na Ganzi*
Miguu kuwaka moto ni tatizo ambalo linaweza kusababishwa na sababu kadhaa.

👉Sababu hizo ni pamoja na kisukari, matumizi ya pombe, upungufu wa lishe, tatizo kwenye tezi ya shingo, na sumu mwilini .

👉Kwa mfano, kisukari kinapokusumbua kwa muda mrefu kinapelekea mishipa midogo ya fahamu kuathirika. Mishipa inapoathirika inakwamisha pia usafirishaji wa taarifa ndani ya mwili.

👉Taarifa zisiposafirishwa vyema inapelekea changamoto kwenye kuhisi matukio ya ndani na nje ya mwili. Pia kisukari kinaharibu mishipa ya damu ambayo inabeba hewa safi ya oksijeni ndani ya mwili. Mishipa ya fahamu inaweza kuathiriwa maeneo mbalimbali ya mwili .

👉Matumizi ya pombe yanaweza kuathiri mishipa ya fahamu na kusababisha ganzi na maumivu kwenye unyayo na miguu kukosa nguvu .

👉Upungufu wa Vitamin B kwenye lishe yako kunaweza kupelekea upate tatizo la miguu kuwaka moto.

👉 Kupungukiwa damu pia inatokana na upungufu wa vitamin B . Kuna changamoto mbili za tezi ya shingoni.

👉 Ni aidha tezi inafanya kazi chini ya kiwango- hypothyrpoidsm au inafanya kazi kupita kiasi-hypethyrodism.

👉Tezi inapofanya kazi chini ya kiwango, yaweza kupelekea mishipa ya fahamu kuathirika na hivi kukufanya miguu yako iwake moto .

👉 Sumu zinapojikusanya zaweza kupelekea ganzi na miguu kuwaka moto. Karibu asilimia kumi ya watu wenye magonjwa ya figo wanapata hili tatizo la kuvimba miguu kunakoambatana na kuwaka moto .

USHAURI.
Ni muhimu sana kutembelea daktari ili kupata tiba sahihi endapo una dalili za ganzi la miguu .

TIBA .
Usafishaji wa damu na kuondoa kolestrol
,Uric asidi / takamwili za sumu mwilini
Kuimarisha seli zinazo unda moyo na mzunguko wake wa damu ili kuruhusu
kusambaa Kwa hewa ya oksijeni mwilini
, vitamin mbalimbali na madini zinazo
fyonzwa na seli kwenye mmeng'enyo
wa chakula .

===============
Kai-Afyapodcast
TEL:0752758078

*Mambo muhimu mawili 2 Tu ,Usiyo yajua aina ya vyakula vinavyo upatia mwili kinga na tiba dhidi ya maradhi mbalimbali*Ma...
26/09/2023

*Mambo muhimu mawili 2 Tu ,Usiyo yajua aina ya vyakula vinavyo upatia mwili kinga na tiba dhidi ya maradhi mbalimbali*
Maana ya chakula.....?

👉 Chakula (kifupi cha "kitu cha kula", kutoka kitenzi "kula") ni kile kinacholiwa na watu kwa kudumisha na kustawisha uhai wao. Ni kwamba mwili unahitaji virutubishi, nishati na maji. Hayo yote hupatikana katika chakula.

MACHACHE KUHUSU CHAKULA NI:-

Chakula ni dawa na kinga ya maradhi.
Sababu nyingi za maradhi ,huwezi kuacha kundi la chakula na maandalizi.

Chakula bora ni kile chenye Vitamin na
madini mbalimbali yanayo upatia mwili
Kinga dhidi ya maradhi .

Chakula hiki ni mbogamboga za aina zote na matunda mbalimbali.

SABABU .
Ulaji wa vitamins na madini Lishe hayo
ni tiba mwambata Kwa maradhi na
hujenga uhai wa binadamu .

Kukosekana Kwa vitamins hizo na madini tiba kwa binadamu ishara
za moja kwa moja hufikiwa katika
viungo na mifumo ya mwili Kwa
sababu uwezo wa seli kuratibu
majukumu ya ukarabati seli zinazo
Kufa au kupoteza sifa hutoweka
na ...

kusababisha hitilafu ya afya Kwa binadamu.

Hali hii hutofautisha aina ya matumizi
ya chakula bora Kwa kila mmoja na
tunavyo ishi dhidi ya magonjwa ya
kila siku yasiyo ya kuambukiza.

TIBA
Hakuna tiba nzuri Duniani k**a tiba
iliyo andaliwa kisayansi Kwa teknolojia
ya mizizi ,matunda,mbogamboga ,na
wanyama .

Hapa zipo zilizo wekwa Kwa sampuli
tofauti tofauti za mfumo wa kimiminika
Tembe / nyuzinyuzi za vidonge , na
Unga_unga

NANI ANATUMIA.
_Mtu yeyote ambaye anahitaji kupata
kinga endelevu na tiba ya Ugonjwa

_Mtu yeyote ambaye anawajibika
kusafisha damu na kemikali sumu
mwilini ikiwemo mabaki ya uchafu
wa mwili Asidi za uric na bakteria
/ fangasi wanao patikana katika majimaji
yaliyo kwenye viungo vya mwili k**a
Tumbo ,mdomo ,Sehemu za uzazi na
maungio / pingili za mwili .

_ Mtu yeyote ambaye anafikiri kukosa
utimamu wa akili hasa katika ubongo .

_Mtu yeyote ambaye anamesha FANYA
majaribio ya kutosha ya kansa / vimbe
mbalimbali za kwenye mwili za mfumo
nje na ndani katika mwili.

_Mtu yeyote ambaye ameshafanya
upasuaji na matibabu ya chemotherapy
/ mionzi na kuugua Kwa mda mrefu .

Kwa sababu huyu anahitaji msaada wa
vitamins na madini yanayo ukarabati
mwili upya dhidi ya majeraha Kwa
ufanisi mkubwa na tatizo lisilete madhara mengine upya k**a

⬇️ Badiliko la mwili Kuwa na uzito
usiopungua

⬇️ Kupata Vitambi na matumbo
kushuka chini Kwa sababu sumu hizo
huvia katika ini na kupelekea Figo
kufeli ,hali inawafanya wengi kuhudhuria
kliniki ya usafishaji Damu kila wakati

⬇️ Badiliko la mwili kuvimba katika
viungo k**a joint ambazo hukaliwa
na asidi za uric , takamwili zisizo
takiwa katika mwili.

KWA UTATUZI HUU NITAKUPA
TAARIFA KAMILI BAADA YA
KUNUFAIKA NA MATIBABU .

*Mambo muhimu mawili 2 Tu ,Usiyo yajua aina ya vyakula vinavyo upatia mwili kinga na tiba dhidi ya maradhi mbalimbali*Ma...
26/09/2023

*Mambo muhimu mawili 2 Tu ,Usiyo yajua aina ya vyakula vinavyo upatia mwili kinga na tiba dhidi ya maradhi mbalimbali*
Maana ya chakula.....?

👉 Chakula (kifupi cha "kitu cha kula", kutoka kitenzi "kula") ni kile kinacholiwa na watu kwa kudumisha na kustawisha uhai wao. Ni kwamba mwili unahitaji virutubishi, nishati na maji. Hayo yote hupatikana katika chakula.

MACHACHE KUHUSU CHAKULA NI:-

Chakula ni dawa na kinga ya maradhi.
Sababu nyingi za maradhi ,huwezi kuacha kundi la chakula na maandalizi.

Chakula bora ni kile chenye Vitamin na
madini mbalimbali yanayo upatia mwili
Kinga dhidi ya maradhi .

Chakula hiki ni mbogamboga za aina zote na matunda mbalimbali.

SABABU .
Ulaji wa vitamins na madini Lishe hayo
ni tiba mwambata Kwa maradhi na
hujenga uhai wa binadamu .

Kukosekana Kwa vitamins hizo na madini tiba kwa binadamu ishara
za moja kwa moja hufikiwa katika
viungo na mifumo ya mwili Kwa
sababu uwezo wa seli kuratibu
majukumu ya ukarabati seli zinazo
Kufa au kupoteza sifa hutoweka
na ...

kusababisha hitilafu ya afya Kwa binadamu.

Hali hii hutofautisha aina ya matumizi
ya chakula bora Kwa kila mmoja na
tunavyo ishi dhidi ya magonjwa ya
kila siku yasiyo ya kuambukiza.

TIBA
Hakuna tiba nzuri Duniani k**a tiba
iliyo andaliwa kisayansi Kwa teknolojia
ya mizizi ,matunda,mbogamboga ,na
wanyama .

Hapa zipo zilizo wekwa Kwa sampuli
tofauti tofauti za mfumo wa kimiminika
Tembe / nyuzinyuzi za vidonge , na
Unga_unga

NANI ANATUMIA.
_Mtu yeyote ambaye anahitaji kupata
kinga endelevu na tiba ya Ugonjwa

_Mtu yeyote ambaye anawajibika
kusafisha damu na kemikali sumu
mwilini ikiwemo mabaki ya uchafu
wa mwili Asidi za uric na bakteria
/ fangasi wanao patikana katika majimaji
yaliyo kwenye viungo vya mwili k**a
Tumbo ,mdomo ,Sehemu za uzazi na
maungio / pingili za mwili .

_ Mtu yeyote ambaye anafikiri kukosa
utimamu wa akili hasa katika ubongo .

_Mtu yeyote ambaye anamesha FANYA
majaribio ya kutosha ya kansa / vimbe
mbalimbali za kwenye mwili za mfumo
nje na ndani katika mwili.

_Mtu yeyote ambaye ameshafanya
upasuaji na matibabu ya chemotherapy
/ mionzi na kuugua Kwa mda mrefu .

na kinga # vitamini na madini # ukarabati wa seli #

EMBU TEGA SIKIOKwa nini suluhisho/utatuzi wa Stem Cell ni bora kuliko Tiba nyingine ?Stemcell ni seli huru yenye uwezo w...
25/09/2023

EMBU TEGA SIKIO

Kwa nini suluhisho/utatuzi wa Stem Cell ni bora kuliko Tiba nyingine ?

Stemcell ni seli huru yenye uwezo wa kujigawa na kutengeneza aina mbalimbali ya seli mwilini. Kwa nini tunahitaji StemCell!?

Stem cell inaweza Kuzuia na kushughulikia shida nyingi za kiafya kwa wakati Mmoja.
Kwa sababu tu miili yetu imeundwa na SELI na sio madawa.

Kabla ya matibabu ya stem kugundulika Maisha ya kila binadamu yalianza k**a SELI moja (KIJUSI) iliendelea kuongezeka na kutoa SELI, TISHU, na viungo vingine vyote vinavyounda mwili wa binadamu.

Mwili ni mkusanyiko wa SELI. K**a mtu ni mgonjwa maana yake SELI ni dhaifu au hazifanyi kazi vizuri. Kuanzia umri wa 0 hadi 20 STEM CELL huzalisha SELI lakini uanza kuharibika umri wa miaka 21 kwenda juu kutokana na Kiwango Cha seli kinapungua mwilini umri unavyoenda, pia seli zinachoka ama kuharibika, ama kufa kutokana na matumizi ya Vyakula, Vinywaji, Madawa, Mazingira n.k

Dawa utibu dalili na kushukulikia shida moja kwa wakati pia kusababisha shida nyingine za kiafya kwa sababu ya sumu kujilimbikiza mwilini.

TIBA YA STEM CELL inashughulikia matatizo ya kiafya kwenye chanzo chake, katika kiwango cha seli
STEM CELL (seli shina/ kiini mama) hufanya kazi kwa kawida ya ...

1 Hurekebisah seli zilizoharibika.
2. Hurejesha seli zilizokufa.
3. Hutengeneza seli upya
4. Ukinga seli vizuri.
5. Urejesha utendajikazi wa seli vyema

Hivyo basi stem cell inapambana na kujikinga na
magonjwa k**a:

Kisukari
Magonjwa ya figo
Saratani au Kansa
Kiharusi au Stroke
Vidonda vya tumbo
Mangonjwa ya ini
Magonjwa ya moyo
Magonjwa ya mapafu
Matatizo ya uzazi
Siko seli
Kupoteza kumbukumbu
Asthma/Allergies(Pumu)
Matatizo ya mgongo
Uvimbe wa tumboni
Matatizo ya macho
Tezi dume
Matatizo ya misuli
Na mengine mengi

Kabla mgonjwa hajapewa gharama ya dozi ni vema tukafahamu tatizo lake na lina muda gani

UKITUMIA STEM CELL NDANI YA SIKU 90 NA USIPATE MATOKEO, UTARUDISHIWA GHARAMA ZAKO ZOTE ? +255 752758078 /wsp

Imeandaliwa na........kai_afya podcastTelephone 📱 📞 0752758078 Gout Ni Nini ?.😔👉. Gout ni namna moja ya Arthritis, ugonj...
25/09/2023

Imeandaliwa na........kai_afya podcast
Telephone 📱 📞 0752758078

Gout Ni Nini ?.😔

👉. Gout ni namna moja ya Arthritis, ugonjwa ambao hushambulia joints (sehemu za maungio ya mifupa).

👉 Huu ndiyo ugonjwa wa joints ambao huwashambulia sana na kuwapa maumivu makali wanaume.

👉 Wanawake pia huweza kuathirika na ugonjwa huu hasa baada ya kukoma hedhi. Ugonjwa huu huleta maumivu makali ya ghafla, hasa kwenye sehemu linapoanzia dole gumba la mguu.

👉. Dalili za ugonjwa huanza kuonekana pale uric acid, tindikali ambayo huzalishwa na mwili katika ufanyaji kazi wake (ambayo haina manufaa kwa mwili) inapobakia katika viungo vya mwili na katika majimaji ya mwili.

👉. Uric acid iliyoganda (tophi) huweza kujikusanya na kubaki chini ya ngozi inayozunguka joints, huweza pia kujikusanya ndani ya figo na kusababisha kidney stones (namna ya kokoto ndogo ndani ya figo).

👉 Gout inaweza kusababisha madhara ya kudumu kwenye maungio ya mifupa na figo.

👉 Endapo hatua za kuutibu ugonjwa huu hazitachukuliwa kwa muda mrefu (miaka 10 au zaidi), madhara ya kudumu humtokea mgonjwa.
Kai afya podcast ✍️
la ugonjwa wa gout
_ Ushauri whssp joins group / Telegram / Facebook
# Tiba ya kudumu ya Gout /Arthritis / osteoporosis

Note:Kusafisha damu na tindikali kwenye viungo ,ndio kupona maumivu na kukak**aa Kwa Sehemu hizo za viungo vya mwili.

@ 0752758078
KUPATA USHAURI WA TIBA NA MAGONJWA MENGINE ZAIDI .

Gout Ni Nini?😖HAKUNA MATOKEO PASIPO KATATUA CHANZO / KIINI KWA UHARIBIFU WA SELI NA VIUNGO.👉. Gout ni namna moja ya Arth...
24/09/2023

Gout Ni Nini?😖
HAKUNA MATOKEO PASIPO KATATUA CHANZO / KIINI KWA UHARIBIFU WA SELI NA VIUNGO.

👉. Gout ni namna moja ya Arthritis, ugonjwa ambao hushambulia joints (sehemu za maungio ya mifupa).

👉 Huu ndiyo ugonjwa wa joints ambao huwashambulia sana na kuwapa maumivu makali wanaume.

👉 Wanawake pia huweza kuathirika na ugonjwa huu hasa baada ya kukoma hedhi. Ugonjwa huu huleta maumivu makali ya ghafla, hasa kwenye sehemu linapoanzia dole gumba la mguu.

👉. Dalili za ugonjwa huanza kuonekana pale uric acid, tindikali ambayo huzalishwa na mwili katika ufanyaji kazi wake (ambayo haina manufaa kwa mwili) inapobakia katika viungo vya mwili na katika majimaji ya mwili.

👉. Uric acid iliyoganda (tophi) huweza kujikusanya na kubaki chini ya ngozi inayozunguka joints, huweza pia kujikusanya ndani ya figo na kusababisha kidney stones (namna ya kokoto ndogo ndani ya figo).

👉 Gout inaweza kusababisha madhara ya kudumu kwenye maungio ya mifupa na figo.

👉 Endapo hatua za kuutibu ugonjwa huu hazitachukuliwa kwa muda mrefu (miaka 10 au zaidi), madhara ya kudumu humtokea mgonjwa.
Kai afya podcast ✍️
la ugonjwa wa gout
_ Ushauri whssp joins group / Telegram / Facebook
# Tiba ya kudumu ya Gout /Arthritis / osteoporosis

Note:Kusafisha damu na tindikali kwenye viungo ,ndio kupona maumivu na kukak**aa Kwa Sehemu hizo za viungo vya mwili.

@ 0752758078
KUPATA USHAURI WA TIBA NA MAGONJWA MENGINE ZAIDI .

😖Gout Ni Nini?😖HAKUNA MATOKEO PASIPO KATATUA CHANZO / KIINI CHA UGONJWA HUU WA GOUT .👉. Gout ni namna moja ya Arthritis,...
24/09/2023

😖Gout Ni Nini?😖
HAKUNA MATOKEO PASIPO KATATUA CHANZO / KIINI CHA
UGONJWA HUU WA GOUT .

👉. Gout ni namna moja ya Arthritis, ugonjwa ambao hushambulia joints (sehemu za maungio ya mifupa).

👉 Huu ndiyo ugonjwa wa joints ambao huwashambulia sana na kuwapa maumivu makali wanaume.

👉 Wanawake pia huweza kuathirika na ugonjwa huu hasa baada ya kukoma hedhi. Ugonjwa huu huleta maumivu makali ya ghafla, hasa kwenye sehemu linapoanzia dole gumba la mguu.

👉. Dalili za ugonjwa huanza kuonekana pale uric acid, tindikali ambayo huzalishwa na mwili katika ufanyaji kazi wake (ambayo haina manufaa kwa mwili) inapobakia katika viungo vya mwili na katika majimaji ya mwili.

👉. Uric acid iliyoganda (tophi) huweza kujikusanya na kubaki chini ya ngozi inayozunguka joints, huweza pia kujikusanya ndani ya figo na kusababisha kidney stones (namna ya kokoto ndogo ndani ya figo).

👉 Gout inaweza kusababisha madhara ya kudumu kwenye maungio ya mifupa na figo.

👉 Endapo hatua za kuutibu ugonjwa huu hazitachukuliwa kwa muda mrefu (miaka 10 au zaidi), madhara ya kudumu humtokea mgonjwa.
Kai afya podcast ✍️
la ugonjwa wa gout
_ Ushauri whssp joins group / Telegram / Facebook
# Tiba ya kudumu ya Gout /Arthritis / osteoporosis

Note:Kusafisha damu na tindikali kwenye viungo ,ndio kupona maumivu na kukak**aa Kwa Sehemu hizo za viungo vya mwili.

@ 0752758078
KUPATA USHAURI WA TIBA NA MAGONJWA MENGINE ZAIDI .

EMBU TEGA SIKIOKwa nini suluhisho/utatuzi wa Stem Cell ni bora kuliko Tiba nyingine na virutubisho vya vyakula?Stemcell ...
24/09/2023

EMBU TEGA SIKIO

Kwa nini suluhisho/utatuzi wa Stem Cell ni bora kuliko Tiba nyingine na virutubisho vya vyakula?

Stemcell ni seli huru yenye uwezo wa kujigawa na kutengeneza aina mbalimbali ya seli mwilini. Kwa nini tunahitaji StemCell!?

Stem cell inaweza Kuzuia na kushughulikia shida nyingi za kiafya kwa wakati Mmoja.
Kwa sababu tu miili yetu imeundwa na SELI na sio madawa.

Kabla ya matibabu ya stem kugundulika Maisha ya kila binadamu yalianza k**a SELI moja (KIJUSI) iliendelea kuongezeka na kutoa SELI, TISHU, na viungo vingine vyote vinavyounda mwili wa binadamu.

Mwili ni mkusanyiko wa SELI. K**a mtu ni mgonjwa maana yake SELI ni dhaifu au hazifanyi kazi vizuri. Kuanzia umri wa 0 hadi 20 STEM CELL huzalisha SELI lakini uanza kuharibika umri wa miaka 21 kwenda juu kutokana na Kiwango Cha seli kinapungua mwilini umri unavyoenda, pia seli zinachoka ama kuharibika, ama kufa kutokana na matumizi ya Vyakula, Vinywaji, Madawa, Mazingira n.k

Dawa utibu dalili na kushukulikia shida moja kwa wakati pia kusababisha shida nyingine za kiafya kwa sababu ya sumu kujilimbikiza mwilini.

TIBA YA STEM CELL inashughulikia matatizo ya kiafya kwenye chanzo chake, katika kiwango cha seli
STEM CELL (seli shina/ kiini mama) hufanya kazi kwa kawida ya ...

1 Hurekebisah seli zilizoharibika.
2. Hurejesha seli zilizokufa.
3. Hutengeneza seli upya
4. Ukinga seli vizuri.
5. Urejesha utendajikazi wa seli vyema

Hivyo basi stem cell inapambana na kujikinga na
magonjwa k**a:

Kisukari
Magonjwa ya figo
Saratani au Kansa
Kiharusi au Stroke
Vidonda vya tumbo
Mangonjwa ya ini
Magonjwa ya moyo
Magonjwa ya mapafu
Matatizo ya uzazi
Siko seli
Kupoteza kumbukumbu
Asthma/Allergies(Pumu)
Matatizo ya mgongo
Uvimbe wa tumboni
Matatizo ya macho
Tezi dume
Matatizo ya misuli
Na mengine mengi

Kabla mgonjwa hajapewa gharama ya dozi ni vema tukafahamu tatizo lake na lina muda gani

UKITUMIA STEM CELL NDANI YA SIKU 90 NA USIPATE MATOKEO, UTARUDISHIWA GHARAMA ZAKO ZOTE ? +255 752758078 /wsp

CHANZO CHA MAUMIVU YA MIFUPA NA VIUNGIO(shingo,mgongo,miguu,misuli kuvuta)WATU GANI WANAKUA KATIKA HATARI HII .1:wenye u...
23/09/2023

CHANZO CHA MAUMIVU YA MIFUPA NA VIUNGIO
(shingo,mgongo,miguu,misuli kuvuta)
WATU GANI WANAKUA KATIKA HATARI HII .

1:wenye umri mkubwa
2:wana michezo
3:uzito mkubwa
4:wana gym
5:watoto wenye upungufu wa madini chuma na vitamini

SABABU YA MAUMIVU HAYO
Umri unavyozidi kusogea au kukosa madini flani ya kuimarisha mifupa hupelekea mwili hushindwa kuzalisha ute ute (synovial fluid) katika viungo vya mifupa hivyo kupelekea msuguano wa viungo na kusababisha maumivu makali kushindwa kukaa,kuinuka,kukimbia na kutembea

KWANINI KUTOKEA MAUMIVU
1:kulika kwa cartilage
2:upungufu wa synovial fluid(ute)
3:maambukizi ya vijidudu katika viungo k**a (bacteria,fangasi na virusi
4:uzito kua mkubwa
Hivyo basi kwakua umri umeenda au kufanya mazoezi kwa wingi kuna madini yanakua yanapungu au kukosekana kabisa nayo ni

Mifupa yetu imetengenezwa na madini na vitamini mbalimbali navyo ni k**a ifuatavyo
1: Chuma(Fe)
2: Calcium(Ca)
3: Zinc(Zn)
4: Boron(B)
5: Copper
6: Magnesium(Mg)
7: hosphorus(P)
8: otassium(K)

Pamoja na VITAMIN D

Na Suluhisho pekee la Tatizo La Joints ni kutumia Virutubisho(Food Supplements),kwa mwenye tatizo ama kwa wanaofanya mazoezi ili kuongeza huo ute ute kwa lengo la kuzuia misuguano ya joints.

# MIFUPA NA MAUNGIO
# TIBA _USHAURI
# KINGA _TIBA
# KUPANDIKIZA UROTO KWA KUTUMIA UG_CARE PLUS
# VIAMBATA 10 MBALIMBALI

SULUHISHA MGOGORO WA VIUNGO NA MIFUPA ,UONDOKANE NA ATHARI ZA KUWA MLEMAVU .GOUT /OSTEOPOROSIS/RHIMATHOID ARTHRITISMagon...
23/09/2023

SULUHISHA MGOGORO WA VIUNGO NA MIFUPA ,UONDOKANE NA ATHARI ZA KUWA MLEMAVU .

GOUT /OSTEOPOROSIS/RHIMATHOID ARTHRITIS

Magonjwa ya mifupa k**a tulivyoona hapo juu,ni hatarishi hasa kwa watu wenye umri mkubwa,ambapo kiwango cha mifupa kufa ni kikubwa kuliko kiwango cha mifupa inayotengenezwa. Ugonjwa hatarishi k**a Osteoporosis huweza kutibiwa na mgonjwa kupata unafuu kwa kutumia Calcium au Compound Marrow Powder,Multivitamins,Soy Power na Cordyceps.

Tiba ya mgonjwa wa Osteoarthritis ni kwa kutumia dawa ya Joint health,Calcium au
Compound Marrow Powder na Cordyceps.

Kwa mgonjwa mwenye rheumatoid arthritis atalazimika kuongeza propolis capsule ili kuleta msawazo sawia katika afya yake.

Kwa leo tutaishia hapa katika kuielezea tiba ya magonjwa ya mifupa. Unaweza kusoma zaidi kuhusu Magonjwa Ya Mifupa,Magonjwa Ya Maungio Ya Mifupa na Ugonjwa Wa Gout. K**a unasumbuliwa na tatizo lolote la mifupa na unahitaji tiba kutatua tatizo lako,wasiliana nasi kupitia
0752758078 wakati wowote.

es salaam Tanzania
city tower 🗼
# Stemcell transplant therapy.

TIBA KWA AJILI YA KUSAFISHA DAMUFuatana nami katika makala hii na makala mbali mbali,+255 752758078ANORD KALENGE .🍀Tumia...
23/09/2023

TIBA KWA AJILI YA KUSAFISHA DAMU
Fuatana nami katika makala hii na makala mbali mbali,

+255 752758078
ANORD KALENGE .

🍀Tumia dawa hizi👇(1)kitunguu saumu,
(2)Limau,
🍀kitunguu saumu na limau na dawa zinazo julikana kwa uwezo mkubwa wa kusafisha damu, kupunguza lehemu (cholesterol) pamoja na kukaza kuta za mishipa ya damu na kupunguza uwezekano wa kupata maradhi ya mishipa ya damu yanayotokana na uvimbe au mafuta kuganda katika mishipa ya damu,kusafisha mishipa ya damu huondoa sumu ndani ya damu kufaya damu iweze kutembea ndani ya mishipa kwa urahiasi.

Binadamu hutumia njia mbalimbali kusafisha damu, njia za hospital ambazo maranyingi hua zina madhara, au unashauriwa utumie njia za hospital k**a njia ya mwisho iwapo njia zote zimeshindikana.Tiba mbadala za asili hua hazina madhara, Lakini zinahitaji umpate mtu mwenye ujuzi wa tiba hizo akushauri aina ya dawa ya Kutumia vipimo husika na muda wa matumizi ili usidhuru afya yako.

🍀MAJI YA LIMAU NA KITUNGUU SAUMU☘
dawa hii imetumika karne nyingi kutibu kansa.Wanasayansi wamesema kitunguu saumu inazalisha na kuuwa seli mbovu ndani ya damu tukio ambalo linasaidia kwa wagonjwa wa kansa.

🍀MAHITAJI☘
Vitunguu Saumu (4)
Limau (4)
Maji safi lita (3).

MREJESHO TIBA:
Chambua vitunguu saumu na usafishe,
Katakata slesi nyembamba za limau kisha utie katika maji yanayo chemka. kisha yakiwiva ipua acha yapoe, yakishapoa yatoe na usage ktk blender au ponda katika kinu, kisha tia rojo rojo hilo katika jagi kisha mimina yale maji lita (3)ambayo ndio ulio chemshia slesi za limau kisha funika weka katika friji kwa muda wa siku (3),Baada ya siku(3) Itoe dawa hiyo na uichuje kisha rudisha dawa hiyo ndani ya friji

👆MATUMIZI🍀
Tia vijiko (5)🥄vikubwa vya dawa hiyo ndani ya glasi ya maji unywe mara (3)kila siku kabla ya kula chakula. Ila k**a unasafisha mishipa ya damu utaanza na kijiko kimoja au viwili vikubwa mara tatu kila siku,ndipo k**a hutohisi dhiki uongeze idadi ya vijiko kadri siku zinazvyoongezeka mpaka ufikie vijiko vitano. Dawa hii👆utumie kwa muda wa siku arobaini mfululizo na baada ya siku arobaini iwe unatumia Mara moja kwa kila mwaka.

MATOKEO:
Damu yako itarudi kuwa nyepesi na mzunguuko wa damu salama .

Magonjwa ya mifupa k**a tulivyoona hapo juu,ni hatarishi hasa kwa watu wenye umri mkubwa,ambapo kiwango cha mifupa kufa ...
23/09/2023

Magonjwa ya mifupa k**a tulivyoona hapo juu,ni hatarishi hasa kwa watu wenye umri mkubwa,ambapo kiwango cha mifupa kufa ni kikubwa kuliko kiwango cha mifupa inayotengenezwa. Ugonjwa hatarishi k**a Osteoporosis huweza kutibiwa na mgonjwa kupata unafuu kwa kutumia Calcium au Compound Marrow Powder,Multivitamins,Soy Power na Cordyceps.

Tiba ya mgonjwa wa Osteoarthritis ni kwa kutumia dawa ya Joint health,Calcium au
Compound Marrow Powder na Cordyceps.

Kwa mgonjwa mwenye rheumatoid arthritis atalazimika kuongeza propolis capsule ili kuleta msawazo sawia katika afya yake.

Kwa leo tutaishia hapa katika kuielezea tiba ya magonjwa ya mifupa. Unaweza kusoma zaidi kuhusu Magonjwa Ya Mifupa,Magonjwa Ya Maungio Ya Mifupa na Ugonjwa Wa Gout. K**a unasumbuliwa na tatizo lolote la mifupa na unahitaji tiba kutatua tatizo lako,wasiliana nasi kupitia 0752758078 wakati wowote.

*SULUHISHO LA JINO SIYO KUNG'OA.* *RUDISHA TABASAMU LAKO KWA KUTUMIA DR TS.* *BILA KUNG'OA JINO* Dr.Ts natural herbal to...
22/09/2023

*SULUHISHO LA JINO SIYO KUNG'OA.* *RUDISHA TABASAMU LAKO KWA KUTUMIA DR TS.* *BILA KUNG'OA JINO*

Dr.Ts natural herbal toothpaste ni dawa ya meno ambayo imetengenezwa na mimea ya asili na Salama kwa afya ya mtumiaji ambayo ni;
1️⃣Panax notoginseng
2️⃣Green tea (majani chai)
3️⃣Lonicera japonic

KWA_WENYE_MATATIZO_YA_MENO K**A;

1️⃣Kutoa harufu mbaya mdomoni.
2️⃣.Meno kuwa ya njano
3️⃣.Kuoza kwa meno
4️⃣.Meno kuwa ya brown
5️⃣.Kutokwa damu kwenye fizi na kuvimba fizi.
6️⃣. Inasaidia kuua wadudu
Kwa kutumia dawa ya meno hii basi matatizo yako ya meno *yataisha kabisa na kukulejeshea* tabasamu lako.

*FAIDA ZA DR TS TOOTHPASTE:*
👉🏾Hung'arisha meno.
👉🏾Huimarisha meno na fizi
👉🏾Huondoa tatizo la kutokwa damu wakati wa kufanya usafi wa kinywa.
👉🏾Huwafaa watu wanaosumbuliwa na meno
👉🏾Huondoa tatizo la kutokwa damu kwenye fizi na meno
👉🏾Hutibu tatizo la meno kumeguka meguka
👉🏾Huondoa tatizo la meno kutingishika mara kwa mara
👉🏾Huondoa bacteria hatarishi katika kinywa
👉🏾Hulinda kinywa kisipatwe na magonjwa hatarishi
👉🏾Huondoa tatizo la harufu kinywani
👉🏾Huwafaa watu wenye ukungu/meno kuoza
👉🏾Hukinga kinywa dhidi ya saratani
👉🏾Huodoa uchakavu wa meno
👉🏾Huwafaa watu wenye tatizo la mabakabaka katika ulimi(Geographic tongue)
👉🏾Ni ssuluhisho kwa watu waopata vidonda kinywani nk.

*NI ASILI NA SALAMA KWA AFYA BORA YA KINYWA NA MENO*.

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255752758078

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AIK physiology posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to AIK physiology:

Videos

Share