15/07/2023
Habari Wadau Wetu Wa na Watanzania Kwa Ujumla
โช๏ธTutakuwa na mchezo wa hisani wa kirafiki wa mpira wa miguu ambapo utakua mchezo kati ya Team Somba vs Mburahati Combine.
Itakua ni mechi ya mpira wa miguu makaratasi au kwa jina lingine chandimu kwa Dhumuni la kuchangia kituo cha watoto Yatima (New faraja Orphanage Center )
โช๏ธHivyo basi ukiwa k**a mdau wetu wa karibu tunaomba mchango wako kwaajili ya kutoa msaada kwa ndugu zetu wenye uhitaji na tunakaribisha michango mbalimbali k**a ๐๐พ
โ๏ธMAHITAJI YA KITUO
Magodoro 3/6, mchele, sukar, mafuta, maharage, lishe, maziwa, pampers , mashuka ya rangi moja, net, dawa za mbu, malapa, sabuni ya vipele, panadol, vifaa vya firs Aid, deto, vifaa vya usafi, mifagio, mop, dawa za choon,Bill za maj, na luku
Na hiyo michango yote itakayopatikana tutaiwasilisha kwa uongozi wa kituo papo hapo uwanjani kupitia viongozi wao.
TUNATANGULIZA SHUKURANI ZETU, KUTOA NI MOYO NA SI UTAJILI โค๏ธ๐น๐ฟ๐ซถ๐พ
โ๏ธNOTE: Vitu unaweza Kuvifikisha Ofisini Kwetu Mbezi Beach Rainbow Karibu na Magorofa ya BOT au ukatwambia vilipo sisi tukavifata.
Kwa maelezo zaidi unaweza ukawasiliana nasi kupitia namba +255 719 000 157
+255 773 226 443
+255 786 933 331
Ahsante.