Tz football news

  • Home
  • Tz football news

Tz football news FOOTBALL AGENT. PLAYERS AGENT.

Wananchi wameshaanza kununua makoti kileleni kabaridi kameanza
06/02/2025

Wananchi wameshaanza kununua makoti kileleni kabaridi kameanza

HT,YANGA 0 VS 2 TABORA UNITED
07/11/2024

HT,
YANGA 0 VS 2 TABORA UNITED

K**a mlivyosikia na kuona. Kimoja tu kimedumu Dk 90. Ligi imeanza kuchangamka.
02/11/2024

K**a mlivyosikia na kuona. Kimoja tu kimedumu Dk 90. Ligi imeanza kuchangamka.

SIMBA AMEKUFA TENA. YANGA WAMEENDELEZA UBABE WAO TENA LEO. TUKUTANE TENA MWAKANI KATIKA DABI NYINGINE.
19/10/2024

SIMBA AMEKUFA TENA. YANGA WAMEENDELEZA UBABE WAO TENA LEO. TUKUTANE TENA MWAKANI KATIKA DABI NYINGINE.

Huyu mwamba anatisha vibaya mno akiamka sawa sawa kutakua na kazi nzito ya kufanya kumthibiti.
19/10/2024

Huyu mwamba anatisha vibaya mno akiamka sawa sawa kutakua na kazi nzito ya kufanya kumthibiti.

Mwamba wa Wagadugu akiwa kwenye ubora wake anafunga na kuassist. Wakuchungwa sana.
19/10/2024

Mwamba wa Wagadugu akiwa kwenye ubora wake anafunga na kuassist. Wakuchungwa sana.

KIBU D MKANDAJIKwa asilimia fulani Kibu D Mkandaji amerudi kwenye ubora wake speed, energy ya kutosha dribbling yake, ku...
19/10/2024

KIBU D MKANDAJI
Kwa asilimia fulani Kibu D Mkandaji amerudi kwenye ubora wake speed, energy ya kutosha dribbling yake, kupanda na kushuka anamudu vizuri sana. Siku ya leo atakua tishio kwenye safu ya ulinzi ya yanga.

Naombeni mnikumbuse Ateba alisemaje kuhusu derby?😁😁😁
19/10/2024

Naombeni mnikumbuse Ateba alisemaje kuhusu derby?😁😁😁

PACOME Vs DEBORANani ataamua mechi ya leo kati yao?
19/10/2024

PACOME Vs DEBORA

Nani ataamua mechi ya leo kati yao?

Stars kufungwa sio story. Story ingekua Stars kuifunga Congo 🇨🇩 tena ugenini.
10/10/2024

Stars kufungwa sio story. Story ingekua Stars kuifunga Congo 🇨🇩 tena ugenini.

Hii game 50/50 inawsza ikatoka sare ya bila kufungana.
10/10/2024

Hii game 50/50 inawsza ikatoka sare ya bila kufungana.

KWANI UBISHI UNAENDELEA HUKO MTAANI WA NANI BORA?
05/10/2024

KWANI UBISHI UNAENDELEA HUKO MTAANI WA NANI BORA?

Kocha wa Simba Sc Fadlu tayari amelichukua file la Feisal, anamuhitaji dirisha dogo ili kuongeza nguvu eneo la ushambuli...
28/09/2024

Kocha wa Simba Sc Fadlu tayari amelichukua file la Feisal, anamuhitaji dirisha dogo ili kuongeza nguvu eneo la ushambuliaji.

El Zamalek bingwa mpya wa CAF SUPER CUP.
27/09/2024

El Zamalek bingwa mpya wa CAF SUPER CUP.

MO DEWJI MBIONI KUKAMILISHA DILI LA MPANZU. Taarifa kutoka DR Congo zinathibitisha ujio wa Mpanzu dilisha dogo ndani ya ...
18/09/2024

MO DEWJI MBIONI KUKAMILISHA DILI LA MPANZU.

Taarifa kutoka DR Congo zinathibitisha ujio wa Mpanzu dilisha dogo ndani ya wekundu wa msimbazi. Endapo dili litafanikiwa Mpanzu atakua mshambuliaji mojawapo kati ya wale waliosajiliwa msimu huu.

Mpanzu anatarajia kuwasili nchini Tanzania wiki ijayo kukamilisha dili hilo. Raisi wa heshima Simba SC anasimamia dili lake kwa ukaribu mkubwa kuhakikisha mwamba anakipiga kunako ligi kuu hapa nchini.

Huyu jamaa anajua sana boli. Pale katikati amepamiliki yeye.
31/08/2024

Huyu jamaa anajua sana boli. Pale katikati amepamiliki yeye.

🚨 MABADILIKO YA RATIBAYanga hatacheza na Ken gold mechi ya pili ligi kuu. Atacheza na mashujaa.. Simba hatacheza na Pris...
26/08/2024

🚨 MABADILIKO YA RATIBA

Yanga hatacheza na Ken gold mechi ya pili ligi kuu. Atacheza na mashujaa.. Simba hatacheza na Prisons atacheza na Namungo.

Ratiba ya tittle contenders ligi kuu :

Young Africans SC :

◉ Kagera vs Yanga - Aug 29
◉ Yanga vs Mashujaa - Sep 14
◉ Black Stars vs Yanga - Sep 20
◉ Ken gold vs Yanga - Sep 25
◉ Yanga vs KMC - Sep 29
◉ Yanga vs Pamba - Oct 3
◉ Simba vs Yanga - Oct 19

Simba Sports Club :

◉ Simba 3 - 0 Tabora - Aug 18
◉ Simba 4 - 0 Fountain Gate - Aug 25
◉ Azam vs Simba - Sept 14
◉ Simba vs Namungo - Sep 20
◉ Dodoma Jiji vs Simba - Sep 29
◉ Simba vs Coastal - Oct 4
◉ Simba vs Yanga - Oct 19

Azam Football club :

◉ JKT vs Azam - Aug 28
◉ Azam vs Simba - Sept 14
◉ Azam vs Coastal - Sep 20
◉ KMC vs Azam - Sep 26
◉ Mashujaa vs Azam - Sep 29
◉ Namungo vs Azam - Oct 3
◉ Prisons vs Azam - Oct 18

🎥𝐓𝐞𝐚𝐦 𝐨𝐟 𝐂𝐢𝐭𝐢𝐳𝐞𝐧𝐬

OCRA MAGIC AMERUDI TENA CLUB YAKE YA ZAMANI BENCHEM UTD BAADA YA KUPIGWA PANGA NA YANGA SC.
26/08/2024

OCRA MAGIC AMERUDI TENA CLUB YAKE YA ZAMANI BENCHEM UTD BAADA YA KUPIGWA PANGA NA YANGA SC.

Address


Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tz football news posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Tz football news:

Videos

Shortcuts

  • Address
  • Alerts
  • Contact The Business
  • Videos
  • Claim ownership or report listing
  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share