
09/02/2025
Kuna Dem Nilikutana nae saa 3 usiku nikaomba namba akanipa , Saa 4 akaniambia ana shida na elfu 5 , nikamwambia sawa nitakupa , Akaniuliza unakaa wapi nikamwambia hapo mtaa wa pili , kisha akaniambia nitakuja kukutembelea Saa 5 usiku akaja geto , saa 6 akaja nikamwambia sina pesakweye simu wala cash mpaka kesho nikatoe ITM akasema ok by saa 8 usiku hivi nikamsindikiza akaenda home
Saa 1 asubuhi akanichek nikawa bado nimelala , saa 2 asubuhi akanichek nikawa bado nimelala , kuamka saa 3 nikakutana na meseji zake , nikamwambia sorry nilikuwa bado nimelala akaniambia nilikwambia lakini nina shida na 5k ?
nikamwambia ndo naamka halafu ndo nataka nifue kisha niende ITM , BAADA YA HAPOB akaniambia naomba basi hata buku tu nikale "NAOMBA BASI HATA BUKU TU NIKALE'
"NAOMBA BASI HATA BUKU TU NIKALE" Hili neno liliniuma sana pale pale ilibidi nikae nikatoa machozi sana , Kisha nikamuuliza uko wapi ? akniambia yupo home na mimi nimaamka kweli nikafanya mpango nikamtumia 30K
Nilichojifunza
1. Muda mwingine Dada zetu tutawapa kila aina ya majina , malaya , Kimada , changudoa lakini behind siyo kila mwanamke ni malaya kuna situation wanazopitia ni ngumu mno
2. Unapokutana na mwanamke jitahidi kumpa chakula kwanza kisha mambo yenu mengine yatafuata k**a amekutembelea lakini au mnunulie chakula ale kwanza
3. Tusiwahukumu wanawake wanaojiuza tujitahidi kufuatilia background ya maisha yao asilimia kubwa hakuna dada anayeamua kufanya hivyo kwa kupenda
4. Ikiwa umemuahidi mtu pesa jitahidi kumtumia ile pesa muda uliomuahidi , pengine amesubirisha familia haijapata chochote kitu kisa wewe tu pesa unayo na kuituma unachelewa , watu wanapitia magumu mno
5. Sema ukweli huna huna mtu ajue huna usiwafanye watu wakaishi kwa matarajio ambayo kimsingi huwezi kuwasaidia , Ukweli mchungu ni mzuri kuliko Uwongo usiokuwa na faida
Hizi picha haziuhisiani na captionπ
Photo by on istagram
Kutoka kwa admin wetu AAboudhabi SkySky