Clouds TV

Clouds TV Kituo namba moja cha burudani kwa vijana kikisogeza kila taarifa ya entertainment mbele yako na kuhakikisha hupitwi na yanayojiri ndani na nje ya nchi.

"Unabii unahitajika sana katika kizazi hiki kwa sababu watu wengi wanaishi maisha ambayo sio ya kwao. Panapotokea mabadi...
24/12/2025

"Unabii unahitajika sana katika kizazi hiki kwa sababu watu wengi wanaishi maisha ambayo sio ya kwao. Panapotokea mabadiliko yoyote ya majira, teknolojia na kila kitu, unabii unaweza kubaki relevant k**a walioweza kubeba huo unabii hawataweza kuwa confirmed na mambo ya dunia. Unabii unaharibiwa pale ambapo walioubeba watakuwa rahisi kushawishiwa na dhana mpya iliyoingia katika Teknolojia. Wakienenda pamoja na dunia wanaweza kubadilisha content ya unabii. Inasema kwamba wala msifuatishe namna ya dunia hii"- .edmoundmystic



"Nilitabiri kuhusu kuwepo kwa shida ya maji kutokea hapa Tanzania. Ni mwaka mmoja kabla ya shida hii tulionayo kwa sasa ...
24/12/2025

"Nilitabiri kuhusu kuwepo kwa shida ya maji kutokea hapa Tanzania. Ni mwaka mmoja kabla ya shida hii tulionayo kwa sasa hivi. Kwa hiyo vitu k**a hivyo vinakuja kuleta picha na taswira kwamba huyu mtu bila shaka anamsikia Mungu na watu wanaanza kumuamini. Watu wanasikia nabii nilizozisema kabla ya wakati na kulinganisha na kinachotokea wanagundua kuwa Mimi ni mtu wa Mungu wa kweli"- .edmoundmystic



"Nimezaliwa kwenye familia ya Mchungaji (baba yangu). Tangu mdogo nilikuwa na uwezo mkubwa sana. Nilikuwa Nina uwezo wa ...
24/12/2025

"Nimezaliwa kwenye familia ya Mchungaji (baba yangu). Tangu mdogo nilikuwa na uwezo mkubwa sana. Nilikuwa Nina uwezo wa kujitenga porini kwa muda wa siku Tatu.

"Sikuwahi kutamani kuwa Mchungaji wala kuwa na kanisa kwa sababu Watumishi wote waliowahi kuitwa na Mungu tangu zamani na wana familia. Na watoto wengi wa wachungaji hawapendi maisha ya wazazi wao kwa sababu ya ugumu wa maisha.

"Mimi nilikuwa na- focus kusoma kwa bidii ili nikomboe familia yangu kiuchumi. Mwaka wa pili nikiwa chuo kikuu. Nimesomea masomo ya Mathematics na Statistics nilitokewa na kitu ambacho hakionekani nilipata maelekezo nifanye kazi ya Mungu.

"Nilipewa makatazo ya kutokuajiriwa. Nilifuata maelekezo, mwaka 2018 nilianza rasmi huduma. Nilivyotoka Chuo kikuu sikutafuta ajira. Nilianza huduma katika hali ya udogo. Nilianzia Mabibo, nilikuwa nalala chini kwa miezi Sita"- .edmoundmystic



"Nilitokewa na kitu ambacho hakionekani nilipata maelekezo nifanye kazi ya Mungu. Nilipewa makatazo ya kutokuajiriwa. Ni...
24/12/2025

"Nilitokewa na kitu ambacho hakionekani nilipata maelekezo nifanye kazi ya Mungu. Nilipewa makatazo ya kutokuajiriwa. Nilifuata maelekezo, mwaka 2018 nilianza rasmi huduma. Nilivyotoka Chuo kikuu sikutafuta ajira. Nilianza huduma katika hali ya udogo. Nilianzia Mabibo, nilikuwa nalala chini kwa miezi Sita"

"Nikiwa na degree yangu nilikuwa nalala chini kwa miezi Sita. Nilikuwa napika wale dagaa mchele. Ile hali niificha kwa wazazi kwa sababu wazazi walitamani niajiriwe.

"Kila mtu anayefanya kusudi ambalo hakuumbiwa nalo hawezi kufanikiwa. Wapo watu wangapi wanapambana hapa Dar es Salaam? Wanadhani wamerogwa kumbe yupo kwenye njia ambayo sio ya kwake"- .edmoundmystic



Ni mwaka wa aina gani kwako?
24/12/2025

Ni mwaka wa aina gani kwako?



23/12/2025

Msanii kutoka Kinshansa, ametaja list wa wasanii wa Kibongo anaowakubali!!

23/12/2025

Mrembo akipiga stori mbalimbali na Kachero kwenye

Bi mzuri  kutoka Kinshansa, 🇨🇩 hadi Bongo 🇹🇿 amefika kitivoni na kuangusha moja moja na kutupa chakula ya moyo na nafsi ...
23/12/2025

Bi mzuri kutoka Kinshansa, 🇨🇩 hadi Bongo 🇹🇿 amefika kitivoni na kuangusha moja moja na kutupa chakula ya moyo na nafsi kwa burudani taamu hapa kitivoni.

Ambacho kilitokea mwaka huu 2025⁉️
23/12/2025

Ambacho kilitokea mwaka huu 2025⁉️



Yamesalia masaa UZAO MPYA upate kutokea! ikiwa ni safari ya kuelekea Uzao Mpya wa kiimani na fikra tarehe 25/12 k**a ili...
23/12/2025

Yamesalia masaa UZAO MPYA upate kutokea! ikiwa ni safari ya kuelekea Uzao Mpya wa kiimani na fikra tarehe 25/12 k**a ilivyo ada kwa kila mwaka, timu ya taifa Clouds360 kesho itaungana live na .edmoundmystic kuukaribisha Uzao mpya kwa Wakristu wote wanaotarajia kusheherekea sikukuu ya Christmas mwaka huu.

Ni kuanzia 12:30 live on .

Usikoseee

Address

Https://www. Facebook. Com/images/places/map/red-pin. Png
Dar Es Salaam
00255

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00

Telephone

+255222781445

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Clouds TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Clouds TV:

Share