Mix tape tv

Mix tape tv Welcome to our mixtape page,
you can find us more closely through our social media accounts.

WHATSAPP : 0625254425
ISTAGRAM: mixtape_online
EMAIL :[email protected]
YOUTUBE : mixtape_tv
FACEBOOK: mixtape tv

Kuna Dem Nilikutana nae saa 3 usiku nikaomba namba akanipa , Saa 4 akaniambia ana shida na elfu 5  , nikamwambia sawa ni...
09/02/2025

Kuna Dem Nilikutana nae saa 3 usiku nikaomba namba akanipa , Saa 4 akaniambia ana shida na elfu 5 , nikamwambia sawa nitakupa , Akaniuliza unakaa wapi nikamwambia hapo mtaa wa pili , kisha akaniambia nitakuja kukutembelea Saa 5 usiku akaja geto , saa 6 akaja nikamwambia sina pesakweye simu wala cash mpaka kesho nikatoe ITM akasema ok by saa 8 usiku hivi nikamsindikiza akaenda home

Saa 1 asubuhi akanichek nikawa bado nimelala , saa 2 asubuhi akanichek nikawa bado nimelala , kuamka saa 3 nikakutana na meseji zake , nikamwambia sorry nilikuwa bado nimelala akaniambia nilikwambia lakini nina shida na 5k ?

nikamwambia ndo naamka halafu ndo nataka nifue kisha niende ITM , BAADA YA HAPOB akaniambia naomba basi hata buku tu nikale "NAOMBA BASI HATA BUKU TU NIKALE'

"NAOMBA BASI HATA BUKU TU NIKALE" Hili neno liliniuma sana pale pale ilibidi nikae nikatoa machozi sana , Kisha nikamuuliza uko wapi ? akniambia yupo home na mimi nimaamka kweli nikafanya mpango nikamtumia 30K

Nilichojifunza

1. Muda mwingine Dada zetu tutawapa kila aina ya majina , malaya , Kimada , changudoa lakini behind siyo kila mwanamke ni malaya kuna situation wanazopitia ni ngumu mno

2. Unapokutana na mwanamke jitahidi kumpa chakula kwanza kisha mambo yenu mengine yatafuata k**a amekutembelea lakini au mnunulie chakula ale kwanza

3. Tusiwahukumu wanawake wanaojiuza tujitahidi kufuatilia background ya maisha yao asilimia kubwa hakuna dada anayeamua kufanya hivyo kwa kupenda

4. Ikiwa umemuahidi mtu pesa jitahidi kumtumia ile pesa muda uliomuahidi , pengine amesubirisha familia haijapata chochote kitu kisa wewe tu pesa unayo na kuituma unachelewa , watu wanapitia magumu mno

5. Sema ukweli huna huna mtu ajue huna usiwafanye watu wakaishi kwa matarajio ambayo kimsingi huwezi kuwasaidia , Ukweli mchungu ni mzuri kuliko Uwongo usiokuwa na faida

Hizi picha haziuhisiani na captionπŸ™

Photo by on istagram

Kutoka kwa admin wetu AAboudhabi SkySky

Presnel Kimpembe amerejea uwanjani baada ya siku 700!  Beki huyo hakuwa amecheza tangu Februari 26, 2023, kutokana na je...
09/02/2025

Presnel Kimpembe amerejea uwanjani baada ya siku 700!

Beki huyo hakuwa amecheza tangu Februari 26, 2023, kutokana na jeraha kali la Achilles. πŸ”™

Sajili za kocha Rhulani Mokwena ndani ya π—ͺ𝗬𝗗𝗔𝗗  AC mpaka sasa :πŸ‡§πŸ‡· PedrinhoπŸ‡§πŸ‡· Arthur πŸ‡ΏπŸ‡¦ Cassius MailulaπŸ‡ΏπŸ‡¦ Thembinkosi Lor...
09/02/2025

Sajili za kocha Rhulani Mokwena ndani ya π—ͺ𝗬𝗗𝗔𝗗 AC mpaka sasa :

πŸ‡§πŸ‡· Pedrinho
πŸ‡§πŸ‡· Arthur
πŸ‡ΏπŸ‡¦ Cassius Mailula
πŸ‡ΏπŸ‡¦ Thembinkosi Lorch
πŸ‡²πŸ‡¦ Hamza Sakhi
πŸ‡²πŸ‡¦ Mohamed Moufid
πŸ‡²πŸ‡¦ Abdelali Mhamdi
πŸ‡²πŸ‡¦ Mohamed Rayhi
πŸ‡²πŸ‡¦ Nabil Marmouk
πŸ‡²πŸ‡¦ Jawad Khalouk
πŸ‡²πŸ‡¦ Nassim Chadli
πŸ‡²πŸ‡¦ Abdelmounaim Boutouil
πŸ‡²πŸ‡¦ Zakaria Nassik
πŸ‡²πŸ‡¦ Aymen Dairani
πŸ‡²πŸ‡¦ Mehdi El Moubarik
πŸ‡²πŸ‡¦ Fahdi Moufi
πŸ‡²πŸ‡¦ El Mehdi Benabid
πŸ‡ΈπŸ‡³ M'Baye Niang
πŸ‡²πŸ‡Ά Mickael Malsa
πŸ‡¬πŸ‡­ Samuel Obeng
πŸ‡ΉπŸ‡Ώ Selemani Mwalimu

Unaiyona wapi Wydad Athletic Club - WAC msimu ujao???Wydad Athletic Club - WACWydad Athletic Club - WACWydad Athletic Club - WACWydad Athletic Club - WAC

Muigizaji Barkhad Abdi alipata $65,000 pekee kwa nafasi yake iliyosifiwa sana katika filamu ya Captain Phillips. Baada y...
08/02/2025

Muigizaji Barkhad Abdi alipata $65,000 pekee kwa nafasi yake iliyosifiwa sana katika filamu ya Captain Phillips. Baada ya filamu hiyo, alirudi kufanya kazi katika duka la simu ya kaka yake katika maduka ya Minneapolis. Licha ya mafanikio yake ya kuzuka, hakupata umaarufu na bahati mara moja. Hadithi ya Abdi inaangazia kutotabirika kwa tasnia ya burudani. Uvumilivu wake na mwanzo wa unyenyekevu ukawa sehemu ya safari yake ya kusisimua.

Do you know?The word "al" in Arabic means "the". Many Arabic football teams have "al" in their name, including: Al-Nassr...
08/02/2025

Do you know?

The word "al" in Arabic means "the". Many Arabic football teams have "al" in their name, including:

Al-Nassr

The name of a Saudi Arabian football club that means "victory" in Arabic. The club's logo features a map of Arabia in blue and yellow.

Al-Hilal

The name of a Saudi Arabian football club that means "the Crescent Moon" in Arabic. Al-Hilal is one of the most decorated clubs in Asia.

Al-Ahli

The name of a Saudi Arabian football club that competes in the Saudi Pro League. Al-Ahli has won 39 official championships, including 9 Saudi Professional Leagues.

Al-Ain

The name of a Saudi Arabian football club that was previously known as Zahran Football Club and Al-Ameed Football Club.

Al-Ahed

The name of a Lebanese football club that is nicknamed "the Yellow Castle". Al-Ahed has won nine Premier League titles, one AFC Cup title, and six FA Cup titles.

Hivi ndio vilabu vyenye mashabiki wengi zaidi dunianiVipi chama lako umeliona ???
02/02/2025

Hivi ndio vilabu vyenye mashabiki wengi zaidi duniani

Vipi chama lako umeliona ???

πŸ™„
02/02/2025

πŸ™„

Erling Haaland alimwambia Mikel Arteta "awe mnyenyekevu"(be humble eeh) baada ya Man City kufunga bao la dakika za lala ...
02/02/2025

Erling Haaland alimwambia Mikel Arteta "awe mnyenyekevu"(be humble eeh) baada ya Man City kufunga bao la dakika za lala salama na kupata sare ya 2-2 dhidi ya Arsenal mnamo Septemba.

Arsenal wamelipiza kisasi leo

AS VITA HAS RECEIVED A 283$ MILLION FOR SELLING ELLIE MPANZU AND JONATHAN .Tanzania's Simba SC paid $183,000 which is eq...
21/01/2025

AS VITA HAS RECEIVED A 283$ MILLION FOR SELLING ELLIE MPANZU AND JONATHAN .

Tanzania's Simba SC paid $183,000 which is equivalent to one million Tshs (461,709,000) to sign ELIE MPANZU.

Young Africans SC paid $100,000 equivalent to Tshs 252,300,000 to sign JONATHAN IKANGALOMBO.

Huyu mwanamke ameamua kuolewa na mtoto wake kwasababu hayupo tayari mtu mwingine ale matunda ya uchungu aliyoyapata
31/12/2024

Huyu mwanamke ameamua kuolewa na mtoto wake kwasababu hayupo tayari mtu mwingine ale matunda ya uchungu aliyoyapata

Klabu ya CS Sfaxien wamepewa adhabu mbili kwa mpigo na Shirikisho la soka Afrika CAF 1.Mechi zao mbili zifuatazo wakiwa ...
26/12/2024

Klabu ya CS Sfaxien wamepewa adhabu mbili kwa mpigo na Shirikisho la soka Afrika CAF

1.Mechi zao mbili zifuatazo wakiwa nyumbani kwao watacheza bila mashabiki
Cs Sfaxien vs Simba
Cs Sfaxien vs Bravos

Adhabu ya pili ni kulipa milioni 119 [ USD 50,000]

PSG's Gianluigi Donnarumma suffers a HORRIFIC tackle by Monaco defender Wilfried Singo 🀯Na haikuwa kadi nyekundu πŸ₯ΊπŸ˜³πŸ˜³πŸ˜³
19/12/2024

PSG's Gianluigi Donnarumma suffers a HORRIFIC tackle by Monaco defender Wilfried Singo 🀯
Na haikuwa kadi nyekundu πŸ₯ΊπŸ˜³πŸ˜³πŸ˜³

24/10/2024

Tutegee collaboration kati ya Harmonize na dada yetu kipenzi Nandy hii ni baada ya kupost video wakiwa pamoja kwenye harakati za kushoot wimbo wap mpya

Mix tape πŸ’₯πŸ’₯πŸ’₯

Pumzikankwa amani Mzee wetu πŸ™πŸ™β€
20/10/2024

Pumzikankwa amani Mzee wetu πŸ™πŸ™β€

FULL TIME⚽⚽⚽
17/09/2024

FULL TIME

⚽⚽⚽

FULL TIME 90⚽⚽⚽⚽⚽⚽⚽
17/09/2024

FULL TIME 90

⚽⚽⚽⚽⚽⚽⚽

FULL TIME 90⚽⚽⚽⚽⚽⚽⚽⚽⚽
17/09/2024

FULL TIME 90

⚽⚽⚽⚽⚽⚽⚽⚽⚽

Kubamizana tu πŸ˜‚πŸ˜‚
17/09/2024

Kubamizana tu πŸ˜‚πŸ˜‚

Address

Temeke
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mix tape tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mix tape tv:

Videos

Share