Erasto Mashauri

Erasto Mashauri Official page | Bookings [email protected]

๐Ÿ“Arusha, Monduli
02/09/2023

๐Ÿ“Arusha, Monduli

Nikikosa Kabisa Mke Wa Kuoa, Namuoa Mama Yake na Baba, Maana Yeye baba amemuoa Mama Yangu na Sijasema Chochote! ๐Ÿ˜…
29/08/2023

Nikikosa Kabisa Mke Wa Kuoa, Namuoa Mama Yake na Baba, Maana Yeye baba amemuoa Mama Yangu na Sijasema Chochote! ๐Ÿ˜…

Habari Wadau Wetu Wa   na Watanzania Kwa Ujumlaโ–ช๏ธTutakuwa na mchezo wa hisani wa kirafiki wa mpira wa miguu ambapo utaku...
15/07/2023

Habari Wadau Wetu Wa na Watanzania Kwa Ujumla

โ–ช๏ธTutakuwa na mchezo wa hisani wa kirafiki wa mpira wa miguu ambapo utakua mchezo kati ya Team Somba vs Mburahati Combine.

Itakua ni mechi ya mpira wa miguu makaratasi au kwa jina lingine chandimu kwa Dhumuni la kuchangia kituo cha watoto Yatima (New faraja Orphanage Center )

โ–ช๏ธHivyo basi ukiwa k**a mdau wetu wa karibu tunaomba mchango wako kwaajili ya kutoa msaada kwa ndugu zetu wenye uhitaji na tunakaribisha michango mbalimbali k**a ๐Ÿ‘‡๐Ÿพ

โœ”๏ธMAHITAJI YA KITUO
Magodoro 3/6, mchele, sukar, mafuta, maharage, lishe, maziwa, pampers , mashuka ya rangi moja, net, dawa za mbu, malapa, sabuni ya vipele, panadol, vifaa vya firs Aid, deto, vifaa vya usafi, mifagio, mop, dawa za choon,Bill za maj, na luku

Na hiyo michango yote itakayopatikana tutaiwasilisha kwa uongozi wa kituo papo hapo uwanjani kupitia viongozi wao.

TUNATANGULIZA SHUKURANI ZETU, KUTOA NI MOYO NA SI UTAJILI โค๏ธ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿซถ๐Ÿพ

โœ”๏ธNOTE: Vitu unaweza Kuvifikisha Ofisini Kwetu Mbezi Beach Rainbow Karibu na Magorofa ya BOT au ukatwambia vilipo sisi tukavifata.

Kwa maelezo zaidi unaweza ukawasiliana nasi kupitia namba +255 719 000 157
+255 773 226 443
+255 786 933 331
Ahsante.




 : Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, ACP Allan Bukumbi amesema abiria wote wako salama na hakuna majeruhi yeyote katika ...
02/07/2023

: Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, ACP Allan Bukumbi amesema abiria wote wako salama na hakuna majeruhi yeyote katika ajali iliyotokea eneo la Mlima Kitonga kufuatia basi la Kampuni ya New Force kupinduka na kulalia upande mmoja.

Ajali hiyo imetokea leo saa 3:30 asubuhi Julai 2, 2023 ambapo basi hilo aina ya Yutong lilikuwa limebeba abiria 57 likitokea mkoani Iringa kuelekea jijini Dar es Salaam.

Kamanda Bukumbi amesema basi hilo lilipinduka na kuegama pembezoni mwa barabara wakati dereva akiyapita mabasi mengine yaliyokuwa yanateremka katika mlima huo yakiwa kwenye foleni.

โ€œWatu wote wako salama na hakuna majeruhi yeyote na hakuna mali nyingine zilizoharibika na kinachofuata tunapima ajali na kuchukua hatua stahiki kwa dereva huyu na mmiliki kuja kuondoa gari lake eneo la tukio,โ€amesema.

Kamanda amesema chanzo cha ajali hiyo ni uzembe wa dereva kwa kungโ€™angโ€™ania kupita mazingira ambayo hakutakiwa kupita huku akijua eneo hilo kuna mteremko mkali na magari yanapita kwa foleni.
(Mwananchi)



โœ”๏ธ ๐”๐ฅ๐ข๐ง๐ณ๐ข ๐–๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ฎ๐ก๐š๐ค๐ข๐ค๐š ๐ณ๐š๐ข๐๐ข ๐ง๐ข ๐๐ˆ๐Œ๐€, ๐”๐ญ๐š๐ฅ๐ข๐ง๐๐š ๐ฏ๐ข๐ฅ๐ž ๐ฎ๐ง๐š๐ฏ๐ฒ๐จ๐ฏ๐ข๐ฉ๐ž๐ง๐๐š ๐ฎ๐ค๐ข๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐ฎ๐ก๐š๐ค๐ข๐ค๐š

#0717909880

 : Dawa inayodaiwa kuongeza nguvu za kiume maarufu 'Akayabangu' pamoja na vumbi la Kongo zimepigwa marufuku kutumika nch...
24/06/2023

: Dawa inayodaiwa kuongeza nguvu za kiume maarufu 'Akayabangu' pamoja na vumbi la Kongo zimepigwa marufuku kutumika nchini kwa kile kilichoelezwa kuwa hazijathibitishwa ubora wake.

Hayo yamesemwa jana Ijumaa, Juni 23, 2023 na Mwenyekiti wa Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala, Profesa Hamis Malebo kupitia taarifa kwa umma.

"Baraza limepata taarifa ya uwepo wa dawa asili inayotumika k**a kinywaji na jamii kubwa hasa wanaume ijulikanayo kwa jina la Akayabagu, hivyo liliamua kufanya uchunguzi wa uingizwaji, usambazwaji, ubora na usalama wa kinywaji hicho," amesema.



โœ”๏ธ ๐”๐ฅ๐ข๐ง๐ณ๐ข ๐–๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ฎ๐ก๐š๐ค๐ข๐ค๐š ๐ณ๐š๐ข๐๐ข ๐ง๐ข ๐๐ˆ๐Œ๐€, ๐”๐ญ๐š๐ฅ๐ข๐ง๐๐š ๐ฏ๐ข๐ฅ๐ž ๐ฎ๐ง๐š๐ฏ๐ฒ๐จ๐ฏ๐ข๐ฉ๐ž๐ง๐๐š ๐ฎ๐ค๐ข๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐ฎ๐ก๐š๐ค๐ข๐ค๐š

#0717909880

 : Imetimia Miaka Miwili Sasa Tangu Aliyekuwa Rais wa awamu ya Tano, John Pombe Magufuli alipofariki Tr 17, March 2021.K...
17/03/2023

: Imetimia Miaka Miwili Sasa Tangu Aliyekuwa Rais wa awamu ya Tano, John Pombe Magufuli alipofariki Tr 17, March 2021.

Kipi unakikumbuka Kwa Kiongozi Huyu?


______________
โœ”๏ธ ๐”๐ฅ๐ข๐ง๐ณ๐ข ๐–๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ฎ๐ก๐š๐ค๐ข๐ค๐š ๐ณ๐š๐ข๐๐ข ๐ง๐ข ๐๐ˆ๐Œ๐€, ๐”๐ญ๐š๐ฅ๐ข๐ง๐๐š ๐ฏ๐ข๐ฅ๐ž ๐ฎ๐ง๐š๐ฏ๐ฒ๐จ๐ฏ๐ข๐ฉ๐ž๐ง๐๐š ๐ฎ๐ค๐ข๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐ฎ๐ก๐š๐ค๐ข๐ค๐š

#0717909880

 : Aliyewahi kuwa promota na meneja wa wasanii mbalimbali hapa nchini, M***a Babaz amefariki dunia.Babaz amewahi kufanya...
13/03/2023

: Aliyewahi kuwa promota na meneja wa wasanii mbalimbali hapa nchini, M***a Babaz amefariki dunia.

Babaz amewahi kufanya kazi na Rostam (Stamina na Roma Mkatoliki), Young Killer pamoja na Jay Melody.


_____________
โœ”๏ธ ๐”๐ฅ๐ข๐ง๐ณ๐ข ๐–๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ฎ๐ก๐š๐ค๐ข๐ค๐š ๐ณ๐š๐ข๐๐ข ๐ง๐ข ๐๐ˆ๐Œ๐€, ๐”๐ญ๐š๐ฅ๐ข๐ง๐๐š ๐ฏ๐ข๐ฅ๐ž ๐ฎ๐ง๐š๐ฏ๐ฒ๐จ๐ฏ๐ข๐ฉ๐ž๐ง๐๐š ๐ฎ๐ค๐ข๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐ฎ๐ก๐š๐ค๐ข๐ค๐š

#0717909880

 : Afrika Kusini inaomboleza kifo kingine cha mwanamuziki maarufu. Kwa mujibu wa taarifa za mitandao ya kijamii, rapa Co...
12/03/2023

: Afrika Kusini inaomboleza kifo kingine cha mwanamuziki maarufu. Kwa mujibu wa taarifa za mitandao ya kijamii, rapa Costa Tsobanoglou maarufu kwa jina la kisanii Costa Titch, ameripotiwa kufariki dunia.

Rafiki yake wa karibu Junior De Rocka, alisambaza habari hizo kwenye akaunti yake ya Instagram. Alishiriki upya chapisho lake na kuandika "RIP Bro."

Kwa mujibu wa taarifa ambazo hazijathibitishwa, rapper huyo alianguka jukwaani kwenye tamasha la Ultra Afrika Kusini, kwenye ukumbi wa Expo Centre mjini Nasrec, Johannesburg.

Mbali na hilo msanii wa muziki wa Bongo Fleva Diamond Platnumz amepost inst story yake na kuandika Daaaah.

Coata Titch amewahi kufanya ngoma na Diamond Super Star lakini pia na Mbosso Shetani.


_____________________
โœ”๏ธ ๐”๐ฅ๐ข๐ง๐ณ๐ข ๐–๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ฎ๐ก๐š๐ค๐ข๐ค๐š ๐ณ๐š๐ข๐๐ข ๐ง๐ข ๐๐ˆ๐Œ๐€, ๐”๐ญ๐š๐ฅ๐ข๐ง๐๐š ๐ฏ๐ข๐ฅ๐ž ๐ฎ๐ง๐š๐ฏ๐ฒ๐จ๐ฏ๐ข๐ฉ๐ž๐ง๐๐š ๐ฎ๐ค๐ข๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐ฎ๐ก๐š๐ค๐ข๐ค๐š

#0717909880

Moja kwa Moja Nikiripoti Kutoka eneo la tukio, hapa ni  Mimi ni Erasto Mashauri Wa
11/12/2022

Moja kwa Moja Nikiripoti Kutoka eneo la tukio, hapa ni Mimi ni Erasto Mashauri Wa

๐Œ๐–๐„๐™๐ˆ ๐”๐Š๐€๐–๐„ ๐–๐€ ๐๐„๐„๐Œ๐€ ๐๐€ ๐–๐€ ๐Œ๐€๐…๐€๐๐ˆ๐Š๐ˆ๐Ž ๐Š๐–๐„๐“๐” ๐’๐Ž๐“๐„ ๐Ÿ™๐ŸพNa Wote Tuseme Amen ๐Ÿ™๐Ÿพ        ๐Ÿ™   na          #0717909880 ๐…๐จ๐ฅ๐ฅ๐จ๐ฐ ๐ฎ๐ฌ ๐ค๐ฐ...
01/11/2022

๐Œ๐–๐„๐™๐ˆ ๐”๐Š๐€๐–๐„ ๐–๐€ ๐๐„๐„๐Œ๐€ ๐๐€ ๐–๐€ ๐Œ๐€๐…๐€๐๐ˆ๐Š๐ˆ๐Ž ๐Š๐–๐„๐“๐” ๐’๐Ž๐“๐„ ๐Ÿ™๐Ÿพ

Na Wote Tuseme Amen ๐Ÿ™๐Ÿพ

๐Ÿ™ na #0717909880

๐…๐จ๐ฅ๐ฅ๐จ๐ฐ ๐ฎ๐ฌ ๐ค๐ฐ๐š ๐ˆ๐ง๐Ÿ๐จ๐ซ๐ฆ๐š๐ญ๐ข๐จ๐ง ๐ณ๐š๐ข๐๐ข ๐ฃ๐ฎ๐ฎ ๐ฒ๐š ๐๐ข๐ฆ๐š
๐๐ข๐ฆ๐š ๐‚๐ก๐š๐ฉ ๐‚๐ก๐š๐ฉ]]
๐๐ข๐ฆ๐š ๐‚๐ก๐š๐ฉ ๐‚๐ก๐š๐ฉ]]
๐๐ข๐ฆ๐š ๐‚๐ก๐š๐ฉ ๐‚๐ก๐š๐ฉ]]

 : Takwimu iliyotolewa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU) imeitaja Jeshi la Polisi k**a Sek...
13/10/2022

: Takwimu iliyotolewa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU) imeitaja Jeshi la Polisi k**a Sekta inayoongoza kwa vitendo vya rushwa zaidi nchini ikiongoza kwa asilimia 45.6 na kufuatiwa na Sekta ya Afya kwa asilimia 17.9.

Takwimu hiyo ya Septemba, 2020 inaitaja pia Mahak**a ya Sheria kushika nafasi ya tatu kwa asilimia 11.9 huku Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ikishika nafasi ya nne kwa asilimia 6.1.
(Swahilitimes)


____________
โœ”๏ธ ๐”๐ฅ๐ข๐ง๐ณ๐ข ๐–๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ฎ๐ก๐š๐ค๐ข๐ค๐š ๐ณ๐š๐ข๐๐ข ๐ง๐ข ๐๐ˆ๐Œ๐€, ๐”๐ญ๐š๐ฅ๐ข๐ง๐๐š ๐ฏ๐ข๐ฅ๐ž ๐ฎ๐ง๐š๐ฏ๐ฒ๐จ๐ฏ๐ข๐ฉ๐ž๐ง๐๐š ๐ฎ๐ค๐ข๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐ฎ๐ก๐š๐ค๐ข๐ค๐š

#0717909880

 : Kutokana Ripoti za hivi karibuni za Unyanyasaji wa Kijinsia, Kimwili na Kiakili wa Wafanyakazi Wahamiaji katika Masha...
13/10/2022

: Kutokana Ripoti za hivi karibuni za Unyanyasaji wa Kijinsia, Kimwili na Kiakili wa Wafanyakazi Wahamiaji katika Mashariki ya Kati, Wabunge Wanawake Wamesema Serikali inapaswa kudhibiti Mashirika yanayowapeleka Wanawake katika Nchi hizo hadi pale watakapohakikishiwa Ulinzi na Usalama Wao.

Pia wameitaka Wizara ya Kazi kuwapa Orodha ya Mashirika na ldadi ya Wakenya wanaofanya kazi na katika Nchi nyingine ili kuwawezesha kuelewa Makubaliano kati ya Wizara na Mashirika hayo na hali ya Usalama ya Wafanyakazi hao.


____________
โœ”๏ธ ๐”๐ฅ๐ข๐ง๐ณ๐ข ๐–๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ฎ๐ก๐š๐ค๐ข๐ค๐š ๐ณ๐š๐ข๐๐ข ๐ง๐ข ๐๐ˆ๐Œ๐€, ๐”๐ญ๐š๐ฅ๐ข๐ง๐๐š ๐ฏ๐ข๐ฅ๐ž ๐ฎ๐ง๐š๐ฏ๐ฒ๐จ๐ฏ๐ข๐ฉ๐ž๐ง๐๐š ๐ฎ๐ค๐ข๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐ฎ๐ก๐š๐ค๐ข๐ค๐š

#0717909880

 : Mchungaji Nurdin Abdallah wa kanisa la kilokole lililopo Kisesa Mwanza amefikishwa katika Mahak**a ya Wilaya ya Magu ...
13/10/2022

: Mchungaji Nurdin Abdallah wa kanisa la kilokole lililopo Kisesa Mwanza amefikishwa katika Mahak**a ya Wilaya ya Magu jijini humo kwa kosa la kumbaka mtoto wake wa miaka sita.

Mchungaji huyo mkazi wa Kisesa, amefikishwa Mahak**ani Jumatano ya Oktoba 12, 2022 mbele ya hakimu Mwandamizi wa Wilaya hiyo, Erick Kimaro na kusomewa mashtaka ya kubaka.

Akisoma Mashtaka hayo ya kesi namba 76 ya mwaka 2022, Hakimu Kimaro amesema mshtakiwa alitenda kosa hilo baada ya kumchukua mtoto huyo kutoka kwa mama yake ambaye alikuwa mke wa mchungaji huyo kabla ya kuachana.
(Mwananchi)


___________
โœ”๏ธ ๐”๐ฅ๐ข๐ง๐ณ๐ข ๐–๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ฎ๐ก๐š๐ค๐ข๐ค๐š ๐ณ๐š๐ข๐๐ข ๐ง๐ข ๐๐ˆ๐Œ๐€, ๐”๐ญ๐š๐ฅ๐ข๐ง๐๐š ๐ฏ๐ข๐ฅ๐ž ๐ฎ๐ง๐š๐ฏ๐ฒ๐จ๐ฏ๐ข๐ฉ๐ž๐ง๐๐š ๐ฎ๐ค๐ข๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐ฎ๐ก๐š๐ค๐ข๐ค๐š

#0717909880

 : Imeelezwa Hospitali ya Mirembe ambayo ni Hospitali ya Taifa ya Magonjwa ya Afya ya Akili iliyopo Dodoma kitakwimu ina...
11/10/2022

: Imeelezwa Hospitali ya Mirembe ambayo ni Hospitali ya Taifa ya Magonjwa ya Afya ya Akili iliyopo Dodoma kitakwimu ina idadi kubwa ya wagonjwa wa aina hiyo Wanaume kuliko Wanawake.

Amesema โ€œKuna wagonjwa wenye umri wa miaka 50 hadi 70 lakini ni wachache sana, pia kwa siku tunaona wagonjwa kuanzia 150 hadi 250 na kati ya hao 30 hadi 70 unakuta wana shida ya akili."


______________
โœ”๏ธ ๐”๐ฅ๐ข๐ง๐ณ๐ข ๐–๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ฎ๐ก๐š๐ค๐ข๐ค๐š ๐ณ๐š๐ข๐๐ข ๐ง๐ข ๐๐ˆ๐Œ๐€, ๐”๐ญ๐š๐ฅ๐ข๐ง๐๐š ๐ฏ๐ข๐ฅ๐ž ๐ฎ๐ง๐š๐ฏ๐ฒ๐จ๐ฏ๐ข๐ฉ๐ž๐ง๐๐š ๐ฎ๐ค๐ข๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐ฎ๐ก๐š๐ค๐ข๐ค๐š

#0717909880

 : Watu wawili wamek**atwa na Jeshi la Polisi Namtumbo, Songea kwa tuhuma za kuwaiba watoto wawili jijini Dar es Salaam ...
11/10/2022

: Watu wawili wamek**atwa na Jeshi la Polisi Namtumbo, Songea kwa tuhuma za kuwaiba watoto wawili jijini Dar es Salaam na kutokomea nao.

Inaelezwa kuwa, msichana wa kazi za ndani aliyekuwa ameajiriwa jijini Dar es Salaam, kutoroka na watoto wa mwajiri wake.

Baada ya watoto hao kutoweka, wazazi wao waliripoti tukio hilo polisi ambapo baada ya jitihada kubwa za msako kufanyika, hatimaye mtuhumiwa huyo alik**atwa akiwa na mwanaume anayetajwa kushirikiana naye.
(Globalpublishers)


________________
โœ”๏ธ ๐”๐ฅ๐ข๐ง๐ณ๐ข ๐–๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ฎ๐ก๐š๐ค๐ข๐ค๐š ๐ณ๐š๐ข๐๐ข ๐ง๐ข ๐๐ˆ๐Œ๐€, ๐”๐ญ๐š๐ฅ๐ข๐ง๐๐š ๐ฏ๐ข๐ฅ๐ž ๐ฎ๐ง๐š๐ฏ๐ฒ๐จ๐ฏ๐ข๐ฉ๐ž๐ง๐๐š ๐ฎ๐ค๐ข๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐ฎ๐ก๐š๐ค๐ข๐ค๐š

#0717909880

10/10/2022

: Mwimbaji wa Gospel Nabindu W Stani amefungua jinsi anavyompenda mwimbaji wa Bongo Fleva huku akienda mbali zaidi na kutamani kufanya Collabo nae ya Gospel.

Nabindu amefunguka hayo kwenye kipindi cha 'Sunday Worship'


__________
โœ”๏ธ ๐”๐ฅ๐ข๐ง๐ณ๐ข ๐–๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ฎ๐ก๐š๐ค๐ข๐ค๐š ๐ณ๐š๐ข๐๐ข ๐ง๐ข ๐๐ˆ๐Œ๐€, ๐”๐ญ๐š๐ฅ๐ข๐ง๐๐š ๐ฏ๐ข๐ฅ๐ž ๐ฎ๐ง๐š๐ฏ๐ฒ๐จ๐ฏ๐ข๐ฉ๐ž๐ง๐๐š ๐ฎ๐ค๐ข๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐ฎ๐ก๐š๐ค๐ข๐ค๐š

#0717909880

 : Mamilioni ya raia wameandamana nchini Ufaransa wakiishinikiza Ufaransa kubadili sera zake juu ya NATO na EU. Waandama...
10/10/2022

: Mamilioni ya raia wameandamana nchini Ufaransa wakiishinikiza Ufaransa kubadili sera zake juu ya NATO na EU.

Waandamanaji wanaitaka Ufaransa ijitoe kwenye umoja wa NATO na EU, Vivyo hivyo mamilioni ya wafaransa hao pia wamelitaka bunge la Ufaransa limuondoe Rais 'Emanuel Macron' kibaraka wa NATO, walipokuwa wakipita na maandamano yao nje ya bunge la Ufaransa.

Waandamanaji hao lukuki, wameikosoa vikali NATO na kuiita NATO kuwa ndiye mchochezi mkuu wa vita na machafuko duniani.


___________
โœ”๏ธ ๐”๐ฅ๐ข๐ง๐ณ๐ข ๐–๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ฎ๐ก๐š๐ค๐ข๐ค๐š ๐ณ๐š๐ข๐๐ข ๐ง๐ข ๐๐ˆ๐Œ๐€, ๐”๐ญ๐š๐ฅ๐ข๐ง๐๐š ๐ฏ๐ข๐ฅ๐ž ๐ฎ๐ง๐š๐ฏ๐ฒ๐จ๐ฏ๐ข๐ฉ๐ž๐ง๐๐š ๐ฎ๐ค๐ข๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐ฎ๐ก๐š๐ค๐ข๐ค๐š

#0717909880

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Erasto Mashauri posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Erasto Mashauri:

Videos

Share