Mkuki na Nyota Publishers

Mkuki na Nyota Publishers Most prolific publishing house in Tanzania. Based in Africa and taking our ideas and voices worldwid

Through our work we aim to encourage and develop a culture of reading in Tanzania, as well as nurturing indigenous literature as a method of preserving and sharing stories. Our Books are distributed all over Tanzania and are available in bookshops throughout East Africa. African Books Collective (ABC) is our main distributor in Europe and North America. In addition, MNP books are available through

a variety on online resellers including: Amazon; Barnes & Noble; Nook; Foyles; Kalahari; Lightning Source (UK and US); and Gardners (UK).

Je, fasihi inaweza kubadilisha dunia? Njoo ufahamu kwa namna gani kwenye usiku wa majadiliano na chemsha bongo ya fasihi...
24/01/2025

Je, fasihi inaweza kubadilisha dunia? Njoo ufahamu kwa namna gani kwenye usiku wa majadiliano na chemsha bongo ya fasihi. Jiunge nasi Alhamis ya kwanza ya Februari katika kalam salaam ya kipekee yenye burudani na zawadi kemkem. Na k**a utapenda kutoa salaam, kipaza huru nacho kipo kwa ajili yako. Unaanzaje kukosa?
 
Hii ni sehemu ya FEF CREATION AFRICA TANZANIA.Tunawashukuru Ubalozi wa Ufaransa nchini Tanzania () na Alliance Française ya Dar es Salaam () kwa kuunga mkono mradi wetu chini ya FEF Creation Africa Project. Endelea kufuatilia na jiunge nasi kwa habari zaidi.
Tembelea washirika wetu hapa chini kujifunza zaidi kuhusu miradi yao:













Kitabu hiki maarufu kinasimulia kwa kina ajali mbaya iliyokatisha ghafla maisha ya Ndugu Edward Moringe Sokoine, kupitia...
09/01/2025

Kitabu hiki maarufu kinasimulia kwa kina ajali mbaya iliyokatisha ghafla maisha ya Ndugu Edward Moringe Sokoine, kupitia maelezo ya mashuhuda wa tukio hilo na hata uvumi uliosambaa baada ya kifo chake. Kupitia kitabu hiki utafahamu maisha ya kiongozi huyu shupavu—alipotokea, familia yake, na urithi aliouacha k**a Waziri Mkuu wa Tatu wa Tanzania. Kila ukurasa ni daraja la kukupeleka kwenye ulimwengu wake, changamoto zake, na mchango wake kwa taifa.

Hii ni zaidi ya simulizi; ni sehemu ya historia iliyosahaulika na sasa kufufuliwa tena kitabuni!

Wasiliana na duka lako pendwa la vitabu upate nakala yako ili uweze kusafiri kurudi nyuma na ushuhudie historia hii ya kusisimua! 📖✨💫

Kitabu kuinapatika:

- Slipway
- Mlimani, Oysterbay & Airport (Terminal 3)
- Mbezi Beach, UDSM, Palm Village, & K/koo




Cheers to a season of warmth and togetherness. May this festive season bring new opportunities and blessings to you and ...
24/12/2024

Cheers to a season of warmth and togetherness. May this festive season bring new opportunities and blessings to you and your loved ones. Happy Holidays.

#

We are beyond thrilled to be named Brittle Paper's 2024 Publisher of the Year! 🎉 This achievement wouldn't have been pos...
19/12/2024

We are beyond thrilled to be named Brittle Paper's 2024 Publisher of the Year! 🎉 This achievement wouldn't have been possible without the dedication of our incredible team and the unwavering support of our readers. Thank you for believing and supporting us!   Here's to more stories that inspire and ignite the flame that connects us all.. 📚✨

To read the whole article, visit: https://brittlepaper.com/2024/12/tanzanian-publisher-mkuki-na-nyota-is-championing-kiswahili-literature-on-the-global-stage/

"

13/12/2024
Ingia sasa kwenye tovuti yetu:  www.mkukinanyota.com upate punguzo la hadi 25% Ofa hii ni mpaka tarehe 6/1/2025. Usiache...
06/12/2024

Ingia sasa kwenye tovuti yetu: www.mkukinanyota.com upate punguzo la hadi 25%

Ofa hii ni mpaka tarehe 6/1/2025. Usiache ikupite!

Na hivi ndivyo tulivyohitimisha Kalam Salaam ya mwaka huu. Shukrani za dhati kwenu wadau wetu mlioshirikiana nasi katika...
06/12/2024

Na hivi ndivyo tulivyohitimisha Kalam Salaam ya mwaka huu. Shukrani za dhati kwenu wadau wetu mlioshirikiana nasi katika kuadhimisha fasihi ya Kiswahili na utamaduni wetu.

Tukutane tena mwakani tukiwa na hamasa kubwa zaidi ili tuzidi kuipeperusha lugha yetu adhimu duniani.

Hii ni sehemu ya FEF CREATION AFRICA TANZANIA.
Tunawashukuru Ubalozi wa Ufaransa nchini Tanzania () na
Alliance Française ya Dar es Salaam () kwa kuunga mkono mradi wetu chini ya FEF Creation Africa Project.
Endelea kufuatilia na jiunge nasi kwa habari zaidi.
Tembelea washirika wetu hapa chini kujifunza zaidi kuhusu miradi yao:












Siku imewadia! 🎉Milango ya  itakuwa wazi kuanzia saa 12 jioni. Kundi la Waka Waka litatumbuiza wakisindikizwa na wasanii...
05/12/2024

Siku imewadia! 🎉

Milango ya itakuwa wazi kuanzia saa 12 jioni. Kundi la Waka Waka litatumbuiza wakisindikizwa na wasanii wengine wengi katika kipaza huru. Washindi watatu wa kipaza huru watapatiwa zawadi ya kufunga mwaka kutoka kwa Mkuki na Nyota Publishers. Unaanzaje kukosa?

Hii ni sehemu ya FEF CREATION AFRICA TANZANIA.
Tunawashukuru Ubalozi wa Ufaransa nchini Tanzania () na
Alliance Française ya Dar es Salaam () kwa kuunga mkono mradi wetu chini ya FEF Creation Africa Project.
Endelea kufuatilia na jiunge nasi
kwa habari zaidi.
Tembelea washirika wetu hapa chini kujifunza zaidi kuhusu miradi yao:













Sherehekea utamaduni wa Kiswahili kwa mchanganyiko wa mashairi, muziki, dansi, na zaidi! Jiunge nasi kwa sherehe ya mwis...
30/11/2024

Sherehekea utamaduni wa Kiswahili kwa mchanganyiko wa mashairi, muziki, dansi, na zaidi! Jiunge nasi kwa sherehe ya mwisho wa mwaka na usiku wa kipaza huru wa kipekee! Jifunze jinsi sanaa mbalimbali zinavyochangia na kuimarisha mila na desturi zetu.
Scan namba ya QR kujiandikisha kushiriki Kipaza Huru kabla ya Jumatano, Desemba 4, 2024.

Hii ni sehemu ya FEF CREATION AFRICA TANZANIA.
Tunawashukuru Ubalozi wa Ufaransa nchini Tanzania () na
Alliance Française ya Dar es Salaam () kwa kuunga mkono mradi wetu chini ya FEF Creation Africa Project.
Endelea kufuatilia na jiunge nasi
kwa habari zaidi.
Tembelea washirika wetu hapa chini kujifunza zaidi kuhusu miradi yao:













“Nina furaha kwamba tumezindua rasmi kitabu cha historia na falsafa ya Mwenge wa Uhuru, kinachoelezea misingi na histori...
16/10/2024

“Nina furaha kwamba tumezindua rasmi kitabu cha historia na falsafa ya Mwenge wa Uhuru, kinachoelezea misingi na historia ya mwenge huu. Tunamshukuru Hayati Balozi Job Lusinde kwa kutuachia kumbukumbu hii adhimu, Mwenyezi Mungu amrehemu mzalendo wetu huyu. Nawashukuru wote waliowezesha kitabu hiki kukamilika. Kupitia kitabu hiki tunapata kufahamu namna ambavyo Mwenge wa Uhuru ulivyoasisiwa na jinsi ulivyoendelea kuangazia maisha ya Watanzania katika nyakati tofauti za mapito ya Taifa letu”

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tunayofuraha kukukaribisha kwenye uzinduzi wa kitabu cha historia na falsafa ya mwenge wa uhuru kilichoandikwa na Job M....
14/10/2024

Tunayofuraha kukukaribisha kwenye uzinduzi wa kitabu cha historia na falsafa ya mwenge wa uhuru kilichoandikwa na Job M. Lusinde. Kitazinduliwa na Mhe. Dr. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano WA Tanzania.

Uzinduzi huu unafanyika katika uwanja wa michezo CCM Kirumba, Mwanza. Tupo karibu na Banda la Waziri Mkuu.

Usisahau kujisajili! Kumbuka, wahudhuriaji ni wale waliosajiliwa tu. Tujumuike kuanzia saa 10 jioni hadi saa 12 jioni pa...
02/10/2024

Usisahau kujisajili! Kumbuka, wahudhuriaji ni wale waliosajiliwa tu. Tujumuike kuanzia saa 10 jioni hadi saa 12 jioni palepale Alliance Francaise. Tunakuahidi maarifa lukuki na burudani murua. Usikose!

Tunawaita wapenzi wote wa fahisi kwenye Kalam Salaam ya mwezi Oktoba. Jiunge nasi kwenye warsha ya Nguvu ya Simulizi ugu...
28/09/2024

Tunawaita wapenzi wote wa fahisi kwenye Kalam Salaam ya mwezi Oktoba. Jiunge nasi kwenye warsha ya Nguvu ya Simulizi ugundue jinsi ya kubuni simulizi za kuvutia na kutengeneza wahusika wasioweza kusahaulika! Nafasi ni chache. Jiandikishe sasa ili uhifadhiwe nafasi!

Umechoka na hadithi za kawaida? Jiunge nasi katika warsha ya Nguvu ya Simulizi na ugundue mwandishi aliye ndani yako! Ji...
26/09/2024

Umechoka na hadithi za kawaida? Jiunge nasi katika warsha ya Nguvu ya Simulizi na ugundue mwandishi aliye ndani yako! Jifunze mbinu za kuandika hadithi zinazogusa mioyo. Viti ni vichache, jisajili sasa ili uhakikishe nafasi yako!

We are pleased to announce that Mkuki Na Nyota is participating in the Nairobi International Book Fair 2024. Visit us at...
24/09/2024

We are pleased to announce that Mkuki Na Nyota is participating in the Nairobi International Book Fair 2024. Visit us at booths 117 & 118 to explore our diverse selection of publications, including children’s books, political titles, language resources, and general literature. We look forward to connecting with fellow bibliophiles in Nairobi.

Ni majira ya alasiri, kiasi cha saa tisa hivi, siku ya Alhamisi, Aprili 12, 1984. Ghafla Redio Tanzania Dar es Salaam (R...
23/09/2024

Ni majira ya alasiri, kiasi cha saa tisa hivi, siku ya Alhamisi, Aprili 12, 1984. Ghafla Redio Tanzania Dar es Salaam (RTD - sasa TBC), redio ya taifa na pekee Tanzania Bara wakati ule, inakatisha matangazo ya vipindi vyake vya kawaida, na Wimbo wa Taifa, Mungu Ibariki Tanzania, unapigwa. Wimbo unamalizika, na sauti iliyozoeleka sana kwa wananchi, lakini zamu hii ikiwa na utulivu mkubwa, inaanza kuelezea taratibu, polepole, tena kwa kituo na majonzi makubwa, ikisema: “Ndugu wananchi, leo mnamo saa saba mchana, ndugu yetu na kijana wetu, Edward Moringe Sokoine, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alipokuwa anarudi Dar es Salaam kutoka Dodoma, gari yake ilipata ajali. Amefariki dunia.”

Ghafla, siku iliyokuwa ya kawaida kabisa, watu wakiendelea na Maisha yao na kazi zao na matani yao, ukiwamo utani wa kandanda wa Simba na Yanga, ikawa siku ya msiba mkubwa. Kitabu hiki kinakusafirisha hadi kwenye eneo la ajali iliyokatisha uhai wa kiongozi huyu shupavu, na kinatoa maelezo ya mashuhuda wa ajali hiyo na hata uvumi uliosambaa baada ya kifo chake. Kwa upana wake, kitabu hiki kitakufahamisha maisha halisi ya Hayati Edward Moringe Sokoine, Waziri Mkuu wa tatu wa Tanzania; alikotokea, familia yake na uongozi wake.

The best of a book is not the thought which it contains, but the thought which it suggests; just as the charm of music d...
23/09/2024

The best of a book is not the thought which it contains, but the thought which it suggests; just as the charm of music dwells not in the tones but in the echoes of our hearts.

Don’t miss the Zoom launch of Voice of Agony (Sauti za Dhiki) by Abdilatif Abdalla, now available in English. This landm...
19/09/2024

Don’t miss the Zoom launch of Voice of Agony (Sauti za Dhiki) by Abdilatif Abdalla, now available in English. This landmark translation offers you a rare glimpse into a profound collection of poetry written during Abdilatif Abdalla’s imprisonment in the late 1960s and early 1970s.

Voice of Agony provides not only a beautifully rendered English version of these impactful poems but also reveals their compelling backstory—Abidalatif Abdalla’s arrest at 22, the cultural and historical context of his work, and its ties to significant prison literature.

Join us on Zoom tomorrow for this engaging discussion.

Address

24 Samora Avenue
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 13:00

Telephone

+255676558448

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mkuki na Nyota Publishers posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mkuki na Nyota Publishers:

Videos

Share

Category