Naipenda tv

Naipenda tv artist

01/08/2024
Sasa ivi hela imekuwa ngumu adi mimi  Freemason sijalipwa hela miezi miwili weh huogopi😮‍💨😮‍💨😂
25/06/2024

Sasa ivi hela imekuwa ngumu adi mimi Freemason sijalipwa hela miezi miwili weh huogopi😮‍💨😮‍💨😂

20/06/2024
15/06/2024
13/06/2024

Youngcitti yupo tayari kuachia wimbo wake mpya

11/06/2024
Mkaka umesh*tuka zako usingizini saa tisa usiku mara ghafla unakutana na hii utafanya kitu gani!?
11/06/2024

Mkaka umesh*tuka zako usingizini saa tisa usiku mara ghafla unakutana na hii utafanya kitu gani!?

09/06/2024

Äfrö Tïrösï

07/06/2024
KATI YA Diamond Platnumz NARayvanny NANI MSANI MKALI KWENYE KUANDIKA NYIMBO NZUR
06/06/2024

KATI YA Diamond Platnumz NARayvanny NANI MSANI MKALI KWENYE KUANDIKA NYIMBO NZUR

KAJALA 😭😭 tangu niwe na Harmonize naye kwenye mahusiano sijawahi kufanya naye mapenzi au ngono kwa sababu nimekuwa na of...
06/06/2024

KAJALA 😭😭 tangu niwe na Harmonize naye kwenye mahusiano sijawahi kufanya naye mapenzi au ngono kwa sababu nimekuwa na ofia KITUMBUA CHANGU asije kunitoboa kiuno changu kajala amesema haya je unaishi ni kweli hajawahi kufanya mapenzi na HARMONIZE

03/06/2024
Aina Ya Muziki Anaofanya Rayvanny Sitashangaa Miaka Miwili Ijayo Akawa Na Thamani Kubwa Sana Kwenye Soko La Kimataifa, N...
01/06/2024

Aina Ya Muziki Anaofanya Rayvanny Sitashangaa Miaka Miwili Ijayo Akawa Na Thamani Kubwa Sana Kwenye Soko La Kimataifa, Najua Watanzania Wanaamini Msanii Anayefanya Vizuri Ni Yule Anaye Zungumzwa Kila Siku Kwa Kiki.

Rayvanny Amechagua Kukaa Kimya Na Kufanya Muziki Mzuri Na Ulio Bora Kwa Viwango Vya Kimataifa, Kitu Ambacho Watanzania Tunapaswa Kujua Ni Kwamba Kiki Zinaishia Hapa Tanzania Ila Muziki Mzuri Unakwenda Duniani Kote, Naamini Muda Utazungumza Hiki Ninacho Zungumza Na Muda Ukifika Watu Ndio Wataelewa Hiki Ninacho Sema Sasa.

k**a unampenda Mbosso Khan weka comment moja ya makopakopa❤️❤️
31/05/2024

k**a unampenda Mbosso Khan weka comment moja ya makopakopa❤️❤️

k**a unampenda Äfrö Tïrösï weka comment moja ya makopakopa❤️❤️
30/05/2024

k**a unampenda Äfrö Tïrösï weka comment moja ya makopakopa❤️❤️

Hii Ndio Ilikuwa Safari Ya Kwanza Marioo Kufika Nigeria Ambapo Diamond Platnumz Alimchukua Na Kwenda Nae Kwenye Hafla Ya...
29/05/2024

Hii Ndio Ilikuwa Safari Ya Kwanza Marioo Kufika Nigeria Ambapo Diamond Platnumz Alimchukua Na Kwenda Nae Kwenye Hafla Ya Ugawaji Tuzo Za Sound City Mwaka 2019 Ili Akajifunze Vitu Mbalimbali Katika Maswala Ya Muziki Nje Ya Tanzania.

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Naipenda tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Videos

Share