Kanyamala Media

Kanyamala Media HABARI | MATUKIO | LIFE STYLE | FASHION | GOAST GOSSIP | HAPA TANZANIA NA NJE YA TANZANIA
(6)

Wenye pesa zao wamekutana kwenye ardhi ya wenye pesa.
24/07/2024

Wenye pesa zao wamekutana kwenye ardhi ya wenye pesa.

NI JEZI KWELI AU SANDA...??
24/07/2024

NI JEZI KWELI AU SANDA...??

24/07/2024

โ€œNilijitangaza kwamba Nafanya Delivery ya Kwa Mpalange ili kujua wanaume wangapi wanapenda michezo hiyo, Wanaume wanaofanya mambo hayo kwa wanawake ni mashoga.."

Mliosoma CUBA ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡บ Vipi Hii sababu yake ina mashiko kweli au vyombo husika vimemshika pabaya ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ๐Ÿ™Œ !? Weka comment yako Hapa _______

Umewahi kusikia nini kuhusu wanyambo wa bukoba?
24/07/2024

Umewahi kusikia nini kuhusu wanyambo wa bukoba?

Anaitwa Hissani Muya maarufu k**a TINO, moja kati ya waigizaji wakongwe zaidi Tanzania aliyedumu katika kiwango, heshima...
24/07/2024

Anaitwa Hissani Muya maarufu k**a TINO, moja kati ya waigizaji wakongwe zaidi Tanzania aliyedumu katika kiwango, heshima na maadili ya sanaa

Vp ww unamzungumziaje msanii Tino na kazi zake za filamu?

Wema Sepetu kabla Whozu hajazaliwaHuyu sasa ndio alikua Tanzanian sweetheart
24/07/2024

Wema Sepetu kabla Whozu hajazaliwa

Huyu sasa ndio alikua Tanzanian sweetheart

Kitu gani huwezi kukikosa kwenye nyumba za namna hii
24/07/2024

Kitu gani huwezi kukikosa kwenye nyumba za namna hii

24/07/2024

HUYU DOGO ANAMJUA DUDU BAYA VIZURI

24/07/2024
Zabibu Kiba mdogo wake na Alikiba, pia amewahi kuwa mke wa beki wa zamani wa Simba Abdi Banda.
24/07/2024

Zabibu Kiba mdogo wake na Alikiba, pia amewahi kuwa mke wa beki wa zamani wa Simba Abdi Banda.

"Mimi sijuagi mambo ya romantic sijui kulegeza sauti kwa mpenzi wangu, hii hii sauti yangu ninayopayuka nayo mtandaoni n...
23/07/2024

"Mimi sijuagi mambo ya romantic sijui kulegeza sauti kwa mpenzi wangu, hii hii sauti yangu ninayopayuka nayo mtandaoni ndiyo hii hii naongea nikiwa na mke wangu Mama Ruby chumbani. Sina muda wa ooh baby sogea tutekenyane"

"Nikimwambia tu Mama Ruby funga mlango anajua tayari kumekucha yeye mwenyewe anajiandaa kisaikolojia anajua ni kitu gani kinafuata"- Baba Levo, Msanii wa muziki Tanzania na Mtangazaji wa Wasafi FM.

Toa maoni Yako

Habari Kaka mimi ni Mama wa watoto wawili, nimeolewa ndoa yangu ina miaka 12 sasa. Mimi na mume wangu tulikua vizuri san...
23/07/2024

Habari Kaka mimi ni Mama wa watoto wawili, nimeolewa ndoa yangu ina miaka 12 sasa. Mimi na mume wangu tulikua vizuri sana, lakini mwaka jana tulianza kugombana baada ya Mama mkwe wangyu kuja mimi kumuuuguza. Sasa mimi sikua nataka kuishi na ndugu na tangu mwanzo nilimuambia mume wangu mimi sitaki ndugu kabisa na aliniambia kuwa hakuna ndugu wa kuja.

Mama mkwe alipokuja mimi sikusema kwani alikua anaumwa nijakua anaondoka. Ila shida ikaja kwua alikua na kansa, aliumwa sana na ivyo kufanya ndugu wengine wa mume wangu kuja hapo kumuona, hali hiyo ilinikera kwani wengine ni wachafu na wananivurugia utaratibu wa nyumba yangu. Wengine wanakaa tu, basi nikamuambia mume wangu mimi hiyo hali siwezi k**a vipi tumpangie Mama yake chumba ili akakae na Dada yake.

Kuna dada yake ambaye hana kazi eti naye alikuja hapo kwangu, basi nikamuambia mume wangu, mwanzo aligoma lakini nilianza kufanya vituko mpaka Mama kasema yeye anaondoka, basi mume wangua limpangishia Mama yeke chumba na sebule akawa anaishi na dada yake kwani hana kazi hivyo watu wote wakawa wanaenda kule.

Nilikua naenda kumsalimia ingawa si maar kwa mara kwani wananchukiwa kwao. Nikijua kuwa nitakua na amani kwakua wameondoka lakini baada ya hapo mume wangu alibadilika sana, kwanza muda wmingi alikua anatumia kwa Mama yake, yaanhisiku nyingine analala hukohuko na ukipiga simu anakua yuko na Mama yake kwani anaweza kukuambia uongee naye. hali hiyo ilinikera sana kwani ni k**a alinitelekeza.

Kuna wakati nilimigia simu Mama yake uili kuongea tu vizuri lakini alipaniki nikamjibu vibaya. Nilimuambia k**a anamtaka sana mume wangu si amuozeshe binti yake kuliko kumuacha anadanga tu! Zilikua ni hasira, nilipojua nimefanya kitu kibaya nilimuomba msamaha, basi alinisamehe lakini kumbe alimuambia mume wangu. Mwezi wa saba Mama mkwe alifariki dunia, basi nilienda msibani lakini mume wangu alibaki huko.

Baada ya mazishi hakurudi nyumbani, alipanisha nyumba nyingine nzima amabyo anaishi. Nilipomuuliza sababu akaniambia tu kuwa hawezi kuishi na mimi kwani haamini k**a mimi ni binadamu. Kaka niliacha kumfuatilia nikajua k**a kawaida tu atarudi kwani mara nyingi huwa tukigombana yeye ndiyo huomba msamaha ila Kaka mpaka leo anatuma tu pesa za matumizi lakini hataki kurudi.

Kaka bado nampenda mume wangu, ni kweli sipatani na ndugu zake lakini mimi sikuolewa na ndugu zake. Isitoshe Mama yake ashafariki dunia, hana ndugu mwingine wakusema anakuja kuishi hapa hivyo hatuwezi kugombana. Nimemuomba msamaha lakini hata hajali, ananiambia kuwa hawezi kuishi na mimi, Kaka nisaidie nifanye nini ili kumrudisha mume wangu, mwanzo tulikua na raha sana, nisaidie nini cha kufanya.

SHARE KWENYE MAGROUP

MC Garab na Malkia Keysha walipokutana kusikojulikana.
23/07/2024

MC Garab na Malkia Keysha walipokutana kusikojulikana.

Finally Mwigizaji wa Bongo movie nchini, Muna Love apata mtoto๐ŸฅฐKwa sasa Muna yupo nchini Canada na inaelezwa baba mtoto ...
23/07/2024

Finally Mwigizaji wa Bongo movie nchini, Muna Love apata mtoto๐Ÿฅฐ

Kwa sasa Muna yupo nchini Canada na inaelezwa baba mtoto ni Mzungu.

Kwa Umri Wa Huyu Mama Na Tamaduni Zetu Za Kitanzania Hiki Anacho Fanya Anajidharirisha Na Kufanya Vijana Wadogo Wamkosee...
23/07/2024

Kwa Umri Wa Huyu Mama Na Tamaduni Zetu Za Kitanzania Hiki Anacho Fanya Anajidharirisha Na Kufanya Vijana Wadogo Wamkosee Heshima, Japo Mwenyewe Anaona Ni Mambo Ya Kizungu Kisa Pesa Wanayo.

Jennifer Lopez
23/07/2024

Jennifer Lopez

Picha la  kimahaba kutoka kwa Luka na Femmy.
23/07/2024

Picha la kimahaba kutoka kwa Luka na Femmy.

22/07/2024

Wadau wajajuu na kudai huenda Mwanamziki Bony mwaitege amesuka Mwenyewe Treand hii na kuipa promo ngoma yake mpya inayoitwa "LIMEBAKI JIWE".

Je kwa Upande wako Unakubaliana na hao wadau / hukubaliani nao.....โœ๐Ÿฟโœ๐Ÿฟโœ๐Ÿฟ

๐ŸŽฅHiyo Clip ni post ya mwisho kwa Bony mwaitege Instagram.

BONY MWAITEGE HAJAFA-Mwanamziki wa nyimbo za Injili Boniface Mwaitege amezushiwa amefariki Leo Kwa ajari ya gari
22/07/2024

BONY MWAITEGE HAJAFA
-
Mwanamziki wa nyimbo za Injili Boniface Mwaitege amezushiwa amefariki Leo Kwa ajari ya gari

UCHAMBUZI WA FILAMU YA DEVIL KINGDOM NA MAUDHUI YAKE. Hii Ni Moja Ya Filamu Bora Kabisa Afrika, Ulifanyika Utafiti Wa Ku...
22/07/2024

UCHAMBUZI WA FILAMU YA DEVIL KINGDOM NA MAUDHUI YAKE.

Hii Ni Moja Ya Filamu Bora Kabisa Afrika, Ulifanyika Utafiti Wa Kutosha Sana Kwenye Simulizi Ya Hii Filamu Ya Devil Kingdom, Katika Hii Filamu Kuna Washiriki Wanne Ambao Walinivutia Sana Naamini Ndio Waliobeba Filamu Nzima.

1. KANUMBA

Kanumba Amecheza K**a Kijana Mwenye Elimu Aliyetokea Kwenye Familia Duni Akitafuta Mafanikio, Akaja Kuingia Kwenye Mtego Wa Mapenzi Kwa Mwanamke Ambae Alitumika K**a Mtego Wa Kumuingiza Yeye Katika Kumuabudu Shetani.

Ndani Yake Kulikuwa Na Mambo Mawili Mapenzi Ya Kweli Kwa Trace (Kajala Masanja) Lakini Pia Tamaa Ya Mali Iliyo Mpelekea Kuwa Mwizi Wa Mali Za Kampuni, Pia Tamaa Ya Utajiri Ikamfanya Kuwa Mchungaji Bandia Anayetumia Uchawi Kuponya Na Kufanikiwa Kupata Watu Wengi Na Kujiingizia Kipato Kikubwa.

Alivaa Uhusika Vizuri Sana Wa Mshamba Wa Mapenzi, Akavaa Uhusika Vizuri Wa Mtu Mwenye Hofu Ya Mungu Halafu Anashawishiwa Kwenda Kinyume Na Matakwa Ya Mungu Kwa Tamaa Ya Mali. Kiukweli Alikaa Kwenye Nafasi Yake Na Kuibeba Taswira Nzima Inayoonesha Mitihani Anayopitia Mwandamu Pindi Anapokuwa Anatafuta Utajiri.

2. RAMSEY NOAH

Huyu Ni Muigizaji Mkubwa Sana Barani Afrika Aliyeweka Rekodi Kubwa Sana Katika Tasnia Ya Filamu Hapa Afrika Anatokea Nchini Nigeria, Ramsey Amecheza K**a Master Wa Klabu Ya Wale Waabuduo Shetani.

Kitu Kilicho Nivutia Kwa Huyu Mwamba Ni Jinsi Gani Alikuwa Akitumia Kitabu Cha Neno La Mungu (Biblia) Kumpoteza Maboya Kanumba Kwa Kubadili Vifungu Na Kuvitafsiri Tofauti Ili Kumonesha Kwamba Kilicho Andikwa Mule Sio Sahihi Na Sahihi Ni Kile Anacho Mwambia Yeye.

Lakini Pia Jinsi Alivyokuwa Akikichambua Kitabu Cha Shetani Na Kumwambia Kanumba Kwamba Shetani Sio Adui Wa Mungu K**a Tunavyo Aminishwa Bali Ni Askari Wa Mungu Aliyetumwa Kuzipima Imani Za Wanadamu Kwa Mungu Wao, Kiukweli Jamaa Alitulia Sana Katika Uwasilishaji Wa Hoja Zake Na Alipokuja Kumshinda Kanumba Ni Pale Ambapo Alikuwa Akisema Kitu Anatoa Na Ushahidi Wa Kile Alichokuwa Akizungumza Huku Kanumba Akishindwa Kujibu Maswali Ya Imani Yake Kwa Mungu Na Kushindwa Kuithibitisha.

3. ALLY YAKUTI

Huyu Amecheza K**a Kiongozi Wa Ile Lodge Ya Waabudu Shetani, Kitu Kilicho Nivutia Ni Jinsi Alivyokuwa Akiendesha Ibada Yao Huku Akitaja Majina Mbalimbali Ya Shetani Mpangilio Wa Sauti, Matamshi Na Maneno Aliyapanga Vizuri K**a Vile Ni Mtu Mzoefu Katika Ibada Zile, Kiukweli Jamaa Alifanya Vizuri Sana Na Aliisimamia Vizuri Nafasi Yake.

4. KAJALA MASANJA (KAJALA)

Kajala Amecheza K**a Mwanamke Pepo Anayetumika Kumshawishi Kanumba Kujiunga Kwenye Kumuabudu Shetani Kwa Njia Ya Mapenzi Kwa Kuaminisha Kuwa Hawezi Kuishi Na Mwanaume Asiye Na Pesa Kwa Kujua Wazi Kwamba Kanumba Anampenda Na Hawezi Kuishi Bila Yeye, Huyu Mwanamke Ndio Ilikuwa Sababu Kuu Mpaka Kanumba Kwenda Kujiunga Kule Apate Pesa Ila Aweze Kumtuliza Mwanamke Anayempenda Asiende Kwa Wanaume Wengine Maana Binti Alishamwambia Kuwa Anapenda Maisha Ya Kifahari.

Kitu Ambacho Kanumba Hakujua Ni Kwamba Huyu Mwanamke Anatambulika K**a Lilith Katika Ulimwengu Wa Kiroho Pepo Wa Ushawishi Na Upotofu, Alikuja Kujua Baada Ya Kuambiwa Na Ramsey Noah Kwamba Huyu Sio Trace Bali Ni Lilith Na Alipotaka Kujua Kuhusu Lilith Aliambiwa Kwamba Lilith Ni Mwanamke Wa Kwanza Wa Adamu Ambae Aliumbwa Nae Siku Moja.

LILITH NI NANI?

Kwa Mujibu Wa Filamu Hii Lilith Ni Mwanamke Wa Kwanza Wa Adamu Ambae Waliumbwa Siku Moja Lakini Tatizo Lilikuja Pale Ambapo Lilith Aligoma Kutawaliwa Au Kuongozwa Na Adamu K**a Walivyoagizwa Sababu Aliamini Anauwezo Sawa Na Adamu Kuanzia Nguvu Ya Mwili Mpaka Uwezo Wa Kufikiri, Mwanamke Huyu Aliamua Kuondoka Na Kutokomea Kusikojulikana. Adamu Akenda Kumwambia Mungu Kwamba Mwanamke Uliyenipa Ametoroka, Mungu Akaagiza Malaika Wakamrudishe Lakini Alikataa Kurudi Yule Mwanamke Akaishi Huko Kwa Kiburi Na Kuzaa Watoto Na Shetani.
Mungu Aliagiza Wauwawe Watoto Wote Waliozaliwa Na Yule Mwanamke Kwenda Kutupwa Baharini Nao Wakafanya Vile, Kwa Kitendo Kile Kilimuumiza Sana Lilith Alipotolew Kule Akaanzisha Vita Na Kizazi Cha Mwanamke Wa Pili Wa Adamu Aitwae Hawa. Lilith Ndiye Pepo Anayeendesha Kampeni Za Wanawake Kudai Haki Sawa Na Wanaume, Magonjwa Kwa Watoto Na Mengineyo K**a Njia Ya Kulipa Kisasi Cha Watoto Wake Kuuwawa.

NB: KILA KILICHO ANDIKWA HAPA NI KWA MUJIBU WA HII FILAMU YA DEVIL KINGDOM HAIHUSIANI NA DINI YOYOTE WALA TAASISI YOYOTE.

Huyu hapa mpenzi mpya wa Shilole, amemtambulisha rasmi๐Ÿ™
22/07/2024

Huyu hapa mpenzi mpya wa Shilole, amemtambulisha rasmi๐Ÿ™

"Kwakweli kiukweli kabisa nisiwe muongo Filamu zetu hazitazamwi Korea, pamoja na kwamba sikuzunguka sana lakini mmmh hap...
22/07/2024

"Kwakweli kiukweli kabisa nisiwe muongo Filamu zetu hazitazamwi Korea, pamoja na kwamba sikuzunguka sana lakini mmmh hapana ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ niwe tu mkweli kule hazipo. Bado kazi kubwa tunayo"- Elizabeth Michael Lulu

21/07/2024

ILA HARMONIZE BWANA TAZAMANI HADI MWISHO

Unadhani Kwanini Wamama waliokata Miaka mingi wanapenda Vijana..???? Na Kwanini Vijana wanapenda Mishangazi???
21/07/2024

Unadhani Kwanini Wamama waliokata Miaka mingi wanapenda Vijana..???? Na Kwanini Vijana wanapenda Mishangazi???

Mwanamziki Husen Machozi akiwq kwenye Picha ya Pamoja na Watoto wake
21/07/2024

Mwanamziki Husen Machozi akiwq kwenye Picha ya Pamoja na Watoto wake

Bibi wa kizungu na Shagalabagala wa kikenya walipoamua kuanzisha mahusiano.
21/07/2024

Bibi wa kizungu na Shagalabagala wa kikenya walipoamua kuanzisha mahusiano.

Maana halisi ya mshangazi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
20/07/2024

Maana halisi ya mshangazi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

"Sasa ole wenu muanze kusema miguu yangu utafikiri hamuijui, sipendi"- Wema Sepetu
20/07/2024

"Sasa ole wenu muanze kusema miguu yangu utafikiri hamuijui, sipendi"- Wema Sepetu

"Mimi wazo la kujenga nyumba nililipata kwa house girl wangu, nilikuwa namlipa mshahara kumbe alikuwa anatunza hadi siku...
20/07/2024

"Mimi wazo la kujenga nyumba nililipata kwa house girl wangu, nilikuwa namlipa mshahara kumbe alikuwa anatunza hadi siku aliyokuja kuniambia (Dada nashukuru kwa msaada wako mimi nimejenga nyumba kupitia mshahara wako). Hapo ndipo akili ikanijia kuwa kumbe hata mimi naweza kujenga nyumba kwa kusevu pesa kidogo kidogo"

"Tangu hapo nilianza kusevu pesa kwa ajili ya nyumba na hatimae nikafanikiwa kujenga nyumba kubwa, nzuri ambayo thamani yake huenda ni zaidi ya milioni 500 ingawa bado haijaisha vizuri. Namshukuru house girl wangu kwa kunipa wazo"- Jackline Wolper

Staa wa muziki ambae pia ndie Mmiliki wa CrownMedia "Alikiba" amefunguka kuwa yeye ni Shabiki mkubwa wa Msanii LavaLava ...
20/07/2024

Staa wa muziki ambae pia ndie Mmiliki wa CrownMedia "Alikiba" amefunguka kuwa yeye ni Shabiki mkubwa wa Msanii LavaLava ambaye yuko chini ya lebo ya WCB Wasafi....
Baadhi ya Mashabiki wa Muziki wanadai inawezekana nyota ya Msanii LavaLava ipo Kwenye lebo ya KingsMusic ya Alikiba......
Unakubaliana na Mashabiki

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kanyamala Media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Kanyamala Media:

Videos

Share



You may also like