Marafiki zako wanakutendea wema kama unavyowatendea? Au unaishi kwenye msemo wa TENDA WEMA UENDE ZAKO?
Full interview inapatikana kwenye YouTube Chaneli ya zamaraditv.
Usikose kuangalia mwambao mix kila ijumaa saa mbili kamili usiku ndani ya @zamaraditv pekee chaneli 413 kwenye kisimbuzi cha azam pekee.
Katika Malezi yako kwa mwanao, huwa unaonesha mapenzi yako Kwake kwa namna ipi? Huwa unamtimizia jambo lake akikuomba umfanyie?
Usikose kuangalia mwambao mix kila ijumaa saa mbili kamili usiku ndani ya @zamaraditv pekee chaneli 413 kwenye kisimbuzi cha azam.
Full interview inapatikana kwenye YouTube Chaneli ya zamaraditv.
Kila ijumaa Zima zote washa 413 @zamaraditv ladha za @dj_mtasha zinaleta zesheni zinakupa ahueni basi pambe tu....
YA MJINI UNAYAJUA?
Mwezi wa mahaba umeanza na mahaba ya mama kwa mwanawe kigamboni imesimama hakuna mzazi Mwema kama mama....
@zainab_nyasenga atakusogezea upate kujua.
Usikose kuangalia mwambao ijumaa hii saa mbili kamili usiku ndani ya @zamaraditv chaneli 413 kwenye kisimbuzi cha azam pekee.
Producer @zainab_nyasenga
Host@zainab_nyasenga
🎥 💻 @ahmeduwezojr
Cc
@azamtvtz
@azamtvburudani
#zamaraditv
#Homeofreality
Wachekeshaji maarufu wa Tanzania, wakiwemo @eliudsamwel, @ndaro__, @txdullah , @jotiofficial, @laughs_on_leonardo na wengine wengi, wamepanga kupimana nguvu katika maandalizi ya kuelekea@tanzaniacomedyawards 2025.
Tukio hili maalum litafanyika tarehe 16 Februari 2025, likiwaleta pamoja wachekeshaji bora nchini kuonesha ubunifu wao na kuwapa mashabiki burudani ya kipekee. Hili ni sehemu ya maandalizi kuelekea kilele cha tuzo hizo zitakazofanyika tarehe 22 Februari 2025.
Mashabiki wa vichekesho wanahimizwa kufuatilia matukio haya ili kushuhudia burudani na kuona nani wataibuka na ushindi mwaka huu.
#zamaraditv
Wakazi wa mwananyamala A Kwa msisili wanasema huwezi Kukaa eneo ilo Kama sio ngangari .
Naomba unipe sifa ya Mtaani kwako Ili ukae ni vigezo gani vinahitajika?
Usikose kuangalia marudio ya kipindi Cha MTAANI kesho saa 7:00 mchana .
Host @Sharifahamza_26
Cameraman & Editor @ahmeduwezojr
Wakazi wa mwananyamala Kwa msisili A waamua kufukua kichwa kilichofukiwa na watoto Baada yakukiona na kusema walikosea kukifukia ,kwasababu kichwa Kama icho ukikiona inabidi ukichome moto Ili aliyekiweka ubaya umrudie mwenyewe.
Tayari tumeshakuwekea YouTube kipindi kizima Cha MTAANI.
Host @Sharifahamza_26
Cameraman & Editor @ahmeduwezojr
Msanii wa vichekesho @hakikaruben amesema kuwa ikiwa jina lake litapendekezwa kwenye vipengele mbali mbali katika tuzo za Comedy basi ana uhakika kuwa atachukua vipengele vyote
Kama bado hujanagalia mahojiano haya kutokea nyunbani kwa Hakika ruben basi ingia kwenye youtube channel ya ZAMARADI TV
Host @saleh_classic
🎥 @ajfilmz_
Wakazi wa msisili A wafukua kichwa Cha mbuzi na kukichoma moto, Ili kuwaje mpaka kikafukiwa usiache kufuatilia tukio Ili la kushangaza kupitia kipindi Cha MTAANI Leo saa 2:00 usiku .
Host @sharifahamza_26
Cameraman & Editor @ahmeduwezojr
Tayari tumeshakuwekea kwenye youtube channel ya ZAMARADI TV
Host @saleh_classic
🎥 @ajfilmz_
Hapa ndio chumbani anapolala @hakikaruben baada ya kumaliza harakati za mchana mzima pamoja na mke wake
Kwa urefu utaiona kupitia youtube channel ya Zamaradi tv
Host @saleh_classic
🎥 @ajfilmz_
Hapa ndipo jikoni mwa Hakika Ruben @hakikaruben ambapo mke wake humuandalia mahanjumati siku awapo nyumbani ila pia yeye mwenyewe pia ni mtaalamu wa misosi pia akipata time huingia jikoni na kutoa kitu
SHOW BIZZ ni kila siku JUMATATU-Ijumaa saa 1:00 usiku channel 413 ZAMARADI TV
Marudio saa 4:00 usiku leo
Kesho asubuhi saa 4:30 asubuhi
Na Jumamosi marudio saa 4:30 asubuhi
Host @saleh_classic
🎥 @ajfilmz_