Jambomediatz

Jambomediatz Pata habari za uhakika.

📌Usikose Kufuatilia📻 “Kipindi Maalumu”, Lumen FM 91.7 FM📍 Karatu📌Mada: Ni Rahisi Sana🗓️ 21/1/2025, Jumanne🕙 4:00 Asubuhi...
21/01/2025

📌Usikose Kufuatilia

📻 “Kipindi Maalumu”, Lumen FM 91.7 FM
📍 Karatu
📌Mada: Ni Rahisi Sana
🗓️ 21/1/2025, Jumanne
🕙 4:00 Asubuhi

20/01/2025

📌POSTA🚚📦

Idadi ya wateja wa huduma ya usafirishaji wa vifurushi na vipeto imeongezeka kwa 20.6% kutoka 52,788 Septemba 2024 hadi wateja 63,666 Desemba 2024. Ongezeko hili ni sehemu ya matokeo chanya kushamiri kwa uchumi wa kidijiti, ambapo biashara mbalimbali zinafanyika kupitia mtandao na kutumwa kwa wahusika kupitia kampuni za usafirishaji wa vifurushi na vipeto.

✔️Kutazama kipindi kamili, tafadhali bofya link https://bit.ly/4arb81F
✔️Ripoti hii inapatikana kwenye tovuti ya TCRA, au kupitia kiunganisho https://bit.ly/4aiq2Y2

📌Ongezeko la Miamala ya Pesa kupitia Mtandao Oktoba - Desemba, 2024📌Miamala ya pesa mtandao imeongezeka kutoka milioni 8...
17/01/2025

📌Ongezeko la Miamala ya Pesa kupitia Mtandao Oktoba - Desemba, 2024📌

Miamala ya pesa mtandao imeongezeka kutoka milioni 879.4 iliyorekodiwa Septemba 2024, hadi kufikia miamala Bilioni 1.1 Desemba 2024. Kushamiri kwa matumizi ya huduma za Pesa Mtandao Tanzania ni uthibitisho wa mafanikio ya uchumi wa kidijiti, unaotegemea zaidi mifumo ya TEHAMA kuendesha shughuli za kiuchumi na kijamii.

Tembelea tovuti ya TCRA kupitia www.tcra.go.tz au bofya kiunganishi hiki https://bit.ly/4aiq2Y2 ili kufahamu zaidi.

Majaribio ya ulaghai unaofanyika mitandaoni kwa lengo la kutapeli, yamepunguka kwa 16% kutoka majaribio 16,062 Septemba,...
17/01/2025

Majaribio ya ulaghai unaofanyika mitandaoni kwa lengo la kutapeli, yamepunguka kwa 16% kutoka majaribio 16,062 Septemba, 2024 hadi 12,896 Desemba, 2024.

TCRA inaendelea kusisitiza kuripoti namba za simu zinazojaribu kufanya utapeli, kupitia namba 15040. Pia wito kwa watumiaji wa huduma za mawasiliano, kuhakiki usajili wa laini za simu kupitia *106 # na kufika kwa mtoa huduma kufuta namba usizozifahamu ili kuendelea kuzuia utapeli mitandaoni.

Ripoti hii inapatikana kwenye tovuti ya TCRA, au kupitia kiunganisho https://bit.ly/4aiq2Y2

📌Akaunti zinazotumia huduma ya pesa mtandao zafikia milioni 63.2 Tanzania📌Kushamiri kwa matumizi ya huduma za Pesa Mtand...
17/01/2025

📌Akaunti zinazotumia huduma ya pesa mtandao zafikia milioni 63.2 Tanzania📌

Kushamiri kwa matumizi ya huduma za Pesa Mtandao Tanzania ni uthibitisho wa mafanikio ya uchumi wa kidijiti, unaotegemea zaidi mifumo ya TEHAMA kuendesha shughuli za kiuchumi na kijamii.

Tembelea tovuti ya TCRA kupitia www.tcra.go.tz au bofya kiunganishi hiki https://bit.ly/4aiq2Y2 ili kufahamu zaidi.

📌Kikoa cha Taifa cha Dot TZ📌Hadi kufikia Desemba 2024, idadi ya vikoa vya intaneti (dot TZ) imeongezeka kutoka 31,584 mw...
17/01/2025

📌Kikoa cha Taifa cha Dot TZ📌

Hadi kufikia Desemba 2024, idadi ya vikoa vya intaneti (dot TZ) imeongezeka kutoka 31,584 mwezi Septemba hadi kufikia 32,267, sawa na ongezeko la 2.2%.

Tembelea tovuti ya TCRA kupitia www.tcra.go.tz au kupitia kiunganisho https://bit.ly/4aiq2Y2 ili kupata taariza zaidi.

📌 Sekta ndogo ya Simu na Intaneti Desemba, 2024📌Takwimu za Mawasiliano katika robo iliyoishia Desemba 2024 zinazoonesha ...
17/01/2025

📌 Sekta ndogo ya Simu na Intaneti Desemba, 2024📌

Takwimu za Mawasiliano katika robo iliyoishia Desemba 2024 zinazoonesha kuwa 20% ya watu nchini imefikiwa na intaneti ya kasi ya 5G.

Tembelea tovuti ya TCRA kupitia www.tcra.go.tz au kupitia kiunganisho https://bit.ly/4aiq2Y2 kupata taarifa kamili.

Usikose Kufuatilia📻 “Kipindi Maalumu”, Peak FM, 98.7 FM📍 Moshi📌Mada: NI RAHISI SANA🗓️ 10/1/2025, Ijumaa🕕6:00 Mchana     ...
10/01/2025

Usikose Kufuatilia
📻 “Kipindi Maalumu”, Peak FM, 98.7 FM
📍 Moshi
📌Mada: NI RAHISI SANA
🗓️ 10/1/2025, Ijumaa
🕕6:00 Mchana

  kuwa salama mtandaoni kwa kuwa makini na namba/neno la uthibitisho (OTP).
30/12/2024

kuwa salama mtandaoni kwa kuwa makini na namba/neno la uthibitisho (OTP).

Ni muhimu kuzingatia matumizi sahihi na salama ya mtandao, yanayoleta tija kwako na kwa watu wengine.
23/12/2024

Ni muhimu kuzingatia matumizi sahihi na salama ya mtandao, yanayoleta tija kwako na kwa watu wengine.

Mnyenyekevu, Mkarimu na Mtu wa Watu woteMhe    salum.927
22/12/2024

Mnyenyekevu, Mkarimu na Mtu wa Watu wote
Mhe

salum.927

📌 Usikose kutufuatilia📻 Kipindi Maalum - Jamii FM, 90.5 FM, Mtwara📌Mada: NI RAHISI SANA🗓️ 20/12/2024 Ijumaa🕘 3:00 Asubuh...
20/12/2024

📌 Usikose kutufuatilia

📻 Kipindi Maalum - Jamii FM, 90.5 FM, Mtwara

📌Mada: NI RAHISI SANA

🗓️ 20/12/2024 Ijumaa
🕘 3:00 Asubuhi

Meneja wa TCRA, Ofisi ya Zanzibar, Bi. Esuvatie-Aisa Masinga  akiwasilisha  mada kwa wazee wa Mkoa wa Mjini Magharibi Za...
17/12/2024

Meneja wa TCRA, Ofisi ya Zanzibar, Bi. Esuvatie-Aisa Masinga akiwasilisha mada kwa wazee wa Mkoa wa Mjini Magharibi Zanzibar kuhusu usalama mtandaonj kupitia kampeni ya “NI RAHISI SANA” tarehe 17 Desemba, 2024, Zanzibar.
Semina hii imewafikia jumla ya wazee 150, huu ni muendelezo wa semina nyingine zitakazofuatia mkoa wa Kusini Unguja na kisha Mkoa wa Kaskazini Unguja.

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inaendelea na Kampeni yake ya " NI RAHISI SANA" pichani ni Meneja wa Ofisi ya TCR...
24/11/2024

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inaendelea na Kampeni yake ya " NI RAHISI SANA" pichani ni Meneja wa Ofisi ya TCRA Kanda ya Kaskazini Mhandisi Francis Mihayo, akitoa elimu kwa umma kuhusu Usalama Mtandaoni, katika kituo cha redio cha Smile FM (95.3) Manyara, Novemba 22, 2024.

Elimu hiyo inasisitiza matumizi ya mtandao yanayozingatia usalama ili kuepusha matukio ya utapeli na udukuzi, pamoja na matumizi ya namba maalum kwa matumizi salama ya huduma za simu 100, 15040 na *106 #.

🔴Usikose Kufuatilia👇📻 Kipindi Maalumu - Ukombozi  FM (104.1), Mwanza📌Mada: NI RAHISI SANA: Vidokezo vya Usalama Mtandaon...
12/11/2024

🔴Usikose Kufuatilia👇

📻 Kipindi Maalumu - Ukombozi FM (104.1), Mwanza
📌Mada: NI RAHISI SANA: Vidokezo vya Usalama Mtandaoni
🗓️ 12/11/2024, Jumanne
🕕5:00 Asubuhi

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma, Bw. Rolf Kibaja alipata nafasi ya kutoa elimu kwa umma kuhusu furs...
10/11/2024

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma, Bw. Rolf Kibaja alipata nafasi ya kutoa elimu kwa umma kuhusu fursa na matumizi sahihi na salama ya huduma za mawasiliano katika zama za uchumi wa kidijiti kwa wanafunzi, wasanii, waadhiri pamoja na wadau wa sanaa wakati wa Tamasha la 43 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo 2024 lilifanyika Bagamoyo, mkoani Pwani.

Elimu hii ni mwendelezo wa Kampeni ya Ni Rahisi Sana, inayosisitiza matumizi ya mtandao yanayozingatia usalama ili kuepusha matukio ya utapeli na udukuzi, pamoja na matumizi ya namba maalum kwa matumizi salama ya huduma za simu 100, 15040 na *106 #

🔴Usikose Kufuatilia📻 Kipindi Maalumu Tumbatu FM (94.9) Unguja📌Mada: NI RAHISI SANA: Vidokezo vya Usalama Mtandaoni🗓️ 6/1...
06/11/2024

🔴Usikose Kufuatilia

📻 Kipindi Maalumu Tumbatu FM (94.9) Unguja
📌Mada: NI RAHISI SANA: Vidokezo vya Usalama Mtandaoni
🗓️ 6/11/2024, Jumatano
🕚 8:00 Mchana

*WANANCHI ZAIDI YA 15,000 WA KATA YA MAKURO KUPATA MAWASILIANO YA SIMU*Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Ha...
26/10/2024

*WANANCHI ZAIDI YA 15,000 WA KATA YA MAKURO KUPATA MAWASILIANO YA SIMU*

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Jerry Silaa (Mb) amesema, wananchi takriban 15,613 wa Kata ya Makuro na maeneo ya jirani wataanza kupata huduma ya mawasiliano ya simu ya uhakika kufuatia kukamilika kwa mnara uliojengwa na kampuni ya Airtel kwa ruzuku inatolewa na Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) kiasi cha shilingi milioni 115.

Waziri Silaa ameyasema hayo, wakati wa uzinduzi wa mnara huo uliojengwa katika kijiji cha Mikuyu, Kata ya Makuro wilaya ya Singida Mkoani Singida, ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kikazi kutembelea, kukagua na kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali katika Mkoa wa Singida.

Akiwasilisha Taarifa ya utekelezaji wa mradi huo, Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF), Mhandisi Peter Mwasalyanda amesema, awali mnara huo ulikuwa unatoa huduma kwa teknolojia ya 2G pekee ambayo huwezesha watumiaji kuwasiliana kwa kupiga simu za sauti na kutuma ujumbe mfupi yaani SMS tu, lakini kuanzia tarehe 24 Oktoba, 2024 mnara huo uliongezewa teknolojia ya 3G na 4G ili kuwezesha matumizi ya huduma za mtandao wa intaneti kupitia simu na vifaa vingine.

Aidha, Mhandisi Mwasalyanda ameongeza kuwa, kupitia Mradi wa Tanzania ya Kidijitali (DTP), ambao una jumla ya minara 758 inayojengwa katika kata 713 nchini, Mkoa wa Singida una jumla ya minara 33 inayojengwa katika wilaya za Ikungi, Iramba, Manyoni, Mkalama na Singida.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Halima Dendego, ametoa wito kwa wananchi kuutunza mnara huo kwa kuwa kuongezwa teknolojia ya 3G na 4G kutafungua fursa mbalimbali kwa wananchi wa Kata hiyo na kuchochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi.

Mnara huu utahudumia vijiji vya Mikuyu, Mwalala, Matumbo, Mkenge na Makuro. Aidha utahudumia pia wananchi wa vijiji vya jirani vya Sekotoure, Msimihi na Mjughuda.

Address

Creative Media Tanzania, Survey
Dar Es Salaam

Telephone

+255756549180

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jambomediatz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Jambomediatz:

Videos

Share