Tz football news

  • Home
  • Tz football news

Tz football news FOOTBALL AGENT. PLAYERS AGENT.

VIWANJA NBC PREMIERE LEAGUE HALI TETE:Ligi yetu tunasema ni ya nne AFRIKA lakini viwanja vyetu haviakisi kabisa hayo maf...
28/02/2025

VIWANJA NBC PREMIERE LEAGUE HALI TETE:

Ligi yetu tunasema ni ya nne AFRIKA lakini viwanja vyetu haviakisi kabisa hayo mafanikio. Picha hio ni mchezo wa mchana huu kati ya Tabora utd na Dodoma Jiji. Tabora wapo mbele kwa bao moja lkn jakustahajabisha ni hali ya uwanjwa kukosa sifa lakini mpira unachezwa hivo hivo.

Waliofurahi sio mashabiki wa azam?😁😁😁
24/02/2025

Waliofurahi sio mashabiki wa azam?😁😁😁

🚨DROO HATUA YA ROBO FAINALI KLABU BINGWA AFRIKA IMEKAMILIKA
20/02/2025

🚨DROO HATUA YA ROBO FAINALI KLABU BINGWA AFRIKA IMEKAMILIKA

 itaanzia ugenini dhidi ya Al Masry ya Misri. Kwa maoni yako Mnyama ataroboa? Drop your comment 👇👇👇👇👇
20/02/2025

itaanzia ugenini dhidi ya Al Masry ya Misri. Kwa maoni yako Mnyama ataroboa?

Drop your comment 👇👇👇👇👇

FTYANGA 2-1 SINGIDA BS
17/02/2025

FT
YANGA 2-1 SINGIDA BS

FT:KMC 1-6 YANGA SC
14/02/2025

FT:
KMC 1-6 YANGA SC

Wananchi wameshaanza kununua makoti kileleni kabaridi kameanza
06/02/2025

Wananchi wameshaanza kununua makoti kileleni kabaridi kameanza

HT,YANGA 0 VS 2 TABORA UNITED
07/11/2024

HT,
YANGA 0 VS 2 TABORA UNITED

K**a mlivyosikia na kuona. Kimoja tu kimedumu Dk 90. Ligi imeanza kuchangamka.
02/11/2024

K**a mlivyosikia na kuona. Kimoja tu kimedumu Dk 90. Ligi imeanza kuchangamka.

SIMBA AMEKUFA TENA. YANGA WAMEENDELEZA UBABE WAO TENA LEO. TUKUTANE TENA MWAKANI KATIKA DABI NYINGINE.
19/10/2024

SIMBA AMEKUFA TENA. YANGA WAMEENDELEZA UBABE WAO TENA LEO. TUKUTANE TENA MWAKANI KATIKA DABI NYINGINE.

Huyu mwamba anatisha vibaya mno akiamka sawa sawa kutakua na kazi nzito ya kufanya kumthibiti.
19/10/2024

Huyu mwamba anatisha vibaya mno akiamka sawa sawa kutakua na kazi nzito ya kufanya kumthibiti.

Mwamba wa Wagadugu akiwa kwenye ubora wake anafunga na kuassist. Wakuchungwa sana.
19/10/2024

Mwamba wa Wagadugu akiwa kwenye ubora wake anafunga na kuassist. Wakuchungwa sana.

KIBU D MKANDAJIKwa asilimia fulani Kibu D Mkandaji amerudi kwenye ubora wake speed, energy ya kutosha dribbling yake, ku...
19/10/2024

KIBU D MKANDAJI
Kwa asilimia fulani Kibu D Mkandaji amerudi kwenye ubora wake speed, energy ya kutosha dribbling yake, kupanda na kushuka anamudu vizuri sana. Siku ya leo atakua tishio kwenye safu ya ulinzi ya yanga.

Naombeni mnikumbuse Ateba alisemaje kuhusu derby?😁😁😁
19/10/2024

Naombeni mnikumbuse Ateba alisemaje kuhusu derby?😁😁😁

PACOME Vs DEBORANani ataamua mechi ya leo kati yao?
19/10/2024

PACOME Vs DEBORA

Nani ataamua mechi ya leo kati yao?

Stars kufungwa sio story. Story ingekua Stars kuifunga Congo 🇨🇩 tena ugenini.
10/10/2024

Stars kufungwa sio story. Story ingekua Stars kuifunga Congo 🇨🇩 tena ugenini.

Hii game 50/50 inawsza ikatoka sare ya bila kufungana.
10/10/2024

Hii game 50/50 inawsza ikatoka sare ya bila kufungana.

KWANI UBISHI UNAENDELEA HUKO MTAANI WA NANI BORA?
05/10/2024

KWANI UBISHI UNAENDELEA HUKO MTAANI WA NANI BORA?

Address


Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tz football news posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Tz football news:

Shortcuts

  • Address
  • Alerts
  • Contact The Business
  • Claim ownership or report listing
  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share