Mchambuzi wa masuala ya siasa na uchumi, Walter Nguma, ametoa wito kwa mamlaka kuwachukulia hatua viongozi wanaondolewa madarakani kwa sababu mbalimbali.
Nguma aliyasema hayo alipoulizwa kuhusu hatua zinazopaswa kuchukuliwa dhidi ya viongozi hao. Alisisitiza umuhimu wa uwajibikaji na uwazi miongoni mwa viongozi kwa ajili ya maendeleo endelevu ya taifa.
Msanii wa filamu nchini anayefahamika kwa jina la yussufu mlela amefunguka baada ya kupost kauli yake mtandaoni ya kusema akifariki mwili wake uzikwe kinondoni
SHOW BIZZ
Jumatatu- Ijumaa saa 1:00 usiku channel 413 ZAMARADI TV
Kutoka kwa msanii wa muziki Lukawise @lukambaofficial ameachia video ya wimbo wake mpya unaofahamika kwa jina la ‘BEBE’
Unaupa asilimia ngapi huu wimbo?
Kama bado hujaangalia pita kwenye youtube channel yake kutazama goma hili na endelea kutufuatilia kwenye kisimbuzi cha Azam channel namba 413 na kwa taarifa zaidi kaa nasi kwenye page zetu za @zamaraditv
#zamaraditv
Fainali Samia cup kufanyika uwanja wa ndanda, akizungumza mara baada ya kukamilika Kwa nusu fainali ya Samia kapu mratibu wa ligi ya Samia cup Mr majali amesema fainali itafanyika ndanda. Mr majali amesema fainali hiyo itawakutanisha kati ya wenyeji kutoka ndanda, ndanda combine vs wokofu fc kutoka nanganga. burudan za michezo mbali mbali zitakuepo siku ya fainali pia dula makabila atakuepo,waaandishi mbali mbali kutokea dar watakuepo.
Hakuna kiingilio katika fainali ya Samia cup itakayofanyika ndanda mjini,Kwa upande wa mgeni rasmi msukuma mbunge machachari atakuepo.
Zawad Zitatolewa kuanzia mshindi wa kwanza mpaka wa nne,. Vyombo mbali mbali vya habari vitakuepo, Azam media,zbc, zamarad tv,Itv,redio fadhila,redio mamu fm nk. Mkurugenzi wa zamarad tv Madam Zamaradi Mketema boss lady atakuepo sambamba na mdhamini wa Samia cup wilaya ya masasi ndugu Shaban Saidi.
Imeandaliwa na kuletwa kwenu na Gaston Thomas mwandishi wa habari wa zamarad tv mkoani mtwara
Top 5 ya @missgrandtanzania_2024 wakitembea kwa madaha jukwaani baada ya kutajwa tu jana kwenye grand final ya shindano hili lililofanyika Warehose Masaki.
Kutoka mkoani lindi, Wapenzi na mashabiki Wa yanga African halmashaur ya mtama mkoani lindi wamezindua TAWI la yanga katika kijji Cha mtua kiliman hewa, Mhe. Nape Mnahuye mbunge wa Jimbo la mtama alipata nafasi ya kuongea na mashabiki Wa yanga African na alikiri kua yanga African msimu huu imejipanga vizur Kwa usajili.
Kwa upande wa viongozi wa yanga African mzee mpili alimweleza mh nape kuwa wao Kama yanga wamemshukuru Mhe. Rais Samia Kwa kuamasisha michezo nchin Kwa kitendo Cha kununua magoli pale timu kubwa zinapocheza, miongoni mwa viongozi wa yanga African waliofika mtua kiliman hewa ni pamoja na Jecha mratibu usajili yanga African, hii ni ziara ya viongozi wa yanga African Kwa mikoa ya kusini yenye lengo la kuwasajili na kuwapatia kadi za kidgtali mashabiki na wapenz wa yanga African, timu hii Leo juma pili itakuepo mjini masasi mkoani mtwara
#zamaraditv
Mshiriki namba 5 @_.fatma_suleiman ametangwazwa rasmi mshindi wa Miss Grand mwaka 2024 amewabwaga washiriki wenzake 14 waliikuwa wanagombakia nafasi hiyo usiku leo.
@_.fatma_suleiman amejishindia kitita cha shilingi Millioni tano taslimu na tiketi ya kushiriki mashindano ya Miss grand International
Cc @missgrandtanzania_2024
Mshiriki namba 6 ambaye ameingia kwenye sita bora akiwa anajibu swali aliloukizwa na moja wa majaji usiku huu.
Tupo Live Kupitia @zamaraditv channel namba 413 katika Dish na Anntena
Cc @missgrandtanzania_2024
Mshiriki namba 11 ambaye ameingia kwenye sita bora akiwa anajibu swali aliloukizwa na moja wa majaji usiku huu
Tupo Live Kupitia @zamaraditv channel namba 413 katika Dish na Anntena
Cc @missgrandtanzania_2024
Mshiriki namba 7 ambaye ameingia kwenye sita bora akiwa anajibu swali alikoulizwa na moja wa majaji usiku.
Tupo Live Kupitia @zamaraditv channel namba 413 katika Dish na Anntena
Cc @misscentralzone
“Leo nipo upande wa majaji najuaga presha ni kubwa sana kwakuwa tunamtaka yule mrembo zaidi kwa hiyo presha ipo juu” - Rosey Manfere Jaji wa Miss Grand 2024
Washiriki namba 11 hadi namba 15 wakionyesha vazi la ubunifu usiku huu kwenye Grand final ya Miss Grand Warehouse Masaki
Tupo LIVE kupitia @zamaraditv channel namba 413 kwenye kisimbuzi cha Azam Pekee
Washiriki namba 1 hadi namba 5 wakionyesha vazi la ubunifu usiku huu kwenye Grand final ya Miss Grand Warehouse Masaki
Tupo LIVE kupitia @zamaraditv channel namba 413 kwenye kisimbuzi cha Azam Pekee
Washiriki namba 1 hadi namba 5 wakionyesha vazi la ubunifu usiku huu kwenye Grand final ya Miss Grand Warehouse Masaki
Muandaaji wa @missgrandtanzania_2024 Miss Nazimizye mdolo ameelezeza ujio wake Mpya wa shindano hili baada ya miaka sita kutokuwepo Nchini na Chamgamoto hadi kufikia leo na ametaja zawadi ya mshindi wa miss Grand mwaka huu atapata shilingi Millioni 5 usiku huu.
Mkurugenzi wa Zamaradi Media company limited @zamaradimketea ameahidi kumshika mkono moja kati ya washiriki 15 katika Miss Grand ya mwaka huu mwenye kipaji cha kutangaza na kumpatia ajira moja kwa moja kwenye Media yake.
Zamaradi Mketema ameyasema hayo alipotembelewa na washiriki wa Miss Grand 2024 kwenye makao ma kuu ya @zamaraditv yaliyopo Mbezi Beach Afrikana.
Usikose leo kutazama Grand Final ya MISS GRAND kuanzia Saa 1:00 Usiku ndani ya @zamaraditv channel namba 413 kwenye kisimbuzi cha Azam Pekee.
Cc @missgrandtanzania_2024
Meneja benk Crdb masasi ahaidi kuchangia computer 40 Bezaleli primary school, akiwa katika mahali ya tatu katika shule ya pre and primary bezalel Bi, Herith Rwechungura ameaidi kusaidia computer 40 shulen apo.
Herieth amesema wao Kama benk ya Crdb wanatambua umuhimu wa elimu hivyo wameamua mpaka kufikia January 2025 watakua wamekabithi computer hizo shuleni.
Aidha herieth amesema Kwa wanafunzi waliofanya viruzi katika mitian yao Kwa mwanafunzi wa kwanza mpaka watatu wao Kama benk ya Crdb watawafungulia account za wanafunzi Bure na kuanza kuwawekea Salio. Mkurugenzi wa bezalel ndgu Alex Thomas aliwashukuru walimu na wazaz Kwa ushirikiano walioonyesha katika kukamilisha mahafali hayo.
Mr Alex alitumia nafasi hio kuwapa walimu zawad ya pikipiki walimu wawili ili iwasaidie kufikia Kwa wakati shuleni apo. Akiongea Kwa niaba ya wazazi, mzazi mama wa jacklini John Kasembe aliwashukuru walimu Kwa malezi Bora waliowapatia watoto wao Kwa mda wote wa miaka saba shuleni apo.
Imeandaliwa na Gaston Thomas zamarad tv mtwara
Mwenyekit wa MAMCU mkoani Mtwara Alhaji Azam Abdelehaman Mfaume amesema chama kikuu Cha ushirika mtwara-masasi , mamcu kimeuza mbaazi tan takribani 2536 katika mnada wa nne. Alhaji mfaume amesema Kwa mnada wa nne Bei ilikua nzuri ambapo Bei ilikua sh.1810 Kwa Bei ya juu na sh. 1730 Kwa Bei ya chini. Mamcu imefanikiwa kulipa zaidi ya billion 25 Kwa wakulima waliouza mbaazi Kwa mnada wa kwanza mpaka wa tatu.
Ndugu prince mngo’ng’o afisa usimamizi fedha kutoka tmx amewaomba wakulima kukusanya mbaazi zao magalani kwa wakati iliwaweze kuziuza katika minada inayoendelea. Kwa upande wa wakulima waliojitokeza katika mnada huo walishukuru Kwa Bei nzuri iliopatikana na kuendelea kuaidi kukusanya mbaazi zao na kuzipeleka magalani Kwa kuziuza.
Kwa upande wa wakazi wa wilaya ya masasi hususan wanawake wameshukuru Kwa uwepo wa wanunuzi wa mbaazi Kwani wanapata ajira za mda magalani ambapo wanapata pesa za kujikimu kimaisha.
Imeandaliwa na Gaston Thomas zamarad tv mtwara
Mwanamitandao ya kijamii @mashalovietz amefunguka kuwa tayari mpenzi wake @moseiyobo ameshapeleka posa nyumbani kwao na kinachosubiriwa ni Mose kubadili DINI tu. Ili waweze kufunga ndoa
Ameyasema hayo leo hii wakati akifanya mkutano na wandishi wa habri wakati alipopewa ubalozi wa duka ma mapambo ya ndani linalojulikana kwa jina Nextlevel_Solution
#zamaraditv