Kama utakuwa msikilizaji mzuri wa muziki utakuwa umeisikiliza wimbo wa Asina kutoka kwa #Tundaman huu wimbo ulitungwa zamani huko mwaka 2002 na ndio ulikuwa wimbo wake @tundamantz wa kwanza, Na ameamua kuurudia kwenye Kompa Version ikiwa ni moja ya wazo alilopewa na King @officialalikiba
🎤 | @official_tannah_
Cc | @filyfilbert
Usikose kutazama #SpotLight kila siku kuanzia Saa 12:00 jioni, Jumatatu mpaka ljumaa ndani ya @STBongoTV kupitia kisimbuzi cha STarTimesTZ CH 161 (antena) CH 401 (Dish)
#STBongoUPDATES #NyumbaniKwanza
Kwa uwezo mkubwa alionao @abigail_chams wakuweza kuimba na kupiga aina mbalimbali za vyombo vya muziki itakua ni kumkosea heshima kumuita msanii maana yeye ni full package ya mwanamuziki.
🎤 | @official_tannah_
Cc | @filyfilbert
Usikose kutazama #SpotLight kila siku kuanzia Saa 12:00 jioni, Jumatatu mpaka ljumaa ndani ya @STBongoTV kupitia kisimbuzi cha STarTimesTZ CH 161 (antena) CH 401 (Dish)
#STBongoUPDATES #NyumbaniKwanza
"Ushauri kwa wasanii tusimsahau Mungu hata kama tunaimba tutenge muda wa kumkumbuka Mungu" @tundamantz
🎤 | @official_tannah_
Cc | @filyfilbert
Usikose kutazama #SpotLight kila siku kuanzia Saa 12:00 jioni, Jumatatu mpaka ljumaa ndani ya @STBongoTV kupitia kisimbuzi cha STarTimesTZ CH 161 (antena) CH 401 (Dish)
#STBongoUPDATES #NyumbaniKwanza
Kama ulikuwa hujui msanii @tundamantz afunguka leo ndani ya #Spotlight kuwa yeye ni mtu wa Morogoro na Album yake ambayo anategemea kuitoa mwaka huu ataenda kuizindulia huko.
🎤 | @official_tannah_
Cc | @filyfilbert
Usikose kutazama #SpotLight kila siku kuanzia Saa 12:00 jioni, Jumatatu mpaka ljumaa ndani ya @STBongoTV kupitia kisimbuzi cha STarTimesTZ CH 161 (antena) CH 401 (Dish)
#STBongoUPDATES #NyumbaniKwanza
Moja ya show kubwa iliyofanyika wiki iliyopita ni hii hapa kutoka kwa Madam President in the rap game @fridaamaniofficial na hii ni moja ya vitu vinavyoendelea kuthibitisha ukubwa wake kwenye tasnia ya muziki wa rap.
🎤 | @official_tannah_
Cc | @filyfilbert
Usikose kutazama #SpotLight kila siku kuanzia Saa 12:00 jioni, Jumatatu mpaka ljumaa ndani ya @STBongoTV kupitia kisimbuzi cha STarTimesTZ CH 161 (antena) CH 401 (Dish)
#STBongoUPDATES #NyumbaniKwanza
Kutoka kwa @mc_petit_ anadai moja ya vitu vilivyomshangaza katika jiji la Arusha ni kukutana na mabinti warembo lakini wana kauli na sauti za maBroo (akimaanisha wanaume au wakaka).
Kwako ni jambo gani lilikushangaza kutoka kwa wadada wa jiji la Arusha..?
Cc | @sechelela_seche @kevinlameck @mc_petit_
#TheBantu
Kila siku Jumatatu mpaka Ijumaa Kuanzia saa 10 Kamili mpaka 12 Jioni ndani ya @stbongotv kupitia kisimbuzi cha @startimestz CH 161(antena) CH 401 (Dish) na YouTube Channel yetu ya #STBongoTV
#STBongoUPDATES #TheBantuSTBongo
Yanayojiri ndani ya ndoa waachieni waliopo ndani ya ndoa, Hakuna mwanamke anayependa kuwa single mama, Mtumishi wa Mungu @bahatibukuku_tz atoa angalizo kwa mabinti wasije kuwadharau single mama.
Usikose kutazama kipindi cha #TheSpirit ndani ya #STBongoTV kupitia kisimbuzi cha @startimestz CH 161 (antena) CH 401 (Dish) Kila jumapili saa 3:00 Asubuhi.
🎤 | @calorinyfrancis.
#TheSpiritSTBongo
"Kujipamba unapoenda kanisani hakuna shida ila kusipitilize" @bahatibukuku_tz
Usikose kutazama kipindi cha #TheSpirit ndani ya #STBongoTV kupitia kisimbuzi cha @startimestz CH 161 (antena) CH 401 (Dish) Kila jumapili saa 3:00 Asubuhi.
🎤 | @calorinyfrancis.
#TheSpiritSTBongo
Mtumishi wa Mungu @bahatibukuku_tz aelezea kiundani sana na amekanusha kuwa malezi mabaya ya watoto yanachangiwa na Single mama kama wengi wanavyodhani
Usikose kutazama kipindi cha #TheSpirit ndani ya #STBongoTV kupitia kisimbuzi cha @startimestz CH 161 (antena) CH 401 (Dish) Kila jumapili saa 3:00 Asubuhi.
🎤 | @calorinyfrancis.
#TheSpiritSTBongo
Kama unaujua wimbo wa #DuniaHainaHuruma kutoka kwa mtumishi wa Mungu @bahatibukuku_tz hii ndio sababu za kuimba huo wimbo.
Usikose kutazama kipindi cha #TheSpirit ndani ya #STBongoTV kupitia kisimbuzi cha @startimestz CH 161 (antena) CH 401 (Dish) Kila jumapili saa 3:00 Asubuhi.
🎤 | @calorinyfrancis.
#TheSpiritSTBongo
Mfahamu mtumishi wa Mungu #PaulaWhite mchungaji aliyepata kibali ndani ya ikulu ya Trump mwaka huu kama mfanya kazi wa serikali na mshahuri wa rais katika ofisi mpya ya Imani ya kikristo white House.
Usikose kutazama kipindi cha #TheSpirit ndani ya #STBongoTV kupitia kisimbuzi cha @startimestz CH 161 (antena) CH 401 (Dish) Kila jumapili saa 3:00 Asubuhi.
🎤 | @calorinyfrancis.
#TheSpiritSTBongo
Baada ya video ya wahumini wa kanisa la mfalme Zumaridi kubadili jina la Yesu na kuweka jina la Zumaridi kwenye wimbo wa mtumishi wa Bwana @ashleynassary #SinaJinaLingine mtunzi wa wimbo huo alikuwa na haya yakusema.
Usikose kutazama kipindi cha #TheSpirit ndani ya #STBongoTV kupitia kisimbuzi cha @startimestz CH 161 (antena) CH 401 (Dish) Kila jumapili saa 3:00 Asubuhi.
🎤 | @calorinyfrancis.
#TheSpiritSTBongo