Daaah, kwanini sharubati (juuce) ya miwa na ndimu lakini?? 😅
Kwa mwenye uhitaji wa Dua, Dawa na hata Ushauri, unaweza kuwasiliana na Sheikh YUSSUF DIWANI kwa namba 0712 316 222 au 0756 634 277.
Anapatika MBAGALA KIZUIANI Barabara ya Jeshini.
#hatuaupdate #trending #loveaffair
Full Video ipo YouTube ya HATUA TV
ANGALIA MPAKA MWISHO UTASHANGAA KUIJUA SIRI HII
Utashangaa kuijua siri hii ya mafanikio iliyojificha kwenye namba zinazoendana na jina lako. @sheikh_yusuf_diwan afafanua kiundani namna ya kufungua mafanikio yako kwa namna ya kipekee sana.
FULL VIDEO TAYARI IPO YOUTUBE YA @hatuatv
#hatuaupdates
Maneno mazito ya @mr_manyonga mapema kabla ya kugana rasmi na ubachela na kwenda kuchukua jiko. Amezungumza kwa urefu na akimuhusia mke wake juu ya mambo ya msingi kuyazingatia ili kuijenga ndoa yenye ngozo na msingi imara.
.
Hongera sana @mr_manyonga , nasi kama @hatuatv tunakutakia kila lenye heri kwenye ndoa yako. Video kamili tumekuwekea YouTube.
.
#hatuaupdates #supportourown #love #loveaffairs #ourlife #ourmoments
TAZAMA HII MPAKA MWISHO
Maneno mazito ya @mr_manyonga mapema kabla ya kugana rasmi na ubachela na kwenda kuchukua jiko. Amezungumza kwa urefu na akimuhusia mke wake juu ya mambo ya msingi kuyazingatia ili kuijenga ndoa yenye ngozo na msingi imara.
.
Hongera sana @mr_manyonga , nasi kama @hatuatv tunakutakia kila lenye heri kwenye ndoa yako. Video kamili tumekuwekea YouTube.
.
#hatuaupdates #supportourown #love #loveaffairs #ourlife #ourmoments
ITAKUTOA MACHOZI
Aunty Ezekiel amlilia Wema Sepetu apate ndoa na mtoto
UJUMBE WA WEMA SEPETU KWA HAMISA MOBETTO SIKU YA NDOA YAKE
Ujumbe wa Wema Sepetu kwa Hamisa Mobetto siku ya ndoa yake wagusa hisia za watu
MAPYA YAIBUKA MANGE KIMAMBI NA DIAMOND
Mange amuweka pabaya Diamond Platnumz tazama mapya yaliyojitokeza kisa video chafu akiwa na mwanamke faragha
ZUCHU AMEGOMA?
Diamond Platnumz akwaa kisiki Zuchu akataa unyonge, msamaha wake wagonga mwamba
ILA MWIJAKU....
Mwijaku aushangaza ulimwengu kwa alichokifanya kwa Diamond Platnumz
UTASHANGAA..
Mama mzazi afunguka mazito uchawi wa mwanae kuishi na mamba ndani kwenye chumba cha siri