Tazama magoli yote matatu ya Simba ikiifumua Tabora United katika uwanja wa KMC Complex ligi kuu ya NBC
Endelea kufuatilia Simba SC Football
#SimbaSCFootballUpdates
#Simbasctanzania
#NguvuMoja
#WenyeNchi
#CAFCL
#CAFCC
#Africanfootballleague
Mara ya mwisho kukutana na Tabora United Simba ilishinda goli 2-0 na magoli yote yakifungwa na Sadio Kanoute pamoja na Edwin Balua mchezo ambao ulichezwa katika uwanja wa Azam Complex Chamanzi.
Endelea kufuatilia Simba SC Football
#SimbaSCFootballUpdates
#Simbasctanzania
#NguvuMoja
#WenyeNchi
#CAFCL
#CAFCC
#Africanfootballleague
HT: Simba SC 1️⃣➖0️⃣ Coastal Union
#NgaoyaJamii
Wanasimba chagueni wenyewe katika safari ya kuelekea Morogoro kwenye uzinduzi wa tamasha kubwa la Week ya Simba Day linalokwenda kwa jina la UBAYA UBWELA kila mmoja utachagua apande behewa lipi kati ya mabehewa matatu ambayo Simba imegharamia kuyakodi kwenye Tren ya SGR hapo kesho.
Endelea kufuatilia Simba SC Football.
#SimbaSCFootballUpdates
#Simbasctanzania
#NguvuMoja
#WenyeNchi
#CAFCL
#CAFCC
#Africanfootballleague
Baada ya kutua Ismailia mapema Jana, Awesu alinza program ya mazoezi na kikosi cha Simba SC katika pre-season inayoendelea nchini Misri
Awesu amezungumzia mazoezi yake ya kwanza akiwa na Uzi wa Mnyama na kusema kuwa
Amefurahi kujiunga na timu ambayo alikuwa na ndoto nayo na anafurahi pia kukutana na wachezaji wenzake.
Full interview inapatikana Simba SC Football Utube.
Endelea kufuatilia Simba SC Football
#SimbaSCFootballUpdates
#Simbasctanzania
#NguvuMoja
#WenyeNchi
#CAFCL
#CAFCC
#Africanfootballleague
Siku ya kwanza kazini kwa kocha mkuu wa Simba SC Fadlu Davids mazoezini nchini Misri.
Endelea kufuatilia Simba SC Football
#SimbaSCFootballUpdates
#Simbasctanzania
#NguvuMoja
#WenyeNchi
#CAFCL
#CAFCC
#Africanfootballleague
Kama kuna mpinzani pembeni yako mwambie msimu ujao achague kujiunga Msimbazi au akutane na Mashine Mtoa Roho. Kazi kwake kuchagua.
Saa 7:00 mchana tutamtangaza kupitia Simba App. Wahi mapema kupakua na kulipia.
Endelea kufuatilia Simba SC Football
#SimbaSCFootballUpdates
#Simbasctanzania
#NguvuMoja
#WenyeNchi
#CAFCL
#CAFCC
#Africanfootballleague
Kesho majira ya saa 9 alasiri atatambulishwa mtu wa maana sana
Na hii haijawahi kutokea, Wanasimba msikae mbali na page yetu, chaji simu weka bando la kutosha halafu kaa kwa kutulia.
Endelea kufuatilia Simba SC Football
#SimbaSCFootballUpdates
#Simbasctanzania
#NguvuMoja
#WenyeNchi
#CAFCL
#CAFCC
#Africanfootballleague
Mashine tayari ipo mjengoni tukutane saa 7mchana
Usikae mbali na page yetu
Endelea kufuatilia Simba SC Football
#SimbaSCFootballUpdates
#Simbasctanzania
#NguvuMoja
#CAFCL
#CAFCC
#Africanfootballleague
Mwanafamilia mpya wa Simba anatambulishwa leo
Tukutane saa 1 usiku tuashuhudie mashine ya kazi inayokwenda kutambulishwa leo.
Endelea kufuatilia Simba SC Football
#SimbaSCFootballUpdates
#Simbasctanzania
#NguvuMoja
#CAFCL
#CAFCC
#Africanfootballleague
Kwanini huo ugonjwa msiuite hata jina la Miguel Gamond mpaka mtushambulie sisi Wana Simba tu?
Au kwa kuwa sisi ni Wanyama?
HII NI MALI CHUKUENI NA MKAITUMIE ( SAMUEL ET'OO)🔥
CST1️⃣➖2️⃣SSC
⚽FREDY 12'
⚽KIKOTI 25'
⚽ONANA 73'